Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tatizo ni nini? Waweza kuwa mtakatifu hata ukiwa na dhambi nyeusi kama lami! Dakika moja tu ya kutubu na kumrudia Mungu inatosha. Umemsoma Paulo kwenye biblia? Aliishije akiwa anaitwa Sauli?
Nachelea kusema kwamba enzi za ujana wake nyerere alikuwa dikteta uchwara tu Kama yule mumuitae shujaa wa afrika (i guess Ni shujaa wa nyumbani kwake)

Bahati nzuri nyerere kabla hajafa alitubu na kujisahihisha
Kutubu, Kujisahihisha na Kumrudia MWENYEZI MUNGU hatupaswi sisi kama wanadamu kulitolea maamuzi, ni jukumu la MWENYEZI MUNGU mwenyewe.

Lakini Biblia ilishaandika kwenye kitabu cha ISAYA 50:11 BHN [ Biblia Habari Njema ] - " Lakini nyinyi mnaowasha moto, na kujifanyia silaha za mienge [ MWENGE WA CHAMA TAWALA ], tembeeni kwa mwanga wa moto huo, miali ya moto mliowasha nyinyi wenyewe. Mtakachopata kutoka kwa MWENYEZI MUNGU ni hiki : Nyinyi mtalala chini [ ⚰️ ] na mateso makali. " - mwisho wa kunukuu.

Sasa, Kutubu na Kujisahihisha na Kumrudia MWENYEZI MUNGU haitoshi, kama yale mapatano ya MIUNGU WA UONGO bado yanaendelea.

Mapatano ya MIUNGU WA UONGO ni yapi? Mapatano ya MIUNGU WA UONGO ni MWENGE WA UHURU kama njia ya kudumisha amani na kuleta mshikamano kwenye taifa.

Turudi kwenye maandiko ya kitabu kitakatifu cha Biblia. Kwa wale wasomaji wa Biblia, watakuwa wanafahumu habari ya kisa cha Mfalme Nebukadneza na hicho ndicho kinachofuata kwa Chama Cha Mapinduzi [ CCM ].

Kwa sababu, Serikali ya Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi [ CCM ] wanafahamu wanachokifanya na walishakubaliana na hali. Hiyo ni moja ya nguzo ya CCM, kwa hiyo liwalo na liwe!

Hiyo ndio Nyeupe na Nyeusi ya CCM! Iwe Mvua Iwe Jua! Iwe Masika au Kiangazi! Hiyo ndio CCM! Kwa wale CCM HALISI huwa wana kauli mbiu yao inasema hivi - "Mtakutana Mbinguni au Motoni lakini miiko ya CCM kamwe hawawezi kuivunja ng'oo!" Kwa sababu hiyo miiko ndio inawafanya mpaka leo waendelee kutawala, licha ya kuwa na uchafu wa kila aina. Na hiyo ndio SIASA! Narudia tena, hiyo ndio SIASA!

Na kwa upande unaopingana na CCM na wao pia wana kauli mbiu yao inasema hivi - "Iwe kwa msaada wa MUNGU au kwa msaada wa SHETANI! Iwe kwa SANDUKU LA KURA au kwa MAPINDUZI YA KIJESHI lazima CCM ing'oke madarakani! Na hiyo ndio SIASA! Narudia tena hiyo ndio SIASA!
 
Suala la pesa lilikuwa ni stori tu baada ya tukio lenyewe la Kambona kukimbilia uhamishoni.

Maana hata huyo Kambona alikuwa anasema Nyerere alificha pesa nyingi sana nje ya nchi, jambo ambalo mpaka leo inaonekana siyo kweli.
Ni kweli! Kwani ni nani anayemiliki timu ya mpira wa miguu inayoshiliki ligi kuu nchini Ujerumani inayoitwa FC BAYERN MUNICH?

IMG_20210420_154629.jpg

Hii ni moja ya timu ya mpira wa miguu ambayo anamiliki HAYATI na watu ambao wanaozisimamia hizo timu ni wakina RAMADHANI yaani RAMA [ MARA ].

HAYATI MWALIMU ataendelea kuwa vizuri miaka 800, kwa sababu anamiliki uchumi mkubwa. Tofauti na mambo mengine, anamiliki timu za mpira wa miguu kumi [ 10 ] kwa bara la Ulaya pekee yake.

Ninachofanya hapa sio vizuri, kutaja hadharani timu za mpira wa miguu anazomiliki HAYATI MWALIMU kwa sababu wenyewe kama familia hawajaamua kuweka wazi kutokana na usiri. Waingereza huwa wana msemo unaosema hivi - " to every royal family playing low key is an ambition, because privacy is everything. "

Hizi timu za mpira wa miguu ni kielelezo tosha kuwa kuna shughuli nyingine za kiuchumi [ Biashara ] zinazosimamia hizo timu kwenye nchi husika.

Kwa nchi za Ulaya, Asia, Australia na Amerika sekta ambayo inaongoza kwa kuficha na kusafisha pesa haramu ni sekta ya michezo hasa mpira wa miguu yaani SOKA.

Kwa nchi ya UJERUMANI pekee yake, sekta ya michezo hususani mpira wa miguu inashika nafasi ya tatu baada ya Kilimo [ Agriculture ] na Viwanda [ Extractive Industries ] kwa mapato.

Kwahiyo utaona ni jinsi gani, HAYATI MWALIMU alivyowekeza nje ya nchi.

Jaribu kutizama orodha ya timu na msimamo wa ligi ya Ujerumani inayoitwa Bundesliga hapa chini:

IMG_20210420_153954.jpg

Hapo juu kwenye hiyo orodha, kuna timu zaidi ya kumi [ 10 ] zinazomilikiwa na Watanzania, hasa wanasiasa na wafanyabiashara. Kwahiyo utaona ni jinsi gani kwa ujumla Watanzania walivyowekeza nje ya nchi.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikua tunaaminishwa kwamba Mlm Nyerere ndio "icon" pekee apa nchini, tulikua tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kua kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia badae sana baada ya kuskia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikua bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikua akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya kambona mwalimu "angefeli vibaya mno". Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asinge endelea kua mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake". Mwalimu alikua mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine ,chochote kile ambacho kilikua hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikua "viable". Fikiria mtu mmoja tu kaenda urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwasababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikua "kila kitu"

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo kambona ndie aliekua sahihi lakini hawakumskiliza. Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikua "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona

Haya leo 2021 TZ hii ya leo ndio kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu za mwalimu nyerere

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii, natamani watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 wajue habari za huyu shujaaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawa sawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yy mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huo huo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

Jf inavichwa aisee. Ipewe hadhi ya kuwa mhimili wa serikali. Kwani bunge wanatuzidi nini?
 
Jf inavichwa aisee. Ipewe hadhi ya kuwa mhimili wa serikali. Kwani bunge wanatuzidi nini?
Screenshot_20210206-123353~2.png

Bunge ni kama linavyoonekana hapo kwenye picha 😁😁😁

Hamna wanachojadili kwa masilahi ya taifa, zaidi ya kutumia muda mwingi kulinganisha utawala uliopita wa John Magufuli na utawala uliopo wa Samia Suluhu.

Mambo ya msingi huwa hayajadiliwi kabisa, pengine hii inaweza kuwa ni makusudi yaani imepangwa kuwa hivyo.

Kwa sababu, inaonekana wanasiasa wengi ni wanafiki!! Hamna kitu wanachoweza kusimamia kama Agenda Ya Kisiasa zaidi ya kuwa Bendera Fuata Upepo.
 
Suala la pesa lilikuwa ni stori tu baada ya tukio lenyewe la Kambona kukimbilia uhamishoni.

Maana hata huyo Kambona alikuwa anasema Nyerere alificha pesa nyingi sana nje ya nchi, jambo ambalo mpaka leo inaonekana siyo kweli.
Ni kweli, lakini ngoja tumalizie hapa halafu tuachane na haya mambo ya uwekezaji wa nje.

Kwani, ni nani anayemiliki timu ya mpira wa miguu inayoshiliki ligi kuu nchini Uhispania inayoitwa Atletico de Madrid?

18c981d067fe4278b615ed00201c2691.png

Hii ni moja ya timu ya mpira wa miguu ambayo anamiliki HAYATI MWALIMU na watu ambao wanaozisimamia hizo timu ni wakina RAMADHANI yaani RAMA [ MARA ].

Sasa tujiulize maswali mengine, kwanini iwe ni kumiliki timu za mpira wa miguu tu? Na sio vitu vingine?

Jibu ni kuwa kuna biashara nyingine kwenye nchi husika zinazosimamia hizo timu za mpira wa miguu. Timu ya mpira inaweza kuwa ni asilimia kumi [ 10% ] mpaka asilimia ishirini [ 20% ] ya biashara yote kwa nchi husika.

Na suala lingine huwa ni mahusiano ya kidiplomasia. Waingereza huwa wanasema - "diplomatic ties between two parties".

Mahusiano ya kidiplomasia huwa ni malengo ya kulinda masilahi ya kisiasa kwa nchi au taifa lolote lililo na nia ya kupata uungwaji mkono kutoka upande mwingine.

Vile vile mahusiano ya kidiplomasia yameegemea kwenye sekta ya uchumi na viwanda, sekta ya elimu na utamaduni, sekta ya michezo na sanaa na nyingine huwa ni mahusiano ya kijinsia kama ndoa.

