Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Naipata hiyo mov ni balaaa tupu, full mauwaji.
8bcbeba2253f5a687879080eb2fd454d.png

Aina hii ya SIASA waliikataa kwa upande wa TAIFA LA KENYA 🇰🇪. Wao waliamini wanaweza kuongoza TAIFA lao kwa kutumia UTASHI WA KISIASA walionao na walifanikiwa tangu KENYA inapata UHURU wake kutoka katika UKOLONI WA KIINGEREZA.

6b01ca7404fa0f8ecb6958b259043222.png

Sasa hivi kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI, TAIFA LA KENYA ni mfano wa kuigwa katika mambo mengi ikiwemo SIASA.

78e49505ae692261fbd1d44c8fd3d86c.png

Lakini kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], SIASA yao ni mbaya sana kiasi ambacho iliwaathiri WANANCHI WA KAWAIDA na kuwafanya wayahame MATAIFA yao ya asili.

d494c1c2671c3feec0065f17ef925cef.png

Hali hiyo ilifanya MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI NA KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kuongozwa na WALOWEZI kuanzia kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA hadi NAFASI ZA KITAIFA.

b187be464181cd0a1b57f295a9f0db55.png

Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliathirika pakubwa na SIASA ZA MATAIFA yao, sasa hivi inabidi warudi kwao wakajenge upya MATAIFA yao 😁
 
Naipata hiyo mov ni balaaa tupu, full mauwaji.
e19b94311eee9df3fc4da7901531318f.png

Ukitaka kuelewa vizuri SIASA YA TANZANIA, ingia kwenye MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA. Ndio utaelewa kuwa asilimia kubwa ya ASKARI wanaopelekwa KONGO 🇨🇩 kwenda kulinda AMANI, huwa ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

f8d25159316c361022158cd378959eee.png

Huwa wanarudishwa kwao, kwenda kutuliza AMANI. Sasa wakati mwingine unakuta "WAJOMBA" wamejipanga kweli kweli, BATTALION yote wanadedi. Eeh! Wanakuwa wamededi kwenye ardhi yao..😁
 
Ukitaka kuelewa vizuri SIASA YA TANZANIA, ingia kwenye MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA. Ndio utaelewa kuwa asilimia kubwa ya ASKARI wanaopelekwa KONGO 🇨🇩 kwenda kulinda AMANI, huwa ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

Huwa wanarudishwa kwao, kwenda kutuliza AMANI. Sasa wakati mwingine unataka "WAJOMBA" wamejipanga kweli kweli, BATTALION yote wanadedi. Eeh! Wanakuwa wamededi kwenye ardhi yao..😁
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
 
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
fc2b423bbcb1950a7b9441b9e9c80e56.png

Hii timu ya TP MAZEMBE imefuzu katika hatua ya nusu fainali kwenye MICHUANO YA KLABU BINGWA AFRIKA.

27ea5a10859c1bc92a578b944d1221bb.png

Inajumuisha wacheza mpira wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA kutoka TANZANIA.

WAKONGOMANI kipindi wanauza hii timu ya mpira wa miguu inayoitwa TP MAZEMBE walikuwa wanaamini wataendelea kuwepo kwenye KLABU, hata baada ya kuuza.

Lakini hali ilienda tofauti, sasa hivi ni WATANZANIA ndiyo wanamiliki, wanasimamia na wanacheza katika KLABU YA TP MAZEMBE.

44763600b4a86d6d2f6485197a8c01e4.png

Hali hiyo ipo hivyo hivyo hata katika VILABU vingine, kama ukiangalia KLABU YA LIVERPOOL - wachezaji wote huwa ni WAINGEREZA kasoro wale WACHEZAJI WEUSI na WACHEZAJI wenye asili ya ASIA.

be69ab6bc4af4298e598762f15ad692c.png

Hata huyu MOHAMED SALAH ni MUINGEREZA kwa asili, aliyefanyika kuwa MLOWEZI katika TAIFA LA MISRI. Hiyo ndiyo SIASA.

