Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Haiwezekani hao MWASHITA wakawa wametengenezwa na Nyerere?
Ndio! Hawa MWASHITA ni ASSOCIATES wa HAYATI MWALIMU na ndio maana wanafahamu mambo mengi ya HAYATI MWALIMU kuliko hata wale walio ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️.

Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 ndio waliokuwa MIKONO YA HAYATI MWALIMU kama ilivyokuwa SUKUMA GANG kipindi cha HAYATI MAGUFULI na mambo mengi aliyokuwa akiyafanya HAYATI MWALIMU aliyafanya kupitia kwa hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Na ndio maana hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wanaifahamu SIASA ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ sana na hiyo ndio sababu inayowafanya kuendelea kuwepo hadi leo hii.
 
Je, Roman Abrahamovich, Florentino Perez, na Yule waziri mkuu wa Italy mmiliki wa AC Milan wanajua wao kama wao ni kivuli na wako under MR TIGER from TZ?

Mkuu Charles Mandela!
 
Mkuu Charles Mandela!

Tafadhari sana mkuu wangu,

Naomba hata utumie namba ya mtu mwingine au u-create barua pepe bandia ya muda ili unijibie swali langu.

Nilihitaji hata kabla ya July kama haujapoteza kumbukumbu unielekeze namna fulani ya kuwajua kwa sifa na tabia zao.

Natumia fumbo kwa kuwa wewe wajua (NAANZA NA KABILA LANGU NI "KIBOKO" na yale mengine MAWILI.

Naomba sana mkuu kwa email hata fake au kwa contact isiyo yako unitumie SIFA NA MAJINA ya Jamii zilizosalia maana yangu ni KIBOKO. (UMENIELEWA TAYARI HAPO).
 
Hawa SERENGETI wananikera sana kwa jambo hili hapa,

Kwa nini "FORWARD FOREVER BACKWARD NEVER" kwa muda mrefu wamekuwako taabani ICU?

Wanakuwa kama hawako under MR TIGER.

Tembeza bakuli tembeza bakuli, Why?

Ina maana FAMILIA hailioni hilo na ikalitatua haraka iwezekanavyo?
 
Mkuu Charles Mandela!

Tafadhari sana mkuu wangu,

Naomba hata utumie namba ya mtu mwingine au u-create barua pepe bandia ya muda ili unijibie swali langu.

Nilihitaji hata kabla ya July kama haujapoteza kumbukumbu unielekeze namna fulani ya kuwajua kwa sifa na tabia zao.

Natumia fumbo kwa kuwa wewe wajua (NAANZA NA KABILA LANGU NI "KIBOKO" na yale mengine MAWILI.

Naomba sana mkuu kwa email hata fake au kwa contact isiyo yako unitumie SIFA NA MAJINA ya Jamii zilizosalia maana yangu ni KIBOKO. (UMENIELEWA TAYARI HAPO).
Hii thread ni full coded.

Sasa tunafanyaje sisi wazee wa kupapasa?
 
Je, Roman Abrahamovich, Florentino Perez, na Yule waziri mkuu wa Italy mmiliki wa AC Milan wanajua wao kama wao ni kivuli na wako under MR TIGER from TZ?

Mkuu Charles Mandela!
Yaani nakwambia hivi - kwa upande wa AFRIKA hakuna kiongozi mwenye UKWASI kama HAYATI MWALIMU na SERENGETI ndio imejiimarisha kupitia HAYATI MWALIMU na SERENGETI ni imara kuliko hata taasisi za kiintelijensia. Na hii inatokana na wao kuwa ni wenye CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, hivyo wamefanyika kuwa ndio wenye DOLA YA TANZANIA 🇹🇿.

Kwahiyo, utaelewa ni kwa kiasi gani hawa SERENGETI walivyo imara, wengine ni watumishi wa SERIKALI tu lakini wenye SERIKALI INAYOONGOZWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni SERENGETI.

Na kwa upande wa nchi za watu weupe yaani WHITE PEOPLE COUNTRIES huwa hakuna rushwa, yaani wameziba mianya yote ya rushwa hivyo kuwafanya wananchi wao waishi kwa vipato vyao halali. Na hii inapelekea kuwa na UCHUMI imara kwa upande wa SERIKALI zao.