Hapa kwenye mahusiano ya kijinsia kama ndoa, huwa kuna ndoa zinazofungwa kwa watu wenye utaifa tofauti kwa nia ya kupata uungwaji mkono wa kisiasa baina ya mataifa mawili. Mfano, ni Dr Kwame Nkrumah aliwahi kuoa mwanamke kutoka Misri ili kupata uungwaji mkono kisiasa kutoka kwa taifa lililokuwa na nguvu kipindi hicho la Misri.

Na kiongozi mwingine aliyewahi kufanya diplomasia ya mahusiano ni Yasser Arafat aliyekuwa akipigania mamlaka kamili ya Palestina, huyu kiongozi alioa mwanamke mkatoliki mwenye uraia wa Ufaransa ili kupata uungwaji mkono wa kisiasa kutoka kwa nchi za Magharibi na Kanisa KATOLIKI.

Sasa kwenye sekta ya michezo huwa kuna kumiliki timu za mpira wa miguu ambayo ndio biashara inayolipa sana kwa sasa. Na hii biashara ina faida kubwa kwa nchi za Magharibi kwa sababu fedha nyingi zinatoka kwa viongozi wa Kiafrika na kwenda mataifa ya Ulaya kwa nia ya kupata uungwaji mkono kisiasa lakini baadae zinarudishwa Afrika kwa njia ya misaada.

Aina hii ya misaada waingereza wanaita ni - "Odious Debt".

Mfano wa "Odious Debts" ni mkopo uliopatikana kwenye ujenzi wa reli ya SGR, mkopo uliopatikana kwenye ujenzi wa bwawa la kuzalisha umeme wa maji la Nyerere na mkopo mwingine kama utafanikiwa utakuwa ni mkopo wa kujenga bandari ya Bagamoyo. Upo hapo!

Kwahiyo hii yote inafanyika kwa masilahi ya kisiasa kwa nia ya kupata uungwaji mkono kutoka kwa mataifa husika, hasa mataifa ya Magharibi. Na mataifa ya Magharibi huwa yanaegemea sana kwenye upande wa masilahi, kama huna masilahi na wao hawatakuwa upande wako.

Ndio maana HAYATI MWALIMU alicheza karata zake vizuri sana na hiyo ndio inatumika kama misingi ya Chama Tawala kwa mambo ya nje mpaka leo hii. Yaani hauwezi kusema vibaya Chama Tawala mbele ya mataifa ya Magharibi na wakakuelewa kwa sababu wao ndio wanufaikaji wakubwa wa Chama Tawala.

Kwa mfano ulio hai kabisa, kipindi HAYATI MWALIMU anapewa UHURU kutoka kwa taifa la Uingereza, waingereza walimpatia HAYATI MWALIMU timu ya mpira ya Leeds United ili awe kama mlezi na mmiliki wa timu.

Na kipindi ambacho Oscar Kambona anazinguana na HAYATI MWALIMU, tayari HAYATI MWALIMU alikuwa ana mahusiano mazuri na Uingereza. Kwahiyo haikuwa na madhara kwa Oscar Kambona kukimbilia Uingereza na kuomba hifadhi ya kisiasa kwa sababu HAYATI MWALIMU alikuwa tayari ameshakita mizizi.
 
Nyerere alikuwa dikteta.

IMG_20210421_214608.jpg

Hadhi ya HAYATI MWALIMU ni kama inavyoonekana kwenye picha hapo juu.

Udikteta ulikuwa ndio mtindo wa kiutawala kwa kipindi hicho!

Kwahiyo itakuwa sio vyema na wala sio busara kumfananisha HAYATI MWALIMU na watangulizi wake. Ni mbingu na ardhi!

Hawa wakina Ali Hassan! Wakina Marehemu Benjamin William! Wakina Mrisho Khalifani! Wakina Marehemu John Joseph! Na hatimae Samia Hassan wote ni watoto tu kwa HAYATI MWALIMU 😂😂😂

Ni watoto tu! Kwa sababu misingi, miiko na utamaduni aliyoiacha HAYATI MWALIMU kwa CHAMA CHA MAPINDUZI bado iko pale pale mpaka leo hii.

Sasa tujiulize maswali, Ni nani yuko nyuma ya haya yote? Ni nani yuko nyuma ya mafanikio na madhaifu ya CHAMA CHA MAPINDUZI?


images.jpeg

Angalia hiyo picha hapo juu, pamoja na maelezo yake hapo chini! Narudia tena, pamoja na maelezo yake hapo chini!

HAYATI MWALIMU anaonekana akichanganya udongo kutoka Zanzibar na Tanganyika kama ishara ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ili kuunda taifa moja linaloitwa Jamhuri Ya Muungano Ya Tanzania.

Narudia tena, HAYATI MWALIMU anaonekana akichanganya udongo kutoka Zanzibar na Tanganyika kama ishara ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ili kuunda taifa moja linaloitwa Jamhuri Ya Muungano Ya Tanzania .

Kwahiyo, sote tunakubaliana hiyo picha ya HAYATI MWALIMU akichanganya udongo ilikuwa ni ishara ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Sasa hiyo ngozi ya CHUI aliyokuwa amevaa HAYATI MWALIMU ilikuwa ikimaanisha nini?

Waingereza huwa wana msemo unaosema hivi - "one picture can speak more than thousand words, and that is intelligence". Kwa lugha ya kiswahili tunaweza kusema hivi - "picha moja inaweza kutoa tafsiri zaidi ya maneno elfu moja, na hiyo ndio intelijensia".

Hilo vazi la ngozi ya CHUI lilikuwa likimaanisha JAMHURI YA WATU YA CHUI yaani SERENGETI au kwa jina lingine wanaitwa RAMADHANI yaani RAMA [ MARA ], ndio hao waliofanikisha shughuli zote za kupewa UHURU kutoka kwa Mwingereza na ni hao hao JAMHURI YA WATU YA CHUI waliokuwa nyuma ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

Sasa tujiulize maswali mengine, JAMHURI YA WATU YA CHUI inamaanisha nini? Na kwanini wakina RAMADHANI wafananishwe na mnyama CHUI na sio vinginevyo? Tafsiri yake ni nini? Jaribu kutazama hii picha hapa chini:

IMG_20210422_163252_599.jpg

CHUI anawakilisha Nguvu, Ujasiri, Tamaa na Ishara ya kutolewa kwa Hofu na Kusimamia Ukweli, Haki na Uadilifu. Huyo ndio alikuwa HAYATI MWALIMU [😊😊😊]! Na hiyo ndio SERENGETI! Na hao ndio wakina RAMADHANI yaani RAMA [ MARA ].

JAMHURI YA WATU YA CHUI au kwa jina lingine wanaitwa SERENGETI au kwa jina lingine wanaitwa RAMADHANI yaani RAMA [ MARA ] ndio wako nyuma ya mafanikio na madhaifu ya CHAMA CHA MAPINDUZI yaani CCM.

Hawa wakina RAMADHANI yaani RAMA [ MARA ] ndio wanaoendesha siasa za CHAMA CHA MAPINDUZI, yaani CCM.

CHAMA CHA MAPINDUZI, yaani CCM ndio injini ya siasa za Tanzania, hivyo basi hawa wakina RAMADHANI yaani RAMA [ MARA ] ndio wanaoendesha siasa za Tanzania.

Swali lingine, kwanini hawa wakina RAMADHANI bado wana nguvu hata baada ya kifo cha HAYATI MWALIMU?

Jibu ni, hawa wakina RAMADHANI ndio walioshika uchumi wa Tanzania tangu na baada ya kupata UHURU, yaani mwaka 1961.

Sote tunafahamu kuwa mwenye uchumi ndio mwenye maamuzi ya kisiasa. Hivyo mwenye maamuzi ya siasa za Tanzania ni CHAMA CHA MAPINDUZI, yaani CCM na mwenye maamuzi ya kisiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI ni hawa wakina RAMADHANI kwa sababu ndio wenye uchumi na ndio wenye CHAMA CHA MAPINDUZI tangu mwaka 1977.

Sasa tujiulize maswali mengine, hawa wakina RAMADHANI wameshikaje uchumi wa Tanzania? Mbona hatuwaoni mstari wa mbele kwenye biashara za Tanzania?

Jibu ni, huwa kuna namna au mfumo wa ufanyaji biashara. Waingereza huwa wana msemo unaosema hivi - "ACCORDANCE TO - BUSINESS". Kwa lugha ya kiswahili tunaweza kusema ni kufanya biashara kwa niaba ya mtu fulani.

Huu mtindo wa kufanya biashara unatumika dunia nzima, hasa kwa wanasiasa na taasisi zilizo za kiserikali na zisizo za kiserikali.

Kwa upande wa Tanzania, asilimia tisini [ 90% ] ya biashara zinazofanywa na hawa watu wenye asili ya Asia na Ulaya [ Wahindi, Waarabu na Wazungu ] ni biashara zinazofanywa kwa niaba ya HAYATI MWALIMU. Yaani ni biashara za familia ya HAYATI MWALIMU. Na asilimia kumi [ 10% ] iliyobaki ni ya SIMBA pamoja na watu wengine.

Hakuna mtu mweupe mwenye pesa Tanzania hii!! Narudia tena, Hakuna mtu mweupe mwenye pesa Tanzania hii!!

Na hao ndio wanaofanyika kuwa ni WADHAMINI WA CHAMA CHA MAPINDUZI, yaani CCM na huwa wanaingia mpaka kwenye BARAZA LA WADHAMINI LA CHAMA CHA MAPINDUZI. Upo hapo!!

Hao WADHAMINI wote wa CHAMA CHA MAPINDUZI, yaani CCM ni wafanyabiashara wanaofanya biashara kwa niaba ya familia ya HAYATI MWALIMU.

Kwahiyo uchumi wa Tanzania haujashikwa na watu wenye asili ya Asia wala Ulaya.