882884c190d6ea4b5ae75c6d9b255d2c.png

Hata hii timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA ALGERIA 🇩🇿 inayoitwa ENTENTE SPORTIVE SÉTIFIENNE ni timu ambayo inajumuisha wachezaji wote wenye asili ya UFARANSA.

b4ed26b0fa1b3b1652700a41f6fc68b1.png

Hii ES SÉTIFIENNE ni timu kubwa, kwa sababu ni mabingwa mara mbili wa KLABU BINGWA AFRIKA.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] - DUNIA ilikuwa inawashangaa kwa kuuza VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama TP MAZEMBE, AS VITA, MANIEMA, VITA'OL pamoja na RAYON SPORTS.

a75248e8a72013de31406b36bac26e55.png

Wakati MATAIFA mengine wakifanya biashara ya kuuza VILABU VYA MPIRA WA MIGUU wanahakikisha MNUNUZI au MUWEKEZAJI anasimamia masilahi yao.

Kwa wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] hali ilikuwa ni tofauti, kwani wao walikuwa wanauza tu ilmradi wapate FEDHA ya kwenda kuishi UGHAIBUNI.. 😁
 
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
edc2a9215bf3d06cbc0ad10a5e9b11be.png

Kwa upande wa TIMU YA LIVERPOOL, KOCHA na BENCHI LA UFUNDI huwa ni WAINGEREZA na kila mara MSIMU WA LIGI unapoanza, WAINGEREZA wengi huwa na shauku ya kuona usajili wa TIMU YA LIVERPOOL kutokana na kuwa na utamaduni wa kusajili WAINGEREZA waliohamia katika MATAIFA mbalimbali duniani.

a2eb43e83b4927e97a0cd43269c4977d.png

NAHODHA WA TIMU au "TEAM CAPTAIN" wa LIVERPOOL huwa ni MUINGEREZA na hii hurka kipindi cha nyuma ilikuwa inatumika kwa timu zote ambazo zilikuwa zinashiriki LIGI KUU YA UINGEREZA.

2638b39494a355a77e383684a4f2bc5b.png

Kipindi cha nyuma ilikuwa haiwezekani kwa mcheza mpira ambaye siyo MUINGEREZA kuwa "NAHODHA" wa timu yoyote inayoshiriki LIGI KUU YA UINGEREZA.

072482c73a6a243d739be16bdfe57230.png

Hii hurka au utamaduni bado upo kwa timu ya mpira wa miguu ya LIVERPOOL na timu nyingine kama EVERTON na FULHAM. Ndiyo maana UINGEREZA huwa inaitwa "GREAT BRITAIN".

29575246a22e51e1c7b0f832c4e3b4ce.png

Sasa hawa MATAIFA YA UINGEREZA pamoja na UJERUMANI ndiyo walibeba majukumu ya kuwajenga wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA 🦁 na wanaendelea kufanya vizuri katika tasnia mbalimbali.

43b6f6d59ecd938b0ab4c953943653e7.png

Unavyoona hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wanavyomiliki kampuni za usafirishaji za abiria na mizigo, ndivyo walivyo MATAIFA YA MAGHARIBI wanavyomiliki kampuni za usafirishaji za abiria na mizigo kwa upande wa SEKTA YA ANGA.

047911523d3cc370464325e5da596005.png

Hawa UINGEREZA ndiyo "GREAT BRITAIN" au kwa jina la utani wanaitwa "ONE WORLD" na kuna mambo mengine mengi ambayo huwa wanayafanya kwa kutumia kivuli cha MATAIFA mengine, ilhali wao ndiyo huwa wahusika wakuu.

bd78bab26874845a4fe63373ee1e0c18.png

Kwahiyo na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA na wao wanaenda hivyo hivyo kama ilivyo kwa TAIFA LA UINGEREZA, sema wao wanatumia MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.
 