Na pesa nyingi zinazotumika kwenye masuala ya kijamii na mahusiano ya watu kama michezo na burudani zinatoka AFRIKA. Na niwapeni SIRI nyingine - Asilimia themanini [ 80% ] ya pesa zinazotumika kwenye SOKA barani ULAYA zinatoka AFRIKA na asilimia ishirini [ 20% ] iliyobaki inatoka ASIA na AMERIKA.

Sasa kwa upande wa hawa watu uliowataja - kuanzia ROMAN ABROMOVICH, FROLENTINO PEREZ na wengine wenye kufanana nao, pesa zao nyingi zinatoka AFRIKA na hata pesa za kampeni za UCHAGUZI MKUU kwa baadhi ya nchi za ULAYA 🇪🇺 huwa zinatoka AFRIKA. Hii inatokana na hawa VIONGOZI WA KIAFRIKA kutafuta uungwaji mkono kwa baadhi ya VIONGOZI na MATAIFA YA ULAYA 🇪🇺 na AMERIKA.

Uliza hata DIASPORA humu - hawa watu weupe huwa hawana pesa za michezo michezo, wao pesa zao zote huwa zinaenda kwenye miradi ya SERIKALI na ni ngumu sana kumkuta raia wa kawaida mwenye malori mia moja [ 100 ] lakini huku AFRIKA unakuta mtu mmoja anamiliki malori zaidi ya elfu moja [ 1000 ]. Na ni kawaida kabisa 😁😁

Kwahiyo hawa WATU MASHUHURI na VIONGOZI WA ULAYA NA AMERIKA wanatambua uwepo wa SERENGETI yaani CHUI na nguvu zake KIUCHUMI NA KISIASA kwa upande wa TANZANIA 🇹🇿 na AFRIKA YA MASHARIKI kwa ujumla.

Na kuna baadhi ya video kutoka YouTube nimekuwekea, jaribu kupitia na kusikiliza kwa makini mahojiano ya HAYATI MWALIMU kwenye posti namba [ 412 ], yeye mwenyewe alisema TIGER yaani DUMA inaweza kufanya chochote na hataki kuona kuna KIONGOZI WA KIJESHI kwa hizi nchi zote zinazoizunguka TANZANIA 🇹🇿, ina maana SERENGETI inaweza kufanya chochote kwa hizi nchi zinazotuzunguka.



Hiyo video hapo juu inaonesha mahojiano ya HAYATI MWALIMU na shirika moja la habari kutoka nje ya nchi. Msikilize kwa makini!
 
Mkuu Charles Mandela!

Tafadhari sana mkuu wangu,

Naomba hata utumie namba ya mtu mwingine au u-create barua pepe bandia ya muda ili unijibie swali langu.

Nilihitaji hata kabla ya July kama haujapoteza kumbukumbu unielekeze namna fulani ya kuwajua kwa sifa na tabia zao.

Natumia fumbo kwa kuwa wewe wajua (NAANZA NA KABILA LANGU NI "KIBOKO" na yale mengine MAWILI.

Naomba sana mkuu kwa email hata fake au kwa contact isiyo yako unitumie SIFA NA MAJINA ya Jamii zilizosalia maana yangu ni KIBOKO. (UMENIELEWA TAYARI HAPO).
Hamna kitu cha kujificha! Mimi nilisema ya kwamba - nitakufuta mwezi wa nane [ 8 ] na mwezi wa nane [ 8 ] bado hujaisha.
 
Hawa SERENGETI wananikera sana kwa jambo hili hapa,

Kwa nini "FORWARD FOREVER BACKWARD NEVER" kwa muda mrefu wamekuwako taabani ICU?
Hawa SERENGETI huwa wana kauli mbiu yao inayosema hivi - DUNIANI SOTE TUNAPITA LAKINI CCM ITABAKI au DUNIANI TUMEKUJA KUTEMBEA.

