Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

"LE FANTONCHE" ?
Hawa JAMII YA PUISSANTS [BSC] walikuwa wakijaribu kuleta chokochoko kwa upande wa JAMII YA MWASHITA, walikuwa wanakutana KIKOSI MALAAM CHA KIJESHI kutoka TAIFA LA RWANDA.


Hii SURA inapatikana nchini TANZANIA na ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayodhamini CHAMA TAWALA kwa upande wa TAIFA LA RWANDA.


Kule kwenye MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA huwa wanapaita GUANTANAMO, huwa hawapenyi hata kidogo.


Hata JAMII YA SERENGETI huwa hawagusi kwa wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.


Sasa hivi hizi JAMII ZA SERENGETI pamoja na PUISSANTS [BSC] wanaendelea kuzozana bila ya mafanikio yoyote - kwa sababu CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kitaendelea kuwa MADARAKANI hata kwa miaka mingine mingi ijayo na yale MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yanaendelea kukaliwa na WALOWEZI.


Kwahiyo SIASA YA TANZANIA ndiyo ipo hivyo na hadi wakati huu wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo WASHINDI - kwa sababu wana SERIKALI zao kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.
 
"LE FANTONCHE" ?
Sasa hivi hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanatambulika kimataifa kupitia MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.


Wanapatikana hadi STATE HOUSE ya TAIFA LA MAREKANI, kutokana na uwekezaji waliofanya katika TAIFA LA MAREKANI.


Ukiwa pale MAREKANI, hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanamiliki VIWANDA pamoja na MAJENGO mbalimbali.


Hata huyu MISS UGANDA [2023/24] ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.


Wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini UGANDA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ule MKOA WA MWANZA.


Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wapo "VERY SUCCESSFUL" katika tasnia mbalimbali.


Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini BURUNDI kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Huyu pia wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini BURUNDI kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ule MKOA WA SHINYANGA.


Hata hawa pia ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini AFRIKA YA KUSINI kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Sasa hivi ukiwa katika ile MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wale wenyeji wa asili waliokuwepo miaka ya tisini [1990's] hawapo tena, walishahama na kusambaa sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.


Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA bado wanaendelea kufanya vizuri katika kampuni zao za kibiashara na hii kasumba ni tangu miaka ya tisini [1990's].
 
"LE FANTONCHE" ?

Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanaendelea kwa sababu wanaoana wao kwa wao.


Hawana muingiliano hata kidogo na JAMII YA PUISSANTS [BSC] wala JAMII YA SERENGETI - ndiyo maana hauwezi kusikia migogoro ya kifamilia kwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA inatangazwa kwenye VITUO VYA TELEVISHENI NA RADIO 😂📻


Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini AFRIKA YA KUSINI kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo "ROYAL FAMILIES" kwa siku za mbeleni.


Hiyo ndiyo huwa SIRI YA MAFANIKIO kwa wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA - hawana muingiliano na JAMII YA PUISSANTS [BSC] wala JAMII YA SERENGETI.


Kwahiyo hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wanaitwa WASHINDI WA SIASA ZA TANZANIA.
 
MAKONTAWA ?
"KONTAWA" wapo na wanaendelea na UJENZI kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na ukifuatilia kwa makini hata kwa upande wa JAMII YA MWASHITA, hawa "KONTAWA" wanahusika.


Unafahamu HISTORIA YA UMISHENI kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA ilianza tangu miaka mingi iliyopita, lakini kwa miaka ya hivi karibuni wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wameonekana kuwa na mchango mkubwa sana katika KANISA KATOLIKI.


Sote tunafahamu kuwa katika DUNIA YA LEO iliyotawaliwa na UTANDAWAZI, hauwezi kueneza INJILI bila ya kuwa na PESA.


Sasa wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA kuna baadhi ya kampuni za kibiashara walikabidhi KANISA KATOLIKI kwa nia ya kugawana faida.


KANISA KATOLIKI ndiyo wanasimamia SHULE YA FRANCISCAN SEMINARY MAUA inayopatikana KILIMANJARO, SHULE YA LORETO GIRLS SECONDARY SCHOOL inayopatikana MWANZA, SHULE YA LORETO CONVENT SCHOOL inayopatikana PRETORIA nchini AFRIKA YA KUSINI, KAMPUNI ya LORETO TRAVEL inayopatikana nchini MEXICO, LORETO GARDEN BAR inayopatikana nchini ARGENTINA na KIWANDA CHA [...] kinachopatikana nchini PERU.


