Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Daaaa!! sawa bana!! unafanya nini mtaani dogo!! saa hizi ujue ni saa nane! na jua la Dar! joto! sasa hvi kale utaanguka!

ana
Mimi sasa hivi nipo SHINYANGA, mitaa ya MAZINGIRA CENTER nasikiliza mziki laini ๐ŸŽถ! DAR nitakuja muda sio mrefu kuanzia mwezi huu. Siunajua tena ๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 
Niwe mkweli na mwaminifu kwako, kwa members wengine, & hata kwa YULE anayekupatia pumzi.

Siisomi HOLY BIBLE wala NOBLE QUR'AN hata vitabu vya nyimbo za KIKRISTO sanjari na TENZI ZA ROHONI japokuwa nililelewa na kukulia katika malezi na madili ya kumfahamu MUNGU.

Nawaza kuusaka MKATE tu wala huwa sina kingine, Nawaza ni namna gani nitatoka kimaisha?!

Nifanyeje ili nitoboe? Hapo ndo mawazo yangu yote nayaweka.
 
Niwe mkweli na mwaminifu kwako, kwa members wengine, & hata kwa YULE anayekupatia pumzi.

Siisomi HOLY BIBLE wala NOBLE QUR'AN hata vitabu vya nyimbo za KIKRISTO sanjari na TENZI ZA ROHONI japokuwa nililelewa na kukulia katika malezi na madili ya kumfahamu MUNGU.

Nawaza kuusaka MKATE tu wala huwa sina kingine, Nawaza ni namna gani nitatoka kimaisha?!

Nifanyeje ili nitoboe? Hapo ndo mawazo yangu yote nayaweka.
Ngoja kesho nitakutumia picha ya hicho kitabu cha TENZI ZA ROHONI kwa upande wa DIBAJI [ PREFACE ] uone! Hawa SERENGETI yaani CHUI huwa wanatumia BIBLIA TAKATIFU kuongoza nchi na huwa wanatumia kitabu cha TENZI ZA ROHONI muda wa KUSIFU NA KUABUDU huku wameshika BUNDUKI na ukiwa mgeni kwenye hizo ibada za KUSIFU NA KUABUDU huwa wanabatiza kwanza kama ishara ya KUBALIKIWA NA KUSHIRIKI kwenye maamuzi ya SERIKALI.

Hiyo ndio INNER CIRCLE ya SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ INAYOONGOZWA NA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ jinsi inavyofanya kazi.
 
Niwe mkweli na mwaminifu kwako, kwa members wengine, & hata kwa YULE anayekupatia pumzi.

Siisomi HOLY BIBLE wala NOBLE QUR'AN hata vitabu vya nyimbo za KIKRISTO sanjari na TENZI ZA ROHONI japokuwa nililelewa na kukulia katika malezi na madili ya kumfahamu MUNGU.

Nawaza kuusaka MKATE tu wala huwa sina kingine, Nawaza ni namna gani nitatoka kimaisha?!

Nifanyeje ili nitoboe? Hapo ndo mawazo yangu yote nayaweka.




Jaribu tena kusikiliza na kutizama hii nyimbo ya CHRISTINA SHUSHO inayoitwa NIPE MACHO NIONE. Hii ni nyimbo ambayo imebeba maudhui fulani fulani kwenye mashairi yake na pia video yake.

Wale INTELIJENSIA WALIOBOBEA huwa wanapenda kutumia hii nyimbo kufikisha ujumbe kwa njia ya sauti na video kwa wahusika. Hii yote inafanyika ili kumpa nafasi mhusika aweze kuona tu na sio mpaka aambiwe.

Wale INTELIJENSIA WALIOBOBEA huwa wanapenda kusema hivi - KUSOMA HUJUI, HATA PICHA PIA HUONI. Hii ikiwa na maana ya kwamba tumepewa macho ya kuweza kutambua sio mpaka tuambiwe, mambo mengine yanafanyika kwa ishara.