Hii kauli mbiu huwa inatumika pia na KANISA KATOLIKI, wao KANISA KATOLIKI huwa wana kauli mbiu yao inayosema hivi - DUNIANI SOTE TUNAPITA LAKINI KANISA KATOLIKI LITABAKI. Hii ni kauli nzito sana, tena sana na ina maana kubwa sana tena sana.
Wanakuwa kama hawako under MR TIGER.
Hata hii TIGER yaani SERENGETI yaani CHUI na wao wako chini ya UJERUMANI 🇩🇪 na ITALIA 🇮🇹, mambo wanayoyafanya ni makubwa mno!

Sio kwa utashi wao, wala akili zao maana WAAFRIKA sote tunafahamiana.

Ni utashi wa WAJERUMANI 🇩🇪 na WAITALIANO 🇮🇹 yaani ROMA.

Haya MATAIFA MAWILI [ 2 ] ndio mataifa yanayowasaidia SERENGETI kwenye mambo ya KIUTALAWA na KISIASA, tofauti na hapo hawa SERENGETI kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ wangelikuwa wametoka madarakani tangu mwaka 1995.
Tembeza bakuli tembeza bakuli, Why?
Nilisema tangu mwanzo hawa SERENGETI yaani CHUI wanaiga mfumo wa maisha ya UINGEREZA 🇬🇧 na hata hiyo familia ya HAYATI MWALIMU wanataka kuifanya kuwa kama FAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA 🇬🇧.

Hata kwa upande wa FAMILIA YA KIFALME YA UINGEREZA 🇬🇧 huwa kuna DONATION ambayo kwa mtu yoyote anayejisikia kuchangia huwa anachangia kwa masilahi ya mahusiano ya watu na kijamii.

Halafu pia, hawa SERENGETI yaani CHUI na wao wanataka kushikilia na kusimamia biashara zao wenyewe, hasa hizi biashara zilizomo ndani ya TANZANIA 🇹🇿 maana mambo yamebadilika na nyakati pia zimebadilika. Hauwezi kuwa na VIWANDA halafu nyie muwe mmekaa tu, wengine ndio wanafanya kazi na kusimamia! Hata ufanisi na uzoefu mtautoa wapi? Jibu ni hakuna! Lazima mabadiliko yawepo.

Na hali hii ipo hivyo hivyo kwa upande wa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 yaani waliokuwa wafanyakazi wa vyama vya ushirika vya NCU, SHIRECU na WETCU. Na wao waliiga mfumo huu kama mfumo wa HAYATI MWALIMU!

Na wao pia wana makumpuni makubwa sana kama SUPERGROUP! Hii kampuni ya SUPERGROUP ndio kampuni kubwa TANZANIA 🇹🇿.

Na wao pia wana VIWANDA vikubwa kama CAMEL 🐪 CEMENT! Wao pia wana taasisi za elimu kama shule za sekondari na VYUO VIKUU.

Sasa kuna maana gani kama vitu vyote hivyo vipo, halafu muwe mmekaa tu! Wengine ndio wanafanya kazi na kusimamia 😁😁

Mambo yamebadilika na nyakati pia zimebadilika, sasa hivi tupo kwenye DUNIA YA USHINDANI kwahiyo ni lazima kushiriki kikamilifu kwenye shughuli yoyote inayokuhusu ili kuepuka sintofahamu inayoweza kujitokeza kwa siku za usoni. Maana hata udhulumaji unaweza kutokea kwenye mazingira kama haya.
Ina maana FAMILIA hailioni hilo na ikalitatua haraka iwezekanavyo?
Siwezi kuisemea FAMILIA yao lakini kwa upande wa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 lazima wakibidhi hivyo vitu vyote walivyopewa kuvisimamia kulingana na makubaliano ili kuepuka usumbufu usiokuwa na lazima. Hakuna muda wa nyongeza! WAINGEREZA 🇬🇧 wanasema - No extra time.
 
wabunge vichwa maji
fitina Ccm waliaza kitambo jamani kisa wamehoji chama kua kikubwa kuzidi bunge

Jinalikaja
Vichwa maji!!!
Mzimu wa kambona unamtesa Ccm hadi kuutafta Ugaidi
 
wabunge vichwa maji
fitina Ccm waliaza kitambo jamani kisa wamehoji chama kua kikubwa kuzidi bunge

Jinalikaja
Vichwa maji!!!
Mzimu wa kambona unamtesa Ccm hadi kuutafta Ugaidi
Ndio! CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kimeanza FITINA tangu siku nyingi na sio kwa KAMBONA na HAYATI MWALIMU pekee yake!

