Kwa upande wa TAIFA LA UGANDA, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ndio wamiliki halali wa SHULE YA SAINT PETER'S NAALYA SECONDARY SCHOOL [SPENA] inayopatikana katika JIJI LA KAMPALA, nchini UGANDA.
Hii shule ya SAINT PETER'S NAALYA SECONDARY SCHOOL [SPENA] ni shule ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kupitia kampuni ya VIPODOZI YA AVON inayopatikana nchini UINGEREZA.
Kwahiyo, kampuni ya VIPODOZI YA AVON ndio wamiliki halali wa SHULE YA SAINT PETER'S NAALYA SECONDARY SCHOOL [SPENA] inayopatikana katika JIJI LA KAMPALA, nchini UGANDA.
Hii shule inafanya vizuri sana kitaaluma na yenyewe inachukuwa wanafunzi wengi wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini UGANDA.
Hii shule ni mchanganyiko na ina nafasi ya kutwa na bweni kama ilivyo kwa shule nyingine nyingi za nchini UGANDA.
Na wanafunzi wanaohitimu hapa, hupata nafasi ya kujiunga na MASOMO YA VYUO VIKUU na wengine huwa wanajiunga na MAJESHI YA UGANDA.
Wanafunzi wengi wa SHULE YA SAINT PETER'S NAALYA SECONDARY SCHOOL [SPENA] ni WATANZANIA ambao ni wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ambao wazazi wao walihamia nchini UGANDA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].
Hawa ndio MWASHITA yaani SIMBA ambao wanategemewa kufanya kazi na kusimamia kampuni binafsi ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.
Hawa ndio MWASHITA yaani SIMBA wenye misimamo mikali na pia huwa wanatumia muda wa likizo kuja TANZANIA kusalimia ndugu na jamaa.
Hawa wahitimu wanaopatikana katika shule ya SAINT PETER'S NAALYA SECONDARY SCHOOL [SPENA] wanaandaliwa kuja kuongoza kampuni za wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ikiwemo kampuni ya NEXT MEDIA inayomiliki kituo cha televisheni cha NBS.
Wafanyakazi wengi wa kampuni ya NEXT MEDIA hususani kituo cha televisheni cha NBS ni WATANZANIA ambao ni wenyeji wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, yaani MWASHITA waliohamia UGANDA.
Vile vile, jina la kituo cha televisheni cha NBS limetokana na kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa NBS COMPANY LIMITED inayopatikana nchini TANZANIA.
Hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo ya NBS inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.
Kwahiyo hawa wanafunzi wa SAINT PETER'S NAALYA SECONDARY SCHOOL wana nafasi kubwa ya kuongoza kampuni zinazomilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ikiwemo kampuni ya VIPODOZI ya AVON inayopatikana nchini UINGEREZA.
Hao ndio kizazi cha MWASHITA yaani SIMBA waliohamia katika TAIFA LA UGANDA.
Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kipaumbele chao huwa ni ELIMU na ndio maana wanaendelea kufanikiwa KIUCHUMI na KIBIASHARA.
Malengo ilikuwa ni kujikwamua KIUCHUMI na wamefanikiwa kwa zaidi ya asilimia mia moja [100%].
Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA waliwekeza kwa kutumia watu wao na ndio maana wamepiga hatua kubwa ya kimaendeleo.
Vile vile kupitia kampuni ya MUKWANO INDUSTRIES ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.
Hii kampuni ya MUKWANO INDUSTRIES ndio wamiliki halali wa timu ya mpira wa miguu inayoitwa EXPRESS FOOTBALL CLUB ambayo inashiriki LIGI KUU nchini UGANDA.
Kwahiyo, haya ndio MAFANIKIO, MATUNDA na SIASA za wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.