Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

passioner255 kwa upande wa AFRIKA kuna MATAIFA na JAMII ambazo tayari zilishaamua kuwa na DESTINATION yaani UTAMBULISHO wao.

Kwa mfano, TAIFA LA NAMIBIA liliamua kuwa na BIA yao wenyewe inayoitwa WINDHOEK.


Hii WINDHOEK ni DESTINATION au UTAMBULISHO kwa TAIFA LA NAMIBIA na wanafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI.

Mfano mwingine, angalia TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa GOR MAHIA FC ya KENYA.

Hawa ni MABINGWA WA KIHISTORIA WA SOKA nchini KENYA na hii TIMU inatumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa JAMII YA WALUO.

Mfano mwingine tena, lakini hii haijawekwa wazi kwa sababu binafsi, ni kuhusu WEB BROWSER YA OPERA.
Hii kampuni ya OPERA inapatikana jijini OLSO nchini NORWAY, lakini wamiliki halali wanapatikana AFRIKA katika TAIFA LA KENYA. Hii kampuni inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.

Mfano mwingine tena, ni KAMPUNI YA TECNO. Hii kampuni inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI na inapatikana nchini CHINA. Lakini wamiliki halali wa kampuni ya TECNO wanapatikana AFRIKA katika TAIFA LA NAIJERIA.

Hii kampuni ya TECNO inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.

Kwahiyo HALI HALISI ndio ipo hivyo, JAMII nyingine bado zinafanya SIRI kuhusu VITU NA MAMBO wanayoyafanya na hata kumiliki lakini JAMII nyingine wameweka wazi baadhi ya VITU NA MAMBO wanayoyafanya na hata kumiliki na wanatumia kama DESTINATION au UTAMBULISHO wao.
passioner255 jaribu kuangalia mfano mwingine, lakini hii haijawekwa wazi kwa sababu binafsi, ni kuhusu WEB BROWSER YA MOZILLA.

images.jpeg

Hii kampuni ya MOZILLA inapatikana jijini CALIFORNIA nchini MAREKANI, lakini wamiliki halali wanapatikana AFRIKA katika TAIFA LA TANZANIA.

3924b6c0fc042151c6c9f43fc18ff9b7.png

Hii kampuni ya MOZILLA ndio kampuni mama ya FIREFOX na ilianzishwa kwenye miaka ya 2005's baada ya kuanzishwa kwa kampuni ya OPERA kwenye miaka ya 1995's.

Hii kampuni pia inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.

Kama ilivyo kwa TIMU YA MPIRA WA MIGUU ya GOR MAHIA FC inavyotumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa JAMII YA WALUO, ndivyo ilivyo kwa TIMU YA MPIRA WA MIGUU ya SIMBA SC inavyotumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa WENYEJI WA ASILI WA MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani MWASHITA [ WASUKUMA].

f44b5a06ccde5935922c4286a54ad148.png


71087e1d0b7795e98ffc2d2ca0c8bc7d.png


fe0a410a7be73025252727c418788a95.png

Vile vile bado kuna mkanganyiko wa kutumia DESTINATION au UTAMBULISHO kati ya SIMBA SC na YANGA SC kwa sababu TIMU zote zinafanya vizuri kwenye michuano ya kitaifa na kimataifa.

d3488652f75d14c53e02a0f970e4076e.png

Lakini DESTINATION au UTAMBULISHO unaotambulika hadi sasa hivi kwa WENYEJI WA ASILI WA MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani MWASHITA [ WASUKUMA ] ni SIMBA ikiwa na maana HALISI ya WAPAMBANAJI.
 
passioner255 jaribu kuangalia mfano mwingine, lakini hii haijawekwa wazi kwa sababu binafsi, ni kuhusu WEB BROWSER YA MOZILLA.

Hii kampuni ya MOZILLA inapatikana jijini CALIFORNIA nchini MAREKANI, lakini wamiliki halali wanapatikana AFRIKA katika TAIFA LA TANZANIA.


Hii kampuni ya MOZILLA ndio kampuni mama ya FIREFOX na ilianzishwa kwenye miaka ya 2005's baada ya kuanzishwa kwa kampuni ya OPERA kwenye miaka ya 1995's.

Hii kampuni pia inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.

Kama ilivyo kwa TIMU YA MPIRA WA MIGUU ya GOR MAHIA FC inavyotumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa JAMII YA WALUO, ndivyo ilivyo kwa TIMU YA MPIRA WA MIGUU ya SIMBA SC inavyotumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa WENYEJI WA ASILI WA MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani MWASHITA [ WASUKUMA].


Vile vile bado kuna mkanganyiko wa kutumia DESTINATION au UTAMBULISHO kati ya SIMBA SC na YANGA SC kwa sababu TIMU zote zinafanya vizuri kwenye michuano ya kitaifa na kimataifa.

Lakini DESTINATION au UTAMBULISHO unaotambulika hadi sasa hivi kwa WENYEJI WA ASILI WA MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani MWASHITA [ WASUKUMA ] ni SIMBA ikiwa na maana HALISI ya WAPAMBANAJI.
Ngoja nimalizane na wewe passioner255, halafu siku nyingine tutaendelea na Wakudadavuwa. Jaribu kuangalia mfano mwingine wa hii kampuni ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Hii kampuni ya PLATINUM HOLDINGS LIMITED ni kampuni ya pili kwa ukubwa baada ya kampuni ya AFRICAN EXPLOSIVE LIMITED [AEL] ya AFRIKA YA KUSINI.

images.jpeg

Hizi kampuni zote ni miongoni mwa kampuni ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ambazo zinapatikana KUSINI MWA AFRIKA.

images (1).jpeg

Hii kampuni ya PLATINUM HOLDINGS LIMITED ni kampuni ambayo inamiliki HISA kwenye baadhi ya kampuni ambazo zinapatikana nchini ZIMBABWE. Kampuni hizo ni kama unavyoona kwenye picha hapo juu na malengo ni kumiliki kampuni zote kwa asilimia mia moja [100%].

Kwa mfano, hiyo kampuni ya ZIMPLATS ni kampuni ambayo inamilikiwa na PLATINUM HOLDINGS LIMITED kwa asilimia themanini na saba [87%].

zimba_11.png


zimba_12.png

Na malengo ni kumiliki kampuni ya ZIMPLATS kwa asilimia mia moja [100%]. Kwani sasa hivi hii kampuni ya PLATINUM HOLDINGS LIMITED inamiliki HISA kwa asilimia themanini na saba [87%] ikiwa na thamani ya USD 93,644,430 ambacho ni sawa na kiasi cha TZS 218,133,093,695.42 [1 USD = 2329.4 TZS].

images (2).jpeg

Hii kampuni ya PLATINUM HOLDINGS LIMITED ni kampuni ambayo inamiliki TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa FC PLATINUM inayoshiriki LIGI KUU nchini ZIMBABWE.

286078e32fedb6b3dfc59225704ee455.png


5407f0da06c33e7e132de0263046659a.png

Msemaji wa TIMU YA MPIRA WA MIGUU ya FC PLATINUM ni MTANZANIA WA KUZALIWA ambaye wazazi wake walihamia ZIMBABWE. Yaani ni miongoni mwa wale wenyeji wa asili elfu thelathini [30,000] waliohama kutoka kwenye MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.

IMG_20220729_233207.jpg

Vile vile, hii kampuni ya PLATINUM HOLDINGS LIMITED ni kampuni ambayo inamiliki TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa REAL BETIS BALOMPÉ inayoshiriki LIGI KUU nchini UHISPANIA.

f81a6fffa1dd4f68174d707a04adccac.png


f9d3724de7bc1385d166f45493a67d0f.png


a0072c5932c13b7e7caf95e12ee19ab9.png

Kwahiyo, hizi TIMU zote za FC PLATINUM na REAL BETIS BALOMPÉ ni TIMU ZA MPIRA WA MIGUU ambazo zinamilikiwa na kampuni moja ya kibiashara inayoitwa PLATINUM HOLDINGS LIMITED.

f211aad72f8927181e04b98356a6a595.png

Hii kampuni inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI na hivi karibuni walianza kurudi TANZANIA, ambapo walifanikiwa kufungua kampuni inayohusika na masuala ya fedha inayoitwa PLATINUM CREDIT LIMITED.

Vile vile hii kampuni ya PLATINUM HOLDINGS LIMITED ni kampuni ambayo inamiliki kampuni ndogo ambayo inaitwa PLATINUM MEDICAL CARE POLYCLINIC.

fb2f9635db51185d5224e229d2368c88.png

Hii hospitali ya PLATINUM MEDICAL CARE POLYCLINIC ni hospitali ya matibabu ya kibingwa, vipimo vyote vya maabara, mazoezi tiba, vipimo vya mionzi, huduma ya dharula pamoja na dawa.

Yaani hii hospitali ya PLATINUM MEDICAL CARE POLYCLINIC na hospitali ya REGENCY inayopatikana UPANGA jijini DAR ES SALAAM ni kitu kimoja.

Kwahiyo hiyo ndio kampuni ya PLATINUM HOLDINGS LIMITED ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Hii kampuni imevumilia sana hali ya kiuchumi nchini ZIMBABWE, kwani baadhi ya kampuni za kigeni zilishafunga biashara zao baada ya vikwazo vya kiuchumi kuwekwa na MATAIFA YA MAGHARIBI dhidi ya SERIKALI YA ZIMBABWE. Kwahiyo ni jambo la kupongeza na hii kampuni itaendelea kuwepo nchini ZIMBABWE hata kwa miongo ijayo.
 


Wakudadavuwa sikiliza hiyo nyimbo ya BENDI YA TOT! Hiyo BENDI YA TOT ni BENDI ya muziki ambayo inamilikiwa na CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na inaendeshwa na MISTER ABILITY, yaani MISTER ABILITY alipewa jukumu la kuitunza na kuilea BENDI YA TOT tangu ilipoanzishwa mpaka leo.

Kwenye hiyo nyimbo kuna mstari unasema "CHAMA CHA MAPINDUZI kina wenyewe". Hao wenyewe ndio kila kitu ndani ya CHAMA, yaani wanakuwa kama OLIGARCHY.

Na OLIGARCHY wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ni wale waliokuwa kundi la UGANDA LINE, yaani ni WATANZANIA waliosoma ELIMU ya MSINGI, SEKONDARI na CHUO KIKUU nchini UGANDA.

Hilo kundi la UGANDA LINE ndio kundi ambalo limeshikilia UCHUMI WA TANZANIA na hilo kundi linajumuisha wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU], MISTER CLEAN pamoja na HAYATI MWALIMU.

Hilo kundi la UGANDA LINE ndio kundi ambalo MFUMO WA KISERIKALI umejichimbia chini na wana mahusiano ya DAMU na familia za VIONGOZI WA AFRIKA YA MASHARIKI kwa upande wa UGANDA na KENYA.

Haya leo ngoja tuendelee na Wakudadavuwa, tunaendelea pale tulipoishia.

