Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Mimi sijasema vitu vingi hapa DUNIANI vinamilikiwa na WATU wenye ASILI ya TANZANIA. Hayo unayasema wewe, sio mimi [emoji1545]

Lakini kuna vitu ambavyo nilikuwa nataka kumuonesha Wakudadavuwa na kumueleza kwa mtiririko ambao hatakuwa na haja ya kuuliza maswali tena.

Ni UKWELI usiokuwa na shaka kuwa WATANZANIA wengi wamekeza nje ya NCHI kuliko WATU wengi wanavyodhani.

Kwa mfano, hizi ni bidhaa zinazotengenezwa na kampuni ya kibiashara inayoitwa MUKWANO GROUP. Hii kampuni ya MUKWANO GROUP inapatikana KAMPALA, UGANDA na ni kampuni ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU.

Vilevile, MUKWANO GROUP ni kampuni mweza wa kampuni ya MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LIMITED ambayo inapatikana DAR ES SALAAM, TANZANIA na inatengeneza mafuta ya kupikia ya KORIE.


Sasa hizi kampuni huwa zinakua na zinapata fursa ya kukuza BIASHARA zao, aidha kwa kuongeza uzalishaji wa bidhaa au kuhamisha mitaji ya kibiashara na kwenda kuwekeza MATAIFA mengine.

Hii hatua ya kuhamisha mitaji ya kibiashara na kwenda kuwekeza MATAIFA mengine ndio shughuli ambayo huwa inayofanyika kwa kiasi kikubwa.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU pamoja na MISTER CLEAN na kundi lote la UGANDA LINE walikuwa ni WATU wenye AKILI sana na ELIMU pia iliwasaidia.

Kwahiyo kupambana na hawa WATU unatakiwa kuwa na SIASA za KWELI na sio SIASA za UNAFIKI zilizojaa MAJUNGU na NJAA ndani yake.
Sasa mbona Tanzania ni Taifa masikini?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Maswali mengine unanifanya nicheke kidogo! Kwa sababu, hata mimi binafsi sifahamu kwanini TANZANIA ni masikini [emoji23][emoji23]
Siku ukitoa ushahidi unaoeleweka kuhusu unachozungumza ndo utaaminika Kwa kiwango juu.kwa sababu wewe usema timu kubwa za ulaya,afrika,makampuni makubwa mbalimbali duniani yanamilikiwa na wenyeji wa Tanzania.It does not make sense.Then Kwa hayo unayozungumza Tanzania inatakiwa kuwa nchi giant.Mfano Marekani ni taifa kubwa pia Kwa sababu inamakampuni makubwa eg Coca-Cola,pepsi nk.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikua tunaaminishwa kwamba Mlm Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikua tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kua kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikua bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikua akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno". Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asinge endelea kua mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".
Mwalimu alikua mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine ,chochote kile ambacho kilikua hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikua "viable". Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwasababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikua "kila kitu"

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliekua sahihi lakini hawakumskiliza. Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikua "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021 TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu za mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii, natamani watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 wajue habari za huyu shujaaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawa sawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huo huo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia
View attachment 1983785
Kijana wa miaka ya 90. Kwanza nakubaliana na wewe kuhusu umahiri wa Mzee Kambona katika uongozi smart. Lakini....
Muhimu utambue kuwa Siasa za ujamaa na kujitegemea hazikuwa mbaya. Tatizo lilikuwa ni namna gani zinafanyiwa kazi.
Kasome historia ya China, Libya, Cuba na Korea ya kiduku (ni success stories siasa za mlengo wa kushoto zitakazoweza kukufungua)
Kutofautiana kimtazamo baina ya viongozi sio kitu kibaya, muhimu ni kufikia makubaliano ya pamoja na kusonga mbele. Siasa zile zingeeleweka na kutekelezwa kwa uzalengo na vitendo, ungelikuta Taifa la raha na furaha katika ujana wako.
Ulafi, Majivuno, Uvivu na usaliti vinaweza kuwa Sababu zilizotufikisha hapa. Lakini sio Falsafa tuliyoadopt.
 
Siku ukitoa ushahidi unaoeleweka kuhusu unachozungumza ndo utaaminika Kwa kiwango juu.
Sasa wewe unataka nikupe USHAHIDI gani? Mimi sio MTU MUONGO mpaka nikudanganye wewe.

Au ulikuwa unataka nikuambie nini kuhusu TANZANIA? Kwa sababu mimi nimeshakwambia sifahamu kwanini TANZANIA ni MASIKINI!

Sasa kama wewe unafahamu kwanini TANZANIA ni MASIKINI, naomba utuambie hapa na utueleze kinagaubaga 😂😂
kwa sababu wewe usema timu kubwa za ulaya,afrika,makampuni makubwa mbalimbali duniani yanamilikiwa na wenyeji wa Tanzania.
Hayo unayasema wewe, sio mimi!!
It does not make sense.
It does make sense.
Then Kwa hayo unayozungumza Tanzania inatakiwa kuwa nchi giant.
Ni kweli! TANZANIA ilitakiwa kuwa GIANT NATION, lakini kutokana na aina ya SIASA ndio imelifikisha hapa TAIFA lilipo leo.
Mfano Marekani ni taifa kubwa pia Kwa sababu inamakampuni makubwa eg Coca-Cola,pepsi nk.
Kwa TAIFA LA MAREKANI ni habari nyingine kabisa! Kwa sababu utamaduni wao ulianzia ULAYA na wamestaarabika tangu siku.

Haya MAKAMPUNI makubwa ya kibiashara huwa wanaita ni CORPERATIVE COMPANIES yaani ni MASHIRIKA YA KISERIKALI.



COCA - COLA ni kampuni kubwa sana DUNIANI na wanafanya TRADEMARKING kwenye MATAIFA mbalimbali na sehemu tofauti tofauti, yaani wao ndio wenye HATI MILIKI ya KAMPUNI ya COCA - COLA na VIRUTUBISHO [ DETERGENTS ] vyote vinavyotengeneza kinywaji cha COCA - COLA.



Vilevile PEPSI ni kampuni kubwa sana DUNIANI na wanafanya TRADEMARKING kwenye MATAIFA mbalimbali na sehemu tofauti tofauti, yaani wao ndio wenye HATI MILIKI ya PEPSI na VIRUTUBISHO [ DETERGENTS] vyote vinavyotengeneza kinywaji cha PEPSI.

Sasa haya mambo, hawa wenzetu walianza kuyafanya tangu karne ya 18 [ 1800's ]. Huku AFRIKA tumeanza kuyafanya haya mambo kwenye karne ya 20 [ 2000's ]. Kwahiyo lazima tofauti iwepo.