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
f53eb9b64aa9d0914e3d131ccb693a98.png

Ukijaribu kuangalia MATAIFA YA KIAFRIKA ambayo ni "COMMON WEALTH COUNTRIES" na "FRANCOPHONE COUNTRIES" - utagundua kuwa "COMMON WEALTH COUNTRIES" ni MATAIFA yaliyotawaliwa na UINGEREZA na "FRANCOPHONE COUNTRIES" ni MATAIFA yaliyotawaliwa na UFARANSA.

ad7c2980df0279ea8ca7867885c06ad9.png

"FRANCOPHONE COUNTRIES" kwa upande wa BARA LA AFRIKA, MATAIFA yao yote yalipitia matatizo ya KISIASA na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE. Mfano mzuri ilikuwa ni MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

1a45e26e838c5ff0d837300972295c7b.png

"COMMON WEALTH COUNTRIES" kwa upande wa BARA LA AFRIKA, MATAIFA yao yote yanafanya vizuri kwenye masuala ya KISIASA. Ijapokuwa wakati mwingine kunakuwa na vimelea vya kuhatalisha amani, lakini haiwezi kufikia kama ilivyokuwa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ambayo yalikuwa ni "FRANCOPHONE COUNTRIES".

2003fe90c93539e22112fc48ab17f638.png

Kitu kingine ambacho huwa hakisemwi mbele ya halaiki, ni kuwa sehemu aliyotawala UINGEREZA yaani "COMMON WEALTH COUNTRIES" kuna maendeleo kuanzia ngazi ya chini kabisa katika jamii ambayo ni FAMILIA hadi ngazi ya juu ambayo ni TAIFA.

Yaani ukiangalia sehemu mbalimbali za MATAIFA ambazo zilitawaliwa na UINGEREZA kuna FAMILIA ZA WENYEJI WA ASILI "ROYAL FAMILIES" ambazo zinakuwa na historia nzuri tangu kipindi cha UKOLONI.



Lakini sehemu iliyotawala na UFARANSA yaani "FRANCOPHONE COUNTRIES" kuna matatizo kuanzia ngazi ya chini kabisa katika jamii ambayo ni FAMILIA hadi ngazi ya juu ambayo ni TAIFA.



Yaani ukiangalia sehemu mbalimbali za MATAIFA ambazo zilitawaliwa na UFARANSA kuna FAMILIA ZA WENYEJI WA ASILI ambazo zinakuwa na historia chungu hata kusimulia mbele za WAJUKUU zao. Mfano mzuri ni KONGO 🇨🇩

f40ef0a3958a188ec7e331d3351a170b.png

Kwahiyo MATATIZO na MAFANIKIO ya MATAIFA YA KIAFRIKA kwa asilimia kubwa yanachagizwa na waliokuwa WAKOLONI wao.
 
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
Hiyo FALSAFA YA FAMILIA huwa ipo kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA na huwa wanapenda kueleza kama kiini cha mabadiliko katika TAIFA..😁

c0e4f0a8974eabea19bd4113143d40ed.png

Huwa wanasema hivi - FAMILIA ni muunganiko wa ndugu zaidi ya mmoja ["a group of people who are blood closely related to each other"]/ FAMILIA ni ngazi ya chini kabisa katika jamii.

52ecaf07ed7598325e8bb9f1da3c7c6e.png

Muunganiko wa FAMILIA zaidi ya moja ambazo ziliamua kuishi sehemu moja au mahala pamoja, huitwa SERIKALI YA MITAA na muunganiko wa MTAA zaidi ya mmoja, tunapata SERIKALI YA KATA.

3440b835591b6f9eb3d09d23ea86ebab.png

Muunganiko wa KATA zaidi ya moja, tunapata SERIKALI YA WILAYA na muunganiko wa WILAYA zaidi ya moja, tunapata SERIKALI ZA MITAA NA TAWALA ZA MIKOA.

60fcadee2babfb0cacaf44b60c9a0dd9.png

Muunganiko wa MKOA zaidi mmoja, ndiyo tunapata SERIKALI YA KITAIFA. Sasa SERIKALI YA KITAIFA huwa inaanzia chini kabisa katika ngazi ya FAMILIA.

f279e6135e8ba04e91ff5573f04fc43d.png

Unapoona TAIFA fulani lina amani au TAIFA fulani lina uvunjifu wa amani, ujue hali hiyo ilianzia chini kabisa katika NGAZI YA KIFAMILIA na kuenea hadi NGAZI YA KITAIFA.