Hao wafanyabiashara wenye asili ya Asia na Ulaya wanafanya biashara kwa niaba ya SERENGETI yaani CHUI kwa asilimia tisini [ 90% ] na asilimia kumi [ 10% ] iliyobaki ni kwa niaba ya SIMBA yaani wenyeji waliokuwa wa mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA [ MWASHITA ], sasa hivi ni wenyeji wa mikoa ya MWANZA, SHINYANGA, TABORA, SIMIYU na GEITA ndio wanajulikana kwa jina la SIMBA yaani WASUKUMA. Na hao ndio wamiliki halali wa timu ya mpira wa miguu ya SIMBA SPORTS CLUB.

Sasa hao SERENGETI yaani CHUI ndio walionyuma ya mafanikio na madhaifu ya CHAMA CHA MAPINDUZI, yaani CCM. Na hao ndio walioshika uchumi wa Tanzania kupitia watu wenye asili ya Asia na Ulaya.

Kwenye siasa, mwenye uchumi ndio mwenye nguvu. Kwahiyo, mwenye nguvu ya kisiasa Tanzania hii ni wakina RAMADHANI yaani RAMA [ MARA ] au kwa jina lingine wanaitwa SERENGETI yaani CHUI.

Sasa unaweza kuuliza swali lingine, SIMBA imeingiaje hapo? Na hao SIMBA ni wakina nani? Kwanini waitwe SIMBA na sio jina lingine kama SWALA au SUNGURA 😂😂😂

IMG_20210422_121919_322.jpg

Jaribu kutazama hii picha hapo juu: SIMBA inaashiria Ukuu, Nguvu, Ujasiri, Haki na Nguvu za Kijeshi. SIMBA huonekana kama MFALME WA NYIKA.

SIMBA ndio wapinzani halisi wa CHUI yaani SERENGETI - iwe kiuchumi, kimichezo na burudani, kielimu na kisiasa.

Na hawa SIMBA ndio wenye vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo kwa pamoja. Narudia tena, hawa SIMBA ndio wenye vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo kwa pamoja.

Hao wenyeviti, pamoja na viongozi wakuu wa vyama ni wafanyakazi tu hapo, kama walivyo wafanyakazi wengine, lakini wamiliki wa hivyo vyama vya siasa vya CUF na ACT - Wazalendo wapo.

Mwaka 1992 baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa, hawa SIMBA kupitia chama cha siasa cha CUF waliamua kuelekeza nguvu zao Tanzania visiwani, yaani Zanzibar kwa sababu za kiuchumi na kijiografia.

SIMBA walikuwa hawana nguvu ya kiuchumi ya kuweza kufanya shughuli za kisiasa kwa Tanzania nzima, hivyo walijikita visiwani.

Na mafanikio yake tuliyaona, mwaka 1995 kwa Zanzibar na mwaka 2000 mpaka mwaka 2010 [ 2000 - 2010 ], chama cha CUF kilikuwa ni Chama Kikuu cha Upinzani kwa Bunge la Jamhuri Ya Muungano Ya Tanzania na Tanzania Visiwani kwa pamoja.

Sasa hivi vyama vingi vya siasa vimeyumba kutokana na aina ya utawala uliokuwepo madarakani, utawala wa Marehemu John Magufuli.

Sio siri, ukweli lazima usemwe! CHAMA CHA MAPINDUZI ni chama makini na madhubuti. Hauwezi kuijadili CCM pasipo kukubali uwezo wake. Na uwezo wa CCM huambatana na uchumi. Watu wa CCM ndio wameshika uchumi wa Tanzania kupitia watu wenye asili ya Asia na Ulaya.

Na umakini wa CCM, ni kuzuia kudondoshwa kwenye chaguzi. Huo ndio umakini wa chama chochote kile cha siasa!!

Hizo mbinu wanazotumia CCM ili kushinda chaguzi: Iwe ni kuiba kura! Iwe ni kuteka watu! Iwe ni kuua wanasiasa! Iwe ni kugandamiza vyombo vya habari na kudhohofisha asasi ya kiraia. Huo ndio umakini wenyewe!! Tofauti na hapo CHAMA CHA MAPINDUZI kingelikuwa kimeshatoka madarakani.

Kwahiyo, ni rai kwa vyama vingine vya siasa kukabiliana na hali ya kisiasa nchini, kwa sababu hiyo ndio siasa! Narudia tena, hiyo ndio siasa!

Kwa kipindi hiki cha COVID-19 na hata baada ya COVID-19 kuisha, inabidi hapa JamiiForums tuwe tunajadili mambo kwa kina na uwazi kama zamani ili iwe fursa kwa wengine kuweza kujifunza.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikua tunaaminishwa kwamba Mlm Nyerere ndio "icon" pekee apa nchini, tulikua tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kua kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia badae sana baada ya kuskia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikua bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikua akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya kambona mwalimu "angefeli vibaya mno". Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asinge endelea kua mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake". Mwalimu alikua mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine ,chochote kile ambacho kilikua hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikua "viable". Fikiria mtu mmoja tu kaenda urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwasababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikua "kila kitu"

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo kambona ndie aliekua sahihi lakini hawakumskiliza. Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikua "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona

Haya leo 2021 TZ hii ya leo ndio kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu za mwalimu nyerere

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii, natamani watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 wajue habari za huyu shujaaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawa sawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yy mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huo huo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

Atikali ni con name, muandishi hasa jina lako ni nani Nimeona kwa muda sasa articles zako
 
Atikali ni con name, muandishi hasa jina lako ni nani Nimeona kwa muda sasa articles zako

IMG_20210429_144513.jpg

Huyu Mzee anafurahi mwenyewe😂😂

Kumbe na yeye yumo humu 😂😂

Anasema tuendelee! Tuendelee na nini sasa!

Wakati umeenda sana!

Sasa hivi ni muda wa kumpumzika labda kesho itakuwa vizuri.
 
Huyu Mzee anafurahi mwenyewe😂😂

Kumbe na yeye yumo humu 😂😂

Anasema tuendelee! Tuendelee na nini sasa!

Wakati umeenda sana!

Sasa hivi ni muda wa kumpumzika labda kesho itakuwa vizuri.
HAYATI MWALIMU na aliyekuwa Rais wa serikali ya wanafunzi ya CoHSS, mwaka 2012/13 ni Pete na Kidole - hauwezi kuwatofautisha wala kuwatenganisha. Sema HAYATI MWALIMU ni CHUI na yule mwingine ni SIMBA.

Tuachane na hayo! Kila awamu ya kipindi cha Urais kwa nchi ya Tanzania, kiongozi wa nchi - yaani Rais analazimika kuandaa upinzani wake na hii imekuwa ni kama desturi tangu kipindi cha HAYATI MWALIMU.

Sasa kipindi cha HAYATI MWALIMU kulikuwa hakuna mfumo wa vyama vingi, kulikuwa na mfumo wa chama kimoja tu.

Na kipindi ambapo HAYATI MWALIMU anakabidhiwa uhuru kutoka kwa Mwingereza kulikuwa na mshindani wake wa kipindi hicho, alikuwa anajulikana kwa jina la MAKWAIA. Huyu MAKWAIA alikuwa ni CHIFU anayetoka maeneo ya KISHAPU, mkoa wa SHINYANGA.

Huyu CHIFU alikuwa na elimu nzuri sana [ MASTERS ], alipata elimu yake kutoka Uingereza. Familia ya huyu CHIFU ilikuwa na ukwasi wa kutisha na ilikuwa ikiongoza kwa upande wa Afrika ya Mashariki kutokana na biashara ya almasi na biashara ya zao la pamba.

Baada ya HAYATI MWALIMU kupewa nafasi ya kufuatilia uhuru na kufanikisha kupewa uhuru kutoka kwa Mwingereza, wale waliokuwa washindani wake aliwafanya kuwa marafiki na kuwapa nyadhifa mbalimbali serikalini.

Vile vile HAYATI MWALIMU alifanikiwa kuua hizi tawala za kichifu kwa upande wa Tanzania bara kwa kuwapa nafasi serikalini wale waliokuwa na elimu kutoka familia za kichifu.

Lakini ushindani hafifu uliendelea kuwepo na ushindani ulikuja kushika kasi hasa baada ya kuanzishwa kwa vyama vya ushirika.

Kulikuwa na vyama vya ushirika kwa upande wa Tanzania Bara vilivyokuwa vikisimamia mazao ya biashara kwa kila mkoa husika.

Na vyama vya ushirika vilivyokuwa na nguvu ya kiuchumi kwa kipindi hicho, vilikuwa ni vyama vya ushirika kutoka mkoa wa Mwanza [ NCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba, mkoa wa Shinyanga [ SHIRECU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba na mkoa wa Tabora [ WETCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la tumbaku.

Lakini baadae kulikuja kutokea anguko kubwa sana la hivi vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha kutokana na kuwa na wafanyakazi wasiokuwa waaminifu - wizi na ubadhirifu wa mali ya umma ulikithiri, hivyo kupelekea vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha.

Lakini hii yote, kulikuwa na baraka kutoka kwa HAYATI MWALIMU, kwa sababu hivi vyama vya ushirika vilikuwa vinatishia uhai wa CHAMA CHA MAPINDUZI. Kungelitokea vyama vya ushirika vimejiunga na kuunda chama kimoja cha siasa, vingeliweza kukitoa CHAMA CHA MAPINDUZI madarakani kwa sababu ya kupata uungwaji mkono mkubwa sana kutoka kwa vyama vya wafanyakazi pamoja na vyama vya wakulima.