Sasa hivi kama umeona hata SERIKALI YA TANZANIA yenyewe imeanza kuwa na CORPORATIVE COMPANIES yaani MASHIRIKA YA KISERIKALI. Lakini bado wanafanya SIRI kwa sababu za kiulinzi na kiusalama.
Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Badilikeni 👏🏿
 
Sasa mbona Tanzania ni Taifa masikini?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app

BlackWhite_2022-07-17_12-11-16-792.jpg

Jaribu kuangalia na kusoma kwa MAKINI hii taarifa ya WIZARA YA FEDHA NA MIPANGO ya mwaka 2022.

Hiyo ni ORODHA YA MISAADA NA RUZUKU ambayo SERIKALI YA TANZANIA ilipokea kutoka MATAIFA RAFIKI na TAASISI ZA KIMATAIFA.

Kwa kutizama kwa MAKINI utaona ni kiasi cha shilingi trilioni moja ambayo SERIKALI YA TANZANIA ilipokea kwa mwaka 2019/2020 na mwaka 2020/21. Hali hii huwa inafanyika kila mwaka.

Sasa swali linakuja - Hizi FEDHA zote ambazo SERIKALI YA TANZANIA inapokea huwa inazipeleka wapi?

Majibu ya hilo swali ndio utafahamu kwanini TANZANIA ni TAIFA MASIKINI, lakini WANANCHI wake sio WATU MASIKINI.
 
Mfano Marekani ni taifa kubwa pia Kwa sababu inamakampuni makubwa eg Coca-Cola,pepsi nk.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Yaani hapa umeandika kitu cha maana sana. Hiki kitu WAINGEREZA huwa wanaita ni "DESTINATION" au kwa lugha ya kiswahili wanaita UTAMBULISHO.

WAINGEREZA huwa wana utamaduni wa kuuliza maswali haya - "What is your favorite destination?" AU "What makes you proud?". Yaani ni kitu gani ambacho kinakutambulisha wewe AU kitu gani ambacho unajivunia.

Sasa kwa MATAIFA yalioendelea yana vitu vingi sana ambavyo wanavitumia kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION.

Kwa upande wa MAREKANI wana vitu vingi sana ambavyo wanavitumia kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano APPLE, HP, COCA-COLA, PEPSI, BLACKBERRY, FORD na n.k.

Kwa upande wa UINGEREZA wanatumia VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano MANCHESTER UNITED, CHELSEA, TOTTENHAM HOTSPURS n.k

Kwa upande wa SWIDENI wanatumia SCANIA, KELTRUCK na VOLVO kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa ITALIA wanatumia IVECO kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Vilevile wanatumia VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano JUVENTUS, INTER MILAN, AC MILAN, AS ROMA na n.k

Kwa upande wa UJERUMANI wanatumia BAVARIA, MAN, VOLKSWAGEN, MERCEDES BENZ, AUDI au VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION na WAJERUMANI wanafanya mambo makubwa sana, sema huwa sio WATU wa kujitangaza. Huwa ni WATU wakimya.

Kwa upande wa UHOLANZI wao wanatumia DAF na HEINEKEN kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa KOREA YA KUSINI wanatumia SAMSUNG kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa JAPANI wao wanatumia TOYOTA, NISSAN na MAKAMPUNI MAKUBWA ya ELETRONIKI kama PANASONIC na HITACHI kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa CHINA wao wanatumia HUAWEI, TECNO, YUTONG na mambo mengine mengi kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION.

Sasa kwa upande wa AFRIKA haya mambo bado, ijapokuwa kuna baadhi ya jamii ambazo tayari zimeshaanza kutengeza UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Lakini tunapaswa kuwa na VITU VIKUBWA ambavyo vitatumika kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION na hiyo ndio SIRI YA MAFANIKIO na hayo ndio MAENDELEO.

BlackWhite_2022-07-17_16-14-09-212.jpg




Kwahiyo ni muhimu kutengeza BUSINESS BRAND ambayo itakuwa ni UTAMBULISHO yaani DESTINATION kwa JAMII au TAIFA na hayo ndio mambo ambayo wenzetu walishafanya tangu karne ya 18 [ 1800's ].
 
Yaani hapa umeandika kitu cha maana sana. Hiki kitu WAINGEREZA huwa wanaita ni "DESTINATION" au kwa lugha ya kiswahili wanaita UTAMBULISHO.

WAINGEREZA huwa wana utamaduni wa kuuliza maswali haya - "What is your favorite destination?" AU "What makes you proud?". Yaani ni kitu gani ambacho kinakutambulisha wewe AU kitu gani ambacho unajivunia.

Sasa kwa MATAIFA yalioendelea yana vitu vingi sana ambavyo wanavitumia kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION.

Kwa upande wa MAREKANI wana vitu vingi sana ambavyo wanavitumia kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano APPLE, HP, COCA-COLA, PEPSI, BLACKBERRY, FORD na n.k.

Kwa upande wa UINGEREZA wanatumia VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano MANCHESTER UNITED, CHELSEA, TOTTENHAM HOTSPURS n.k

Kwa upande wa SWIDENI wanatumia SCANIA, KELTRUCK na VOLVO kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa ITALIA wanatumia IVECO kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Vilevile wanatumia VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano JUVENTUS, INTER MILAN, AC MILAN, AS ROMA na n.k

Kwa upande wa UJERUMANI wanatumia BAVARIA, MAN, VOLKSWAGEN, MERCEDES BENZ, AUDI au VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION na WAJERUMANI wanafanya mambo makubwa sana, sema huwa sio WATU wa kujitangaza. Huwa ni WATU wakimya.

Kwa upande wa UHOLANZI wao wanatumia DAF na HEINEKEN kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa KOREA YA KUSINI wanatumia SAMSUNG kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa JAPANI wao wanatumia TOYOTA, NISSAN na MAKAMPUNI MAKUBWA ya ELETRONIKI kama PANASONIC na HITACHI kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa CHINA wao wanatumia HUAWEI, TECNO, YUTONG na mambo mengine mengi kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION.

Sasa kwa upande wa AFRIKA haya mambo bado, ijapokuwa kuna baadhi ya jamii ambazo tayari zimeshaanza kutengeza UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Lakini tunapaswa kuwa na VITU VIKUBWA ambavyo vitatumika kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION na hiyo ndio SIRI YA MAFANIKIO na hayo ndio MAENDELEO.


Kwahiyo ni muhimu kutengeza BUSINESS BRAND ambayo itakuwa ni UTAMBULISHO yaani DESTINATION kwa JAMII au TAIFA na hayo ndio mambo ambayo wenzetu walishafanya tangu karne ya 18 [ 1800's ].

Ngoja kwanza nimalizane na wewe passioner255 halafu kesho nitaendelea na Wakudadavuwa. Soma vizuri na kwa makini posti namba 1188 - WAJERUMANI huwa wanafanya MAMBO makubwa sana, lakini huwa sio WATU wa kujitangaza. Huwa ni WATU wakimya.