Haya kazi ni kwako kuangalia kitabu cha TENZI ZA ROHONI kwa upande wa DIBAJI yaani PREFACE. Wewe jaribu kukipitia hicho kitabu na sio lazima uwe mtu wa DINI fulani ndio ukisome, hapana! Jaribu kusoma kama msomaji wa kawaida.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikua tunaaminishwa kwamba Mlm Nyerere ndio "icon" pekee apa nchini, tulikua tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kua kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia badae sana baada ya kuskia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikua bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikua akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya kambona mwalimu "angefeli vibaya mno". Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asinge endelea kua mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake". Mwalimu alikua mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine ,chochote kile ambacho kilikua hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikua "viable". Fikiria mtu mmoja tu kaenda urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwasababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikua "kila kitu"

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo kambona ndie aliekua sahihi lakini hawakumskiliza. Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikua "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona

Haya leo 2021 TZ hii ya leo ndio kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu za mwalimu nyerere

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii, natamani watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 wajue habari za huyu shujaaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawa sawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yy mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huo huo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwร  na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa ยฃ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

I beg to differ

with kambona s vision tungekua kama
Kenya tu

Kambona was a puppet
 
Sawa, Mkuu!

Nashukuru sana kwa kunilisha cha hiki adimu.

Tarehe 09/23 nitashughulika na hizo HYMNS.
Sasa hapo kwenye hiyo nyimbo na maudhui yake umeelewa nini? Hebu jaribu kutizama vizuri hiyo video halafu uniambie umeona nini? Chochote kile ulichokiona hapo kwenye hiyo nyimbo ya CHRISTINA SHUSHO inayoitwa NIPE MACHO NIONE.

4f58490d9c83f3148d062ead3d85068a.png


ccd3eb29b6b32477c0a7b9d2f4f76327.png


Ikumbukwe pia, wale SERENGETI yaani CHUI ndio wamiliki halali wa kiwanda kinachotengeneza pikipiki za SANLG na vile vile hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ ndio wamiliki halali wa kiwanda kinachotengeneza pikipiki za KINGLION.
 
Sijaitazama video ya NIPE MACHO bali nimepitia LYRICS yake.

Picha yetu inaanza na kati mwisho kati mwanzo.

Nina MACHO mawili kwa nini nipewe MACHO mengine?

Kwani MAWILI niliyonayo hayanitoshi kwa KUONA hata nipewe MACHO mengine?

Hayo MACHO mengine nitakayopewa yatakaa usoni jumla yawe MANNE au yatakaa upande gani wa mwili?

"Nipe macho nione, macho eh eh.
Nipe macho nione
sawa swawa X4"

"Milango yangu ya fahamu ilishafungwa" by DAZ NUNDAZ-Kamanda.

Wakati MAGETI MATANO yanapokwama ndipo GETI NAMBA SITA linapofunguliwa.

Nilikuwa kifungoni wala sikuona hata kufahamu kama MEDI amewapa vijana nchini nzima MOTO MOTO wala si kauli mbiu, MOTO MOTO wala si muwako, MOTO MOTO kama RIDERS/MV wapate MKATE na pia JITU MNYAMA apate mafao naye zaidi zaidi kujitangaza lakini sikuiona NEMBO wala kuifahamu, Lakini leo Nembo ya BEAST ktk MOTO MOTO nimeiona na GETI LANGU NO.6 limefunguka.
KINGLION nimeisoma.

"Macho yangu yanaona nina NGUVU, kumbe waniona MNYONGE"

Nipe macho nione, macho
 
Sijaitazama video ya NIPE MACHO bali nimepitia LYRICS yake.

Picha yetu inaanza na kati mwisho kati mwanzo.

Nina MACHO mawili kwa nini nipewe MACHO mengine?

Kwani MAWILI niliyonayo hayanitoshi kwa KUONA hata nipewe MACHO mengine?

Hayo MACHO mengine nitakayopewa yatakaa usoni jumla yawe MANNE au yatakaa upande gani wa mwili?

"Nipe macho nione, macho eh eh.
Nipe macho nione
sawa swawa X4"

"Milango yangu ya fahamu ilishafungwa" by DAZ NUNDAZ-Kamanda.