Yale matukio ya VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE yaliyokuwa yakifanyika katika MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] yalianzia ngazi ya chini kabisa katika jamii ambayo ni FAMILIA na ilikuwa inahusu MWANANCHI mmoja mmoja.

fbbef9dc6f6cc31d6f2f3e3ca515f0bd.png

Ndio maana huwa wanasema hakuna FAMILIA yenye historia nzuri iliyokuwepo tangu kipindi cha UKOLONI katika MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC]. FAMILIA nyingi zilisambaratika kipindi cha VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE.

d971887132939f4f1dd084c8442daa26.png

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MATAIFA yaliyotawaliwa na UINGEREZA yaani "COMMON WEALTH COUNTRIES" huwa ni tofauti kabisa na wale MATAIFA yaliyotawaliwa na UFARANSA yaani "FRANCOPHONE COUNTRIES". Hata katika mtazamo wa MWANANCHI mmoja mmoja, hali huwa ni tofauti.
 
😡😡😡😡 ebwanaaa, hiyo inaitwa TUNALIPA FADHILA
WAINGEREZA huwa wana SWALI maarufu sana kwa upande wa "FRANCOPHONE COUNTRIES". Swali hilo huwa wanauliza hivi ~ "CIVIL WAR is a CURSE or BLESSING? Discuss" na kwa LUGHA YA KISWAHILI FASAHA huwa wanauliza hivi ~ "VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE ni LAANA au BARAKA? Jadili"


Ukiangalia kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], wananchi wote waliathirika na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE yaani "CIVIL WAR" kwa muda wa kipindi kirefu sana.

Ile hali imewafanya kuwa na hisia za visasi na malipizi! Hisia za chuki! Hisia za kuwa na hofu hata katika maisha ya kawaida! Hisia za mawazo na mitazamo hasi! Hisia za kikatili na mwisho wake unapata hisia zilizotawaliwa na umauti. Hiyo ndiyo WAINGEREZA huwa wanaita "CURSE" au "LAANA".

"CURSE" au "LAANA" ndiyo iliyopelekea haya MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kuwa na "VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE" yaani "CIVIL WAR" na hatimae kutawaliwa na WALOWEZI.

112cf09238bf96342324ecc2b8c3f480.png

Sasa HAYATI MWALIMU alitakiwa "KUWAKWEPA NA KUWAPUUZA" wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] na wasingelipewa ruhusa ya kuanzisha VYAMA VYA KISIASA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA 🇹🇿.

IMG_20240413_145958.jpg

Kwa sababu, sasa hivi imeonekana kuna VIJANA wanashawishiwa kujiunga na vyama vyao ilhali wao wenyewe waliopaswa kuwa huko wapo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na wengine wanahonga ili wapate nafasi za uteuzi wa MAMA SAMIA. Sasa hapo tunafanyaje.. 😁

IMG_20240413_130310.jpg

HAYATI MWALIMU angelifanya "KUWAKWEPA NA KUWAPUUZA" wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wala wasingelikuwa na shida nae.

images.jpeg

Kwahiyo baada ya MAUAJI YA KIMBARI [1994], ndiyo ELIMU ilitolewa kwa wale WANANCHI waliokuwa wakiishi jirani na MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], namna ya kuishi na WAHAMIAJI walioathirika na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE.
 
Why congo is unsettled?
I don't know why DRC is unsettled? Let them ask themselves, hopefully they have all answers to every questions concerning their beautiful country.

c4a979b4f627f0dd10fbdd9acc4590b3.png

Hivi unawafahamu wamiliki halali wa kampuni inayoitwa SUNDAR. Hii kampuni ni maarufu sana kwa kutengeneza vifaa vya kielektroniki na soko lake kubwa kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI ni TANZANIA.

eade8b9023f69a1b30c85bdb736457b1.png

Hii kampuni ya SUNDAR inapatikana katika BARA LA ASIA, nchini CHINA na inafanya vizuri kwa upande wa kutengeneza vifaa vya kielektroniki.
 
I don't know why DRC is unsettled? Let them ask themselves, hopefully they have all answers to every questions concerning their beautiful country.

Hivi unawafahamu wamiliki halali wa kampuni inayoitwa SUNDAR. Hii kampuni ni maarufu sana kwa kutengeneza vifaa vya kielektroniki na soko lake kubwa kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI ni TANZANIA.