Hivyo basi, wale watumishi wa vyama vya ushirika kutoka mikoa mingine walifikishwa mahakamani kutokana na wizi wa mali ya umma, wengine walifilisiwa na hata kufungwa lakini hawa wafanyakazi wa Chama Cha Ushirika Cha Mwanza [ NCU ], Chama Cha Ushirika Cha Shinyanga [ SHIRECU ] na Chama Cha Ushirika Cha Tabora [ WETCU ] walikuwa huru, sema kuna baadhi yao walifukuzwa kazi bila hata ya kuchukuliwa hatua yoyote. Na hii ilifanyika chini ya uangalizi wa HAYATI MWALIMU mwenyewe.

Hawa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU walikuja kuwa na ukwasi wa kutisha na wengine walikuwa na uchumi mkubwa kuliko hata aliyekuwa kiongozi wao wa kimila, yaani CHIFU MAKWAIA.

Na hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio watanzania weusi wenye uchumi mkubwa mpaka leo hii, ukiondoa wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa wafanyakazi waliofanya ubadhirifu kwenye vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuja kuwa washindani wakubwa wa HAYATI MWALIMU kwa miaka iliyosalia kabla ya umauti kumkuta HAYATI MWALIMU. Na hawa ndio wapinzani halali wa CHUI yaani SERENGETI iwe ni kielimu, kiuchumi, kisiasa, kimichezo na burudani.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima. Narudia tena - "Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima".

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo kwa kumiliki viwanda vikubwa vya sukari vya KAGERA SUGAR na MTIBWA SUGAR kwa pamoja. Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wameshikilia mazao ya biashara kama pamba, tumbaku na alizeti kwa kumiliki viwanda vya kuchambua na kukamua mafuta ya pamba pamoja na alizeti. Kwa lugha ya Kiingereza wanaita - Ginneries.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo cha ngano kwa kumiliki viwanda vya AZANIA WHEAT FLOUR, MeTL, CAMEL WHEAT FLOUR na PEMBE WHEAT FLOUR.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa viwanda vya SAYONA INDUSTRIES.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha TANGA PHARMACEUTICAL & PLASTICS LTD kinachotengeneza HERBAL PETROLEUM JELLY na mafuta ya kutumia mwilini yanayoitwa VESTLINE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza maziwa freshi kinachoitwa TANGA FRESH kinachopatikana mkoani Tanga.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya mafuta ya kupikia, sabuni za kuogea na kufulia kwa kumiliki viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA.

Tofauti na viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya MURZAH WILMAR EAST AFRICA LIMITED inayotengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya uagizaji wa mafuta ya petroli, dizeli pamoja na mafuta ya taa kwa kumiliki makampuni ya LAKE OIL, MOIL, PETRO AFRICA, MSN, SIMBA OIL, KILIMANJARO OIL, BIG BON, AFROIL, OILCOM, KOIL, MERU OIL, PRIME FUELS, UKOO PETROLEUM LTD na DALBIT PETROLEUM LTD [ Hizi ni kampuni za usafirishaji wa mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa ], OLYMPIC OIL pamoja na CAMEL OIL.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha SIMBA CEMENT na CAMEL CEMENT kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha MMM STEEL na KIOO INDUSTRY kwa pamoja.

Tofauti na viwanda vya MMM STEEL na KIOO INDUSTRY, hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza rangi kinachoitwa GOLDSTAR PAINTS TANZANIA LIMITED.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya ukandarasi ya NYANZA ROAD pamoja na makampuni mengine yanayoshughulika na madini kama KILIMANJARO MINING na KASCO MINING.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya SIMBA GROUP na SIMBA TRAILERS.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa makampuni yanayotengeneza na kuunganisha mabodi ya mabasi pamoja na malori. Makampuni hayo ni DAR COACH kwa upande wa TANZANIA🇹🇿, BANBROS LTD na MASTER FABRICATORS LTD kwa upande wa KENYA🇰🇪. Hii ndio sababu inayopelekea kushika sekta ya usafirishaji wa abiria na mizigo kwa kipindi kirefu sana.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa benki za DIAMOND TRUST BANK [ DTB ], AKIBA COMMERCIAL BANK [ ACB ] na AZANIA BANK [ AB ] kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO [ Tanzania ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya uchapishaji ya magazeti inayoitwa Mwananchi Communications Limited [ MCL ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza pipi za IVORI kinachopatikana Iringa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wanaomiliki shule nyingi binafsi hapa nchini. Yaani wanamiliki shule nyingi sana kwa upande wa Tanzania bara kuliko hata taasisi za kidini yaani KANISA KATOLIKI, KKKT na ANGLIKANI.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Hoteli ya KEMPINSKI na wana hoteli nyingi sana za kitalii kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mbeya, Iringa, Morogoro, Kigoma na Zanzibar.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, yaani FGBF. Pale FGBF, Askofu Zakaria Kakobe ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa Profesa Ibrahim Lipumba, upande wa CUF.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya michezo hususani mpira wa miguu kwa kumiliki timu kadhaa zinazoshiriki ligi kuu. Timu hizo ni SIMBA SC ya mkoa wa Dar Es Salaam, BIASHARA MARA UNITED ya mkoa wa Mara, COASTAL UNION SC ya mkoa wa Tanga, KAGERA SUGAR FC ya mkoa wa Kagera pamoja na MTIBWA SUGAR FC ya mkoa wa Morogoro. Kuna timu nyingine za daraja la kwanza, daraja la pili na timu zinazoshiriki ligi ya mikoa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kundi la wasanii la Wasafi Classic yaani WCB, kituo cha televisheni pamoja na kituo cha redio. Na ndio hao hao waliokuwa wamiliki halali wa kundi la HipHop la Nako2Nako Soldiers linalopatikana Arusha. Na kuna wasanii wengine wengi tu, ndani na nje ya nchi ya TANZANIA 🇹🇿 kama vile UGANDA 🇺🇬, KENYA 🇰🇪, KONGO 🇨🇩, ZAMBIA 🇿🇲, KAMERUNI 🇨🇲 na AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Chuo Kikuu cha ECKERNFORDE TANGA UNIVERSITY. Kwahiyo, hawa watu sio watu wa mchezo mchezo! Ni watu wanaofahamu nini wanafanya. Hakuna ujanja ujanja wala uhuni uhuni! Elimu ni kipaumbele cha kwanza kwa MWASHITA yaani SIMBA.

Hao ndio SIMBA! Hao ndio SIMBA waliokuwa na baraka zote kutoka kwa HAYATI MWALIMU tangu miaka ya 1984! Au kwa jina lingine wanaitwa MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ]. Wapinzani halisi wa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina jingine wanaitwa RAMADHANI au RAMA yaani MARA.

Hawa SIMBA ni tofauti kabisa na hiki kikundi kinachojiita SUKUMA GANG. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa wahuni wahuni tu, tena walionawili kipindi cha Marehemu Rais John Pombe Magufuli. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI wasiokuwa hata na utashi wa kisiasa na wasiokuwa na maono ya kuona mbali. Hii SUKUMA GANG hata uchumi wa kuendesha chama cha kisiasa bado hawana.

Sasa tujiulize maswali mengine, ni kwanini CUF - Chama Cha Wananchi kimepoteza umaarufu ilhali watu walionyuma yake wana uwezo mkubwa kiuchumi? Jibu, ni kuwa hawa SIMBA waliokuwa nyuma ya CUF - Chama Cha Wananchi walipoteza muda mwingi sana kushindana na CHUI kiuchumi, yaani SIMBA na CHUI walikuwa wanashindana sana kuwekeza kiuchumi nje ya nchi.

Lakini sote yatupasa kufahamu kuwa, CHUI ndio mwenye CHAMA CHA MAPINDUZI na ndio mwenye DOLA YA TANZANIA. Kwahiyo kushindana na mwenye dola yataka moyo! Narudia tena - kushindana na mwenye dola yataka moyo! Sio kazi rahisi kama watu wengi wanavyofikiria.

SIMBA kuendelea kushindana na CHUI kuwekeza nje ya nchi kulimfanya kupoteza nafasi ya Chama Kikuu Cha Upinzani bungeni na nafasi yake kuchukuliwa na CHADEMA mwaka 2010 mpaka mwaka 2020. Hawa CHADEMA walipata uungwaji mkono mkubwa sana wa kisiasa kwa mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na baadhi ya sehemu za Tanzania. Vile vile wenyeji wa hii mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wanajulikana kwa jina la NYATI au kwa jina lingine la utani wanaitwa NYUMBU [ 😁😁😁 ]. Na ndivyo jinsi walivyo!

Katika kuwekeza nje ya nchi, ilifikia hatua CHUI akimiliki Esperance de Tunis ya Tunisia, hawa SIMBA wanamiliki Raja Club de Athletic ya Moroko.

Hawa CHUI wakimiliki AlAhly ya Misri, SIMBA wanamiliki Zamalek ya Misri vile vile.

CHUI akimiliki Asec Mimosas ya Ivory Coast, SIMBA wanamiliki Horoya AC ya Guinea.

CHUI akimiliki Stellenbosch FC ya Afrika ya Kusini, hawa SIMBA wanamiliki Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini vile vile.

SIMBA akimiliki Tout Puissant Englebert Mazembe ya Kongo - Lubumbashi, hawa CHUI wanamiliki Wydad Club de Athletic ya Moroko.

Yaani ni tafrani! Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi yuko hai. Watangulizi wake wakina Ali Hassan Mwinyi, wakina Marehemu Benjamin Mkapa, wakina Mrisho Khalifani, wakina Marehemu John Magufuli na hatimaye Mama Samia Suluhu wote wameshindwa kuidhibiti SIMBA mpaka inakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR.