Bali hata kwa ADAM SAPI MKWAWA, alipigwa FITINA na VIONGOZI WA SERIKALI waliokuwepo hata baada ya HAYATI MWALIMU.

Maana kipindi cha BUNGE KILICHOONGOZWA NA SAMUEL SITTA walibadilisha mapendekezo ya SHERIA ZA KUWATUZA WASTAAFU WA SERIKALI. Sheria hii iliwagusa WASTAAFU wote kuanzia ngazi ya URAIS, UMAKAMU URAIS, UWAZIRI MKUU, SPIKA WA BUNGE na UNAIBU SPIKA WA BUNGE.

Lakini cha kushangaza - sheria hii ilianza kufanya kazi kuanzia kwa SPIKA WA BUNGE aliyejulikana kwa jina la PIUS MSEKWA na ADAM SAPI MKWAWA walimuacha, ndio maana familia yake ilikuwa inalalamika kupitia vyombo vya habari vya TBC1 na SAFARI CHANNEL.

Kwahiyo FITINA zipo SERIKALINI tangu siku nyingi na zinaendelea kuwepo! FITINA zipo kila sekta, hata SEKTA YA ELIMU kuna FITINA. Angalia ORODHA YA WANAFUNZI BORA ndio utaelewa ninachokuambia.

Hawa wawakilishi wetu yaani WABUNGE wamelala FOFOFO hasa hawa WABUNGE wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA. Majimbo na mikoa yao ndio inafanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa lakini wanafunzi wao wanapewa madaraja tofauti kabisa na ufaulu wao, lakini wao wamekaa kimya tu.

Madhara yake wanafunzi wao ndio wanaambiwa wapambane ili wapewe matokeo yao, yaani hata ile ladha ya ELIMU inapotea kabisa. Ni mambo ya ajabu na yanasikitisha sana, lakini hiyo ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ na hiyo ndio SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.
 
Ndio! CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537] kimeanza FITINA tangu siku nyingi na sio kwa KAMBONA na HAYATI MWALIMU pekee yake!

Bali hata kwa ADAM SAPI MKWAWA, alipigwa FITINA na VIONGOZI WA SERIKALI waliokuwepo hata baada ya HAYATI MWALIMU.

Maana kipindi cha BUNGE KILICHOONGOZWA NA SAMUEL SITTA walibadilisha mapendekezo ya SHERIA ZA KUWATUZA WASTAAFU WA SERIKALI. Sheria hii iliwagusa WASTAAFU wote kuanzia ngazi ya URAIS, UMAKAMU URAIS, UWAZIRI MKUU, SPIKA WA BUNGE na UNAIBU SPIKA WA BUNGE.

Lakini cha kushangaza - sheria hii ilianza kufanya kazi kuanzia kwa SPIKA WA BUNGE aliyejulikana kwa jina la PIUS MSEKWA na ADAM SAPI MKWAWA walimuacha ndio maana familia yake ilikuwa inalalamika kupitia vyombo vya habari vya TBC1 na SAFARI CHANNEL.

Kwahiyo FITINA zipo SERIKALINI tangu siku nyingi na zinaendelea kuwepo! FITINA zipo kila sekta, hata SEKTA YA ELIMU kuna FITINA. Angalia ORODHA YA WANAFUNZI BORA ndio utaelewa ninachokuambia.

Hawa wawakilishi wetu yaani WABUNGE wamelala FOFOFO hasa hawa WABUNGE wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA. Majimbo na mikoa yao ndio inafanya vizuri kwenye mitihani ya kitaifa lakini wanafunzi wao wanapewa madaraja tofauti kabisa na ufaulu wao, lakini wao wamekaa kimya tu.