Jaribu kusikiliza kwanza hii nyimbo ya BI KIDUDE inayoitwa MUHOGO WA JANG'OMBE - usitukane wakunga na uzazi ungalipo.



Hii TUNGO ilikuwa imebeba maana kubwa sana kwa kipindi hicho cha miaka ya tisini mpaka miaka ya elfu mbili [ 1990's mpaka 2000's ] na ilikuwa inawahusu wale WANASIASA waliokuwa karibu na HAYATI MWALIMU na baadae kuwa MAHASIMU WA KISIASA akiwemo OSCAR SALATHIEL KAMBONA na ADAM SAPI MKWAWA.

Eeh! Maana KALENGA na LUGALO kugeuka kuwa MAGOFU YA KIHISTORIA ilikuwa sio KAZI ndogo, ina maana kulikuwa kuna MAMBO mazito ndani yake.
 
Haya leo ngoja tuendelee na Wakudadavuwa, tunaendelea pale tulipoishia.

Jaribu kusikiliza kwanza hii nyimbo ya BI KIDUDE inayoitwa MUHOGO WA JANG'OMBE - usitukane wakunga na uzazi ungalipo.



Hii TUNGO ilikuwa imebeba maana kubwa sana kwa kipindi hicho cha miaka ya tisini mpaka miaka ya elfu mbili [ 1990's mpaka 2000's ] na ilikuwa inawahusu wale WANASIASA waliokuwa karibu na HAYATI MWALIMU na baadae kuwa MAHASIMU WA KISIASA akiwemo OSCAR SALATHIEL KAMBONA na ADAM SAPI MKWAWA.

Eeh! Maana KALENGA na LUGALO kugeuka kuwa MAGOFU YA KIHISTORIA ilikuwa sio KAZI ndogo, ina maana kulikuwa kuna MAMBO mazito ndani yake.

Wakudadavuwa sikiliza kwa UTULIVU na kutazama kwa MAKINI hii nyimbo nyingine ya BI KIDUDE iliyosheheni MASHAIRI YENYE MIZANI na LUGHA YA PICHA.



Tazama kwa MAKINI hiyo VIDEO, kuna sehemu inaonesha WATOTO WA MATABAKA MATATU - yaani WAZUNGU, WAASIA na WAAFRIKA.

WATOTO WAWILI wenye ASILI YA KIZUNGU wanaonekana wakilamba KONI au kwa jina lingine wanaita ICE CREAM yaani LAMBALAMBA, MTOTO mwenye ASILI YA KIASIA anaonekana akitamani ile KONI au ICE CREAM na MTOTO MZURI mwenye ASILI YA KIAFRIKA anaonekana akishangaa kwa yale yanayoendelea kufanyika.

BlackWhite_2022-08-03_22-43-12-330.jpg

Sasa hiyo ni LUGHA YA PICHA - hao WATOTO WAWILI wenye ASILI YA KIZUNGU ni MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA, huyo MTOTO mwenye ASILI YA KIASIA ni MATAIFA YA ASIA na huyo MTOTO MZURI mwenye ASILI YA KIAFRIKA ni BARA LA AFRIKA.

Hiyo ni LUGHA YA PICHA, yaani MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA huwa yanaangalia MASILAHI yao kwanza na huwa yanasikiliza na kutii sehemu ambapo wananufaika. Yaani wao ni kama MBWA WAKALI, siku zote wanatii anayewapatia CHAKULA.

Hiyo ndio TANZANIA!! Pamoja na kuwa na mambo mengi ambayo yaliashiria na bado yanaashiria UDHALIMU, lakini hauwezi kuwasikia hata kidogo MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA yakikemea au kunyoshea kidole SERIKALI YA TANZANIA kwa sababu wao ni wanufaika wakubwa.

Kwahiyo wakina OSCAR SALATHIEL KAMBONA na wengine hawakuwa na ushawishi kwa MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA kwa sababu wao walikuwa hawana kitu na kwa upande wa MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA - MKONO MTUPU huwa haulambwi.
 
Wakudadavuwa sikiliza kwa UTULIVU na kutizama kwa MAKINI hii nyimbo nyingine ya BI KIDUDE iliyosheheni MASHAIRI YENYE MIZANI na LUGHA YA PICHA.



Tizama kwa MAKINI hiyo VIDEO, kuna sehemu inaonesha WATOTO WA MATABAKA MATATU - yaani WAZUNGU, WAASIA na WAAFRIKA.

WATOTO WAWILI wenye ASILI YA KIZUNGU wanaonekana wakilamba KONI au kwa jina lingine wanaita ICE CREAM yaani LAMBALAMBA, MTOTO mwenye ASILI YA KIASIA anaonekana akitamani ile KONI au ICE CREAM na MTOTO MZURI mwenye ASILI YA KIAFRIKA anaonekana akishangaa kwa yale yanayoendelea kufanyika.

Sasa hiyo ni LUGHA YA PICHA - hao WATOTO WAWILI wenye ASILI YA KIZUNGU ni MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA, huyo MTOTO mwenye ASILI YA KIASIA ni MATAIFA YA ASIA na huyo MTOTO MZURI mwenye ASILI YA KIAFRIKA ni BARA LA AFRIKA.

Hiyo ni LUGHA YA PICHA, yaani MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA huwa yanaangalia MASILAHI yao kwanza na huwa yanasikiliza na kutii sehemu ambapo wananufaika. Yaani wao ni kama MBWA WAKALI, siku zote wanatii anayewapatia CHAKULA.

Hiyo ndio TANZANIA!! Pamoja na kuwa na mambo mengi ambayo yaliashiria na bado yanaashiria UDHALIMU, lakini hauwezi kuwasikia hata kidogo MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA yakikemea au kunyoshea kidole SERIKALI YA TANZANIA kwa sababu wao ni wanufaika wakubwa.

Kwahiyo wakina OSCAR SALATHIEL KAMBONA na wengine hawakuwa na ushawishi kwa MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA kwa sababu wao walikuwa hawana kitu na kwa upande wa MATAIFA YA ULAYA na AMERIKA - MKONO MTUPU huwa haulambwi.

Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1204 - Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliyafahamu hayo MAMBO mapema na wakaamua KUTULIA na kuwa na SUBIRA. Kwani SUBIRA yavuta KHERI 🙏🏿

HAYATI MWALIMU aliwapenda sana na alikuwa anawaita wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kuwa ni KRIMU BORA.

Na ilivyofika mwaka 1995, HAYATI MWALIMU alikuwa tayari ameshapanga MAJIMBO YA UCHAGUZI kwa TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kwa wale wote waliokuwa WAKURUGENZI na MENEJA wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Hiyo kweli ilikuwa ni KRIMU BORA na hao ndio walikuwa wanakuja kuwa WANASIASA BORA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kutoka MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

Lakini cha ajabu! Wale wote waliokuwa WAKURUGENZI na MENEJA wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waligoma na kususia mapendekezo ya HAYATI MWALIMU, kwa sababu wao walikuwa wamejikita zaidi kwenye kujijenga KIUCHUMI kuliko kutafuta nafasi za KISIASA na walifanikiwa kwa zaidi ya asilimia mia moja [100%].

9a0550b1316a772895cbb6535fc2d581.png


201c67f6ad95c2732d3698c27c5656d4.png

Wale waliokuwa WAKURUGENZI na MENEJA wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walisema ya kwamba - "kama hizo nafasi ni kwa nia njema, basi zitunzeni watakuja kuzichukua hata watoto wetu".

Baada ya kususia, HAYATI MWALIMU alipendekeza MAKAPI kuchukua nafasi za MAJIMBO YA UCHAGUZI kwenye MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kwa TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

MAKAPI yaani MASALIA yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa kawaida wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] na wao walisusia baada ya kuitwa MAKAPI. Maana ilikuwa ni kama kudhalilishwa!

Baada ya MAKAPI au MASALIA kususia mapendekezo ya HAYATI MWALIMU ndio ikawa chanzo cha kutokuwepo kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Basi HAYATI MWALIMU akasema anachukua TAKATAKA kuwania nafasi za MAJIMBO YA UCHAGUZI kwa TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kwenye MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Kweli! Wale WANASIASA waliopatikana kuwania nafasi za MAJIMBO YA UCHAGUZI kwenye MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, mwaka 1995 walikuwa ni TAKATAKA na ile hali ilikuwa ni fursa kwa MAMLUKI kuweza kupenya ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Hali hiyo ilikigharimu CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM, kwa sababu wale MAMLUKI waliopenya ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM, mwaka 1995 ndio ilikuwa fursa kwa miaka iliyofuata na hili ndio miongoni mwa makosa mengine ya HAYATI MWALIMU aliyoyafanya kipindi cha UHAI wake.

3fb94595fa89be8a3cf9aff16f137d63.png

Hii MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA haijawahi kupata KRIMU iliyo BORA kwenye SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM na SIASA za KITAIFA mpaka leo.

Hawa WANASIASA waliopo, hawana faida kwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM wala kwa WANANCHI waliowachagua, yaani wapo wapo tu ilmradi siku ziende na kwa jina lingine wanaitwa ni MIZIGO.

Kwenye UCHAGUZI MKUU wa mwaka 1995, MISTER CLEAN alisimama na kuwania nafasi ya URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kwa kupitia TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM na alifanikiwa kushinda na kuwa RAIS WA AWAMU YA TATU.

8ae985cddace1b990018fe12c64a096b.png

Vile vile, MISTER CLEAN aliingia IKULU kwa kusindikizwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ambao wengi wao walikuwa ni miongoni mwa KUNDI LA UGANDA LINE, wale WATANZANIA waliosoma ELIMU ya MSINGI, SEKONDARI pamoja na CHUO KIKUU nchini UGANDA.

MISTER CLEAN kwa kutumia mamlaka aliyopewa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM alifanikiwa kupendekeza jina la MISTER ZERO kuwa WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA na alifanikiwa.

b87aa2f1868ec3e001d1586378a201be.png

Kwahiyo MISTER ZERO alifanikiwa kuwa WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ] na hii ilifanyika baada ya MISTER ABILITY kususia mapendekezo ya HAYATI MWALIMU.
 
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1204 - Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliyafahamu hayo MAMBO mapema na wakaamua KUTULIA na kuwa na SUBIRA. Kwani SUBIRA yavuta KHERI 🙏🏿

HAYATI MWALIMU aliwapenda sana na alikuwa anawaita wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kuwa ni KRIMU BORA.

Na ilivyofika mwaka 1995, HAYATI MWALIMU alikuwa tayari ameshapanga MAJIMBO YA UCHAGUZI kwa TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kwa wale wote waliokuwa WAKURUGENZI na MENEJA wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Hiyo kweli ilikuwa ni KRIMU BORA na hao ndio walikuwa wanakuja kuwa WANASIASA BORA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kutoka MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

Lakini cha ajabu! Wale wote waliokuwa WAKURUGENZI na MENEJA wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waligoma na kususia mapendekezo ya HAYATI MWALIMU, kwa sababu wao walikuwa wamejikita zaidi kwenye kujijenga KIUCHUMI kuliko kutafuta nafasi za KISIASA na walifanikiwa kwa zaidi ya asilimia mia moja [100%].

