Sasa jaribu kuangalia picha za WENYEVITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 1964 hadi mwaka 2022.
Kwahiyo ukiondoa JAMII YA SERENGETI yaani CHUI, kuna JAMII YA WATU WA PWANI. Hii JAMII YA WATU WA PWANI imejijenga sana kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.
Hii JAMII YA WATU WA PWANI imejijenga sana na hao VIONGOZI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR wana mchango mkubwa sana kwa JAMII wanayotoka.
Kuanzia kwa Sheikh ABEID AMANI KARUME aliyekuwa MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 1964 hadi mwaka 1972.
Halafu akafuatia Sheikh MWINYI ABOUD JUMBE aliyekuwa MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 1972 hadi mwaka 1984.
Halafu akafuatia ALI HASSAN MWINYI aliyekuwa MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 1984 hadi mwaka 1985.
Halafu akafuatia IDRIS ABDUL WAKIL aliyekuwa MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 1985 hadi mwaka 1990.
Halafu akafuatia SALMIN AMOUR aliyekuwa MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 1990 hadi mwaka 2000.
Halafu akafuatia AMANI ABEID KARUME aliyekuwa MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 2000 hadi mwaka 2010.
Halafu akafuatia ALI MOHAMMED SHEIN aliyekuwa MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 2010 hadi mwaka 2020.
Halafu akafuatia HUSSEIN ALI MWINYI ambaye ndiye MWENYEKITI WA BARAZA LA MAPINDUZI ZANZIBAR kuanzia mwaka 2020 hadi hivi sasa.
Kwahiyo SIASA ZA ZANZIBAR zimetawaliwa na FAMILIA hizo hapo juu na tutegemee kwa siku za usoni tutaona WATOTO au UBINI wa VIONGOZI wengine waliopita kama Sheikh MWINYI ABOUD JUMBE au IDRIS ABDUL WAKIL au SALMIN AMOUR au hata ALI MOHAMMED SHEIN. Hizo FAMILIA ndio wanamiliki nguvu kubwa ya KISIASA na KIUCHUMI kwa upande wa VISIWA VYA ZANZIBAR.
Vile vile hii JAMII YA WATU WA PWANI ilifanikiwa kutoa VIONGOZI WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kwa nyakati tofauti tofauti. VIONGOZI hao ni ALI HASSAN MWINYI, HAYATI BENJAMIN WILLIAM MKAPA, JAKAYA MRISHO KIKWETE na hatimae MAMA SAMIA SULUHU HASSAN ambaye ndiye RAIS WA AWAMU YA SITA WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.
Hii JAMII YA WATU WA PWANI imejijenga sana kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na wamefanikiwa kuwa na nguvu kubwa ya KISIASA na KIUCHUMI.
Hizi FAMILIA za kina Sheikh HAYATI ABEID AMANI KARUME, Sheikh MWINYI ABOUD JUMBE, ALI HASSAN MWINYI, IDRIS ABDUL WAKIL, SALMIN AMOUR, ALI MOHAMMED SHEIN, BENJAMIN WILLIAM MKAPA, JAKAYA MRISHO KIKWETE na hatimae MAMA SAMIA SULUHU HASSAN, hawa wote wameingia kwenye kundi la "ELITE FAMILIES" na wamejumuika pamoja na FAMILIA ZA HAYATI MWALIMU pamoja na HAYATI MAGUFULI kwa mbali sana.
Sasa hii JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA vya NCU, SHIRECU na WETCU wanafuata MTINDO NA MAISHA YA WATAWALA kwa kutumia jitihada zao BINAFSI. Kwa lugha nyingine tunaweza kuwaita ni WAPAMBANAJI na wamefanikiwa pakubwa sana.
Hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA vya NCU, SHIRECU na WETCU wanamiliki UKWASI wa kutosha!! Kiasi ambacho kinakadiliwa kuwa ni kuanzia shilingi bilioni hamsini [ 50,000,000,000 ] kwa kila mfanyakazi kuanzia CHEO CHA UMENEJA.
Na hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA vya NCU, SHIRECU na WETCU wanamiliki VYAMA VYA KISIASA ambavyo kwa kiasi fulani vinashiriki CHAGUZI mbalimbali na kufanikiwa kuunda SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA kwa upande wa ZANZIBAR.
Na hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshiriki kwa kiasi kikubwa SIASA ZA MAZIWA MAKUU yaani WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita ni GREAT LAKES POLITICS zilizojumuisha MATAIFA YA KONGO 🇨🇩, BURUNDI 🇧🇮 na RWANDA 🇷🇼.
SIASA ZA MAZIWA MAKUU ndio zilizopelekea MATAIFA ya RWANDA 🇷🇼 na BURUNDI 🇧🇮 kuingia kwenye MACHAFUKO YA KISIASA, lakini sasa hivi HALI YA KISIASA imetulia na haya MATAIFA yanaendelea vizuri kwenye masuala ya kimaendeleo.
Hawa JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA vya NCU, SHIRECU na WETCU wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana kwenye SIASA ZA MAZIWA MAKUU, kiasi ambacho kinawafanya wasiwekeze nguvu kubwa kwenye VYAMA VYA KISIASA ambavyo wanamiliki kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA 🇹🇿.
Kwahiyo, hizi JAMII TATU zikiongozwa na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI ambayo ndio anatoka HAYATI MWALIMU mwenyewe, ikifuatiwa na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ambao ndio waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA vya NCU, SHIRECU na WETCU na JAMII YA WATU WA PWANI, hizi JAMII TATU ndio JAMII ambazo zinamiliki nguvu kubwa ya KISIASA na KIUCHUMI na kwa kutumia lugha nyingine huwa wanaitwa ni MAFIGA MATATU.