Hii kampuni ya SUNDAR inapatikana katika BARA LA ASIA, nchini CHINA na inafanya vizuri kwa upande wa kutengeneza vifaa vya kielektroniki.
Wanamiliki kina nani
 
Ebwanaaaa sasa wanae ndo wanamiliki au ndo ancle summ ameisha nyakuwa
0e48afbb394c03b7bfb72a45a2b709db.png

Wewe jamaa! Kuanzia leo unatakiwa kufahamu kuwa, MTU yoyote akiwa RAIS WA SERIKALI YA TAIFA fulani hata kwa wiki moja - huyo anakuwa siyo RAIA WA KAWAIDA tena.

1ddee995b8ca592aa8ee3a5933f8cac4.png

Sasa MOBUTU SESE SEKO amekuwa KIONGOZI WA KITAIFA kwa upande wa TAIFA LA ZAIRE tangu miaka ya sitini [1960's] hadi miaka ya tisini [1990's], ndiyo akapinduliwa na LAURENT DESIRÉ KABILA [1997's].

30eba0f1fd573c84a90e1ab5c49e0e31.png

MOBUTU SESE SEKO alifanya mambo mengi kwa upande wa TAIFA LA ZAIRE na alifanikiwa kuhamisha HAZINA YA TAIFA na kupeleka UGHAIBUNI, hasa MATAIFA YA ULAYA, ASIA pamoja na AMERIKA.
 
Ebwanaaaa sasa wanae ndo wanamiliki au ndo ancle summ ameisha nyakuwa
319bd04e976ae77f19220c25bb9190ac.png

MOBUTU SESE SEKO kabla ya kubadilisha majina yake ya kuzaliwa, alikuwa anaitwa JEAN PIERRE LANGELLIER MOBUTU.

54734680dd4f29fe6133726a7cdb9ed3.png

Pia watoto wenye asili ya MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliokuwa wakizaliwa kipindi cha UTAWALA WA MOBUTU walikuwa wanaitwa JEAN PIERRE au PIERRE JEAN na kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA walikuwa wanaitwa PETER JOHN au JOHN PETER au PETRO JOHN au JOHN PETRO.

d1162e8c70639893d54f0e5e272fdc13.png

Na mmoja wapo ni JEAN PIERRE BEMBA, huyu ni mwanasiasa kwa upande wa TAIFA LA KONGO.

bc6e2975400cacd84c318df367c1eac0.png

Kwahiyo HAYATI MOBUTU bado yupo vizuri kwenye tasnia ya SIASA pamoja na UCHUMI.
 
Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???
Hivi huwa mnawachukuliaje WAKONGOMANI? Kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI NA KATI, TAIFA LA KONGO ndiyo TAIFA linaloongoza kuwa DIASPORA wengi kuliko MATAIFA mengine.


Sikiliza kwanza nyimbo ya "P SQUARE" halafu baadae usikilize nyimbo ya "DAVIDO" inayoitwa SKELEWU 😂🎶


SKELEWU🎶! SKELEWU🎶! SKELEWU🎶! Unajua wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wote wana UTAMADUNI unaofanana.

d7dfdc69ed219ceb6c5739bf27f703a2.png

Halafu muangalie JAY JAY OKOCHA! Mchezaji bora ambaye alikosa tuzo BARANI ULAYA na aliyetumikia timu ya TAIFA YA NAIJERIA kwa mafanikio makubwa.

Anyway, mimi ngoja nikacheze mpira hapo SHULE YA MAPINDUZI, then jioni nitakueleza kitu fulani.
 
Wewe jamaaa??? Anakuwa nzimuuu???
4233ba9f2f2a3b51499d9f43ea8b5496.png

Hadi EDDIE MURPHY ni mwenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] aliyehamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya sitini [1960's].


EDDIE MURPHY aliigiza FILAMU maarufu iliyokuwa inaitwa COMING TO AMERICA [1988] ikiwa imebeba taswira kamili ya aliyekuwa RAIS WA KWANZA WA ZAIRE - JOSEPH KASAVUBU.

59755425d8c27ac45c65376cb3150350.png

Hawa WAKONGOMANI walianza kusambaa kwenye MATAIFA mbalimbali duniani tangu kipindi ambacho TAIFA LA ZAIRE linaongozwa na RAIS JOSEPH KASAVUBU.
 
Back
Top Bottom