Wale waliokuwa WAKURUGENZI na MENEJA wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walisema ya kwamba - "kama hizo nafasi ni kwa nia njema, basi zitunzeni watakuja kuzichukua hata watoto wetu".

Baada ya kususia, HAYATI MWALIMU alipendekeza MAKAPI kuchukua nafasi za MAJIMBO YA UCHAGUZI kwenye MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA kwa TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

MAKAPI yaani MASALIA yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa kawaida wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] na wao walisusia baada ya kuitwa MAKAPI. Maana ilikuwa ni kama kudhalilishwa!

Baada ya MAKAPI au MASALIA kususia mapendekezo ya HAYATI MWALIMU ndio ikawa chanzo cha kutokuwepo kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Basi HAYATI MWALIMU akasema anachukua TAKATAKA kuwania nafasi za MAJIMBO YA UCHAGUZI kwa TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM kwenye MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

Kweli! Wale WANASIASA waliopatikana kuwania nafasi za MAJIMBO YA UCHAGUZI kwenye MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, mwaka 1995 walikuwa ni TAKATAKA na ile hali ilikuwa ni fursa kwa MAMLUKI kuweza kupenya ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM.

Hali hiyo ilikigharimu CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM, kwa sababu wale MAMLUKI waliopenya ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM, mwaka 1995 ndio ilikuwa fursa kwa miaka iliyofuata na hili ndio miongoni mwa makosa mengine ya HAYATI MWALIMU aliyoyafanya kipindi cha UHAI wake.

Hii MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA haijawahi kupata KRIMU iliyo BORA kwenye SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM na SIASA za KITAIFA mpaka leo.

Hawa WANASIASA waliopo, hawana faida kwa CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM wala kwa WANANCHI waliowachagua, yaani wapo wapo tu ilmradi siku ziende na kwa jina lingine wanaitwa ni MIZIGO.

Kwenye UCHAGUZI MKUU wa mwaka 1995, MISTER CLEAN alisimama na kuwania nafasi ya URAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kwa kupitia TIKETI YA CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM na alifanikiwa kushinda na kuwa RAIS WA AWAMU YA TATU.

Vile vile, MISTER CLEAN aliingia IKULU kwa kusindikizwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ambao wengi wao walikuwa ni miongoni mwa KUNDI LA UGANDA LINE, wale WATANZANIA waliosoma ELIMU ya MSINGI, SEKONDARI pamoja na CHUO KIKUU nchini UGANDA.

MISTER CLEAN kwa kutumia mamlaka aliyopewa na CHAMA CHA MAPINDUZI - CCM alifanikiwa kupendekeza jina la MISTER ZERO kuwa WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA na alifanikiwa.

Kwahiyo MISTER ZERO alifanikiwa kuwa WAZIRI MKUU WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA kwa kipindi cha miaka kumi [ 10 ] na hii ilifanyika baada ya MISTER ABILITY kususia mapendekezo ya HAYATI MWALIMU.
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1205 - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio waliokuja kuwa wanufaika wakubwa wa UTAWALA WA AWAMU YA TATU ulioongozwa na MISTER CLEAN.

0c203a430849ed5ae505fa1aad44d9ab.png

Baada ya MISTER CLEAN kufanikiwa kuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, alifanya kulipa FADHILA kwa wale wote waliomsaidia kwa namna moja ama nyingine katika kufanikisha shughuli za kampeni ya URAIS, mwaka 1995.

Na moja ya FADHILA ambayo itakuwa kama ni kumbukumbu ya kumuenzi MISTER CLEAN ni kuanzishwa kwa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MODERN COAST EXPRESS.

400ea0e4e78597fc1331fa818fa33b55.png

Hii kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MODERN COAST EXPRESS ilipatikana kama FADHILA ya UTAWALA WA AWAMU YA TATU kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] baada ya kufanikisha shughuli za kampeni ya URAIS na hatimae MISTER CLEAN kuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Sasa hivi MODERN COAST EXPRESS ni kampuni kubwa sana na inajumuisha KAMPUNI ndogo ndogo zipatazo sita [6] kwa idadi yake.

KAMPUNI hizo ni VANTAGE ROAD TRANSPORTERS, MODERN COAST COURIER, BLUE BELL PROPERTIES, MODERN COAST BUILDERS AND CONSTRUCTORS, PRIBHAI JIVANJEE AND COMPANY LIMITED na VANTAGE POINT CLEARING AND FORWARDING COMPANY. Hizi kampuni zote zinapatikana nchini KENYA.

Vilevile, kati ya mwaka 1997 hadi mwaka 2000 - wale waliokuwa kundi la UGANDA LINE yaani WATANZANIA waliosoma ELIMU ya MSINGI, SEKONDARI na CHUO KIKUU nchini UGANDA walifanikiwa kumiliki kiwanda cha kutengeza MALORI yaliyokuwa yanaitwa JIEFANG.

Hiki kiwanda cha kutengeza MALORI yaliyokuwa yanaitwa JIEFANG kilikuwa kinapatikana nchini CHINA katika jiji la JILIN na mara ya kwanza kuleta MALORI yake nchini TANZANIA ilikuwa ni mwaka 1997 mpaka mwaka 1999 katika KIWANDA CHA KUCHAKATA PAMBA kilichokuwa kinaitwa NIPHA na hicho KIWANDA kilikuwa kinapatikana katika MKOA WA SHINYANGA.

Baadae hicho KIWANDA cha kutengeza MALORI yaliyokuwa yanaitwa JIEFANG kilibadilishwa jina na kuitwa FAW GROUP au FAW JIEFANG na ndio watengenezaji wa MALORI aina ya FAW.

c9a5ba2d8add2a42afe19976dd67468c.png

Hilo kundi la UGANDA LINE ndio wamiliki wa HISA nyingi kwenye kampuni ya FAW GROUP inayotengeneza INJINI ZA MAGARI, MABASI YA ABIRIA, MALORI, GARI NDOGO na MAGARI YA KIJESHI.

Vilevile hiyo kampuni ya FAW GROUP ina tawi lake hapa TANZANIA linaloitwa JIEFANG MOTORS TANZANIA LIMITED ambalo linahusika na kuunganisha vifaa na injini za MAGARI yaliyotengenezwa na kampuni mama ya FAW GROUP au FAW JIEFANG.

d4b1d7f24878d2659c8f7ed9589a04c1.png

Kwahiyo hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA UGANDA LINE watakuwepo kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA MIZIGO kwa muda wa kipindi kirefu sana, kwa sababu muda sio mrefu wataanza kutumia bidhaa kutoka kiwanda cha JIEFANG MOTORS TANZANIA LIMITED ambacho kinatengeneza MALORI YA JIEFANG au FAW na kuachana kabisa na MALORI YA SCANIA, IVECO, MAN, MERCEDES BENZ, DAF na n.k

4462c863c561e4499e5d52df372b349f.png

Hilo tawi la FAW GROUP linalopatikana TANZANIA linatumika pia kuunganisha VICHWA VYA MALORI kwa kutumia CHASES zilizotumika kwenye MALORI ya zamani. Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA UGANDA LINE watakuwepo kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA MIZIGO kwa muda wa kipindi kirefu sana.

a3644e35e2f986db016927ff7bb3ff4c.png

Kwahiyo HALI HALISI ndio ipo hivyo, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA UGANDA LINE walijijenga sana KIMAENDELEO, KIUCHUMI na KISIASA kuliko WATU wengi wanavyodhani au kuweza kufikiri kwa kuambiwa au hata kusimuliwa.
 
Wakudadavuwa kwa muendelezo wa posti namba 1205 - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio waliokuja kuwa wanufaika wakubwa wa UTAWALA WA AWAMU YA TATU ulioongozwa na MISTER CLEAN.

Baada ya MISTER CLEAN kufanikiwa kuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, alifanya kulipa FADHILA kwa wale wote waliomsaidia kwa namna moja ama nyingine katika kufanikisha shughuli za kampeni ya URAIS, mwaka 1995.

Na moja ya FADHILA ambayo itakuwa kama ni kumbukumbu ya kumuenzi MISTER CLEAN ni kuanzishwa kwa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MODERN COAST EXPRESS.

Hii kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MODERN COAST EXPRESS ilipatikana kama FADHILA ya UTAWALA WA AWAMU YA TATU kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] baada ya kufanikisha shughuli za kampeni ya URAIS na hatimae MISTER CLEAN kuwa RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Sasa hivi MODERN COAST EXPRESS ni kampuni kubwa sana na inajumuisha KAMPUNI ndogo ndogo zipatazo sita [6] kwa idadi yake.

KAMPUNI hizo ni VANTAGE ROAD TRANSPORTERS, MODERN COAST COURIER, BLUE BELL PROPERTIES, MODERN COAST BUILDERS AND CONSTRUCTORS, PRIBHAI JIVANJEE AND COMPANY LIMITED na VANTAGE POINT CLEARING AND FORWARDING COMPANY. Hizi kampuni zote zinapatikana nchini KENYA.

Vilevile, kati ya mwaka 1997 hadi mwaka 2000 - wale waliokuwa kundi la UGANDA LINE yaani WATANZANIA waliosoma ELIMU ya MSINGI, SEKONDARI na CHUO KIKUU nchini UGANDA walifanikiwa kumiliki kiwanda cha kutengeza MALORI yaliyokuwa yanaitwa JIEFANG.

Hiki kiwanda cha kutengeza MALORI yaliyokuwa yanaitwa JIEFANG kilikuwa kinapatikana nchini CHINA katika jiji la JILIN na mara ya kwanza kuleta MALORI yake nchini TANZANIA ilikuwa ni mwaka 1997 mpaka mwaka 1999 katika KIWANDA CHA KUCHAKATA PAMBA kilichokuwa kinaitwa NIPHA na hicho KIWANDA kilikuwa kinapatikana katika MKOA WA SHINYANGA.

Baadae hicho KIWANDA cha kutengeza MALORI yaliyokuwa yanaitwa JIEFANG kilibadilishwa jina na kuitwa FAW GROUP au FAW JIEFANG na ndio watengenezaji wa MALORI aina ya FAW.

Hilo kundi la UGANDA LINE ndio wamiliki wa HISA nyingi kwenye kampuni ya FAW GROUP inayotengeneza INJINI ZA MAGARI, MABASI YA ABIRIA, MALORI, GARI NDOGO na MAGARI YA KIJESHI.

Vilevile hiyo kampuni ya FAW GROUP ina tawi lake hapa TANZANIA linaloitwa JIEFANG MOTORS TANZANIA LIMITED ambalo linahusika na kuunganisha vifaa na injini za MAGARI yaliyotengenezwa na kampuni mama ya FAW GROUP au FAW JIEFANG.