Madhara yake wanafunzi wao ndio wanaambiwa wapambane ili wapewe matokeo yao, yaani hata ile ladha ya ELIMU inapotea kabisa. Ni mambo ya ajabu na yanasikitisha sana, lakini hiyo ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM [emoji3537] na hiyo ndio SERIKALI YA TANZANIA [emoji1241].
Kwakweli dawa ni kuwa ondoa madarakani
 
Kwakweli dawa ni kuwa ondoa madarakani
Hmmm! Hakuna cha kuwaondoa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ madarakani isipokuwa kwa njia ya MAPINDUZI, tena MAPINDUZI YA KIJESHI na sio MAPINDUZI YA KIRAIA kama ilivyo fanyika kule SUDANI 🇸🇩.

Haya MAPINDUZI YA KIJESHI yatafanikiwa endapo tu ile MAMLAKA YA JUU yaani MAJENERALI WA KIJESHI wakiruhusu, hawa wengine WAKUU WA VIKOSI VYA KANDA hawatakuwa na pingamizi. Lakini ikifanyika tofauti na hapo, SIRI lazima ivuje.

Na hauwezi ukafanya mabadiliko ya kisiasa kwa hali tuliyonayo sasa hivi - kwa sababu kuna askari wengi sana wamemwagwa uraiani, kitu ambacho kinakuwa ni vigumu kufanya mabadiliko ya kisiasa labda itokee JESHI lenyewe limeamua.

Na ndio maana sasa hivi inabidi kujipanga kwa sababu kila kitu kipo hadharani, hakuna kisichojulikana. Mambo yote hadharani! Inabidi kila mtu abebe msalaba wake, yaani kila mtu abebe mzigo wake, yaani ni hivi kila jamii ibebe watu wake. Hii ndio itakuwa ni njia sahihi na pekee ya KUPAMBANA NA WATAWALA.

Na hii ndio SIASA ambayo WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita POLITICS! Na hii ndio SIASA ambayo WARUSI 🇷🇺 wanaita POLITIKA!

Kila jamii ikiamua kujikwamua KIUCHUMI hawa WATAWALA watakuwa hawana sehemu ya kupenya! Kila jamii ikiamua kujikwamua KIUCHUMI ndio tutaona TASWIRA NA PICHA kamili ya TANZANIA 🇹🇿.

Na hauwezi ukasema unajikwamua KIUCHUMI, halafu unaajiri watu wengine! Ni lazima uajiri watu wako ndio tutasema umeshika UCHUMI.

Na hatua hii ikifika ni lazima mkae juu ya meza kwa ajili ya kutafuta muafaka wa KISIASA au kwa jina lingine wanaita MAKUBALIANO. Haya mambo ndio yanafanyika nchini KENYA 🇰🇪 na KENYA 🇰🇪 ndio wanafanya SIASA ZA USHINDANI kwa hapa AFRIKA YA MASHARIKI.

Sasa haya mambo ndio yalitakiwa kufanywa na WABUNGE WA MIKOA husika. WABUNGE WA MIKOA wakiungana wanaweza kufunga KIWANDA KIKUBWA ambacho kitaweza kuwa ni fursa kwa WANANCHI wao. Lakini haya mambo hawayafanyi, wanategemea fursa kutoka SERIKALI KUU na hapa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ndio kinapopata USHINDI WA KISIASA kwa sababu WANANCHI wengi ni MASIKINI.

Lakini hali ni tofauti kabisa kwa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 - wao wana VIWANDA vyao ambavyo vinafanyika kuwa ni FURSA kwa watu wao na ndio maana hawa SERIKALI walitaka kufanya makubaliano na MWASHITA yaani SIMBA 🦁 lakini hawa MWASHITA wakagoma, kwa sababu na wao yaani MWASHITA wana watu wao wa kuwaajiri ambao ni WAKAAZI WA MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA.