Wakati MAGETI MATANO yanapokwama ndipo GETI NAMBA SITA linapofunguliwa.

Nilikuwa kifungoni wala sikuona hata kufahamu kama MEDI amewapa vijana nchini nzima MOTO MOTO wala si kauli mbiu, MOTO MOTO wala si muwako, MOTO MOTO kama RIDERS/MV wapate MKATE na pia JITU MNYAMA apate mafao naye zaidi zaidi kujitangaza lakini sikuiona NEMBO wala kuifahamu, Lakini leo Nembo ya BEAST ktk MOTO MOTO nimeiona na GETI LANGU NO.6 limefunguka.
KINGLION nimeisoma.

"Macho yangu yanaona nina NGUVU, kumbe waniona MNYONGE"

Nipe macho nione, macho
Itakuwa ni vigumu sana kuweza kuelewa hayo MAZINGIRA yaani SCENES ya hiyo VIDEO, kwa sababu TAARIFA ZA AWALI yaani BACKGROUND INFORMATIONS huna! Lakini hiyo VIDEO ilikuwa na inatoa ujumbe kwa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ na SERENGETI yaani CHUI dhidi ya SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Siku zote rangi ya BLUU ๐Ÿ”ต inawakilisha IKULU, na hata watumishi wa SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ wanaovaa KAUNDA SUTI ZA BLUU huwa wanawakilisha IKULU. Kwahiyo tukubaliane RANGI YA BLUU ๐Ÿ”ต inawakilisha IKULU na huyo dada aliyevaa BRAUZIA YA RANGI YA CHUI inawakilisha SERENGETI yaani CHUI.

Kwahiyo huyo dada aliyevaa BRAUZIA YA RANGI YA CHUI anafukuzwa ndani, hii ikiwa na maana ya SERENGETI yaani CHUI inaondolewa IKULU. Na SERENGETI yaani CHUI haitaondoka hivi hivi, lazima ugomvi na mafarakano yawepo kama unavyoona hapo kwenye hiyo VIDEO SCENES yaani MAZINGIRA YA VIDEO.

Na jaribu kuangalia vizuri kipindi huyo dada aliyevaa BRAUZIA YA RANGI YA CHUI anaondolewa ndani, kulikuwa na televisheni inayoonesha mtu amevaa nguo yenye rangi ya KIJANI, BLUU na NJANO. Hiyo ikiwa na maana ya bendera ya SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ. Kwahiyo kupitia MAZINGIRA YA VIDEO utaweza kuelewa ya kwamba - SERENGETI yaani CHUI ina mahusiano ya moja kwa moja na SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ.

Na kwa jinsi inavyoonekana mpaka sasa hivi ni kwamba - FEDHA zinazotumika kujenga nchi ya RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ ni FEDHA ambazo zinatoka TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. Kwahiyo zoezi la kuiondoa SERENGETI yaani CHUI kwenye MFUMO WA SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ bado inaendelea lakini sio vyepesi kama watu wengine wanavyodhani. Ni lazima kutatokea ugomvi na mafarakano, na hata VIFO kama tulivyoshuhudia kwa baadhi ya VIONGOZI WA SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Halafu hayo MAPAZIA YA RANGI YA KIJANI NA NYEKUNDU ni bendera ya SERIKALI YA BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ na hiyo miti mirefu ni MASHAMBA YA MIWA [ KAGERA SUGAR na MTIBWA SUGAR ] ndio zinazohudumia SERIKALI YA BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ. Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ hawana shida, kwa sababu wao hawapo kwenye SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na wanaendesha SERIKALI YA BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ kupitia vyanzo vyao vya mapato. Lakini hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ lazima watapitia MISUKOSUKO DHIDI YA SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Vile vile kipindi ambacho hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ na SERENGETI yaani CHUI watakuwa pamoja ni kipindi ambacho SERENGETI yaani CHUI ataondolewa kwenye MFUMO WA SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. Kuiondoa SERENGETI yaani CHUI kwenye MFUMO WA SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ni kukiondoa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ madarakani. Na sio jambo jepesi!!