Kwahiyo hawa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA UGANDA LINE watakuwepo kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA MIZIGO kwa muda wa kipindi kirefu sana, kwa sababu muda sio mrefu wataanza kutumia bidhaa kutoka kiwanda cha JIEFANG MOTORS TANZANIA LIMITED ambacho kinatengeneza MALORI YA JIEFANG au FAW na kuachana kabisa na MALORI YA SCANIA, IVECO, MAN, MERCEDES BENZ, DAF na n.k
Hilo tawi la FAW GROUP linalopatikana TANZANIA linatumika pia kuunganisha VICHWA VYA MALORI kwa kutumia CHASES zilizotumika kwenye MALORI ya zamani. Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA UGANDA LINE watakuwepo kwenye SEKTA YA USAFIRISHAJI WA MIZIGO kwa muda wa kipindi kirefu sana.

Kwahiyo HALI HALISI ndio ipo hivyo, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na KUNDI LA UGANDA LINE walijijenga sana KIMAENDELEO, KIUCHUMI na KISIASA kuliko WATU wengi wanavyodhani au kuweza kufikiri kwa kuambiwa au hata kusimuliwa.
Wakudadavuwa hilo kundi la UGANDA LINE wana mpango wa kumiliki kiwanda cha FAW GROUP kwa asilimia zote, endapo sheria za uwekezaji kwa NCHI ya CHINA zitaruhusu.



Na hii kampuni ya FAW GROUP inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI kwa upande wa CHINA na BARA LA ASIA kwa ujumla.

48e68618ec98f8904babac1d16e57ce6.png

Vilevile, hii kampuni ya FAW GROUP inafanya vizuri kwenye SOKO LA USHINDANI kwa upande wa AFRIKA. Sema bado inakuwa ni vigumu kuhimili mazingira ya BARA LA AFRIKA kwa baadhi ya NCHI.

6f28f5f113cdfa89e12d1bd720310ae5.png

Kwahiyo, hii kampuni ya FAW GROUP ipo vizuri sema hauwezi ukafananisha UBORA na kampuni zinazopatikana MATAIFA ya ULAYA pamoja na AMERIKA.

b7ce7b7011af8f568172072e78acc80c.png

Hii kampuni ya FAW GROUP inafanya vizuri sana kwenye sekta ya usafirishaji hasa kwa gari zake za FAW pamoja na JIEFANG.

9d39a0ddff56a7148b85dfe348e8db63.png

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na kundi lote la UGANDA LINE wataanza kutumia hii kampuni ya FAW JIEFANG katika shughuli zao za kibiashara hasa SEKTA ya USAFIRISHAJI WA MIZIGO.
 
Wakudadavuwa hilo kundi la UGANDA LINE wana mpango wa kumiliki kiwanda cha FAW GROUP kwa asilimia zote, endapo sheria za uwekezaji kwa NCHI ya CHINA zitaruhusu.



Na hii kampuni ya FAW GROUP inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI kwa upande wa CHINA na BARA LA ASIA kwa ujumla.
Vilevile, hii kampuni ya FAW GROUP inafanya vizuri kwenye SOKO LA USHINDANI kwa upande wa AFRIKA. Sema bado inakuwa ni vigumu kuhimili mazingira ya BARA LA AFRIKA kwa baadhi ya NCHI.

Kwahiyo, hii kampuni ya FAW GROUP ipo vizuri sema hauwezi ukafananisha UBORA na kampuni zinazopatikana MATAIFA ya ULAYA pamoja na AMERIKA.

Hii kampuni ya FAW GROUP inafanya vizuri sana kwenye sekta ya usafirishaji hasa kwa gari zake za FAW pamoja na JIEFANG.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na kundi lote la UGANDA LINE wataanza kutumia hii kampuni ya FAW JIEFANG katika shughuli zao za kibiashara hasa SEKTA ya USAFIRISHAJI WA MIZIGO.

Wakudadavuwa ile kampuni ya MODERN COAST EXPRESS kipindi inaanza miaka ya tisini na tano [1995's] ilikuwa inaitwa JINA LA UTANI la ASANTE MKAPA ikiwa na maana ya FADHILA baada ya UCHAGUZI MKUU WA 1995.

b86f39921c479fae7b8789b59e9ab72a.png

Na tangu kipindi hicho MISTER CLEAN alikuwa ni SIMBA yaani aliungana na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] katika kufanya BIASHARA.

f45d9219bb7c77fc07a072c7aa66a4a8.png

MISTER CLEAN alifanikiwa sana na kuna KIWANDA ambacho WATU wengi wanafahamu kuwa ni KIWANDA ambacho kinamilikiwa na SIMBA yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU], lakini kumbe mmiliki halali ni MISTER CLEAN.

Kwahiyo MAMBO ndio yalikuwa yanafanyika hivyo na kuna nyimbo ambayo kwa miaka ya nyuma alitunga na kuimba JOSE CHAMELEON ikiwa inahusu hii JAMII YA SIMBA.

b28c170b2f2e9923c3a5609f7a428f7e.png

Ile nyimbo ilikuwa inaitwa MUKWANO na hawakuitoa hewani kwa sababu ya UNYETI wake, lakini ni nyimbo nzuri iliyosheheni MASHAIRI yenye kusifu JAMII YA SIMBA.
 
Wakudadavuwa ile kampuni ya MODERN COAST EXPRESS kipindi inaanza miaka ya tisini na tano [1995's] ilikuwa inaitwa JINA LA UTANI la ASANTE MKAPA ikiwa na maana ya FADHILA baada ya UCHAGUZI MKUU WA 1995.

Na tangu kipindi hicho MISTER CLEAN alikuwa ni SIMBA yaani aliungana na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] katika kufanya BIASHARA.


MISTER CLEAN alifanikiwa sana na kuna KIWANDA ambacho WATU wengi wanafahamu kuwa ni KIWANDA ambacho kinamilikiwa na SIMBA yaani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU], lakini kumbe mmiliki halali ni MISTER CLEAN.

Kwahiyo MAMBO ndio yalikuwa yanafanyika hivyo na kuna nyimbo ambayo kwa miaka ya nyuma alitunga na kuimba JOSE CHAMELEON ikiwa inahusu hii JAMII YA SIMBA.


Ile nyimbo ilikuwa inaitwa MUKWANO na hawakuitoa hewani kwa sababu ya UNYETI wake, lakini ni nyimbo nzuri iliyosheheni MASHAIRI yenye kusifu JAMII YA SIMBA.
Wakudadavuwa baada ya kampeni ya URAIS kukamilika mwaka 1995 - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walianza kuandaa WATOTO wao kwa nia ya kuja kuendeleza MAMBO waliyo yaanzisha.

Wengi wao walipeleka WATOTO nje ya NCHI kwenda kusoma - wale waliokuwa wafanyakazi wa MWANZA [NCU] walipeleka WATOTO wao kwenda kusoma UGANDA na wengine walibaki TANZANIA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa SHINYANGA [SHIRECU] walipeleka WATOTO wao kwenda kusoma KENYA na wengine walibaki TANZANIA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa TABORA [WETCU] walipeleka WATOTO wao kwenda kusoma KENYA na ZAMBIA na wengine walibaki TANZANIA.

Kwahiyo mwaka 1996 na 1997 - wale WATOTO waliobaki TANZANIA walisoma shule za UMMA kwa kuiga MFUMO wa NCHI ZA UJERUMANI NA ULAYA YA MAGHARIBI, hasa wale waliokuwa WATOTO wa SHINYANGA [SHIRECU] walisoma shule za UMMA ambazo zilikuwa ni shule za kawaida. Shule hizo zilikuwa ni USHIRIKA, MWENGE, TOWN, JOMU na UHURU.

Na kipindi hicho kulikuwa kuna WATOTO wa waliokuwa MARAIS wa RWANDA na BURUNDI [wale waliouawa kwenye ajali ya ndege ya mwaka 1994] walikuwa wanasoma shule za UMMA pamoja na wale waliokuwa WATOTO wa wafanyakazi wa SHINYANGA [SHIRECU].

Wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA NA BURUNDI walikuwa wanajiita PUISSANTS. Hata MOBUTU SESE SEKO na yeye alikuwa anajiita PUISSANT - hili ni NENO la KIFARANSA likiwa na maana ya ALMIGHTY kwa LUGHA YA KIINGEREZA na MUWEZA WA YOTE kwa LUGHA YA KISWAHILI. Kwahiyo wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI NA KONGO walikuwa wanajulikana kama PUISSANTS yaani WAWEZA WA YOTE yaani kulikuwa hakuna jambo linalo washinda na walipenyeza WATU wao wengi sana hasa kwenye hii MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA na mpaka leo kuna WAHUTU wengi sana kwenye hii MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA walioakisi TAMADUNI za KISUKUMA.

Kwa upande wa TANZANIA wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na kundi zima la UGANDA LINE walikuwa wanajiita PEASANTS - hili ni NENO la KIINGEREZA likiwa na maana ya WAKULIMA kwa LUGHA YA KISWAHILI yaani ni FALSAFA YA KISIASA ikiwa na maana ya hakuna njia mkato, yaani hauwezi ukavuna MAZAO bila ya KUPANDA na hauwezi KUPANDA bila ya kuandaa MASHAMBA.

Na WANASIASA wengi wa TANZANIA ilitokea wakaanza kujiita PEASANTS ikiwa na maana ile ile ya FALSAFA YA KISIASA ya hakuna njia ya mkato au unaweza kueleza kwa namna nyingine ya "MTAKA CHA UVUNGUNI, SHARTI AINAME".

043b42517240ca235bd0ec675c441f0c.png

Hata MIZENGO KAYANZA PETER PINDA alikuwa ni MTOTO WA MKULIMA yaani THE SON OF PEASANT, ikiwa na maana ile ile ya FALSAFA YA KISIASA ya hakuna njia ya mkato.



Halafu pia, lile jina la KAYANZA linalotajwa kwenye nyimbo ya JOSE CHAMELEON lilikuwa linamaanisha KAYANZA PETER PINDA aliyekuwa WAZIRI MKUU wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Sasa, turudi kwa wale WATOTO wa PUISSANTS na PEASANTS waliokuwa wanasoma shule za UMMA pale SHINYANGA MJINI, walikuwa wanafanya vizuri sana darasani na walianza kuonekana KITAIFA mwaka 2003 na mwaka 2004 kwenye MTIHANI WA DARASA LA SABA baada ya kuongoza masomo ya SHULE ZA MSINGI.

Na waliendelea kufanya vizuri kwenye MTIHANI WA KIDATO CHA NNE mwaka 2007 na mwaka 2008 baada ya kufanya vizuri KITAIFA kwenye MASOMO YA KIDATO CHA NNE.

Haikushia hapo! Kwani baadhi ya WATOTO walijiunga na SHULE zenye MITAALA YA CAMBRIDGE na OXFORD na wengine waliendelea kusoma SHULE ZA UMMA. Wale walioendelea kusoma SHULE ZA UMMA waliendelea kufanya vizuri KITAIFA kwenye MASOMO YA KIDATO CHA SITA mwaka 2010 na mwaka 2011.

Hali hiyo iliendelea hivyo hivyo hadi VYUO VIKUU, kwani wale waliokuwa WATOTO wa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliendelea kuwa VIONGOZI WA VYUO VIKUU.