Lakini huo ndio upinzani alioutengenza na kuuacha HAYATI MWALIMU na ndio unaosumbua mamlaka za kiintelijensia mpaka leo hii, kwa sababu hao ndio wameshika uchumi wa Tanzania, mbali na wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa SIMBA wameenda mbali zaidi hadi kutawala SOKA LA AFRIKA KWA UPANDE WA VILABU. Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa mpaka nje ya mipaka ya TANZANIA. Hawa SIMBA ndio wamiliki halali wa timu ya FC PLATINUM ya ZIMBABWE 🇿🇼, KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI 🇿🇦, NKANA FC ya ZAMBIA 🇿🇲, BIG BULLETS ya MALAWI 🇲🇼, PRIMEIRO DE AGOSTO ya ANGOLA 🇦🇴, ASANTE KOTOKO ya GHANA 🇬🇭, AKWA UNITED ya NAIJERIA 🇳🇬, TP MAZEMBE ya KONGO 🇨🇩, TOWNSHIP ROLLERS ya BOTSWANA 🇧🇼, KARIOBANGI SHARKS ya KENYA 🇰🇪, EXPRESS FC ya UGANDA 🇺🇬, RAYON SPORTS ya RWANDA 🇷🇼, VITAL'O ya BURUNDI 🇧🇮, AL HILAL OMDURMAN ya SUDANI 🇸🇩, AC HOROYA ya GUINEA 🇬🇳, COTONSPORTS ya KAMERUNI 🇨🇲, RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO 🇲🇦, ETOILE SPORTIVE DU SAHEL ya TUNISIA 🇹🇳, ENTENTE SPORTIVE SETIFIENNE [ ES SETIF ] ya ALGERIA 🇩🇿, ZAMALEK ya MISRI 🇪🇬 pamoja na YANGA SC na SIMBA SC zote za TANZANIA 🇹🇿.

Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa sana hata kwa upande wa nje ya mipaka ya TANZANIA.

Kama ilivyo kwa CHUI au jina lingine SERENGETI kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja. Ndivyo ilivyo kwa upande wa SIMBA au jina lingine wanaitwa MWASHITA kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja.

Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi cha uhai wake, upinzani alioutengenza yeye HAYATI MWALIMU, watangulizi wake wameshindwa kuudhibiti. Na ndio wanaoligharimu taifa mpaka wanakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR. Na wakimaliza DOLA YA ZANZIBAR, hawa SIMBA wanageukia TANZANIA BARA.
 
HAYATI MWALIMU na aliyekuwa Rais wa serikali ya wanafunzi ya CoHSS, mwaka 2012/13 ni Pete na Kidole - hauwezi kuwatofautisha wala kuwatenganisha. Sema HAYATI MWALIMU ni CHUI na yule mwingine ni SIMBA.

Tuachane na hayo! Kila awamu ya kipindi cha Urais kwa nchi ya Tanzania, kiongozi wa nchi - yaani Rais analazimika kuandaa upinzani wake na hii imekuwa ni kama desturi tangu kipindi cha HAYATI MWALIMU.

Sasa kipindi cha HAYATI MWALIMU kulikuwa hakuna mfumo wa vyama vingi, kulikuwa na mfumo wa chama kimoja tu.

Na kipindi ambapo HAYATI MWALIMU anakabidhiwa uhuru kutoka kwa Mwingereza kulikuwa na mshindani wake wa kipindi hicho, alikuwa anajulikana kwa jina la MAKWAIA. Huyu MAKWAIA alikuwa ni CHIFU anayetoka maeneo ya KISHAPU, mkoa wa SHINYANGA.

Huyu CHIFU alikuwa na elimu nzuri sana [ MASTERS ], alipata elimu yake kutoka Uingereza. Familia ya huyu CHIFU ilikuwa na ukwasi wa kutisha na ilikuwa ikiongoza kwa upande wa Afrika ya Mashariki kutokana na biashara ya almasi na biashara ya zao la pamba.

Baada ya HAYATI MWALIMU kupewa nafasi ya kufuatilia uhuru na kufanikisha kupewa uhuru kutoka kwa Mwingereza, wale waliokuwa washindani wake aliwafanya kuwa marafiki na kuwapa nyadhifa mbalimbali serikalini.

Vile vile HAYATI MWALIMU alifanikiwa kuua hizi tawala za kichifu kwa upande wa Tanzania bara kwa kuwapa nafasi serikalini wale waliokuwa na elimu kutoka familia za kichifu.

Lakini ushindani hafifu uliendelea kuwepo na ushindani ulikuja kushika kasi hasa baada ya kuanzishwa kwa vyama vya ushirika.

Kulikuwa na vyama vya ushirika kwa upande wa Tanzania Bara vilivyokuwa vikisimamia mazao ya biashara kwa kila mkoa husika.

Na vyama vya ushirika vilivyokuwa na nguvu ya kiuchumi kwa kipindi hicho, vilikuwa ni vyama vya ushirika kutoka mkoa wa Mwanza [ NCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba, mkoa wa Shinyanga [ SHIRECU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la pamba na mkoa wa Tabora [ WETCU ] waliokuwa wakisimamia biashara ya zao la tumbaku.

Lakini baadae kulikuja kutokea anguko kubwa sana la hivi vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha kutokana na kuwa na wafanyakazi wasiokuwa waaminifu - wizi na ubadhirifu wa mali ya umma ulikithiri, hivyo kupelekea vyama vya ushirika kushindwa kujiendesha.

Lakini hii yote, kulikuwa na baraka kutoka kwa HAYATI MWALIMU, kwa sababu hivi vyama vya ushirika vilikuwa vinatishia uhai wa CHAMA CHA MAPINDUZI. Kungelitokea vyama vya ushirika vimejiunga na kuunda chama kimoja cha siasa, vingeliweza kukitoa CHAMA CHA MAPINDUZI madarakani kwa sababu ya kupata uungwaji mkono mkubwa sana kutoka kwa vyama vya wafanyakazi pamoja na vyama vya wakulima.

Hivyo basi, wale watumishi wa vyama vya ushirika kutoka mikoa mingine walifikishwa mahakamani kutokana na wizi wa mali ya umma, wengine walifilisiwa na hata kufungwa lakini hawa wafanyakazi wa Chama Cha Ushirika Cha Mwanza [ NCU ], Chama Cha Ushirika Cha Shinyanga [ SHIRECU ] na Chama Cha Ushirika Cha Tabora [ WETCU ] walikuwa huru, sema kuna baadhi yao walifukuzwa kazi bila hata ya kuchukuliwa hatua yoyote. Na hii ilifanyika chini ya uangalizi wa HAYATI MWALIMU mwenyewe.

Hawa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU walikuja kuwa na ukwasi wa kutisha na wengine walikuwa na uchumi mkubwa kuliko hata aliyekuwa kiongozi wao wa kimila, yaani CHIFU MAKWAIA.

Na hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio watanzania weusi wenye uchumi mkubwa mpaka leo hii, ukiondoa wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa wafanyakazi waliofanya ubadhirifu kwenye vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU ndio waliokuja kuwa washindani wakubwa wa HAYATI MWALIMU kwa miaka iliyosalia kabla ya umauti kumkuta HAYATI MWALIMU. Na hawa ndio wapinzani halali wa CHUI yaani SERENGETI iwe ni kielimu, kiuchumi, kisiasa, kimichezo na burudani.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima. Narudia tena - "Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta za usafirishaji wa abiria pamoja na mizigo kwa Tanzania nzima".

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo kwa kumiliki viwanda vikubwa vya sukari vya KAGERA SUGAR na MTIBWA SUGAR kwa pamoja. Vile vile hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wameshikilia mazao ya biashara kama pamba, tumbaku na alizeti kwa kumiliki viwanda vya kuchambua na kukamua mafuta ya pamba pamoja na alizeti. Kwa lugha ya Kiingereza wanaita - Ginneries.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya kilimo cha ngano kwa kumiliki viwanda vya AZANIA WHEAT FLOUR, MeTL, CAMEL WHEAT FLOUR na PEMBE WHEAT FLOUR.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza maziwa freshi kinachoitwa TANGA FRESH kinachopatikana mkoani Tanga.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya mafuta ya kupikia, sabuni za kuogea na kufulia kwa kumiliki viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA.

Tofauti na viwanda vya G&B industries, MeTL pamoja na AZANIA. Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya MURZAH WILMAR EAST AFRICA LIMITED inayotengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya uagizaji wa mafuta ya petroli, dizeli pamoja na mafuta ya taa kwa kumiliki makampuni ya LAKE OIL, MOIL, PETRO AFRICA, MSN, SIMBA OIL, KILIMANJARO OIL, BIG BON pamoja na CAMEL OIL.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha SIMBA CEMENT na CAMEL CEMENT kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha MMM STEEL na KIOO INDUSTRY kwa pamoja.

Tofauti na viwanda vya MMM STEEL na KIOO INDUSTRY, hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kiwanda cha kutengeneza rangi kinachoitwa GOLDSTAR PAINTS TANZANIA LIMITED.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya SIMBA GROUP na SIMBA TRAILERS.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa benki za AKIBA COMMERCIAL BANK na AZANIA BANK kwa pamoja.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya mawasiliano ya TIGO [ Tanzania ].