Sasa baada ya kuingia AFRIKA YA MASHARIKI kama WAKOLONI, mwaka 1916 - 1961 waliwaita hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA] , SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA] jina la "SCHWEIGENDE MEHRHEIT" maana yake kwa lugha ya kiswahili ni WATU WAKIMYA.

WAJERUMANI walivutiwa na wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA] yaani WASUKUMA kwa upande wa TANGANYIKA na pia walivutiwa sana na UTAWALA WA BUGANDA kwa upande wa UGANDA.

1-s2.0-S0341816219304333-gr2.jpg

Hii ramani inaonesha TAWALA ZA KICHIFU [ 13 ] ambazo zilizokuwa zinapatikana kwa kipindi cha UTAWALA WA WAJERUMANI.

Hata baada ya kuja kwa UTAWALA WA WAINGEREZA, mwaka 1916 - 1961. WAINGEREZA waliwaita hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA] jina la "SILENT MAJORITY" maana yake kwa lugha ya kiswahili ni WATU WAKIMYA. Ikiwa na maana ile ile ya KIJERUMANI - "SCHWEIGENDE MEHRHEIT".

Na baada ya kupata UHURU WA TANGANYIKA, mwaka 1961 - kuna maneno fulani ambayo HAYATI MWALIMU aliwaambiwa na WAINGEREZA kuhusu hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA].

Kwahiyo HAYATI MWALIMU alikuwa MAKINI sana na hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA].

Lakini baada ya kipindi kirefu kupita, hawa waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA] walikuja kuinuka KIUCHUMI baada ya kuanzishwa kwa VYAMA VYA USHIRIKA katika kila MKOA, ambapo hivyo VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA vilikuwa vinashughulika na MAZAO YA BIASHARA.

Sasa hicho kipindi ambapo VYAMA VYA USHIRIKA vilikuwa vinaanzishwa, wale waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ilikuwa ni fursa kwao ya kuweza kujijenga KIUCHUMI.

Pale ndio ilikuwa ni chimbuko la kumiliki UCHUMI wao na ndio ilikuwa mwanzo wa kujiita MWASHITA ikiwa na maana ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA au jina lingine SIMBA.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliingia ubia wa kufanya biashara na WAJERUMANI kipindi cha VITA BARIDI. Biashara zao zilinawili sana na mpaka leo wanaendelea kufanya BIASHARA.

WAJERUMANI ndio waliowafundisha hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kuwa na DESTINATION yaani UTAMBULISHO wao kupitia UWEKEZAJI WA KIBIASHARA.

Kwahiyo hawa waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walifanikiwa kumiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU ikiwa ni sehemu ya DESTINATION au UTAMBULISHO wao.

Kutokana na wale waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kuitwa SIMBA, waliamua kutumia TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SIMBA SC kama DESTINATION au UTAMBULISHO wao kwa kuinunua na kuimiliki kuanzia msimu wa mwaka 1992/93 mpaka leo.

0c5a66e4fe128ed212ee384d724ffce0.png

Vile vile wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa kununua na kumiliki TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA YANGA SC kwa msimu unaofuata na kufanya kumiliki TIMU zote kubwa zinazopatikana katika MKOA WA DAR ES SALAAM.

c291b52b98598529d7ffece7442f6826.png

Kwahiyo zile TIMU zote kubwa zilizokuwa zinapatikana katika MKOA WA DAR ES SALAAM na TANZANIA kwa ujumla zinatumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa wenyeji wa hii MIKOA ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

9ad55484992d5150ebf1b6f93f2fc1bc.png

Baadae sana, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa kununua TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA COASTAL UNION ya MKOA WA TANGA na kuipa jina la SIMBA MTOTO ikiwa na maana mbili - kwanza ni kuwa na mahusiano ya moja kwa moja na KLABU ZA SIMBA NA YANGA na pili ni sababu ya KISIASA [...].

ee9eb0992d932047420129b9ddb3ebd4.png

Na baada ya SERA YA UBINAFSISHAJI kuanzishwa na kutekelezwa katika kipindi cha AWAMU YA TATU kilichoongozwa na MR CLEAN, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa kununua na kumiliki VIWANDA VYA SUKARI VYA MTIBWA SUGAR na KAGERA SUGAR na kufanikiwa kuanzisha TIMU ZA MPIRA WA MIGUU ambazo zipo chini ya usimamizi wa VIWANDA hivyo.

1fd3dfc8be2d58c412863f1059d7f8b0.png

Kwahiyo wale waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walifanikiwa na wanaendelea kuwa na DESTINATION yaani UTAMBULISHO wao kupitia SEKTA YA MICHEZO kwa msaada wa UJERUMANI na baadhi ya NCHI ZA ULAYA ikiwemo UINGEREZA.
 
Ngoja kwanza nimalizane na wewe passioner255 halafu kesho nitaendelea na Wakudadavuwa. Soma vizuri na kwa makini posti namba 1188 - WAJERUMANI huwa wanafanya MAMBO makubwa sana, lakini huwa sio WATU wa kujitangaza. Huwa ni WATU wakimya.

Sasa baada ya kuingia AFRIKA YA MASHARIKI kama WAKOLONI, mwaka 1916 - 1961 waliwaita hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA] , SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA] jina la "SCHWEIGENDE MEHRHEIT" maana yake kwa lugha ya kiswahili ni WATU WAKIMYA.

WAJERUMANI walivutiwa na wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA] yaani WASUKUMA kwa upande wa TANGANYIKA na pia walivutiwa sana UTAWALA WA BUGANDA kwa upande wa UGANDA.

Hii ramani inaonesha TAWALA ZA KICHIFU ambazo zilizokuwa zinapatikana kwa kipindi cha UTAWALA WA WAJERUMANI.

Hata baada ya kuja kwa UTAWALA WA WAINGEREZA, mwaka 1916 - 1961. WAINGEREZA waliwaita hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA] jina la "SILENT MAJORITY" maana yake kwa lugha ya kiswahili ni WATU WAKIMYA. Ikiwa na maana ile ile ya KIJERUMANI - "SCHWEIGENDE MEHRHEIT".

Na baada ya kupata UHURU WA TANGANYIKA, mwaka 1961 - kuna maneno fulani ambayo HAYATI MWALIMU aliwaambiwa na WAINGEREZA kuhusu hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA].

Kwahiyo HAYATI MWALIMU alikuwa MAKINI sana na hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA].

Lakini baada ya kipindi kirefu kupita, hawa waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NYANZA], SHINYANGA [INYANGA] na TABORA [NOBORA] walikuja kuinuka KIUCHUMI baada ya kuanzishwa VYAMA VYA USHIRIKA katika kila MKOA ambapo vilikuwa vinashughulika na MAZAO YA BIASHARA.

Hicho kipindi ambapo VYAMA VYA USHIRIKA vilikuwa vinaanzishwa, wale waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ilikuwa ni fursa kwao ya kuweza kujijenga KIUCHUMI.