DOCUMENT 442 (3).jpg

Mmoja wapo ni [...] ikiwa na maana halisi ya MANING NICE yaani kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MANING NICE na huyo ndio aliyeongoza KIDATO CHA NNE mwaka 2007.

4840615f208e8dc231f79e21c57fa32c.png

Hiyo kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MANING NICE ni kampuni ya SIMBA MTOTO na aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA TANO WA CoHSS [UDOM], mwaka 2012/13.

e2cf0b9e90b1b0061f9be59ca09b0419.png

Sasa, MTOTO wa MISTER ABILITY kipindi ambacho alikuwa RAIS WA AWAMU YA TANO WA CoHSS [UDOM] mwaka 2012/13 ni kipindi ambacho MISTER CLEAN alikuwa ni MKUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM].

Kwahiyo, baada ya kususia mapendekezo ya HAYATI MWALIMU, wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliandaa WATOTO wao kwa namna hiyo na hao ndio watakaokuja kuwa WANASIASA WA KWELI kutoka MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA.
 
Wakudadavuwa baada ya kampeni ya URAIS kukamilika mwaka 1995 - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walianza kuandaa WATOTO wao kwa nia ya kuja kuendeleza MAMBO waliyo yaanzisha.

Wengi wao walipeleka WATOTO nje ya NCHI kwenda kusoma - wale waliokuwa wafanyakazi wa MWANZA [NCU] walipeleka WATOTO wao kwenda kusoma UGANDA na wengine walibaki TANZANIA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa SHINYANGA [SHIRECU] walipeleka WATOTO wao kwenda kusoma KENYA na wengine walibaki TANZANIA.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa TABORA [WETCU] walipeleka WATOTO wao kwenda kusoma KENYA na ZAMBIA na wengine walibaki TANZANIA.

Kwahiyo mwaka 1996 na 1997 - wale WATOTO waliobaki TANZANIA walisoma shule za UMMA kwa kuiga MFUMO wa NCHI ZA UJERUMANI NA ULAYA YA MAGHARIBI, hasa wale waliokuwa WATOTO wa SHINYANGA [SHIRECU] walisoma shule za UMMA ambazo zilikuwa ni shule za kawaida. Shule hizo zilikuwa ni USHIRIKA, MWENGE, TOWN, JOMU na UHURU.

Na kipindi hicho kulikuwa kuna WATOTO wa waliokuwa MARAIS wa RWANDA na BURUNDI [wale waliouawa kwenye ajali ya ndege ya mwaka 1994] walikuwa wanasoma shule za UMMA pamoja na wale waliokuwa WATOTO wa wafanyakazi wa SHINYANGA [SHIRECU].

Wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA NA BURUNDI walikuwa wanajiita PUISSANTS. Hata MOBUTU SESE SEKO na yeye alikuwa anajiita PUISSANT - hili ni NENO la KIFARANSA likiwa na maana ya ALMIGHTY kwa LUGHA YA KIINGEREZA na MUWEZA WA YOTE kwa LUGHA YA KISWAHILI. Kwahiyo wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI NA KONGO walikuwa wanajulikana kama PUISSANTS yaani WAWEZA WA YOTE yaani kulikuwa hakuna jambo linalo washinda na walipenyeza WATU wao wengi sana hasa kwenye hii MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA na mpaka leo kuna WAHUTU wengi sana kwenye hii MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA walioakisi TAMADUNI za KISUKUMA.

Kwa upande wa TANZANIA wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] pamoja na kundi zima la UGANDA LINE walikuwa wanajiita PEASANTS - hili ni NENO la KIINGEREZA likiwa na maana ya WAKULIMA kwa LUGHA YA KISWAHILI yaani ni FALSAFA YA KISIASA ikiwa na maana ya hakuna njia mkato, yaani hauwezi ukavuna MAZAO bila ya KUPANDA na hauwezi KUPANDA bila ya kuandaa MASHAMBA.

Na WANASIASA wengi wa TANZANIA ilitokea wakaanza kujiita PEASANTS ikiwa na maana ile ile ya FALSAFA YA KISIASA ya hakuna njia ya mkato au unaweza kueleza kwa namna nyingine ya "MTAKA CHA UVUNGUNI, SHARTI AINAME".

Hata MIZENGO KAYANZA PETER PINDA alikuwa ni MTOTO WA MKULIMA yaani THE SON OF PEASANT, ikiwa na maana ile ile ya FALSAFA YA KISIASA ya hakuna njia ya mkato.



Halafu pia, lile jina la KAYANZA linalotajwa kwenye nyimbo ya JOSE CHAMELEON lilikuwa linamaanisha KAYANZA PETER PINDA aliyekuwa WAZIRI MKUU wa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Sasa, turudi kwa wale WATOTO wa PUISSANTS na PEASANTS waliokuwa wanasoma shule za UMMA pale SHINYANGA MJINI, walikuwa wanafanya vizuri sana darasani na walianza kuonekana KITAIFA mwaka 2003 na mwaka 2004 kwenye MTIHANI WA DARASA LA SABA baada ya kuongoza masomo ya SHULE ZA MSINGI.

Na waliendelea kufanya vizuri kwenye MTIHANI WA KIDATO CHA NNE mwaka 2007 na mwaka 2008 baada ya kufanya vizuri KITAIFA kwenye MASOMO YA KIDATO CHA NNE.

Haikushia hapo! Kwani baadhi ya WATOTO walijiunga na SHULE zenye MITAALA YA CAMBRIDGE na OXFORD na wengine waliendelea kusoma SHULE ZA UMMA. Wale walioendelea kusoma SHULE ZA UMMA waliendelea kufanya vizuri KITAIFA kwenye MASOMO YA KIDATO CHA SITA mwaka 2010 na mwaka 2011.

Hali hiyo iliendelea hivyo hivyo hadi VYUO VIKUU, kwani wale waliokuwa WATOTO wa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliendelea kuwa VIONGOZI WA VYUO VIKUU.

Mmoja wapo ni [...] ikiwa na maana halisi ya MANING NICE yaani kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MANING NICE na huyo ndio aliyeongoza KIDATO CHA NNE mwaka 2007.

Hiyo kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MANING NICE ni kampuni ya SIMBA MTOTO na aliyekuwa RAIS WA AWAMU YA TANO WA CoHSS [UDOM], mwaka 2012/13.

Sasa, MTOTO wa MISTER ABILITY kipindi ambacho alikuwa RAIS WA AWAMU YA TANO WA CoHSS [UDOM] mwaka 2012/13 ni kipindi ambacho MISTER CLEAN alikuwa ni MKUU WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM].

Kwahiyo, baada ya kususia mapendekezo ya HAYATI MWALIMU, wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliandaa WATOTO wao kwa namna hiyo na hao ndio watakaokuja kuwa WANASIASA WA KWELI kutoka MIKOA MITATU YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA.

Wakudadavuwa hiyo kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MANING NICE ni kampuni mwenza wa kampuni mpya inayoitwa MASTER LAX EXPRESS.

8ce9c0abfa9605a0de3c0056fe119e6b.png

Hii kampuni ya usafirishaji wa abiria ni miongoni mwa kampuni za SIMBA MTOTO, yaani ni kampuni mwenza wa FALCON na MANING NICE na hivi ndivyo WAFANYABIASHARA huwa wanafanya.

Kwahiyo hata wale waliokuwa PUISSANTS yaani ALMIGHTIES yaani WAWEZA WA YOTE yaani wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO na wao walikuwa wanafanya hivyo kwenye kufanya BIASHARA na walikuwa vizuri KIUCHUMI na mpaka sasa hivi BIASHARA zao zinafanya vizuri sana kwenye MASOKO YA USHINDANI.

Kwa mfano kwa hapa TANZANIA, wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA na BURUNDI walifanikiwa kuwekeza sana kwenye TASNIA YA VYOMBO VYA HABARI kama vituo vya radio na televisheni [THE SUPERBRAND AFRIKA YA MASHARIKI NA KATI] na wanamiliki VIWANDA VIKUBWA kupitia WATU wenye ASILI YA ASIA hasa WAHINDI.
 
Wakudadavuwa hiyo kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa MANING NICE ni kampuni mwenza wa kampuni mpya inayoitwa MASTER LAX EXPRESS.

Hii kampuni ya usafirishaji wa abiria ni miongoni mwa kampuni za SIMBA MTOTO, yaani ni kampuni mwenza wa FALCON na MANING NICE na hivi ndivyo WAFANYABIASHARA huwa wanafanya.

Kwahiyo hata wale waliokuwa PUISSANTS yaani ALMIGHTIES yaani WAWEZA WA YOTE yaani wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO na wao walikuwa wanafanya hivyo kwenye kufanya BIASHARA na walikuwa vizuri KIUCHUMI na mpaka sasa hivi BIASHARA zao zinafanya vizuri sana kwenye MASOKO YA USHINDANI.

Kwa mfano kwa hapa TANZANIA, wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA na BURUNDI walifanikiwa kuwekeza sana kwenye TASNIA YA VYOMBO VYA HABARI kama vituo vya radio na televisheni na wanamiliki VIWANDA VIKUBWA kupitia WATU wenye ASILI YA ASIA hasa WAHINDI.
Wakudadavuwa kama hujawahi kufika ZANZIBAR, kuna maeneo fulani yanaitwa KISIWANDUI - basi hiyo ndio OFISI KUU ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kwa upande wa TANZANIA VISIWANI, ambapo pia ndipo linapopatikana kaburi la RAIS WA KWANZA wa ZANZIBAR, HAYATI ABEID AMANI KARUME.

93f4ee80b89549affa3537b7edd9612f.png

Jaribu kutazama kwa MAKINI hiyo PICHA. Sasa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani SIMBA walifanikiwa kufahamu mapema SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na hali ya KISIASA ya kipindi kile.



Hii nyimbo ya NYOTA NDOGO ndio inatoa TASWIRA ya ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], ijapokuwa ilikuwa ni nyimbo iliyosheheni LUGHA YA MAFUMBO lakini ukielezwa TAFSIRI yake utaelewa.

1ab265c14eb7c11071a55e49b1d015fa.png

Na hiyo nyimbo ya NYOTA NDOGO ndio CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]!! Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifahamu mapema SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na wakajikita kwenye kujijenga KIUCHUMI na kuandaa WATOTO wao kwa manufaa ya baadae.

4af978a5e89d254b4b078f22f02ed8e4.png

Leo hii, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio WATANZANIA wanaomiliki UCHUMI MKUBWA ndani na nje ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ukiachana na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.

d6a61196f922f88bd82e4ae9e44fc034.png

Na ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kuna WANASIASA waliofanikiwa na wengine ni KUDRA za MWENYEZI MUNGU, miaka nenda - miaka rudi bado wapo palepale!.

091f87f6908f4b3a351c8d31978700a5.png

Waliyoyatambua hayo MAMBO mapema waliegemea sehemu zenye MASILAHI na sehemu zenye MASILAHI kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] huwa zipo TATU [3] tu kwa idadi yake.