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kampuni ya uchapishaji ya magazeti inayoitwa Mwananchi Communications Limited [ MCL ] na kiwanda cha kutengeneza pipi za IVORI kinachopatikana Iringa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wanaomiliki shule nyingi binafsi hapa nchini. Yaani wanamiliki shule nyingi sana kwa upande wa Tanzania bara.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa Hoteli ya Kempinski na wana hoteli nyingi sana za kitalii kwa mikoa ya Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Mbeya, Iringa, Morogoro, Kigoma na Zanzibar.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, yaani FGBF. Pale FGBF, Askofu Zakaria Kakobe ni mfanyakazi tu kama ilivyo kwa Profesa Ibrahim Lipumba upande wa CUF.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio walioshika sekta ya michezo hususani mpira wa miguu kwa kumiliki timu kadhaa zinazoshiriki ligi kuu. Timu hizo ni SIMBA SC ya mkoa wa Dar Es Salaam, BIASHARA MARA UNITED ya mkoa wa Mara, COAST UNION FC ya mkoa wa Tanga, KAGERA SUGAR FC ya mkoa wa Kagera pamoja na MTIBWA SUGAR FC ya mkoa wa Morogoro. Kuna timu zingine za daraja la kwanza, daraja la pili na timu zinazoshiriki ligi ya mikoa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa kundi la wasanii la Wasafi Classic yaani WCB, kituo cha televisheni pamoja na kituo cha redio. Na ndio hao hao waliokuwa wamiliki halali wa kundi la HipHop la Nako2Nako Soldiers linalopatikana Arusha. Na kuna wasanii wengine wengi tu, ndani na nje ya nchi ya Tanzania kama vile Uganda, Kenya, Kongo, Zambia, Kameruni na Afrika Ya Kusini.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa NCU, SHIRECU na WETCU ndio wamiliki halali wa vyama vya siasa vya CUF - Chama Cha Wananchi na ACT - Wazalendo.

Hao ndio SIMBA! Hao ndio SIMBA waliokuwa na baraka zote kutoka kwa HAYATI MWALIMU tangu miaka ya 1984! Au kwa jina lingine wanaitwa MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ]. Wapinzani halisi wa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina jingine wanaitwa RAMADHANI au RAMA yaani MARA.

Hawa SIMBA ni tofauti kabisa na hiki kikundi kinachojiita SUKUMA GANG. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa wahuni wahuni tu, tena walionawili kipindi cha Marehemu Rais John Pombe Magufuli. Hii SUKUMA GANG ni kikundi cha wanasiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI wasiokuwa hata na utashi wa kisiasa na wasiokuwa na maono ya kuona mbali. Hii SUKUMA GANG hata uchumi wa kuendesha chama cha kisiasa bado hawana.

Sasa tujiulize maswali mengine, ni kwanini CUF - Chama Cha Wananchi kimepoteza umaarufu ilhali watu walionyuma yake wana uwezo mkubwa kiuchumi? Jibu, ni kuwa hawa SIMBA waliokuwa nyuma ya CUF - Chama Cha Wananchi walipoteza muda mwingi sana kushindana na CHUI kiuchumi, yaani SIMBA na CHUI walikuwa wanashindana sana kuwekeza kiuchumi nje ya nchi.

Lakini sote yatupasa kufahamu kuwa, CHUI ndio mwenye CHAMA CHA MAPINDUZI na ndio mwenye DOLA YA TANZANIA. Kwahiyo kushindana na mwenye dola yataka moyo! Narudia tena - kushindana na mwenye dola yataka moyo! Sio kazi rahisi kama watu wengi wanavyofikiria.

SIMBA kuendelea kushindana na CHUI kuwekeza nje ya nchi kulimfanya kupoteza nafasi ya Chama Kikuu Cha Upinzani bungeni na nafasi yake kuchukuliwa na CHADEMA mwaka 2010 mpaka mwaka 2020. Hawa CHADEMA walipata uungwaji mkono mkubwa sana wa kisiasa kwa mikoa ya Manyara, Arusha, Kilimanjaro na baadhi ya sehemu za Tanzania. Vile vile wenyeji wa hii mikoa ya Manyara, Arusha na Kilimanjaro wanajulikana kwa jina la NYATI au kwa jina lingine la utani wanaitwa NYUMBU [ 😁😁😁 ]. Na ndivyo jinsi walivyo!

Katika kuwekeza nje ya nchi, ilifikia hatua CHUI akimiliki Esperance de Tunis ya Tunisia, hawa SIMBA wanamiliki Raja Club de Athletic ya Moroko.

Hawa CHUI wakimiliki AlAhly ya Misri, SIMBA wanamiliki Zamalek ya Misri vile vile.

CHUI akimiliki Asec Mimosas ya Ivory Coast, SIMBA wanamiliki Horoya AC ya Guinea.

CHUI akimiliki Stellenbosch FC ya Afrika ya Kusini, hawa SIMBA wanamiliki Kaizer Chiefs ya Afrika ya Kusini vile vile.

SIMBA akimiliki Tout Puissant Englebert Mazembe ya Kongo - Lubumbashi, hawa CHUI wanamiliki Wydad Club de Athletic ya Moroko.

Yaani ni tafrani! Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi yuko hai. Watangulizi wake wakina Ali Hassan Mwinyi, wakina Marehemu Benjamin Mkapa, wakina Mrisho Khalifani, wakina Marehemu John Magufuli na hatimaye Mama Samia Suluhu wote wameshindwa kuidhibiti SIMBA mpaka inakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR.

Lakini huo ndio upinzani alioutengenza na kuuacha HAYATI MWALIMU na ndio unaosumbua mamlaka za kiintelijensia mpaka leo hii, kwa sababu hao ndio wameshika uchumi wa Tanzania, mbali na wanasiasa wa CHAMA CHA MAPINDUZI.

Hawa SIMBA wameenda mbali zaidi hadi kutawala SOKA LA AFRIKA KWA UPANDE WA VILABU. Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa mpaka nje ya mipaka ya TANZANIA. Hawa SIMBA ndio wamiliki halali wa timu ya FC PLATINUM ya ZIMBABWE, KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI, NKANA FC ya ZAMBIA, BIG BULLETS ya MALAWI, PRIMEIRO DE AGOSTO ya ANGOLA, TP MAZEMBE ya KONGO, TOWNSHIP ROLLERS ya BOTSWANA, KARIOBANGI SHARKS ya KENYA, EXPRESS FC ya UGANDA, RAYON SPORTS ya RWANDA, VITAL'O ya BURUNDI, AL HILAL OMDURMAN ya SUDANI, AC HOROYA ya GUINEA, COTONSPORTS ya KAMERUNI, RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO, ZAMALEK ya MISRI pamoja na SIMBA SC ya TANZANIA.

Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa sana hata kwa upande wa nje ya mipaka ya TANZANIA.

Kama ilivyo kwa CHUI au jina lingine SERENGETI kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja. Ndivyo ilivyo kwa upande wa SIMBA au jina lingine wanaitwa MWASHITA kuwa na uchumi mkubwa kuliko hata TISS na NSA kwa pamoja.

Na haya ndio makosa makubwa sana aliyoyafanya HAYATI MWALIMU kipindi cha uhai wake, upinzani alioutengenza yeye HAYATI MWALIMU, watangulizi wake wameshindwa kuudhibiti. Na ndio wanaoligharimu taifa mpaka wanakaribia kuchukua DOLA YA ZANZIBAR. Na wakimaliza DOLA YA ZANZIBAR, hawa SIMBA wanageukia TANZANIA BARA.

IMG_20210523_074602.jpg

Watu wengine nasema niendelee kuandika halafu wao wanaogopa hata kuchangia lakini ni wasomaji wazuri sana na watumiaji wa mtandao wa JamiiForums.

Lakini kama ni kwa nia nzuri na unatumia lugha nzuri, hakuna sababu ya kuogopa wala kujificha.

Kwenye hizo timu hapo juu, zilizoingia nusu fainali kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika. Timu tatu [ 3 ] kati ya hizo ni timu za HAYATI MWALIMU na timu moja [ 1 ] iliyosalia ni timu inayomilimikiwa na Mtanzania.

Hizo timu tatu [ 3 ] zinazomilikiwa na HAYATI MWALIMU na zinazosimamiwa na CHUI ni AL-AHLY SC kutoka MISRI, ES-TUNIS kutoka TUNISIA na WYDAD AC kutoka MOROKO. Na timu moja iliyosalia kati ya hizo ni timu ya KAIZER CHIEFS kutoka AFRIKA YA KUSINI inayomilikiwa na SIMBA.

Sasa kuna watu wengine watauliza maswali, inakuaje hizo timu zote zinamilikiwa na Watanzania ilhali tunaambiwa kuwa wenyeji wa hizo nchi wana uchumi mkubwa sana kuliko hata wenyeji wa nchi ya Tanzania?

Jibu, ni kuwa hizi nchi zenye utawala bora na nchi zenye kufuata sheria ni nchi zilizodhibiti mianya ya rushwa na wizi kwa serikali zao. Ndio maana utakuta serikali zao zina pesa za kutosha lakini wananchi wao hawana pesa na wengine ni masikini kabisa! Tofauti kwa upande wa Tanzania, huku Tanzania - wananchi wa Tanzania ndio wenye pesa lakini serikali yao haina pesa za kutosha. Hii inatokana na rushwa kubwa zinazofanyika na zinazoendelea kufanyika kwa upande wa serikali ya Tanzania.

Lakini hii yote ilifanyika kipindi cha HAYATI MWALIMU ili kupata uungwaji mkono wa kisiasa kutoka kwa nchi za Kaskazini mwa Afrika. Hizo timu za mpira wa miguu ni nguzo ya kidiplomasia zinazotumiwa na CHAMA CHA MAPINDUZI, yaani CCM.