Kwahiyo SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ watakuja kuwa pamoja endapo tu CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kitaondolewa madarakani. Na watakuja kuwa pamoja kupitia SERIKALI ZA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ NA BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ na hapo ndio vita inaweza kutokea kati ya TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na KONGO ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ kwa sababu hawa hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ na SERENGETI yaani CHUI ndio wenye ushawishi na walioshika SERIKALI YA KONGO ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ kupitia intelijensia zao za RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ na BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ.

Kwahiyo VITA YA SILAHA inaweza kutokea kati SERIKALI YA KONGO ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ na SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ endapo tu CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kitaondolewa madarakani. Na SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ itapigwa kwa sababu hawa WAKONGOMANI ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ walishajiandaa tangu siku nyingi, kitu wanachosubiri ni siku na masaa tu.

Halafu pia, hawa WAKONGOMANI ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฉ wanamiliki MABOMU YA NYUKLIA yaliyoachwa na WABELIGIJI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ช ambayo yanasubiri muda wa matumizi dhidi ya TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. Na hii ndio hali halisi.
 
Hapana, Mkuu!

Sikuwa naipata hiyo.
Hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wao wametulia na SERIKALI YA BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ na ndio wanaoendesha SERIKALI YA BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ kupitia CHAMA TAWALA CHA CNDD - FDD.

Vile vile ukiondoa zile kampuni tatu kubwa TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ ambazo ni SUPERGROUP LTD, AZANIA, MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LTD, kampuni nyingine ni AMSONS GROUP.

Hii kampuni ya AMSONS GROUP inajumuisha kampuni ndogo ndogo zipatazo nane [ 8 ]. Kampuni hizo ni CAMEL CEMENT, CAMEL OIL, CAMEL GAS, CAMEL FLOUR MILLS, CAMEL CONCRETE, AMSONS REAL ESTATE, HEAVY DUTY COMMERCIAL TRANSPORTER na FARION TRADING LIMITED.

Hizo ndio kampuni nne [ 4 ] kubwa kuliko zote zinazopatikana TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na pia hizi kampuni zinamilikiwa na MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ na ndio miongoni mwa kampuni zinazochangia uchumi wa nchi ya BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ.

8ad07569f05bd7c84e46911fc6a9a8f8.png


74dfdeb32e368fb598681d57f1252455.png


12efe3e6dd5c578180ea86a7546a92a4.png


9caebfbfec218045c3d20617588d6294.png


76de79370804bebf074c826b727631c7.png

Na kwa siku chache zijazo hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wakiachana na FIKRA DUNI, nchi ya BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ kupitia CHAMA TAWALA CHA CNDD - FDD wanaweza kujitoa kwenye UMOJA WA NCHI ZINAZOZUNGUMZA KIFARANSA yaani FRANCOPHONE COUNTRIES na kuanza kutumia lugha ya KIINGEREZA NA KISWAHILI kama lugha kuu za mawasiliano na kufundishia shuleni na vyuo vikuu.

Vile vile hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ kupitia vyanzo vyao vya ajira, wana uwezo wa kuajiri WARUNDI elfu kumi hadi elfu kumi tano [ 10,000 - 15,000 ] kwa mkupuo nje ya nchi ya BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ.

Kijiografia, nchi ya BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ ni ndogo kuliko hata mkoa wa TABORA. Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ wana uwezo wa kubadilisha nchi ya BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ kwenda nchi yenye uchumi wa kati kupitia vyanzo vyao vya mapato kwa kipindi kisichozidi miaka kumi [ 10 ].

Kwahiyo ukiondoa hizo kampuni kubwa nne [ 4 ] zinazopatikana TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, zipo kampuni nyingine ndogo ndogo ambazo pia zinaweza kuchangia mapato na ajira kwa SERIKALI YA BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ bila kuigusa SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. Na ni suala la muda tu!
 