Kwa mfano, ukifika pale kiwanda cha MTIBWA SUGAR, wafanyakazi karibia wote ni wafanyakazi kutoka mkoa wa SHINYANGA na MWANZA. Na ndio maana sasa hivi ukija SHINYANGA MJINI hakuna VIJANA wale wenyeji, wote wamepotelea VIWANDANI. Sasa hivi kuna SURA NGENI tu, nyingine ni SURA ZA KIPOLISI na SURA ZA KIJESHI 👮

Sasa hali hii ingelikuwa kwa TANZANIA 🇹🇿 nzima, ingelikuwaje? CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kingelitoka madarakani, mapema sana wala sio swali la kuuliza.

Kwahiyo jukumu lililopo mezani ni kujipanga, hakuna kitu cha bahati mbaya wala bahati nzuri! Ukija kwenye masuala ya kijamii na mahusiano ya watu, kinachotakiwa ni kujipanga! Na SIASA ni zao la masuala ya kijamii na mahusiano ya watu. Hakuna bahati mbaya wala bahati nzuri, ni mikakati ya kweli ndio itakayoleta MABADILIKO YA KISIASA.

Na sasa hivi ndio wakati wa kutulia na kuitengeneza JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA 🦁. Hizi JAMII nyingine hazitakiwa hata kuambiwa kwa sababu wana macho na wanaona! Wana masikio na wanasikia kuwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni habari nyingine na kinachotakiwa ni kujipanga.
 
Yule KIBOKO wetu jirani na CHILUBA na marafiki zake walomzunguka ndani ya TwigaUhuruNaUmoja mbona wao hawaendelei au kuna kitu walimkosea MR CHEETAH?

Naona kama vile wanasahauliwa sana ktk mwaka wa Twiga kwa kila JULY 1.

Makadirio ya mapato na matumizi hayaendi vema kama yanavyo pushiwa kwa zones/regions zingine.

Mkuu, Charles Mandela , Unaonaje juu ya hilo?
 
Yule KIBOKO wetu jirani na CHILUBA na marafiki zake walomzunguka ndani ya TwigaUhuruNaUmoja mbona wao hawaendelei au kuna kitu walimkosea MR CHEETAH?

Naona kama vile wanasahauliwa sana ktk mwaka wa Twiga kwa kila JULY 1.

Makadirio ya mapato na matumizi hayaendi vema kama yanavyo pushiwa kwa zones/regions zingine.

Mkuu, Charles Mandela , Unaonaje juu ya hilo?




Hebu sikiliza nyimbo ya DIDDY, halafu mambo mengine baadae!​
 
Na kwa kuongezea hapa kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA - kuna VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na JESHI LA POLISI! Kuna VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na USALAMA WA TAIFA! Na kuna baadhi ya VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa kwa msaada wa NCHI JIRANI.

Hii yote inatumika kama HUDUMA ZA KIJAMII NA MAHUSIANO YA WATU kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na JESHI LA POLISI na kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na USALAMA WA TAIFA.

Na kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa kwa msaada wa NCHI JIRANI huwa inatokana na sababu za UKACHERO.

Kwahiyo kama MWANACHAMA wa CHAMA chochote kile cha KISIASA ni vyema kuchunguza kwanza kabla ya kufanya maamuzi, maana kuna VYAMA VYA KISIASA ukiingia na ukitoka salama ushukuru MUNGU!

Ndio maana kuna baadhi ya WANASIASA walishambuliwa kwa risasi na mwingine alifariki kwa sababu zisizojulikana, wengine wanasema ni COVID-19 lakini hali halisi ni POLITICAL ASSASSINATION.

Na kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vilivyo juu sasa hivi, yaani CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️, CHADEMA ✌️, CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ na ACT - WAZALENDO 🖐️ ni vyama viwili [ 2 ] tu ndio vyama vinavyomilikiwa na raia wa kawaida, vingine ni vyama vinavyomilikiwa na JESHI LA POLISI na USALAMA WA TAIFA.

VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na raia wa kawaida ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF ☀️ na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ lakini kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ni chama cha kisiasa ambacho kinajumuisha kila aina ya watu, yaani ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ kuna kila aina ya sura na kila aina ya watu wanaopatikana TANZANIA 🇹🇿.