Vile vile kwa sasa hii ni biashara! Kwa sababu kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika kuna kiasi cha pesa ambapo timu inapata kila hatua inayopitia.

Kwenye hatua ya robo fainali, kila timu inayoshiriki inapata shilingi USD 650,000 sawa na shilingi TZS 1,507,305,172.90.

Kwenye hatua ya nusu fainali, kila timu inayoshiriki inapata shilingi USD 875,000 sawa na shilingi TZS 2,029,125,232.75.

Kwenye hatua ya nafasi ya pili, kila timu inayoshiriki inapata shilingi USD 1.25 milioni sawa na shilingi TZS 2,898,750,332.50.

Na mshindi wa hii michuano ya klabu bingwa barani Afrika anapata shilingi USD 2.5 milioni sawa na shilingi TZS 5,797,500,665.00. Na fursa nyingine ni kushiriki kwenye michuano ya klabu bingwa duniani na michuano ya CAF SUPER CUP yaani CAFSC.

Kwahiyo hapo tu kwenye hiyo chati, HAYATI MWALIMU kupitia CHUI kwa kumiliki timu tatu [ 3 ] anapata karibia kiasi cha shilingi TZS 10,000,000,000.00 za kitanzania. Hizo pesa ni nyingi sana!

Na hawa CHUI kupitia HAYATI MWALIMU kupitia timu za mpira wanazomiliki walianza kuwa na uhakika wa kuingia hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika tangu mwaka 2000 mpaka leo hii bado wanaendelea kuingia nusu fainali na kuchukua ubingwa.

Kwahiyo hii inaonesha ni jinsi gani HAYATI MWALIMU kupitia CHUI alivyo na uchumi mkubwa hata kwa upande wa bara la Afrika.

Kumiliki timu za mpira wa miguu ni ishara ya kuwa na uchumi mkubwa kupitia sekta ya michezo. Kwa sababu kama huna uwezo wa kupata pesa za kujikimu, hautakuwa na pesa za kuwekeza kwenye michezo.

Sasa hawa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga, Tabora ], yaani washindani halisi wa CHUI utawaona hapo kwenye hiyo chati kwa upande wa KAIZER CHIEFS. KAIZER CHIEFS ni timu inayotoka AFRIKA YA KUSINI inayomilikiwa na watanzania wa kawaida. Wanaomiliki SIMBA SC ndio wamiliki halali wa KAIZER CHIEFS, kwa hiyo kwa upande wa robo fainali ilikuwa ni kuchagua nani aende nusu fainali na nani abaki, bahati ikamuangukia KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI.


IMG_20210524_133938.jpg

Kwa upande wa Shirikisho klabu bingwa barani Afrika, kama inavyoonekana kwenye chati ya hatua ya nusu fainali. Hawa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga, Tabora ] ndio wanaomiliki timu za COTON SPORT FC ya KAMERUNI na RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO.

Na hawa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga, Tabora ] kupitia timu za mpira wa miguu wanazomiliki nchi mbalimbali barani Afrika, walikuwa na uhakika wa kuingia hatua ya nusu fainali kuanzia mwaka 2010 mpaka leo hii bado wanaendelea kuwepo kwenye tasnia ya SOKA barani Afrika.

Haya ndio mafanikio yanayoambatana na kumiliki uchumi. Na mafanikio haya hayaji kwa wepesi tu, lazima dhamira ya dhati iwepo, kujitoa kwa jasho na damu, subira na uvumilivu wa hali juu, kwa sababu mafanikio haya sio ya miaka miwili [ 2 ] au miaka sita [ 6 ] tu. Ni mafanikio yanayochukua miongo zaidi ya miwili, yaani ni mafanikio yanayochukua miaka zaidi ya ishirini [ 20 ].
 
Watu wengine nasema niendelee kuandika halafu wao wanaogopa hata kuchangia lakini ni wasomaji wazuri sana na watumiaji wa mtandao wa JamiiForums.

Lakini kama ni kwa nia nzuri na unatumia lugha nzuri, hakuna sababu ya kuogopa wala kujificha.

Kwenye hizo timu hapo juu, zilizoingia nusu fainali kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika. Timu tatu [ 3 ] kati ya hizo ni timu za HAYATI MWALIMU na timu moja [ 1 ] iliyosalia ni timu inayomilimikiwa na Mtanzania.

Hizo timu tatu [ 3 ] zinazomilikiwa na HAYATI MWALIMU na zinazosimamiwa na CHUI ni AL-AHLY SC kutoka MISRI, ES-TUNIS kutoka TUNISIA na WYDAD AC kutoka MOROKO. Na timu moja iliyosalia kati ya hizo ni timu ya KAIZER CHIEFS kutoka AFRIKA YA KUSINI inayomilikiwa na SIMBA.

Sasa kuna watu wengine watauliza maswali, inakuaje hizo timu zote zinamilikiwa na Watanzania ilhali tunaambiwa kuwa wenyeji wa hizo nchi wana uchumi mkubwa sana kuliko hata wenyeji wa nchi ya Tanzania?

Jibu, ni kuwa hizi nchi zenye utawala bora na nchi zenye kufuata sheria ni nchi zilizodhibiti mianya ya rushwa na wizi kwa serikali zao. Ndio maana utakuta serikali zao zina pesa za kutosha lakini wananchi wao hawana pesa na wengine ni masikini kabisa! Tofauti kwa upande wa Tanzania, huku Tanzania - wananchi wa Tanzania ndio wenye pesa lakini serikali yao haina pesa za kutosha. Hii inatokana na rushwa kubwa zinazofanyika na zinazoendelea kufanyika kwa upande wa serikali ya Tanzania.

Lakini hii yote ilifanyika kipindi cha HAYATI MWALIMU ili kupata uungwaji mkono wa kisiasa kutoka kwa nchi za Kaskazini mwa Afrika. Hizo timu za mpira wa miguu ni nguzo ya kidiplomasia zinazotumiwa na CHAMA CHA MAPINDUZI, yaani CCM.

Vile vile kwa sasa hii ni biashara! Kwa sababu kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika kuna kiasi cha pesa ambapo timu inapata kila hatua inayopitia.

Kwenye hatua ya robo fainali, kila timu inayoshiriki inapata shilingi USD 650,000 sawa na shilingi TZS 1,507,305,172.90.

Kwenye hatua ya nusu fainali, kila timu inayoshiriki inapata shilingi USD 875,000 sawa na shilingi TZS 2,029,125,232.75.

Kwenye hatua ya nafasi ya pili, kila timu inayoshiriki inapata shilingi USD 1.25 milioni sawa na shilingi TZS 2,898,750,332.50.

Na mshindi wa hii michuano ya klabu bingwa barani Afrika anapata shilingi USD 2.5 milioni sawa na shilingi TZS 5,797,500,665.00. Na fursa nyingine ni kushiriki kwenye michuano ya klabu bingwa duniani na michuano ya CAF SUPER CUP yaani CAFSC.

Kwahiyo hapo tu kwenye hiyo chati, HAYATI MWALIMU kupitia CHUI kwa kumiliki timu tatu [ 3 ] anapata karibia kiasi cha shilingi 10,000,000,000.00 za kitanzania. Hizo pesa ni nyingi sana!

Na hawa CHUI kupitia HAYATI MWALIMU kupitia timu za mpira wanazomiliki walianza kuwa na uhakika wa kuingia hatua ya nusu fainali kwenye michuano ya klabu bingwa barani Afrika tangu mwaka 2000 mpaka leo hii bado wanaendelea kuingia nusu fainali na kuchukua ubingwa.

Kwahiyo hii inaonesha ni jinsi gani HAYATI MWALIMU kupitia CHUI alivyo na uchumi mkubwa hata kwa upande wa bara la Afrika.

Kumiliki timu za mpira wa miguu ni ishara ya kuwa na uchumi mkubwa kupitia sekta ya michezo. Kwa sababu kama huna uwezo wa kupata pesa za kujikimu, hautakuwa na pesa za kuwekeza kwenye michezo.

Sasa hawa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga, Tabora ], yaani washindani halisi wa CHUI utawaona hapo kwenye hiyo chati kwa upande wa KAIZER CHIEFS. KAIZER CHIEFS ni timu inayotoka AFRIKA YA KUSINI inayomilikiwa na watanzania wa kawaida. Wanaomiliki SIMBA SC ndio wamiliki halali wa KAIZER CHIEFS, kwa hiyo kwa upande wa robo fainali ilikuwa ni kuchagua nani aende nusu fainali na nani abaki, bahati ikamuangukia KAIZER CHIEFS ya AFRIKA YA KUSINI.



Kwa upande wa Shilikisho klabu bingwa barani Afrika, kama inavyoonekana kwenye chati ya hatua ya nusu fainali. Hawa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga, Tabora ] ndio wanaomiliki timu za COTON SPORT FC ya KAMERUNI na RAJA CLUB DE ATHLETIC ya MOROKO.

Na hawa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga, Tabora ] kupitia timu za mpira wa miguu wanazomiliki nchi mbalimbali barani Afrika, walikuwa na uhakika wa kuingia hatua ya nusu fainali kuanzia mwaka 2010 mpaka leo hii bado wanaendelea kuwepo kwenye tasnia ya SOKA barani Afrika.

Haya ndio mafanikio yanayoambatana na kumiliki uchumi. Na mafanikio haya hayaji kwa wepesi tu, lazima dhamira ya dhati iwepo, kujitoa kwa jasho na damu, subira na uvumilivu wa hali juu, kwa sababu mafanikio haya sio ya miaka miwili [ 2 ] au miaka sita [ 6 ] tu. Ni mafanikio yanayochukua miongo zaidi ya miwili, yaani ni mafanikio yanayochukua miaka zaidi ya ishirini [ 20 ].