Charles Mandela the illusionist[emoji1787][emoji1787]

Wake up from your day-dreaming

Eti jamaa wa burudi wanamiliiki meli ya OASIS seriously

Wewe jamaa ulitudanganya hapa eti ma TO wanapata Four [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Siwezi kukutofautisha na Deo Kisandu

Sema uko kwenge your own lane[emoji1]
 
Charles Mandela the illusionist[emoji1787][emoji1787]
Mimi ni METALLURGIST! Mimi sio ILLUSIONIST! Maana yake nini? Maana mimi sielewi kitu hapo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wake up from your day-dreaming
Ain't a day - dreamer! I'm realistic person living within the same world.
Eti jamaa wa burudi wanamiliiki meli ya OASIS seriously
Yaani hapo tayari nimeshakuona wewe ni CHENGA tu! Unataka kuharibu hii mada.

Jaribu kupitia yale yaliyojadiliwa huko nyuma na vizuri yapo kwenye maandishi.
Wewe jamaa ulitudanganya hapa eti ma TO wanapata Four [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
You're kidding my friend! You're actually not getting things serious, eeh ๐Ÿ˜†
Siwezi kukutofautisha na Deo Kisandu
Aah! Utakuwa umenikosea sana kunifananisha na DEO KISANDU! Yaani yule jamaa aliyekuwa CHADEMA โœŒ๏ธ wakamfukuza!

Yaani mtu mpaka inafikia hatua anafukuzwa CHADEMA โœŒ๏ธ ina maana hamnazo kichwani ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Halafu nasikia DEO KISANDU amejiunga JESHI! Ni askari kanzu na alikuwa anatumia muda mwingi kuwazodoa watu. Kwahiyo hata wewe unatakiwa kuwa makini kwenye hivyo VYAMA VYENU VYA KISIASA.

CHAMA CHA KISIASA ambacho unaweza kuacha hata glasi ya maji mezani na ukaenda chooni ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ. Sehemu nyingine ni kujitafutia matatizo tu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Ebu jaribu kuacha glasi ya maji mezani halafu uende chooni kwenye mkutano wa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ, ACT - WAZALENDO ๐Ÿ–๏ธ au hata CHADEMA โœŒ๏ธ tukuone kama kesho utaamka, *****! Utakufa unajiona ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Sema uko kwenge your own lane[emoji1]
Au wewe The imp ndio DEO KISANDU maana nyinyi ni watu wa kuwaogopa sana.

Hauwezi kunifananisha mimi na hao watu! Sijui nani nani! Sijui fulani fulani! Anyway, I'm so far from those PEOPLE.
 
Charles Mandela the illusionist[emoji1787][emoji1787]

Wake up from your day-dreaming

Eti jamaa wa burudi wanamiliiki meli ya OASIS seriously

Wewe jamaa ulitudanganya hapa eti ma TO wanapata Four [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Siwezi kukutofautisha na Deo Kisandu

Sema uko kwenge your own lane[emoji1]

2461844dde84c5e0783303ba0ef09180.png

Kuna basi linauzwa huko, nenda kalinunue! Sio kidohea dohea tu vitu vya watu, ilmradi na wewe uonekane una hela! Sasa hivi hakuna maisha ya DEZO ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Charles Mandela the illusionist[emoji1787][emoji1787]

Wake up from your day-dreaming

Eti jamaa wa burudi wanamiliiki meli ya OASIS seriously

Wewe jamaa ulitudanganya hapa eti ma TO wanapata Four [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Siwezi kukutofautisha na Deo Kisandu

Sema uko kwenge your own lane[emoji1]

28deb60f4008b3897bf9925c969b5da0.png

Unaona hiyo picha hapo juu? Hiyo picha nimetumiwa na rafiki zangu kutoka ULAYA ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡บ na hiyo picha inaonesha ni jinsi gani hawa VIONGOZI WA KIAFRIKA walivyo na matumizi mabaya ya FEDHA.
 
Mkuu, Charles Mandela!
Tulichangia mauaji ya WATU 200K pale HIRONAGA 1945 kwa kumuuzia U.S Madini.

Hatukupigwa BAN na UN kwamba SHINKOLOBWE
yetu isichimbe URANIUM!?


Inakuwaje tuwe na NUCLEAR BOMBS wakati tulikuwa na uwezo wa kuchimba na kuuza URANIUM tu pale nyumbani kwetu SHINKOLOBWE!?!!
 