Ndio maana maendeleo yanachelewa kwa upande mwingine, kwa sababu ya aina na malengo ya kisiasa ambayo CHAMA CHA KISIASA kinakuwa na mwakilishi katika sehemu fulani, sehemu hiyo inaweza kuwa ni KATA, JIMBO au hata NCHI.

Ndio maana sasa hivi WABUNGE wanaenda BUNGENI kama wanaenda SOKONI halafu wanachukua POSHO yaani "SITTING ALLOWANCES" kikao kinakuwa kimeisha. Hawafanyi shughuli yoyote ya kitaifa zaidi ya kufanya POROJO yaani LITERALLY POLITICS.

Hata WABUNGE wa hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA wapo hivyo hivyo, hakuna vitu wanavyofanya BUNGENI na MIKOA yao ndio WAHANGA WAKUBWA WA SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿.

Kwa mfano, ukiangalia matokeo ya wanafunzi bora ya kidato cha nne kwa miaka kumi [ 10 ] iliyopita, MKOA WA SHINYANGA ulitoa wanafunzi bora mara tatu [ 3 ] - kwa mwaka 2005, mwaka 2007 na mwaka 2012! Lakini hawa wanafunzi wanapewa matokeo tofauti kabisa na ufaulu wao na SHULE zao zimekaa kimya! Na HALMASHAURI zao zimekaa kimya! Na WABUNGE wao wamekaa kimya! Ndio maana hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wameamua kuwasaidia WENYEJI WA HII MIKOA bila hata kuwa na mahusiano na WAWAKILISHI WA HII MIKOA. Yaani hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 hawana mahusiano yoyote na VIONGOZI WA SERIKALI ZA MIKOA wala WABUNGE wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Kwa sababu hawa WABUNGE wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA hawana msaada wowote kwa majimbo yao, na hiyo ndio SIASA. Lakini pamoja na hayo yote, WENYEJI WA HII MIKOA wanakuja juu kiuchumi kwa sababu ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁.

Kwahiyo hii ndio SIASA YA TANZANIA 🇹🇿 inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kwa msaada wa NCHI ZA UJERUMANI 🇩🇪 na ITALIA 🇮🇹.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ inayolenga kubaki madarakani kwa muda wa kipindi kirefu sana.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ambayo itaacha baadhi ya jamii masikini sana ikiwemo MIKOA YA KIGOMA, RUKWA, SINGIDA, RUVUMA, LINDI, IRINGA, DODOMA na MTWARA.

Na hii ndio SIASA inayofanywa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ ambayo itafanya jamii ya SERENGETI yaani CHUI kuwa na NGUVU YA KIUCHUMI NA KISIASA huku jamii nyingine zikibaki kuwa hoi na masikini wa kutupwa!

Kwahiyo mabadiliko ni lazima, hasa kwa mfumo wa elimu wa TANZANIA 🇹🇿. Ni lazima kuwe na uwazi katika kuwasilisha matokeo ya wanafunzi kwa awamu zote yaani darasa la saba, kidato cha nne na kidato cha sita ndio maendeleo kwa jamii zote yatapatikana lakini tofauti na hapo, itakuwa ni shughuli ya kumpigia mbuzi gitaa.​

2888642_IMG_20210820_064444.jpg


2888692_IMG_20210820_064451.jpg

Kuna VYAMA VYA KISIASA kama nilivyosema hapo juu kwenye hii posti niliyonukuu vinamilikiwa na RAIA, MAJESHI na NCHI ZA JIRANI.

Sasa kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na MAJESHI ni kama unavyoona hapo juu.

Kwa wale watambuzi wa picha - hizo picha na rangi ya mavazi zinaashiria ni CHAMA CHA KISIASA kinachomilikiwa na JESHI LA [...]. Mengine utamalizia mwenyewe, sio kila kitu lazima utafuniwe.

Na hii sio jambo la ajabu wala kushangaza, ni kawaida kwenye masuala ya mahusiano ya watu na kijamii. MAJESHI huwa yana utaratibu wake katika kushirikiana na JAMII, ndio maana kuna WASANII, kuna TIMU ZA MPIRA WA MIGUU, kuna WANASIASA na kuna kila kitu ambacho kinahusu mahusiano ya watu na kijamii.