Pale ndio ilikuwa ni chimbuko la kumiliki UCHUMI wao na ndio ilikuwa mwanzo wa kujiita MWASHITA ikiwa na maana ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA au SIMBA.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliingia ubia wa kufanya biashara na WAJERUMANI kipindi cha VITA BARIDI. Biashara zao zilinawili sana na mpaka leo wanaendelea kufanya BIASHARA.

WAJERUMANI ndio waliowafundisha hawa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kuwa na DESTINATION yaani UTAMBULISHO wao kupitia UWEKEZAJI WA KIBIASHARA.

Kwahiyo hawa waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walifanikiwa kumiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU ikiwa ni sehemu ya DESTINATION au UTAMBULISHO wao.

Kutokana na wale waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kuitwa SIMBA, waliamua kutumia TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA SIMBA SC kama DESTINATION au UTAMBULISHO wao kwa kuinunua na kuimiliki kuanzia msimu wa 1992/93 mpaka leo.

Vile vile wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa kununua na kumiliki TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA YANGA SC kwa msimu unaofuata na kufanya kumiliki TIMU zote kubwa kwa MKOA WA DAR ES SALAAM.

Kwahiyo hizi TIMU zote kubwa kwa MKOA WA DAR ES SALAAM na TANZANIA kwa ujumla zinatumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa wenyeji wa hii MIKOA ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Baadae sana, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa kununua TIMU YA MPIRA WA MIGUU YA COASTAL UNION ya MKOA WA TANGA na kuipa jina la SIMBA MTOTO ikiwa na maana mbili - kwanza ni kuwa na mahusiano ya moja kwa moja na KLABU ZA SIMBA NA YANGA na pili ni sababu ya KISIASA [...].


Na baada ya SERA YA UBINAFSISHAJI kuanzishwa na kutekelezwa katika kipindi cha AWAMU YA TATU kilichoongozwa na MR CLEAN, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanikiwa kununua na kumiliki VIWANDA VYA SUKARI VYA MTIBWA SUGAR na KAGERA SUGAR na kufanikiwa kuanzisha TIMU ZA MPIRA WA MIGUU ambazo zipo chini ya usimamizi wa VIWANDA hivyo.

Kwahiyo wale waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walifanikiwa na wanaendelea kuwa na DESTINATION yaani UTAMBULISHO wao kupitia SEKTA YA MICHEZO kwa msaada wa UJERUMANI na baadhi ya NCHI ZA ULAYA ikiwemo UINGEREZA.
Kwa hiyo unasugest kwamba jamii zingine zibadilike au?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo unasugest kwamba jamii zingine zibadilike au?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
chizi huyo.
kuna wakati nilimpiga spana sana kuhusu hayo maujinga yake anayoandika kwenye uzi huu. akaacha kwa muda,ila sasa karudi tena.

huyo jamaa ni wale watu wanaofatilia sana story zinazohusu conspiracy theories. conspiracy theorist wengi madishi yao yameyumba.
 
Siku ukitoa ushahidi unaoeleweka kuhusu unachozungumza ndo utaaminika Kwa kiwango juu.kwa sababu wewe usema timu kubwa za ulaya,afrika,makampuni makubwa mbalimbali duniani yanamilikiwa na wenyeji wa Tanzania.It does not make sense.Then Kwa hayo unayozungumza Tanzania inatakiwa kuwa nchi giant.Mfano Marekani ni taifa kubwa pia Kwa sababu inamakampuni makubwa eg Coca-Cola,pepsi nk.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kwa hiyo unasugest kwamba jamii zingine zibadilike au?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Hilo swali sio la kuuliza!! Ijapokuwa wale waliokuwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliamua kupambana na MFUMO WA SERIKALI YA TANZANIA kwa namna hiyo.

Kwa sababu wengi wao ndio walikuwa wajumbe wa MKUTANO WA AZIMIO LA TABORA yaani TABORA DECLARATIONS lililokuja na maazimio mengi sana ikiwemo kufuata MFUMO WA KISERIKALI iliyokuwa URUSI YA ZAMANI yaani iliyokuwa MUUNGANO WA NCHI ZA KISOVIETI.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliamua kuwa na mahusiano ya kibiashara na WAJERUMANI na MATAIFA mengi ya ULAYA YA MAGHARIBI ikiwemo UINGEREZA.

Hata hili jina la SCHWEIGENDE MEHRHEIT lenye ASILI ya KIJERUMANI, ndio SILENT MAJORITY kwa lugha ya KIINGEREZA. Hili jina la SILENT MAJORITY wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walilitumia kuanzisha kampuni ya kibiashara inayoitwa SILENT OCEAN [SIMBA WA BAHARI].

1d3d1971169b37d7f4c9080dd15952f3.png

Hii kampuni ya SILENT OCEAN ni kampuni ambayo inahusika na usafirishaji wa mizigo kwa njia ya maji yaani BAHARI na hii kampuni inamiliki MELI zake.

e0299bd8f03b3a8626ac352124dc2bcb.png

Hii kampuni ya usafirishaji wa mizigo ya SILENT OCEAN [SIMBA WA BAHARI] inafanya shughuli zake kwa njia ya maji kwa NCHI za CHINA, UTURUKI, FALME ZA KIARABU [DUBAI], MAREKANI na TANZANIA.

faa1ad15a4301b75422aaabaef3a9e99.png

Hii kampuni inafanya vizuri sana kwenye sekta ya usafirishaji wa mizigo kwa njia ya maji yaani BAHARI.

2d523f1e3eae5c17acea89fea0757ee2.png


9ea3ee44c7cd5439ed60c83994df9451(1).png

Hii kampuni ya SILENT OCEAN [SIMBA WA BAHARI] inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI hasa MAREKANI kwa bidhaa zinazokuja TANZANIA.

0ab7bb5910582f3fc308533c2c5aeeb9.png

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walijitahidi sana kuwa wavumilivu na hata mtindo wa maisha walibadilisha kwa sababu mafanikio kama haya huwa hayaji kwa kipindi kifupi. Huwa inachukua muongo zaidi ya mmoja, yaani zaidi ya miaka kumi [10].

Kwahiyo, hiyo ndio maana HALISI ya jina la kampuni ya SILENT OCEAN yaani SIMBA WA BAHARI. Vile vile hiyo kampuni ya SILENT OCEAN ni kampuni mwenza wa kampuni ya GSM.

05159671543c1e4f87b31adf30a0c11b~2.jpg

Hii kampuni ya GSM ni kampuni ambayo inajumuisha makampuni madogo madogo yapatayo saba [ 7 ] kwa idadi yake. Makampuni hayo ni GSM Coconut Cream, GSM Steel, Car Batteries, Tiger Head Batteries, GSM Spare Parts, Anchor Yeast na GSM Foam Products.
 