Kwahiyo hawa "KONTAWA" wanahusika pia kwenye mafanikio ya wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.
 
MAKONTAWA ?

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo KANISA KATOLIKI linapoegemea KIUCHUMI.


Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA anayeishi nchini KYUBA.


Wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KYUBA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ule MKOA WA SHINYANGA nchini TANZANIA.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifahamu SIASA ZA TANZANIA tangu siku nyingi na sasa hivi ni MARUDIO tu.
 
MAKONTAWA ?

Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini AFRIKA YA KUSINI kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini AFRIKA YA KUSINI wakitoka katika ule MKOA WA SHINYANGA.


Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁.
 

Hao ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁.


Hata hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo inayoitwa SAIBABA EXPRESS ni kampuni ambayo inamilikiwa na mmoja wa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walijinufaisha kweli kweli hadi kupelekea VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA kufirisika.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa wakichukua FEDHA kutoka katika VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa wanawekeza kwa WATU wenye asili ya ASIA na ULAYA wakiwemo WAHINDI na WAJERUMANI.


Kwahiyo sasa hivi, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ni MATAJIRI sana na wamefanikiwa kuwekeza kupitia watu wao.
 

Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini AFRIKA YA KUSINI kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kila walipokuwa wanafanikiwa kuwekeza biashara zao walikuwa wanapeleka watu wao.


Wengine walifanikiwa kusambaa zaidi katika MATAIFA mbalimbali duniani kwa kutumia NAFASI ZA KIBALOZI kwa MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.


Kwa upande wa MATAIFA YA KUSINI MWA AFRIKA - wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanapatikana kwa wingi nchini AFRIKA YA KUSINI.


Ukiwa pale AFRIKA YA KUSINI - JAMII YA MWASHITA ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa MULTICHOICE na wanamiliki timu za mpira wa miguu kama KAIZER CHIEFS FC pamoja na ORLANDO PIRATES.


Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁.
 

Hata huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini NAIJERIA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walisambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi kwa kutumia MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI, hata KONGO walikuwa wanatumia kipindi JOSEPH KABILA KABANGE akiwa MADARAKANI.
 
Ndiyo 🙏🏾! SIMBA 🦁 au wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wanafahamu vizuri SIASA YA TANZANIA 🇹🇿.


Unafahamu kuwa mzozo baina ya JAMII YA SERENGETI na JAMII YA PUISSANTS [BSC] ndiyo uliopelekea kuanguka kwa SERIKALI YA RWANDA pamoja na BURUNDI, 1994.

Na wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo waliofanikiwa kuchukua SERIKALI ZA BURUNDI pamoja na RWANDA.


Na ukijaribu kuangalia BODI YA WADHAMINI WA CHAMA CHA CNDD FDD ni kampuni ya kibiashara ambayo inapatikana katika TAIFA LA TANZANIA [DAR-ES-SALAAM].


Pia ukijaribu kuangalia hiyo kampuni ya kibiashara namna inavyoendeshwa - utagundua kuwa ni WAITALIANO ndiyo wasimamizi wakuu wa hiyo kampuni na inamilikiwa na WATANZANIA WEUSI ambao ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.


Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamepenya hadi "STATE HOUSE" kutokana na uwekezaji waliofanya katika TAIFA LA MAREKANI.


Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wamiliki halali wa STAPLETON HOUSES inayopatikana NEW YORK, nchini MAREKANI.


Hapa ndiyo ilikuwa maskani ya KUNDI LA MUZIKI LA WU - TANG CLAN ambalo kwa mara ya kwanza walitoa "ALBUM" yao.




Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wenye SERIKALI YA RWANDA pamoja na BURUNDI na wamepiga hatua KIUCHUMI ukilinganisha na miaka kadhaa iliyopita.
 

Ndiyo maana kila siku mnaulizwa mnawajua SIMBA? Au huwa mnakutana na WALOWEZI ambao walihamia katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na kufanikiwa kuakisi tamaduni za wenyeji.


Wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walifanikiwa kusambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.


Hata huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia nchini AFRIKA YA KUSINI kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini AFRIKA YA KUSINI kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ule MKOA WA SHINYANGA nchini TANZANIA.


Huyu mdada kuna nyumba anajenga pale SHINYANGA MJINI, maeneo ya MAJENGO MAPYA.


Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁.
 

Huyu ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA aliyehamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].


Wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wakitoka katika ule MKOA WA MWANZA, WILAYA YA MISUNGWI katika maeneo ya MISASI.


