Ebwanq, hebu tupe mkanda kidogo ilikuwaje.Unaongea upuuzi mwingi sana sana kaa kimya kama ushalewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ebwanq, hebu tupe mkanda kidogo ilikuwaje.Unaongea upuuzi mwingi sana sana kaa kimya kama ushalewa.
Naipata hiyo mov ni balaaa tupu, full mauwaji.
Naipata hiyo mov ni balaaa tupu, full mauwaji.
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILAUkitaka kuelewa vizuri SIASA YA TANZANIA, ingia kwenye MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA. Ndio utaelewa kuwa asilimia kubwa ya ASKARI wanaopelekwa KONGO 🇨🇩 kwenda kulinda AMANI, huwa ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].
Huwa wanarudishwa kwao, kwenda kutuliza AMANI. Sasa wakati mwingine unataka "WAJOMBA" wamejipanga kweli kweli, BATTALION yote wanadedi. Eeh! Wanakuwa wamededi kwenye ardhi yao..😁
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
Hiyo FALSAFA YA FAMILIA huwa ipo kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA na huwa wanapenda kueleza kama kiini cha mabadiliko katika TAIFA..😁😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
WAINGEREZA huwa wana SWALI maarufu sana kwa upande wa "FRANCOPHONE COUNTRIES". Swali hilo huwa wanauliza hivi ~ "CIVIL WAR is a CURSE or BLESSING? Discuss" na kwa LUGHA YA KISWAHILI FASAHA huwa wanauliza hivi ~ "VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE ni LAANA au BARAKA? Jadili"😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
I don't know why DRC is unsettled? Let them ask themselves, hopefully they have all answers to every questions concerning their beautiful country.Why congo is unsettled?
Wanamiliki kina naniI don't know why DRC is unsettled? Let them ask themselves, hopefully they have all answers to every questions concerning their beautiful country.
Hivi unawafahamu wamiliki halali wa kampuni inayoitwa SUNDAR. Hii kampuni ni maarufu sana kwa kutengeneza vifaa vya kielektroniki na soko lake kubwa kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI ni TANZANIA.
Hii kampuni ya SUNDAR inapatikana katika BARA LA ASIA, nchini CHINA na inafanya vizuri kwa upande wa kutengeneza vifaa vya kielektroniki.
Wanamiliki kina nani
Ebwanaaaa sasa wanae ndo wanamiliki au ndo ancle summ ameisha nyakuwa
Ebwanaaaa sasa wanae ndo wanamiliki au ndo ancle summ ameisha nyakuwa
Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???anakuwa
Hivi huwa mnawachukuliaje WAKONGOMANI? Kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI NA KATI, TAIFA LA KONGO ndiyo TAIFA linaloongoza kuwa DIASPORA wengi kuliko MATAIFA mengine.Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???
Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???