Sehemu ya kwanza ni JAMII YA SERENGETI yaani CHUI ambapo ndio ASILI YA MUASISI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] - HAYATI MWALIMU. Hii JAMII ina mafungamano makubwa tena ya DAMU na JAMII YA WAHIMA kutoka UGANDA. Kwahiyo KIUCHUMI wapo vizuri sana na wana nguvu kubwa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Sehemu ya pili huwa ni JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA ambapo ndio wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU]. Hii JAMII ina mafungamano makubwa tena ya DAMU na JAMII YA MLIMA KENYA kutoka KENYA hasa WAKIKUYU na ukimuangalia vizuri MANING NICE kuna WATOTO anafanana nao sana kutoka MLIMA KENYA na WATOTO wote wapo chini ya uangalizi wa KIAMBU.

Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo vizuri KIUCHUMI na KISIASA kuliko WATU wengi wanavyoweza kufikiri au hata kudhani.

97d325de8fff994b6dc0a8611d1b72d1.png

Hii JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA hauwezi ukawaona moja kwa moja [DIRECTLY] ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] lakini wana WATU wao ndani ya CHAMA na kila AWAMU YA UONGOZI, hii JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA huwa wanatoa KIONGOZI mmoja kwenye zile nafasi TANO ZA JUU.

Sehemu ya tatu huwa ni JAMII YA WATU WA PWANI ambapo ndio JAMII iliyotoa WANASIASA wengi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]. Hii JAMII inasifika kwa UVUMILIVU WA KISIASA kwa sababu walishuhudia na waliona MAMBO mengi ya KISIASA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na TANZANIA kwa ujumla.

114183dc30811b4bff5c290a2d48cc29.png

Hii JAMII YA WATU WA PWANI wanamiliki UCHUMI wao lakini hauwezi ukafananisha na hali ya KIUCHUMI kwa JAMII YA SERENGETI yaani CHUI na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA.

ce5df749031c2742a5ecdc0e8b06f9db.png

Hayo ndio MAFIGA MATATU ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na VIONGOZI waliopatikana nje au tofauti na MAFIGA MATATU hawakuwahi kuumaliza mwendo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] au ndani ya SERIKALI na huwa wanasema ni AJALI ZA KISIASA au KURA HAZIKUTOSHA, lakini kiuhalisia huwa ni FITINA ambazo zinafanyika ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Hizo FITINA ZA KISIASA zipo na huwa zinafanyika kwenye kila SERIKALI, sema WANANZUONI au WATAALAMU WA SIASA huwa wanaita ni GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP au THE PRICE OF LEADERSHIP .



Hizi GHARAMA ZA UONGOZI huwa zinafanyika kwenye kila SEKTA ambazo huwa zipo chini ya usimamizi wa SERIKALI husika. Kwahiyo sio MAMBO mageni, huwa yapo na kwa wale ambao wanafuatilia SHUGHULI ZA KISERIKALI huwa wanashuhudia MAMBO mengi sana.
 
Wakudadavuwa kama hujawahi kufika ZANZIBAR, kuna maeneo fulani yanaitwa KISIWANDUI - basi hiyo ndio OFISI KUU ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kwa upande wa TANZANIA VISIWANI, ambapo pia ndipo linapopatikana kaburi la RAIS WA KWANZA wa ZANZIBAR, HAYATI ABEID AMANI KARUME.
Jaribu kutazama kwa MAKINI hiyo PICHA. Sasa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani SIMBA walifanikiwa kufahamu mapema SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na hali ya KISIASA ya kipindi kile.



Hii nyimbo ya NYOTA NDOGO ndio inatoa TASWIRA ya ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], ijapokuwa ilikuwa ni nyimbo iliyosheheni LUGHA YA MAFUMBO lakini ukielezwa TAFSIRI yake utaelewa.

Na hiyo nyimbo ya NYOTA NDOGO ndio CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]!! Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifahamu mapema SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na wakajikita kwenye kujijenga KIUCHUMI na kuandaa WATOTO wao kwa manufaa ya baadae.

Leo hii, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio WATANZANIA wanaomiliki UCHUMI MKUBWA ndani na nje ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ukiachana na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.

Na ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kuna WANASIASA waliofanikiwa na wengine ni KUDRA za MWENYEZI MUNGU, miaka nenda - miaka rudi bado wapo palepale!.


Waliyoyatambua hayo MAMBO mapema waliegemea sehemu zenye MASILAHI na sehemu zenye MASILAHI kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] huwa zipo TATU [3] tu kwa idadi yake.

Sehemu ya kwanza ni JAMII YA SERENGETI yaani CHUI ambapo ndio ASILI YA MUASISI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] - HAYATI MWALIMU. Hii JAMII ina mafungamano makubwa tena ya DAMU na JAMII YA WAHIMA kutoka UGANDA. Kwahiyo KIUCHUMI wapo vizuri sana na wana nguvu kubwa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Sehemu ya pili huwa ni JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA ambapo ndio wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU]. Hii JAMII ina mafungamano makubwa tena ya DAMU na JAMII YA MLIMA KENYA kutoka KENYA hasa WAKIKUYU na ukimuangalia vizuri MANING NICE kuna WATOTO anafanana nao sana kutoka MLIMA KENYA na WATOTO wote wapo chini ya uangalizi wa KIAMBU.

Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo vizuri KIUCHUMI na KISIASA kuliko WATU wengi wanavyoweza kufikiri au hata kudhani.

Hii JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA hauwezi ukawaona moja kwa moja [DIRECTLY] ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] lakini wana WATU wao ndani ya CHAMA na kila AWAMU YA UONGOZI, hii JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA huwa wanatoa KIONGOZI mmoja kwenye zile nafasi TANO ZA JUU.

Sehemu ya tatu huwa ni JAMII YA WATU WA PWANI ambapo ndio JAMII iliyotoa WANASIASA wengi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]. Hii JAMII inasifika kwa UVUMILIVU WA KISIASA kwa sababu walishuhudia na waliona MAMBO mengi ya KISIASA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na TANZANIA kwa ujumla.

Hii JAMII YA WATU WA PWANI wanamiliki UCHUMI wao lakini hauwezi ukafananisha na hali ya KIUCHUMI kwa JAMII YA SERENGETI yaani CHUI na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA.


Hayo ndio MAFIGA MATATU ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na VIONGOZI waliopatikana nje au tofauti na MAFIGA MATATU hawakuwahi kuumaliza mwendo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] au ndani ya SERIKALI na huwa wanasema ni AJALI ZA KISIASA au KURA HAZIKUTOSHA, lakini kiuhalisia huwa ni FITINA ambazo zinafanyika ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Hizo FITINA ZA KISIASA zipo na huwa zinafanyika kwenye kila SERIKALI, sema WANANZUONI au WATAALAMU WA SIASA huwa wanaita ni GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP au THE PRICE OF LEADERSHIP .



Hizi GHARAMA ZA UONGOZI huwa zinafanyika kwenye kila SEKTA ambazo huwa zipo chini ya usimamizi wa SERIKALI husika. Kwahiyo sio MAMBO mageni, huwa yapo na kwa wale ambao wanafuatilia SHUGHULI ZA KISERIKALI huwa wanashuhudia MAMBO mengi sana.
Ndugu Mandela kama hutojali naomba unionyeshe posti yako namba moja kwenye thread hii, maana nmejaribu kutafuta mwanzo wa post yako ili nianze kupata madini lakini imewiwa vigumu kutokana na mambo mbalimbali. Ahsante
 
Wakudadavuwa kama hujawahi kufika ZANZIBAR, kuna maeneo fulani yanaitwa KISIWANDUI - basi hiyo ndio OFISI KUU ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kwa upande wa TANZANIA VISIWANI, ambapo pia ndipo linapopatikana kaburi la RAIS WA KWANZA wa ZANZIBAR, HAYATI ABEID AMANI KARUME.
Jaribu kutazama kwa MAKINI hiyo PICHA. Sasa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani SIMBA walifanikiwa kufahamu mapema SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na hali ya KISIASA ya kipindi kile.



Hii nyimbo ya NYOTA NDOGO ndio inatoa TASWIRA ya ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], ijapokuwa ilikuwa ni nyimbo iliyosheheni LUGHA YA MAFUMBO lakini ukielezwa TAFSIRI yake utaelewa.

Na hiyo nyimbo ya NYOTA NDOGO ndio CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]!! Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifahamu mapema SIASA za CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na wakajikita kwenye kujijenga KIUCHUMI na kuandaa WATOTO wao kwa manufaa ya baadae.

Leo hii, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio WATANZANIA wanaomiliki UCHUMI MKUBWA ndani na nje ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ukiachana na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI.

Na ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kuna WANASIASA waliofanikiwa na wengine ni KUDRA za MWENYEZI MUNGU, miaka nenda - miaka rudi bado wapo palepale!.


Waliyoyatambua hayo MAMBO mapema waliegemea sehemu zenye MASILAHI na sehemu zenye MASILAHI kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] huwa zipo TATU [3] tu kwa idadi yake.

Sehemu ya kwanza ni JAMII YA SERENGETI yaani CHUI ambapo ndio ASILI YA MUASISI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] - HAYATI MWALIMU. Hii JAMII ina mafungamano makubwa tena ya DAMU na JAMII YA WAHIMA kutoka UGANDA. Kwahiyo KIUCHUMI wapo vizuri sana na wana nguvu kubwa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Sehemu ya pili huwa ni JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA ambapo ndio wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU]. Hii JAMII ina mafungamano makubwa tena ya DAMU na JAMII YA MLIMA KENYA kutoka KENYA hasa WAKIKUYU na ukimuangalia vizuri MANING NICE kuna WATOTO anafanana nao sana kutoka MLIMA KENYA na WATOTO wote wapo chini ya uangalizi wa KIAMBU.

Kwahiyo hawa MWASHITA yaani SIMBA wapo vizuri KIUCHUMI na KISIASA kuliko WATU wengi wanavyoweza kufikiri au hata kudhani.

Hii JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA hauwezi ukawaona moja kwa moja [DIRECTLY] ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] lakini wana WATU wao ndani ya CHAMA na kila AWAMU YA UONGOZI, hii JAMII ya MWASHITA yaani SIMBA huwa wanatoa KIONGOZI mmoja kwenye zile nafasi TANO ZA JUU.

Sehemu ya tatu huwa ni JAMII YA WATU WA PWANI ambapo ndio JAMII iliyotoa WANASIASA wengi ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]. Hii JAMII inasifika kwa UVUMILIVU WA KISIASA kwa sababu walishuhudia na waliona MAMBO mengi ya KISIASA ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na TANZANIA kwa ujumla.

Hii JAMII YA WATU WA PWANI wanamiliki UCHUMI wao lakini hauwezi ukafananisha na hali ya KIUCHUMI kwa JAMII YA SERENGETI yaani CHUI na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA.


Hayo ndio MAFIGA MATATU ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na VIONGOZI waliopatikana nje au tofauti na MAFIGA MATATU hawakuwahi kuumaliza mwendo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] au ndani ya SERIKALI na huwa wanasema ni AJALI ZA KISIASA au KURA HAZIKUTOSHA, lakini kiuhalisia huwa ni FITINA ambazo zinafanyika ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Hizo FITINA ZA KISIASA zipo na huwa zinafanyika kwenye kila SERIKALI, sema WANANZUONI au WATAALAMU WA SIASA huwa wanaita ni GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP au THE PRICE OF LEADERSHIP .