Sasa mbona Tanzania ni Taifa masikini?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app

8026d18c228a00f5a023159c8a24b250(1).png

Miaka ya hivi karibuni kuna RESTAURANT moja ilifunguliwa MASAKI - barabara ya HAILE SELASSIE inaitwa LOCK & BARREL RESTAURANT.

Ni sehemu nzuri sana na unaweza kupata huduma ya lunch, crafted mixology, restaurant, bar, lounge, cocktails na music.

Sasa hivi pale LOCK & BARREL RESTAURANT wanajiita SUNDOWNERS.

Sasa jaribu kufuatilia kwa makini umiliki wa hiyo RESTAURANT na uhalisia wa hilo jina la SUNDOWNERS.

f9940db6c85f06c4cb16608de9d51c66.png

Hilo jina la SUNDOWNERS ni jina maarufu sana ambalo linatumiwa na KLABU YA MAMELODI SUNDOWNS ya AFRIKA YA KUSINI.

5879d9a54c13ff09c8354e09fa789f0c.png

Hao ndio MAMELODI SUNDOWNS au MASANDAWANA, mabingwa wa kihistoria wa AFRIKA YA KUSINI. Kwahiyo TANZANIA ni TAIFA MASIKINI lakini WANANCHI wake sio MASIKINI. #TheSkyIsTheLimit 🌤️🌥️🌤️
 
Sasa mbona Tanzania ni Taifa masikini?

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio wamiliki halali wa kampuni ya SAMGBM GROUPE BUSINESS MARKETING inayopatikana nchini GUINEA.

IMG_20220721_110033.jpg

Hii kampuni ya SAMGBM GROUPE BUSINESS MARKETING inataka kufanana kabisa na kampuni ya kibiashara inayoitwa GSM inayopatikana nchini TANZANIA.

IMG_20220721_110058.jpg

Hii kampuni ya SAMGBM GROUPE BUSINESS MARKETING ni kampuni ambayo MKURUGENZI wake ni MTU mwenye ASILI ya KIJERUMANI.

IMG_20220721_080403.jpg

Huyu MKURUGENZI amefanya kazi kubwa, kwa sababu mafanikio yaliyopatikana kwa hiki kipindi kifupi ni makubwa sana.

Vilevile hii kampuni ya SAMGBM GROUPE BUSINESS MARKETING ni kampuni ambayo ina ajiri WATANZANIA waliohamia GUINEA. WATANZANIA hao ni wale wenye ASILI YA MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.

IMG_20220721_080413.jpg

Hii kampuni ya SAMGBM GROUPE BUSINESS MARKETING ni kampuni ambayo inahusika na inamiliki TIMU MBILI ZA MPIRA WA MIGUU ambazo zinashiriki LIGI KUU YA GUINEA. Timu hizo ni [...] na MABINGWA WA KIHISTORIA wa GUINEA, HOROYA ATHELETIC CLUB.

IMG_20220721_110459.jpg

Hii timu ya HOROYA ATHELETIC CLUB ni timu ya MPIRA WA MIGUU ambayo inajumuisha wachezaji nane [8] wenye ASILI ya TANZANIA [MWANZA, SHINYANGA na TABORA] katika kikosi cha kwanza.

IMG_20220721_080236.jpg

Miongoni mwao ni kijana mdogo kabisa anayeitwa MORLAYE SYLLA anayeitumikia TIMU YA TAIFA YA GUINEA na hivi karibuni amesajiliwa na timu nyingine inayoshiriki LIGI KUU nchini humo.

IMG_20220721_110414.jpg

Sasa hivi TIMU YA HOROYA ATHELETIC CLUB imebakiza wachezaji saba [7] wenye ASILI ya TANZANIA na miongoni mwao ni NAHODHA wa TIMU hiyo.

IMG_20220721_105538.jpg


IMG_20220721_105527.jpg


IMG_20220721_105512.jpg

Vilevile hiyo kampuni ya SAMGBM GROUPE BUSINESS MARKETING inamiliki SHULE YA MPIRA WA MIGUU kwa vijana chini ya miaka ishirini [20] na kuna vijana ishirini na tano [25] wenye ASILI YA TANZANIA kwenye SHULE YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa ACADÉMIE DE FOOTBALL ANTONIO SOUARÉ [AFAS] inayopatikana JIJI LA CONAKRY nchini GUINEA.

Hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani SIMBA wana hadhina kubwa ya wachezaji wa kulipwa!

Kwahiyo hizo timu zao ambazo wanamiliki wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [ WETCU] hakuna mategemeo ya kuporomoka kiwango cha mpira, labda kuyumba tu.

b0378ac3fb8a24a8f02cb66b8bfb763c.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] bado wanaendelea kusaidia na kuwabeba WATU wao wenye ASILI ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

1e3d9f6287dd88363863de1b60b9d2c5.png

Na huu MTINDO WA MAISHA ya kuwasaidia na kuwabeba WATU wao - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliakisi kutoka UJERUMANI.

UJERUMANI na ULAYA MAGHARIBI hasa UINGEREZA wanatumia huu MTINDO WA MAISHA tangu kumalizika kwa VITA VYA PILI VYA DUNIA [1945].

Haya MATAIFA YA UJERUMANI na ULAYA MAGHARIBI hasa UINGEREZA baada ya kuisha kwa VITA VYA PILI VYA DUNIA [1945] waliamua kuja na programu ya kuwajengea uwezo WATU wao yaani "BUILDING CAPACITY TO OUR OWN PEOPLE" na hii programu ndio inayofanyika sasa hivi na ni endelevu kwa wenyeji wa hii MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wakisaidiwa na KAMPUNI ZA BIASHARA ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Hii programu ya kuwajengea uwezo WATU yaani "BUILDING CAPACITY TO OUR OWN PEOPLE" ndio inayofanyika kila sehemu, hata ndani ya VYAMA VYA KISIASA hii programu inafanyika, ndani ya TAASISI ZA KISERIKALI NA BINAFSI na hata ndani ya TAASISI ZA KIDINI.
 
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1177 - baada ya MISTER CLEAN kuwa RAIS WA AWAMU YA TATU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA [ 1995 ], wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio waliokuwa wanufaika wakubwa wa UTAWALA wa AWAMU YA TATU.

Kwa UMOJA wao, katika kufanya JITIHADA za kujikwamua KIUCHUMI na KIMAENDELEO - hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA NCU, SHIRECU na WETCU na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE kwa ujumla wao, walijikuta wamepiga hatua kubwa sana za KIMAENDELEO na KIUCHUMI kwa kipindi cha muda mfupi.