Kuna VYAMA VYA KISIASA kama nilivyosema hapo juu kwenye hii posti niliyonukuu vinamilikiwa na RAIA, MAJESHI na NCHI ZA JIRANI.

Sasa kwa upande wa VYAMA VYA KISIASA vinavyomilikiwa na MAJESHI ni kama unavyoona hapo juu.

Kwa wale watambuzi wa picha - hizo picha na rangi ya mavazi zinaashiria ni CHAMA CHA KISIASA kinachomilikiwa na JESHI LA [...]. Mengine utamalizia mwenyewe, sio kila kitu lazima utafuniwe.

Na hii sio jambo la ajabu wala kushangaza, ni kawaida kwenye masuala ya mahusiano ya watu na kijamii. MAJESHI huwa yana utaratibu wake katika kushirikiana na JAMII, ndio maana kuna WASANII, kuna TIMU ZA MPIRA WA MIGUU, kuna WANASIASA na kuna kila kitu ambacho kinahusu mahusiano ya watu na kijamii.

Kwahiyo ni vyema kufahamu kila CHAMA CHA KISIASA - dhima yake na maudhui kabla ya kufanya maamuzi ya kuwa MWANACHAMA.
Reginald L. Ishala kwenye hayo mambo ya mahusiano ya watu na kijamii hasa SIASA huwa yametawaliwa na INTELIJENSIA. Kama haupo kwenye INTELIJENSIA yoyote usijihusishe na SIASA za aina yoyote ile, maana utapotea.

Na INTELIJENSIA huwa imetawaliwa na LUGHA ZA ISHARA na hata hivi VYAMA VYA KISIASA huwa vinatoa mtazamo na taswira kwa LUGHA ZA ISHARA.

Na taswira ya VYAMA VYA KISIASA unaweza kuitambua kupitia sare, ilani na miiko ya CHAMA. Wakati mwingine hata majina huwa yanatambulisha taswira ya VYAMA VYA KISIASA.

Kwa upande wa CHADEMA โœŒ๏ธ hilo tumelimaliza na kwa upande wa ACT - WAZALENDO ๐Ÿ–๏ธ kile ni chama kinachomilikiwa na DOLA, tena kinamilikiwa na moja ya MAJESHI ya TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. Na sio kosa kwa sababu hata MAJESHI yenyewe, majukumu yao ni mahusiano ya watu na kijamii ambapo hata SIASA ipo.

Na miongoni mwa vile vyama vya upinzani vyenye uwakilishi bungeni ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF โ˜€๏ธ pekee yake ndio chama cha kisiasa kinachomilikiwa na raia wa kawaida.

Kwahiyo ni vyema kuyafahamu haya mapema kabla ya mambo mengine maana SERIKALI ipo kazini, hasa kwenye kipindi kama hiki ambapo kuna mwamko mkubwa wa VIJANA kujihusisha na SIASA.
 
Mkuu, Charles Mandela!
Tulichangia mauaji ya WATU 200K pale HIRONAGA 1945 kwa kumuuzia U.S Madini.

Hatukupigwa BAN na UN kwamba SHINKOLOBWE
yetu isichimbe URANIUM!?


Inakuwaje tuwe na NUCLEAR BOMBS wakati tulikuwa na uwezo wa kuchimba na kuuza URANIUM tu pale nyumbani kwetu SHINKOLOBWE!?!!



Sasa kabla hatujaendelea na mambo mengine, jaribu kupitia hiyo VIDEO inayoonesha MAJESHI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ wakifanya moja ya shughuli za KIJESHI.

Kama nilivyotoka kueleza huko nyuma kuhusu hizi nchi za RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ na BURUNDI ๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ na mahusiano ya moja kwa moja na jamii za SERENGETI yaani CHUI na MWASHITA yaani SIMBA ๐Ÿฆ.

SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ ni SERENGETI yaani CHUI na hata kauli ambazo huwa zinatolewa na VIONGOZI WA SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ huwa zinawakilisha misimamo na mitazamo ya SERENGETI yaani CHUI.