Hizi GHARAMA ZA UONGOZI huwa zinafanyika kwenye kila SEKTA ambazo huwa zipo chini ya usimamizi wa SERIKALI husika. Kwahiyo sio MAMBO mageni, huwa yapo na kwa wale ambao wanafuatilia SHUGHULI ZA KISERIKALI huwa wanashuhudia MAMBO mengi sana.

Sasa ngoja tuendelee na Wakudadavuwa kuhusu FITINA ZA KISIASA au GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE PRICE OF LEADERSHIP au kwa jina lingine wanaita ni THE COST OF LEADERSHIP.

GHARAMA ZA UONGOZI huwa ni FITINA ZA KISIASA, sema WANANZUONI huwa wanajaribu kutumia maneno yenye kusadifu maana ili kuficha au kupunguza ukali wa maneno lakini MAANA HALISI huwa inabaki ile ile.

GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP huwa zipo na zinafanyika kwenye kila SERIKALI, sema huwa kuna tofauti baina ya SERIKALI na SERIKALI kutokana na kuheshimu HAKI ZA BINADAMU.

GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP kwa upande wa NCHI ZA KIAFRIKA huwa zipo juu sana ukilinganisha na MATAIFA mengine ya ULAYA, ASIA na AMERIKA na hii inasababishwa SERIKALI zenyewe kuwa na HOFU ya kutolewa madarakani, aidha kwa njia ya mapinduzi ya kijeshi au kwa njia ya sanduku la kura.

Sasa hali hii ipo TANZANIA! GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP ipo juu sana na hii inasababishwa na SERIKALI iliyopo madarakani inayoongozwa na CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

c6cb6f6384017af37e7d730950c9559b.png

CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kinatumia GHARAMA kubwa sana kuendelea kubaki madarakani. Kwahiyo sio jambo la kubeza! CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ni CHAMA.
 
Sasa ngoja tuendelee na Wakudadavuwa kuhusu FITINA ZA KISIASA au GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE PRICE OF LEADERSHIP au kwa jina lingine wanaita ni THE COST OF LEADERSHIP.

GHARAMA ZA UONGOZI huwa ni FITINA ZA KISIASA, sema WANANZUONI huwa wanajaribu kutumia maneno yenye kusadifu maana ili kuficha au kupunguza ukali wa maneno lakini MAANA HALISI huwa inabaki ile ile.

GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP huwa zipo na zinafanyika kwenye kila SERIKALI, sema huwa kuna tofauti baina ya SERIKALI na SERIKALI kutokana na kuheshimu HAKI ZA BINADAMU.

GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP kwa upande wa NCHI ZA KIAFRIKA huwa zipo juu sana ukilinganisha na MATAIFA mengine ya ULAYA, ASIA na AMERIKA na hii inasababishwa SERIKALI zenyewe kuwa na HOFU ya kutolewa madarakani, aidha kwa njia ya mapinduzi ya kijeshi au kwa njia ya sanduku la kura.

Sasa hali hii ipo TANZANIA! GHARAMA ZA UONGOZI yaani THE COST OF LEADERSHIP ipo juu sana na hii inasababishwa na SERIKALI iliyopo madarakani inayoongozwa na CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].


CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kinatumia GHARAMA kubwa sana kuendelea kubaki madarakani. Kwahiyo sio jambo la kubeza! CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ni CHAMA.
Wakudadavuwa GHARAMA YA UONGOZI au THE COST OF LEADERSHIP au kwa jina lingine wanaita THE PRICE OF LEADERSHIP ndio iliyosababisha machufuko ya mwaka 1994 kwa NCHI za RWANDA na BURUNDI.

Vilevile GHARAMA YA UONGOZI yaani THE PRICE OF LEADERSHIP ndio iliyoleta MAPINDUZI ya KIJESHI kwa NCHI ya KONGO, mwaka 1997.

Lakini wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS walikuwa vizuri sana KIUCHUMI na wanamiliki hadi VYAMA VYA KISIASA kwa upande wa TANZANIA.

Baadhi ya hivyo VYAMA VYA KISIASA vina uwakilishi wa viti vya wabunge ndani ya BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Ndio maana unashauriwa mapema, kufahamu chimbuko la VYAMA VYA KISIASA kabla ya kufanya maamuzi ya kuwa mwanachama, kwa sababu wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS walikuwa sio WATU wa mchezo mchezo na waliweza kuanzisha VYAMA VYA KISIASA kwa upande wa TANZANIA kipindi cha MFUMO WA VYAMA VINGI, mwaka 1992.

Na ninapata wasiwasi kwa wale wote wanaobeza MOBUTO SESE SEKO. Huyo MTU alikuwa ni PUISSANT na siku ukifahamu mmiliki halali wa kampuni ya mafuta ya PETRO AFRICA, ndio heshima itakuja.

a16ad1f3e48cfd77029ef08b172d35af.png

Hii kampuni ya mafuta ya PETRO AFRICA ni kampuni ambayo inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI.

Vilevile ndio wamiliki halali wa SUSHI RESTAURANT au kwa jina lingine wanaita ni WASABI SUSHI AND GRILL inayopatikana MIDRAND, GUATENG nchini AFRIKA YA KUSINI.

fbec1f60dee1dc0bc1ebd61d7060aee3.png

Hili jina la WASABI ni jina ambalo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliiga na kuja na mawazo ya kuanzisha kituo cha radio na televisheni ya WASAFI pamoja na kundi la wasanii wa muziki linaloitwa WASAFI CLASSIC BABY [WCB] linalopatikana DAR ES SALAAM, TANZANIA.

Vilevile hao ndio wamiliki halali wa LEVEL SEVEN RESTAURANT inayopatikana BREDELL, KEMPTON PARK, GAUTENG, JOHANNESBURG nchini AFRIKA YA KUSINI.

ee005d0ba5ada846362c36d39ea351bb.png

Hili jina la LEVEL SEVEN RESTAURANT ni jina ambalo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliiga na kuja na mawazo ya kuanzisha CLUB SEVEN inayopatikana DODOMA, TANZANIA.

Vilevile hao ndio wamiliki halali CRADLE BOUTIQUE HOTEL inayopatikana GAUTENG, JOHANNESBURG nchini AFRIKA YA KUSINI.

da03fde4ac4f62b7e58ec3596244bfb8.png


fded7be386757873b2dbcf29e7cd511b.png


c61ce468d027fd41d4a03eed9f3b9896.png

Vilevile hao ndio wamiliki halali wa MONTE CASINO FOUR-WAYS inayopatikana JOHANNESBURG nchini AFRIKA YA KUSINI.

2022777ab313b25f3462fc37328d61f9.png


365f66d11cf28be9591273a215cc05cd.png

Vilevile hao ndio wamiliki halali wa NEWS CAFÉ HATFIELD inayopatikana PRETORIA nchini AFRIKA YA KUSINI.

9a0bae67afee393071d87e67ad50bc4a.png

Na kama ilivyo kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani SIMBA kuwa na DRESS CODE yao ya rangi NYEKUNDU na wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS wana DRESS CODE yao ya rangi ya UGORO.

f699a34d6d21f7c18844d930e0187032.png

Hii DRESS CODE inataka kufanana kabisa na DRESS CODE ya JESHI LA MAGEREZA, lakini ukikuta MTU au WATU wamevaa DRESS CODE ya rangi ya UGORO mara nyingi wanakuwa ni PUISSANTS na huwa wanaonekana hadi kwenye shughuli na hafla za KISERIKALI kwa upande wa TANZANIA.
 
Wakudadavuwa GHARAMA YA UONGOZI au THE COST OF LEADERSHIP au kwa jina lingine wanaita THE PRICE OF LEADERSHIP ndio iliyosababisha machufuko ya mwaka 1994 kwa NCHI za RWANDA na BURUNDI.

Vilevile GHARAMA YA UONGOZI yaani THE PRICE OF LEADERSHIP ndio iliyoleta MAPINDUZI ya KIJESHI kwa NCHI ya KONGO, mwaka 1997.

Lakini wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS walikuwa vizuri sana KIUCHUMI na wanamiliki hadi VYAMA VYA KISIASA kwa upande wa TANZANIA.

Baadhi ya hivyo VYAMA VYA KISIASA vina uwakilishi wa viti vya wabunge ndani ya BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA.

Ndio maana unashauriwa mapema, kufahamu chimbuko la VYAMA VYA KISIASA kabla ya kufanya maamuzi ya kuwa mwanachama, kwa sababu wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS walikuwa sio WATU wa mchezo mchezo na waliweza kuanzisha VYAMA VYA KISIASA kwa upande wa TANZANIA kipindi cha MFUMO WA VYAMA VINGI, mwaka 1992.

Na ninapata wasiwasi kwa wale wote wanaobeza MOBUTO SESE SEKO. Huyo MTU alikuwa ni PUISSANT na siku ukifahamu mmiliki halali wa kampuni ya mafuta ya PETRO AFRICA, ndio heshima itakuja.

Hii kampuni ya mafuta ya PETRO AFRICA ni kampuni ambayo inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI.

Vilevile ndio wamiliki halali wa SUSHI RESTAURANT au kwa jina lingine wanaita ni WASABI SUSHI AND GRILL inayopatikana MIDRAND, GUATENG nchini AFRIKA YA KUSINI.

Hili jina la WASABI ni jina ambalo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliiga na kuja na mawazo ya kuanzisha kituo cha radio na televisheni ya WASAFI pamoja na kundi la wasanii wa muziki linaloitwa WASAFI CLASSIC BABY [WCB] linalopatikana DAR ES SALAAM, TANZANIA.

Vilevile hao ndio wamiliki halali wa LEVEL SEVEN RESTAURANT inayopatikana BREDELL, KEMPTON PARK, GAUTENG, JOHANNESBURG nchini AFRIKA YA KUSINI.

Hili jina la LEVEL SEVEN RESTAURANT ni jina ambalo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliiga na kuja na mawazo ya kuanzisha CLUB SEVEN inayopatikana DODOMA, TANZANIA.

Vilevile hao ndio wamiliki halali CRADLE BOUTIQUE HOTEL inayopatikana GAUTENG, JOHANNESBURG nchini AFRIKA YA KUSINI.

Vilevile hao ndio wamiliki halali wa MONTE CASINO FOUR-WAYS inayopatikana JOHANNESBURG nchini AFRIKA YA KUSINI.

Vilevile hao ndio wamiliki halali wa NEWS CAFÉ HATFIELD inayopatikana PRETORIA nchini AFRIKA YA KUSINI.

Na kama ilivyo kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani SIMBA kuwa na DRESS CODE yao ya rangi NYEKUNDU na wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS wana DRESS CODE yao ya rangi ya UGORO.