Na hali hii ilikuwa ni tofauti kabisa na matarajio ya walio wengi, kwa sababu wengi waliamini kuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wangelifirisika baada ya kutoka na kuacha kazi kwenye vile VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Lakini hali ilikuwa ni tofauti kabisa na matarajio ya walio wengi, kwani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE walikuwa tayari wameshaingia kwenye SOKO LA AFRIKA YA MASHARIKI kwa kujenga viwanda na kumiliki mashamba ya mazao ya biashara kwa NCHI za KENYA na UGANDA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na MISTER CLEAN yaani kundi lote la UGANDA LINE baada ya kuingia kwenye MATAIFA ya KENYA na UGANDA ndio ikawa fursa, njia na lango la kusambaa MATAIFA mengine ya AFRIKA, ULAYA, ASIA pamoja na AMERIKA.
Wakudadavuwa kwa kupitia huu uzi wa Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu, jibu ni kweli kuwa TANZANIA kuna familia ambazo zinaishi KIFALME bila WATANZANIA wengine kuzifahamu na baadhi ya hizo familia zilikuwepo tangu kipindi cha UKOLONI.

Kipindi cha UKOLONI, kuna FAMILIA ZA KIAFRIKA zilikuwa zinaruka kwa NDEGE kwenda miji yote ya AFRIKA YA MASHARIKI na baadhi ya MATAIFA YA ULAYA.

Eastern-Africa-powers-1914.jpg

Hizo FAMILIA zilizokuwepo tangu kipindi cha UKOLONI ni FAMILIA ambazo zilikuwa na chimbuko la UTAWALA WA KICHIFU.

Mpaka leo kuna FAMILIA ZA KICHIFU ambazo zinaishi kifalme bila WATANZANIA wengine kuzifahamu na kuna FAMILIA YA KICHIFU ina UKWASI unaokadiliwa kuwa na thamani ya kiasi cha shilingi bilioni mia tatu za KITANZANIA [ 300,000,000,000 ] na hii inatokana na kuthaminisha vitu ambavyo wanamiliki, ndani na nje ya TANZANIA.

Lakini baada ya TANGANYIKA kupata UHURU [ 1961 ] na baadae kuwa na MUUNGANO wa TANGANYIKA na ZANZIBAR [ 1964 ], HAYATI MWALIMU alipiga marufuku TAWALA ZA KICHIFU na kuwapatia nafasi ndani ya SERIKALI YA TANZANIA wale wote waliokuwa na ELIMU kipindi cha UTAWALA WA KICHIFU.

HAYATI MWALIMU mwenyewe alijijenga KISIASA na KIUCHUMI kwa kipindi kirefu sana mpaka pale ilipokuja SIASA ya kuanzisha VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA katika kila MKOA.

MALENGO na SHABAHA ya kuanzisha VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA ilikuwa ni kuendeleza MAZAO YA BIASHARA katika kila MKOA ili kuweza kujikwamua KIUCHUMI na kuongeza PATO LA TAIFA.

Lakini HALI ilikwenda ndivyo sivyo, kwa sababu RUSHWA na UFISADI WA MALI ZA UMMA zilishamiri sana ndani ya VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA kiasi ambacho kilipelekea VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA kwa baadhi ya MIKOA kushindwa kujiendesha na hatimae kufilisika na kuacha baadhi ya WAFANYAKAZI wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA wakiwa na UKWASI WA KUTISHA.

Miongoni mwa WAFANYAKAZI hao ni wale waliokuwa WAFANYAKAZI wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Wale waliokuwa WAFANYAKAZI wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio waliokuja kuwa miongoni mwa WAJUMBE wa MKUTANO WA AZIMIO LA TABORA yaani "TABORA DECLARATION MEETING" [ 1991/92 ].

MKUTANO WA AZIMIO LA TABORA yaani "TABORA DECLARATION MEETING" ndio ulitoa TASWIRA NA MUELEKEO MPYA wa SERIKALI YA TANZANIA kama TAIFA.

_107557731_tanzania_mkwawa_skull_640-nc.jpg

Hiki kipindi kinaelezwa kuwa kilikuwa ni kipindi ambacho HAYATI MWALIMU mwenyewe alibadilisha MUELEKEO wa KISIASA na kuacha yale maeneo ambayo yalikuwa ni TUNU kwa SIASA ZA TANU na SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Maeneo ambayo yalikuwa ni TUNU kwa SIASA ZA TANU na SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] yalikuwa ni maeneo ya ZANZIBAR yaani TANZANIA VISIWANI, DAR ES SALAAM, PWANI zamani ilikuwa ikiitwa BAGAMOYO, DODOMA na IRINGA zamani kulikuwa na NGOME ZA KALENGA na LUGALO.

d7e0517d67045f6c2bb5d5cfa0b3f8ce.png

Sasa HAYATI MWALIMU alibadilisha MUELEKEO wa KISIASA na kuelekea MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na kufanya TABORA kuwa ni kitovu cha SIASA za AZIMIO LA TABORA yaani "TABORA DECLARATION".

Baada ya AZIMIO LA TABORA yaani "TABORA DECLARATION" kuliibuka MATAJIRI wenye ushawishi mkubwa wa KISIASA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na TAIFA kwa ujumla.

MATAJIRI hao walikuwa ni wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] na waliingia ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kwa kutumia KIVULI cha WATU wenye ASILI ya ULAYA na ASIA.

Sasa kuna baadhi ya WAFANYAKAZI wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ambao walikuwa ni miongoni mwa FAMILIA ZA KICHIFU yaani walikuwa wametoka kwenye FAMILIA ZA KICHIFU.

Kwahiyo hii inafanya kuwa - kuna baadhi ya WATANZANIA walikuwa wanafurahi na kula KEKI YA TAIFA tangu kipindi cha UKOLONI mpaka kipindi cha UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

e6652f0e6a19270282fca94c17b7e8e3.png

Na HAYATI MWALIMU alifanya hivyo kwa makusudi kabisa - kwa nia ya kuiga mfumo wa kiserikali kwa iliyokuwa URUSI YA ZAMANI yaani JUMUIYA YA NCHI ZA KISOVIETI.

Ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kuna UTAWALA WA WACHACHE. Hao WACHACHE ndio kila kitu ndani ya CHAMA, yaani wanakuwa kama OLIGARCHY.

8849bac2f1eb133d2dc8e6c51df8cfc4.png

Sasa OLIGARCHY ina maana gani? OLIGARCHY ni MATAJIRI wenye ushawishi mkubwa wa KISIASA. Neno hili linahusishwa zaidi na MABWANYENYE wa nchini URUSI, ambao walipata UTAJIRI mkubwa pasipo kuwa na mtiririko maalumu.

Hali hiyo ilifanyika hivyo hivyo nchini TANZANIA, kwani kuna WATANZANIA ambao walipata UTAJIRI mkubwa katika mpango wa kubinafsisha MALI ZA UMMA kama MASHIRIKA na TAASISI ZA KISERIKALI katika kipindi cha AWAMU YA TATU kilichoongozwa na MISTER CLEAN.

Hao MATAJIRI hawakuwa WAFANYABIASHARA kwa hakika. Wao ni MATAJIRI lakini njia waliyotajirika ni tofauti kabisa na MFUMO WA SOKO HURU.