Kwahiyo ni vyema kufahamu kila CHAMA CHA KISIASA - dhima yake na maudhui kabla ya kufanya maamuzi ya kuwa MWANACHAMA.
 
Yule KIBOKO wetu jirani na CHILUBA na marafiki zake walomzunguka ndani ya TwigaUhuruNaUmoja mbona wao hawaendelei au kuna kitu walimkosea MR CHEETAH?
SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 INAYOONGOZWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM ⚒️ tangu kuasisiwa kwake huwa ina utaratibu wake katika sekta ya maendeleo kwa nchi nzima.

SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 huwa inatoa kwa mafungu miradi ya maendeleo kwa mikoa yote TANZANIA 🇹🇿. Kwahiyo mkoa fulani unaweza kuwa ni kipaumbele cha SERIKALI kwa mwaka halafu mwaka unaofuatia mkoa fulani ndio utakuwa ni kipaumbele cha SERIKALI kwa upande wa maendeleo.

Sasa tuna mikoa zaidi ishirini [ 20 ], kwahiyo kwa utaratibu wa SERIKALI YA TANZANIA 🇹🇿 kufanya maendeleo kwa awamu kila baada ya mkoa, kuna baadhi ya mikoa maendeleo yatachelewa au mikoa mingine itaonekana kusahaulika kabisa lakini awamu inakuwa haijafika kwa mkoa husika.

Sasa mambo mengine inabidi yabaki kwa SERIKALI YA MKOA yenyewe, sio lazima kila kitu kutegemea kutoka SERIKALI KUU.
Naona kama vile wanasahauliwa sana ktk mwaka wa Twiga kwa kila JULY 1.

Makadirio ya mapato na matumizi hayaendi vema kama yanavyo pushiwa kwa zones/regions zingine.

Mkuu, Charles Mandela , Unaonaje juu ya hilo?

images.jpeg

Angalia RAMANI hapo juu inayoonesha RAMANI YA TANZANIA 🇹🇿 NA MIKOA YAKE. Hizi jamii mbili za MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na SERENGETI yaani CHUI zimeigawanya TANZANIA 🇹🇿 katika mikoa ifuatayo:

Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 wamehodhi hii mikoa ya MWANZA, SHINYANGA, TABORA, GEITA, KAGERA, KIGOMA, KATAVI, TANGA, MOROGORO na RUKWA.

Hawa SERENGETI yaani CHUI wamehodhi hii mikoa ya MARA, SIMIYU, MANYARA, IRINGA, PWANI, DAR ES SALAAM, LINDI, MTWARA, RUVUMA, NJOMBE, MBEYA, SINGIDA, DODOMA na ZANZIBAR.

Hii mikoa miwili ya ARUSHA na KILIMANJARO bado ni "BATTLE GROUND" yaani "UWANJA WA VITA" kati ya MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na SERENGETI yaani CHUI. Na itaendelea kuwa hivyo hivyo mpaka pale itapoeleweka na haijulikani ni lini.

Sasa swali linakuja - hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na SERENGETI yaani CHUI wamehodhi vipi hii mikoa? Hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na SERENGETI yaani CHUI ndio wameshikilia intelijensia ya mikoa husika. WAINGEREZA 🇬🇧 wanaita "INTERFERENCE" yaani wameingilia mifumo yote ya ULINZI NA USALAMA kwa mikoa husika, hii yote inahusisha shughuli zote za KIBIASHARA NA KIUCHUMI kwa mikoa husika.

Ndio maana hawa MWASHITA yaani SIMBA 🦁 na SERENGETI yaani CHUI hawashikiki kwenye kila sekta, mpaka JESHI LA WANANCHI [ JWTZ ] limeamua kuingiza vijana uraiani ili kudhibiti hii hali maana USALAMA WA TAIFA wameshindwa na wamemezwa kabisa na hizi jamii mbili.
 
Back
Top Bottom