Wenyeji wengi wa asili wa MIKOA YA MWANZA na SHINYANGA walihamia nchini KENYA na asilimia iliyobaki walihamia katika MATAIFA YA UGANDA, RWANDA, BURUNDI, KONGO, ZAMBIA, MSUMBIJI na MALAWI.


Baada ya hapo, ndiyo wakaanza kusambaa zaidi katika MATAIFA mbalimbali duniani.


Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wamefanikiwa sana, sema huwa ni WATU WAKIMYA yaani SILENT MAJORITY.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA - kwa lugha ya mtaani tunaweza kusema kwamba "WAMETUSUA".
 
Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wamiliki halali wa "WE THE BEST MUSIC" inayoongozwa na DJ KHALED.


Hii MUSIC LABEL bado haijaanza kupokea WAFANYAKAZI na WASANII kutoka katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.


Hata huyu NYASHINSKI ni MTANZANIA mwenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA aliyehamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA wakitoka katika ule MKOA WA MWANZA, maeneo ya kijiji kinachoitwa NYASHISHI.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA bado wana fursa nyingi za KIUCHUMI.
 
Uko vizuri ila lazima ujue ICON wote wana ma helpers nyuma yao ambao huwa hawataji

ni kama ww ukifanikiwa mkeo hataonekana ni kawaida
 
Kilichowahamisha n nn
 
Kilichowahamisha n nn
Sasa tunaanza kurudi darasani! Hapa ndiyo utaona umuhimu wa VIJANA kujiunga na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA, kwa sababu haya mambo yote huwa wanafaundishwa huko kwenye MAJESHI.. 😂


KUHAMA yaani "shifting from one place to another for a particular reason". Hiyo ndiyo ilikuwa SIASA YA TANZANIA kipindi cha HAYATI MWALIMU. Hivi unafahamu kuwa idadi kubwa ya WAZANAKI hawaishi BUTIAMA!


WAZANAKI wengi walihama maeneo yao ya asili na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi, kwa sababu za KIUSALAMA na KIDIPLOMASIA.

Sasa hivi ukienda BUTIAMA, pale "CENTRE" kuna OFISI YA CHAMA CHA WALIMU [CWT], BENKI YA NMB pamoja na BENKI YA CRDB, lakini kijiji chote cha BUTIAMA wanaishi WALOWEZI na WENYEJI WENGI WA ASILI waliyahama maeneo yao.


Hii ndiyo SIASA ambayo huwa inafanyika na MATAIFA mbalimbali na hata TAASISI ZA KISIASA kama VYAMA VYA KISIASA, huwa wanahamisha watu kwa MASILAHI YAO BINAFSI au MASILAHI YA TAIFA - ndiyo maana huwa kuna DIASPORA.


Sababu nyingine ambayo huwa haitajwi mbele ya halaiki ya watu huwa ni kukabiliana na MABADILIKO YA HALI YA HEWA - kama MAFURIKO au MAGONJWA YA MILIPUKO.


Kwa mfano, leo kumetokea MAFURIKO pale "KALENGA" na majengo yote yamesombwa na maji, halafu hata vile vyakula vya akiba hamna tena kutokana na maghala ya kuifadhia vyakula kuharibiwa na MAFURIKO. Matokeo yake huwa tunapata vifo ambavyo hatukuvitegemea..


Sasa ili kupunguza madhara yatakayosababisha WANANCHI wa sehemu moja kupoteza maisha, huwa inashauriwa kuhama eneo la asili na kuchangamana na watu wa jamii nyingine ili inapotokea JANGA sehemu fulani, watu wote wa asili wa eneo husika wasipoteze maisha na huu huwa ni MKAKATI WA SERIKALI zote duniani.


Kwahiyo inashauriwa hata katika ngazi ya kifamilia, kama wanafamilia wamefikisha umri wa kujitegemea inawapasa kuwa na MAKAZI sehemu mbalimbali ili kuepuka madhara yatokanayo na msongamano wa kukaa sehemu moja.
 
Mkuu umeiva kwene jambo lako ! Kongole sana
Hiyo ndiyo huwa SIASA! Mambo mengine ni kupoteza muda na kutokuwa na uhakika kwa siku za mbeleni - kwa sababu kama huna hazina ya watu, malengo yako yote yatafifia.


Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA na wametoka sehemu moja katika KIJIJI KIMOJA, WILAYA MOJA, MKOA MMOJA na TAIFA MOJA.


Lakini hadi sasa hivi HARMONIZE ana uraia wa TANZANIA na EDDY KENZO ana uraia wa UGANDA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…