IMG_20210526_202747.jpg

Kwenye hii michuano ya Afrika - huwa kuna michuano ya aina mbili. Michuano ya kwanza huwa ni klabu bingwa barani Afrika yaani CAFCL na michuano ya pili huwa ni Shirikisho klabu bingwa barani Afrika yaani CAFCC.

Baada ya mabingwa kupatikana kutoka katika kila michuano, yaani bingwa kutoka CAFCL na bingwa kutoka CAFCC huwa kuna mchuano ambao inakutanisha mshindi wa CAFCL na CAFCC ili kupata bingwa wa Afrika, michuano hii inaitwa CAFSC yaani CAF SUPER CUP.

Bingwa wa michuano ya CAFSC yaani CAF SUPER CUP anapata kiasi cha shilingi USD 3,000,000.00 sawa na kiasi cha shilingi TZS 6,957,368,883.00 za Kitanzania.

Sasa kwenye hiyo chati hapo juu utaona ni kiasi gani cha shilingi hawa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ] walivyoingiza kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ] kwa kupitia timu wanazomiliki za ZAMALEK SC kutoka MISRI, RAJA CLUB DE ATHLETIC kutoka MOROKO na TP MAZEMBE kutoka KONGO.

Halafu pia, kwenye hiyo chati hapo juu utaona ni kiasi gani cha shilingi hawa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina lingine wanaitwa RAMADHANI yaani RAMA walivyoingiza kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ] kwa kupitia timu wanazomiliki za ALAHLY SC kutoka MISRI, WYDAD CLUB DE ATHLETIC kutoka MOROKO na ESPERANCE DE TUNIS kutoka TUNISIA. Hawa CHUI wanaingiza fedha nyingi sana!.

Kwa upande wa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ] bado wanajaribu jaribu lakini kiukweli CHUI au kwa jina lingine SERENGETI wataendelea kuwa juu kwa sababu mbali na kuwa na vyanzo vingi vya mapato, wao CHUI ndio wenye DOLA YA TANZANIA. Kwao pesa sio tatizo!

24377680058054559ef3f0da669882c3.png

Kwa upande wa TANZANIA, ushindani huwa unaanzia nyumbani ili kupata wawakilishi wa kwenda kucheza michuano ya kimataifa. Hii yote ni kutafuta na kuimarisha vyanzo vya mapato.

Kwenye chati hapo juu, inaonesha ratiba ya michuano ya nusu fainali kwa michuano ya Shirikisho.

Hizo timu zote nne ni timu za SIMBA na CHUI. SIMBA wanamiliki timu za BIASHARA MARA UNITED kutoka MARA na SIMBA SC kutoka DAR ES SALAAM. Na CHUI wanamiliki timu za AZAM FC na YANGA SC zote hizi zinatoka DAR ES SALAAM. Mshindi wa hii michuano anapata nafasi ya kushiriki michuano ya Afrika kwa ngazi ya Shirikisho.

Kwahiyo utaona ni jinsi gani hata kwa upande wa TANZANIA hawa SIMBA na CHUI walivyotawala soka la TANZANIA. Hii yote inatokana na kumiliki uchumi mkubwa.
 
Kwenye hii michuano ya Afrika - huwa kuna michuano ya aina mbili. Michuano ya kwanza huwa ni klabu bingwa barani Afrika yaani CAFCL na michuano ya pili huwa ni shilikisho klabu bingwa barani Afrika yaani CAFCC.

Baada ya mabingwa kupatikana kutoka katika kila michuano, yaani bingwa kutoka CAFCL na bingwa kutoka CAFCC huwa kuna mchuano ambayo inakutanisha mshindi wa CAFCL na CAFCC ili kupata bingwa wa Afrika, michuano hii inaitwa CAFSC yaani CAF SUPER CUP.

Bingwa wa michuano ya CAFSC yaani CAF SUPER CUP anapata kiasi cha shilingi USD 3,000,000.00 sawa na kiasi cha shilingi 6,957,368,883.00 za Kitanzania.

Sasa kwenye hiyo chati hapo juu utaona ni kiasi gani cha shilingi hawa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ] walivyoingiza kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ] kwa kupitia timu wanazomiliki za ZAMALEK SC kutoka MISRI, RAJA CLUB DE ATHLETIC kutoka MOROKO na TP MAZEMBE kutoka KONGO.

Halafu pia, kwenye hiyo chati hapo juu utaona ni kiasi gani cha shilingi hawa CHUI yaani SERENGETI au kwa jina lingine wanaitwa RAMADHANI yaani RAMA walivyoingiza kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ] kwa kupitia timu wanazomiliki za ALAHLY SC kutoka MISRI, WYDAD CLUB DE ATHLETIC kutoka MOROKO na ESPERANCE DE TUNIS kutoka TUNISIA. Wanaingiza fedha nyingi sana!.

Kwa upande wa SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ] bado wanajaribu jaribu lakini kiukweli CHUI au kwa jina lingine SERENGETI wataendelea kuwa juu kwa sababu mbali na kuwa na vyanzo vingi vya mapato, wao CHUI ndio wenye DOLA YA TANZANIA. Kwao pesa sio tatizo!

una maana gani?
 
una maana gani?
IMG_20210526_202747.jpg

Jaribu tena kupitia hatua kwa hatua yaani mstari baada ya mstari, kila kitu kimeelezwa hapo.

Hapo kwenye hiyo chati ya kwanza inaonesha mabingwa wa michuano ya CAFSC kwa miaka kadhaa iliyopita na kiasi cha pesa anazopata mshindi wa hiyo michuano.

Kwenye hiyo chati kuna timu anazomiliki HAYATI MWALIMU na wanaozisimamia hizo timu ni wakina SERENGETI au kwa jina lingine wanaitwa RAMADHANI au RAMA yaani MARA.

Timu hizo ni ALAHLY kutoka MISRI, WYDAD ATHLETIC CLUB kutoka MOROKO na ESPERANCE DE TUNIS kutoka TUNISIA.

Sasa angalia kwenye chati hapo juu, chati hiyo inaonesha orodha ya timu bingwa kila mwaka. Utaziona hizo timu tajwa hapo juu.

Na kuna timu zingine ambazo zinamilikiwa na SIMBA yaani MWASHITA [ Mwanza, Shinyanga na Tabora ]. Timu hizo ni RAJA CLUB DE ATHLETIC kutoka MOROKO, ZAMALEK SC kutoka MISRI na TP MAZEMBE kutoka KONGO.

Kwa kifupi, michuano ya klabu bingwa barani Afrika imetawaliwa na wamiliki kutoka TANZANIA ijapokuwa hizo timu za mpira wa miguu nyingi zinatoka Kaskazini mwa Afrika, Afrika ya Kati na Kusini mwa Afrika.
 
Kupanga ni kuchagua! Wengi wa wale walioanza na ideology ya Ubepari wakati nchi zao bado ni changa wameishia kupata matabaka either ya kikanda au kikabila! Inawezekana ukaona kuwa tumechelewa sana lkn amini kuwa misingi aliyoijenga mwalimu ndio leo tupo wamoja hivi unavyoona hatuulizani makabila wala dini. Sasa kama kujenga nchi tuanzie hapo baada ya kujenga Amani na Umoja wa Kitaifa.
Hata Tanzania Kuna matabaka ya wanyonge na ambao sio wanyonge, ukabila na matabaka ni matokeo ya divide and rule
 
Nimesikitika sana kusoma kitabu cha Mkapa, hajaeleze ma kabisa ugomvi wa Kambona na Nyerere.

Wakati yeye ndiye alikuwa katikati kama mhariri wa gazeti la serikali wakati huo, akipata ubuyu wote kutoka kwa waandishi wake na kumpelekea Nyerere.

Mama Joan Wicken kaandika kitabu ila kaacha wosia kisichapishwe mpaka miaka kadhaa itakapopita baada ya yeye kufariki. Inaonekana kaandika mengi humo.
Kitabu Cha mkapa ameficha mambo mengi sana
 
Hata Tanzania Kuna matabaka ya wanyonge na ambao sio wanyonge, ukabila na matabaka ni matokeo ya divide and rule
Haya matabaka ya wanyonge na ambao sio wanyonge alianza kuyatengeneza yeye mwenyewe HAYATI MWALIMU.

Hivi unafahamu kuanzia miaka ya 1984 hadi umauti unamkuta HAYATI MWALIMU, aliigeuza hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO kuwa ni BATTLE GROUND ya SIMBA na CHUI?

Hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO sasa hivi inajumuisha mikoa ya ARUSHA, KILIMANJARO na MANYARA - HAYATI MWALIMU aliigeuza kuwa ni BATTLE GROUND yaani UWANJA WA VITA kati ya SIMBA na CHUI.
 
Haya matabaka ya wanyonge na ambao sio wanyonge alianza kuyatengeneza yeye mwenyewe HAYATI MWALIMU.

Hivi unafahamu kuanzia miaka ya 1984 hadi umauti unamkuta HAYATI MWALIMU, aliigeuza hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO kuwa ni BATTLE GROUND ya SIMBA na CHUI?

Hii mikoa ya ARUSHA na KILIMANJARO sasa hivi inajumuisha mikoa ya ARUSHA, KILIMANJARO na MANYARA - HAYATI MWALIMU aliigeuza kuwa ni BATTLE GROUND yaani UWANJA WA VITA kati ya SIMBA na CHUI.
simba na chui kivip, fafanua
 
Back
Top Bottom