Hao MATAJIRI hawakujenga VIWANDA wala kuanzisha BIASHARA, bali walitwaa TAASISI na MASHIRIKA YA UMMA halafu wakasita kujiusisha moja kwa moja na SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Kwahiyo, kosa lingine ambalo alifanya HAYATI MWALIMU ni kuruhusu baadhi ya WATANZANIA kutwaa VIWANDA na TAASISI ZA KISERIKALI kipindi cha UBINAFSISHAJI ambacho kilifanyika AWAMU YA TATU iliyoongozwa na MISTER CLEAN.
 
Wakudadavuwa kwa kupitia huu uzi wa Tanzania kuna familia ambazo zinaishi kifalme bila Watanzania kuzifahamu au wamepiga kimya tu, jibu ni kweli kuwa TANZANIA kuna familia ambazo zinaishi KIFALME bila WATANZANIA wengine kuzifahamu na baadhi ya hizo familia zilikuwepo tangu kipindi cha UKOLONI.

Kipindi cha UKOLONI, kuna FAMILIA ZA KIAFRIKA zilikuwa zinaruka kwa NDEGE kwenda miji yote ya AFRIKA YA MASHARIKI na baadhi ya MATAIFA YA ULAYA.

Hizo FAMILIA zilizokuwepo tangu kipindi cha UKOLONI ni FAMILIA ambazo zilikuwa na chimbuko la UTAWALA WA KICHIFU.

Mpaka leo kuna FAMILIA ZA KICHIFU ambazo zinaishi kifalme bila WATANZANIA wengine kuzifahamu na kuna FAMILIA YA KICHIFU ina UKWASI unaokadiliwa kuwa na thamani ya kiasi cha shilingi bilioni mia tatu za KITANZANIA [ 300,000,000,000 ] na hii inatokana na kuthaminisha vitu ambavyo wanamiliki, ndani na nje ya TANZANIA.

Lakini baada ya TANGANYIKA kupata UHURU [ 1961 ] na baadae kuwa na MUUNGANO wa TANGANYIKA na ZANZIBAR [ 1964 ], HAYATI MWALIMU alipiga marufuku TAWALA ZA KICHIFU na kuwapatia nafasi ndani ya SERIKALI YA TANZANIA wale wote waliokuwa na ELIMU kipindi cha UTAWALA WA KICHIFU.

HAYATI MWALIMU mwenyewe alijijenga KISIASA na KIUCHUMI kwa kipindi kirefu sana mpaka pale ilipokuja SIASA ya kuanzisha VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA katika kila MKOA.

MALENGO na SHABAHA ya kuanzisha VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA ilikuwa ni kuendeleza MAZAO YA BIASHARA katika kila MKOA ili kuweza kujikwamua KIUCHUMI na kuongeza PATO LA TAIFA.

Lakini HALI ilikwenda ndivyo sivyo, kwa sababu RUSHWA na UFISADI WA MALI ZA UMMA zilishamiri sana ndani ya VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA kiasi ambacho kilipelekea VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA kwa baadhi ya MIKOA kushindwa kujiendesha na hatimae kufilisika na kuacha baadhi ya WAFANYAKAZI wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA wakiwa na UKWASI WA KUTISHA.

Miongoni mwa WAFANYAKAZI hao ni wale waliokuwa WAFANYAKAZI wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Wale waliokuwa WAFANYAKAZI wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio waliokuja kuwa miongoni mwa WAJUMBE wa MKUTANO WA AZIMIO LA TABORA yaani "TABORA DECLARATION MEETING" [ 1991/92 ].

MKUTANO WA AZIMIO LA TABORA yaani "TABORA DECLARATION MEETING" ndio ulitoa TASWIRA NA MUELEKEO MPYA wa SERIKALI YA TANZANIA kama TAIFA.

Hiki kipindi kinaelezwa kuwa kilikuwa ni kipindi ambacho HAYATI MWALIMU mwenyewe alibadilisha MUELEKEO wa KISIASA na kuacha yale maeneo ambayo yalikuwa ni TUNU kwa SIASA ZA TANU na SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Maeneo ambayo yalikuwa ni TUNU kwa SIASA ZA TANU na SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] yalikuwa ni maeneo ya ZANZIBAR yaani TANZANIA VISIWANI, DAR ES SALAAM, PWANI zamani ilikuwa ikiitwa BAGAMOYO, DODOMA na IRINGA zamani kulikuwa na NGOME ZA KALENGA na LUGALO.

Sasa HAYATI MWALIMU alibadilisha MUELEKEO wa KISIASA na kuelekea MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na kufanya TABORA kuwa ni kitovu cha SIASA za AZIMIO LA TABORA yaani "TABORA DECLARATION".

Baada ya AZIMIO LA TABORA yaani "TABORA DECLARATION" kuliibuka MATAJIRI wenye ushawishi mkubwa wa KISIASA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na TAIFA kwa ujumla.

MATAJIRI hao walikuwa ni wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] na waliingia ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kwa kutumia KIVULI cha WATU wenye ASILI ya ULAYA na ASIA.

Sasa kuna baadhi ya WAFANYAKAZI wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ambao walikuwa ni miongoni mwa FAMILIA ZA KICHIFU yaani walikuwa wametoka kwenye FAMILIA ZA KICHIFU.

Kwahiyo hii inafanya kuwa - kuna baadhi ya WATANZANIA walikuwa wanafurahi na kula KEKI YA TAIFA tangu kipindi cha UKOLONI mpaka kipindi cha UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Na HAYATI MWALIMU alifanya hivyo kwa makusudi kabisa - kwa nia ya kuiga mfumo wa kiserikali kwa iliyokuwa URUSI YA ZAMANI yaani JUMUIYA YA NCHI ZA KISOVIETI.

Ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kuna UTAWALA WA WACHACHE. Hao WACHACHE ndio kila kitu ndani ya CHAMA, yaani wanakuwa kama OLIGARCHY.

Sasa OLIGARCHY ina maana gani? OLIGARCHY ni MATAJIRI wenye ushawishi mkubwa wa KISIASA. Neno hili linahusishwa zaidi na MABWANYENYE wa nchini URUSI, ambao walipata UTAJIRI mkubwa pasipo kuwa na mtiririko maalumu.

Hali hiyo ilifanyika hivyo hivyo nchini TANZANIA, kwani kuna WATANZANIA ambao walipata UTAJIRI mkubwa katika mpango wa kubinafsisha MALI ZA UMMA kama MASHIRIKA na TAASISI ZA KISERIKALI katika kipindi cha AWAMU YA TATU kilichoongozwa na MISTER CLEAN.

Hao MATAJIRI hawakuwa WAFANYABIASHARA kwa hakika. Wao ni MATAJIRI lakini njia waliyotajirika ni tofauti kabisa na MFUMO WA SOKO HURU.