Halafu pia, hawa ASKARI WA SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ huwa wanaingia moja kwa moja kwenye MAJESHI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ, hii ikiwa ni MAHUSIANO YA KIDIPLOMASIA vile vile kudumisha na kuimarisha MASILAHI YA SERENGETI YAANI CHUI na hivi karibuni kile kikosi hatari cha mauaji kimeingia TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na kipo hadi kwenye MAJESHI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Kwahiyo hii SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ ipo kimkakati kwa MASILAHI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ kwanza na kwa MASILAHI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kwa ujumla na kule RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ ndio mipango yote ya SERIKALI YA TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kupitia CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM โš’๏ธ inapangwa, hii inatokana na USIRI WA MAMBO YA SERIKALI yaani CONFIDENTIALITY OVER GOVERNMENT MATTERS.

Vile vile huyu RAIS WA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ, PAUL KAGAME ni IDEAL PERSONELLY na anatumika kama ni msemaji wa SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ lakini wenye SERIKALI YA RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ ni SERENGETI yaani CHUI.

Halafu pia, huyu PAUL KAGAME ni MSOMALI sio MTUSI kama JAMII YA KIMATAIFA ilivyoaminishwa. Sema WASOMALI wanafanana kabisa na WATUSI na wote ni JAMII MOJA na watu wenye asili ya "CUSHITES" na "NILOTES".

Na huyu PAUL KAGAME ana ndugu zake TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ na pia ana ndugu zake KENYA ๐Ÿ‡ฐ๐Ÿ‡ช, kwa upande wa TURKANA. Sema kwenye harakati za kutafuta maisha alijikuta amedondokea huko.

Na hivi karibuni aliomba kuongezewa mshahara kutoka kwa wenye SERIKALI kwa sababu ya matusi ambayo huwa anatukanwa na kusimangwa na baadhi ya watu kwenye mitandao ya kijamii, majirani na hata jamii ya kimataifa.

Sasa kama PAUL KAGAME ni IDEAL PERSONELLY [ IP ], hilo jina la "PAUL" walilitoa wapi? Au wale waliompatia hilo JINA walikuwa wanamaanisha nini? Soma MAANDIKO YA BIBLIA kuhusu ASILI YA PAUL na MAANA yake.

Kabla ya MTUME PAUL kuitwa jina la "PAUL" alikuwa anaitwa "SAUL" na alikuwa ni MUAJI. Alikuwa ni muaji kwa wale wote waliokuwa wakieneza INJILI YA KRISTU lakini baadae alivyokuja kuikili IMANI YA KRISTU aliamua kubatilishwa jina na kuitwa PAUL - yaani tazama yote ya zamani yamepita na umefanyika kuwa mtu mpya.

Na hayo ndio yaliyotokea RWANDA ๐Ÿ‡ท๐Ÿ‡ผ, baada ya MAUAJI YA KIMBARI kila kitu kimekuwa kipya na hata BENDELA YA TAIFA walibadilisha na wao pia wanajiita ni WABALIKIWA yaani "THE LAND OF THOUSAND HILLS" wakiongozwa na SERENGETI yaani CHUI kutoka TANZANIA ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ.

Kwahiyo SERENGETI yaani CHUI wapo vizuri sana tena sana, iwe ni KIINTELIJENSIA, KIUCHUMI na KISIASA.
 
Nimepata MADINI aghali sana hapa.
Ninaendelea kujifunza. Nashukuru sana mkuu.

"SAUL" a.k.a "PAUL" Kule Damascus to Antiokia.
When a body is partially or totally immersed in water is equal to....."

ARCHIMEDES.
"& The Law of Floatation".

SERENGETI anatisha, Dubwana kama Dubwana. MNYAMA CHEETAH anapiga hesabu kali siyo kizembe.

Ni mwendo wa ishara na elimu ya namba (numerology).

Mmoja akaulizwa, "Je, Mlibatizwa kwa ubatizo gani"?

"...Ya kale yamepita, Na tazama yamekuwa mapya"

COR 2"5'17"
 
Back
Top Bottom