Hao MATAJIRI hawakujenga VIWANDA wala kuanzisha BIASHARA, bali walitwaa TAASISI na MASHIRIKA YA UMMA halafu wakasita kujiusisha moja kwa moja na SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Kwahiyo, kosa lingine ambalo alifanya HAYATI MWALIMU ni kuruhusu baadhi ya WATANZANIA kutwaa VIWANDA na TAASISI ZA KISERIKALI kipindi cha UBINAFSISHAJI ambacho kilifanyika AWAMU YA TATU iliyoongozwa na MISTER CLEAN.



Wakudadavuwa sikiliza hiyo nyimbo ya BENDI YA TOT! Hiyo BENDI YA TOT ni BENDI ya muziki ambayo inamilikiwa na CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na inaendeshwa na MISTER ABILITY, yaani MISTER ABILITY alipewa jukumu la kuitunza na kuilea BENDI YA TOT tangu ilipoanzishwa mpaka leo.

Kwenye hiyo nyimbo kuna mstari unasema "CHAMA CHA MAPINDUZI kina wenyewe". Hao wenyewe ndio kila kitu ndani ya CHAMA, yaani wanakuwa kama OLIGARCHY.

Na OLIGARCHY wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ni wale waliokuwa kundi la UGANDA LINE, yaani ni WATANZANIA waliosoma ELIMU ya MSINGI, SEKONDARI na CHUO KIKUU nchini UGANDA.

Hilo kundi la UGANDA LINE ndio kundi ambalo limeshikilia UCHUMI WA TANZANIA na hilo kundi linajumuisha wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU], MISTER CLEAN pamoja na HAYATI MWALIMU.

Hilo kundi la UGANDA LINE ndio kundi ambalo MFUMO WA KISERIKALI umejichimbia chini na wana mahusiano ya DAMU na familia za VIONGOZI WA AFRIKA YA MASHARIKI kwa upande wa UGANDA na KENYA.
 
Kuendelea kulalamikia ujamaa au Nyerere ni kutafuta sababu za kuhalalisha failures zenu. Nchi ishaondoka huko zamani na watu wanatoboa Kila siku.

"If you are born poor it’s not your mistake but if you die poor it’s your mistake" Vijana pambaneni na Hali zenu msitafute mchawi nani.
 
Yaani hapa umeandika kitu cha maana sana. Hiki kitu WAINGEREZA huwa wanaita ni "DESTINATION" au kwa lugha ya kiswahili wanaita UTAMBULISHO.

WAINGEREZA huwa wana utamaduni wa kuuliza maswali haya - "What is your favorite destination?" AU "What makes you proud?". Yaani ni kitu gani ambacho kinakutambulisha wewe AU kitu gani ambacho unajivunia.

Sasa kwa MATAIFA yalioendelea yana vitu vingi sana ambavyo wanavitumia kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION.

Kwa upande wa MAREKANI wana vitu vingi sana ambavyo wanavitumia kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano APPLE, HP, COCA-COLA, PEPSI, BLACKBERRY, FORD na n.k.

Kwa upande wa UINGEREZA wanatumia VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano MANCHESTER UNITED, CHELSEA, TOTTENHAM HOTSPURS n.k

Kwa upande wa SWIDENI wanatumia SCANIA, KELTRUCK na VOLVO kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa ITALIA wanatumia IVECO kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Vilevile wanatumia VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION. Kwa mfano JUVENTUS, INTER MILAN, AC MILAN, AS ROMA na n.k

Kwa upande wa UJERUMANI wanatumia BAVARIA, MAN, VOLKSWAGEN, MERCEDES BENZ, AUDI au VILABU VYA MPIRA WA MIGUU kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION na WAJERUMANI wanafanya mambo makubwa sana, sema huwa sio WATU wa kujitangaza. Huwa ni WATU wakimya.

Kwa upande wa UHOLANZI wao wanatumia DAF na HEINEKEN kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa KOREA YA KUSINI wanatumia SAMSUNG kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa JAPANI wao wanatumia TOYOTA, NISSAN na MAKAMPUNI MAKUBWA ya ELETRONIKI kama PANASONIC na HITACHI kama UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Kwa upande wa CHINA wao wanatumia HUAWEI, TECNO, YUTONG na mambo mengine mengi kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION.

Sasa kwa upande wa AFRIKA haya mambo bado, ijapokuwa kuna baadhi ya jamii ambazo tayari zimeshaanza kutengeza UTAMBULISHO wao yaani DESTINATION.

Lakini tunapaswa kuwa na VITU VIKUBWA ambavyo vitatumika kama UTAMBULISHO yaani DESTINATION na hiyo ndio SIRI YA MAFANIKIO na hayo ndio MAENDELEO.


Kwahiyo ni muhimu kutengeza BUSINESS BRAND ambayo itakuwa ni UTAMBULISHO yaani DESTINATION kwa JAMII au TAIFA na hayo ndio mambo ambayo wenzetu walishafanya tangu karne ya 18 [ 1800's ].

passioner255 kwa upande wa AFRIKA kuna MATAIFA na JAMII ambazo tayari zilishaamua kuwa na DESTINATION yaani UTAMBULISHO wao.

Kwa mfano, TAIFA LA NAMIBIA liliamua kuwa na BIA yao wenyewe inayoitwa WINDHOEK.

7ccfaa0195c4338f49dde3e2dd2c1262.png

Hii WINDHOEK ni DESTINATION au UTAMBULISHO kwa TAIFA LA NAMIBIA na wanafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI.

Mfano mwingine, angalia TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa GOR MAHIA FC ya KENYA.

9db9e3eb57e2b19ef9c4dc3cdec9ede3.png

Hawa ni MABINGWA WA KIHISTORIA WA SOKA nchini KENYA na hii TIMU inatumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa JAMII YA WALUO.

Mfano mwingine tena, lakini hii haijawekwa wazi kwa sababu binafsi, ni kuhusu WEB BROWSER YA OPERA.

ba5c5fa1935f4359e508954ddba1139b.png

Hii kampuni ya OPERA inapatikana jijini OLSO nchini NORWAY, lakini wamiliki halali wanapatikana AFRIKA katika TAIFA LA KENYA. Hii kampuni inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.

c7fa818d34b548b04c68ebb700962613.png

Mfano mwingine tena, ni KAMPUNI YA TECNO. Hii kampuni inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI na inapatikana nchini CHINA. Lakini wamiliki halali wa kampuni ya TECNO wanapatikana AFRIKA katika TAIFA LA NAIJERIA.

Hii kampuni ya TECNO inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.

Kwahiyo HALI HALISI ndio ipo hivyo, JAMII nyingine bado zinafanya SIRI kuhusu VITU NA MAMBO wanayoyafanya na hata kumiliki lakini JAMII nyingine wameweka wazi baadhi ya VITU NA MAMBO wanayoyafanya na hata kumiliki na wanatumia kama DESTINATION au UTAMBULISHO wao.
 
Back
Top Bottom