Hii DRESS CODE inataka kufanana kabisa na DRESS CODE ya JESHI LA MAGEREZA, lakini ukikuta MTU au WATU wamevaa DRESS CODE ya rangi ya UGORO mara nyingi wanakuwa ni PUISSANTS na huwa wanaonekana hadi kwenye shughuli na hafla za KISERIKALI kwa upande wa TANZANIA.
Wakudadavuwa wale waliokuwa MARAIS WA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS au kwa jina lingine wanaitwa ALMIGHTIES bado wapo na wanafanya MAMBO yao kama kawaida kupitia WATU wao waliowaacha.

7b168086d38b645ed5cef718b36f93ff.png

Hao PUISSANTS yaani ALMIGHTIES ndio WATU waliokuwa nyuma ya KAMPUNI iliyotaka kununua TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa SIMBA SC inayomilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

7f0eb37b2595a5dc0ef34996948b352c.png

Hao PUISSANTS yaani ALMIGHTIES wanamiliki KAMPUNI nyingi kwa hapa TANZANIA kupitia WATU wenye ASILI YA ASIA hasa WAHINDI.

f1cba8a441ec2a99171ca45197bb900e.png

Na ni suala la muda tu, watalipa KISASI. Ndio maana kuna baadhi ya WATU wameaanza kujihami mapema kwa kutojihusisha na MAMBO yasiyowahusu.

0c8b2b3afb6d7c883c0a4ace1c89f041.png

Hayo ndio madhara ya GHARAMA ZA UONGOZI au THE COST OF LEADERSHIP au kwa jina lingine wanaita ni THE PRICE OF LEADERSHIP - kutengeneza UADUI na matokeo yake huzaa UASI yaani REBELLION.
 
Ndugu Mandela unataka Kumaanisha Tanzania inamiliki uchumi wa Dunia? Maana sio kwa umiliki huo yaani kuanzia Clubs (Bayern Munich mpaka PSG mpaka Kaizer Chiefs) mpaka vituo vikubwa vya mafuta na station za reduo duuh hii kali.
Pamoja na yote maelezo yako hujaweka backup ya evidence ya nguvu. Zaidi naweza iita hii ni Hearsay.
Hebu tuanzie hapa uchumi wa MWASHITA Na huyo RAMA unakadiriwa kuwa na utajiri wa kiasi gani. Kama ni kweli wanamiliki huo uchumi maana yake walio kwenye MWASHITA na RAMA ni wengi je? Ni lining kuliwahi kutokea Conflict of Interest katika kutaka madaraka ya kuwa CEO au mwenyekiti?
 
Ndugu Mandela unataka Kumaanisha Tanzania inamiliki uchumi wa Dunia?
Hapana!
Maana sio kwa umiliki huo yaani kuanzia Clubs (Bayern Munich mpaka PSG mpaka Kaizer Chiefs)
Kumiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU ni kawaida na hii inatokana na hurka za mhusika au wahusika kupenda vitu fulani.

Halafu pia, hili suala la kumiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU tulishajadili kipindi cha nyuma, jaribu kupitia yale tuliyojadili huko nyuma utasoma MAMBO mengi.
mpaka vituo vikubwa vya mafuta na station za reduo duuh hii kali.
Kumiliki VITUO VYA MAFUTA ni kawaida, lakini kumiliki KISIMA CHA MAFUTA ni habari nyingine ambayo kwa MWANANCHI WA KAWAIDA ni ngumu kuweza kumiliki.

Kumiliki VITUO VYA MAFUTA ni BIASHARA YA REJAREJA yaani RETAIL TRADE ambayo inahitaji mtaji wa kawaida kuweza kufanya. Tofauti na kumiliki VISIMA VYA MAFUTA.

Na kumiliki VITUO VYA RADIO ni kawaida sana na sasa hivi karibu kila MKOA WA TANZANIA kuna KITUO CHA RADIO ambacho ni binafsi.
Pamoja na yote maelezo yako hujaweka backup ya evidence ya nguvu. Zaidi naweza iita hii ni Hearsay.
Unataka USHAHIDI gani? Kama picha hazitoshi! NYARAKA ZA KISHERIA au..
Hebu tuanzie hapa uchumi wa MWASHITA Na huyo RAMA unakadiriwa kuwa na utajiri wa kiasi gani.
Sijafahamu kwa UHAKIKA! Lakini kila JAMII ina UCHUMI zaidi ya TRILIONI MOJA kwa thamani ya FEDHA ZA KITANZANIA, kwa sababu hawa wote wanamiliki VIWANDA NA MAJENGO YA KIBIASHARA.

VIWANDA NA MAJENGO YA KIBIASHARA yana tabia ya kupanda thamani kila mwaka yaani APPRECIATION. Kwahiyo UCHUMI wao utakuwa unapanda kwa kadri muda unavyozidi kwenda.
Kama ni kweli wanamiliki huo uchumi maana yake walio kwenye MWASHITA na RAMA ni wengi je?
Hawa WATU wanamiliki KAMPUNI zao na hauwezi kusikia kelele, kwa sababu ni WATU ambao hawapendi SHOW OFF.

Tofauti na hawa WATU wenye ASILI YA ASIA wanaotafuta KIKI hadi kwenye VITU VYA WATU, hasa VILABU VYA SOKA kwa upande wa TANZANIA.

Kwanza huo huwa ni USHENZI! Kwa sababu, kwa MTU TIMAMU lazima atakuwa na NIDHAMU na VITU VYA WATU. Lakini hawa wenzetu hali huwa ni tofauti kabisa, yaani ni kama MAPEPO 😂😂
Ni lining kuliwahi kutokea Conflict of Interest katika kutaka madaraka ya kuwa CEO au mwenyekiti?
CONFLICT OF INTEREST huwa hawana hawa WATU, labda kwenye KAMPUNI nyingine.
 
Hapana!

Kumiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU ni kawaida na hii inatokana na hurka za mhusika au wahusika kupenda vitu fulani.

Halafu pia, hili suala la kumiliki TIMU ZA MPIRA WA MIGUU tulishajadili kipindi cha nyuma, jaribu kupitia yale tuliyojadili huko nyuma utasoma MAMBO mengi.

Kumiliki VITUO VYA MAFUTA ni kawaida, lakini kumiliki KISIMA CHA MAFUTA ni habari nyingine ambayo kwa MWANANCHI WA KAWAIDA ni ngumu kuweza kumiliki.

Kumiliki VITUO VYA MAFUTA ni BIASHARA YA REJAREJA yaani RETAIL TRADE ambayo inahitaji mtaji wa kawaida kuweza kufanya. Tofauti na kumiliki VISIMA VYA MAFUTA.

Na kumiliki VITUO VYA RADIO ni kawaida sana na sasa hivi karibu kila MKOA WA TANZANIA kuna KITUO CHA RADIO ambacho ni binafsi.

Unataka USHAHIDI gani? Kama picha hazitoshi! NYARAKA ZA KISHERIA au..

Sijafahamu kwa UHAKIKA! Lakini kila JAMII ina UCHUMI zaidi ya TRILIONI MOJA kwa thamani ya FEDHA ZA KITANZANIA, kwa sababu hawa wote wanamiliki VIWANDA NA MAJENGO YA KIBIASHARA.

VIWANDA NA MAJENGO YA KIBIASHARA yana tabia ya kupanda thamani kila mwaka yaani APPRECIATION. Kwahiyo UCHUMI wao utakuwa unapanda kwa kadri muda unavyozidi kwenda.

Hawa WATU wanamiliki KAMPUNI zao na hauwezi kusikia kelele, kwa sababu ni WATU ambao hawapendi SHOW OFF.

Tofauti na hawa WATU wenye ASILI YA ASIA wanaotafuta KIKI hadi kwenye VITU VYA WATU, hasa VILABU VYA SOKA kwa upande wa TANZANIA.

Kwanza huo huwa ni USHENZI! Kwa sababu, kwa MTU TIMAMU lazima atakuwa na NIDHAMU na VITU VYA WATU. Lakini hawa wenzetu hali huwa ni tofauti kabisa yaani ni kama MAPEPO [emoji23][emoji23]

CONFLICT OF INTEREST huwa hawana hawa WATU, labda kwenye KAMPUNI nyingine.
Ndio tunaomba nyaraka za kuthibitisha na sio picha za kampuni au magari unayoposti. Hivi nikianza kuposti picha za timu ya Bayern Munchen au picha za British Petroleum halafu nikasema hizi unamiliki wewe zitakuwa ni kweli?? Hapana zaidi tutaita ni Hearsay ni mpaka pale nitakapo pata nyaraka za kweli zenye kuthibitisha kuwa wewe ndie mmiliki halali wa kampuni hizo.

Unasema mwalimu amewekeza sana nje haya tuanzie hapa lete uthibitisho na sio picha za waarabu[emoji16][emoji16][emoji16]. Kama utashindwa tutasemqa shutuma zako ni za uwongo. Si kwa sababu kuwa hakuwekeza kwenye timu za mpira(yawezekana ni kweli amewekeza) lakini ukishindwa kuthibitsha madai yako basi sisi tutayaita ni ya uongo.
 
Ndio tunaomba nyaraka za kuthibitisha na sio picha za kampuni au magari unayoposti.
Unajua unapotumia MITANDAO YA KIJAMII lazima kuwe kuna mipaka ili kulinda USALAMA WA MTUMIAJI au WATUMIAJI WA MITANDAO YA KIJAMII dhidi ya madhara yatokanayo na MITANDAO YA KIJAMII.

Na wengine huwa wanadiriki kutumia UJUMBE WA PICHA. Sasa jaribu kusoma posti namba 1202, natumaini hicho ndio kiwango cha juu cha matumizi ya MITANDAO YA KIJAMII.
Hivi nikianza kuposti picha za timu ya Bayern Munchen au picha za British Petroleum halafu nikasema hizi unamiliki wewe zitakuwa ni kweli??
Zitakuwa sio kweli! Halafu pia umegusia kitu cha muhimu sana kuhusu timu ya FC BAYERN MUNCHEN.

af2595b47b36e8b913b673d138095ec6~2.jpg

Ukijaribu kuangalia ile jezi ya FC BAYERN MUNCHEN imeandikwa T-MOBILE. T-MOBILE ni kampuni wadhamini wa timu ya FC BAYERN MUNCHEN, lakini ina maana yake kwa upande wa TANZANIA na UJERUMANI kuhusu ile taasisi yetu pendwa ya TANZANIA.
Hapana zaidi tutaita ni Hearsay ni mpaka pale nitakapo pata nyaraka za kweli zenye kuthibitisha kuwa wewe ndie mmiliki halali wa kampuni hizo.
Kupata NYARAKA ZA KISHERIA kwenye MITANDAO YA KIJAMII sio sahihi na wala sio salama, kwa sababu pia inahatarisha WATUMIAJI WA MITANDAO YA KIJAMII.
Unasema mwalimu amewekeza sana nje haya tuanzie hapa lete uthibitisho na sio picha za waarabu[emoji16][emoji16][emoji16].
HESHIMA lazima iwepo kwa HAYATI MWALIMU, yule ana HESHIMA yake. Kwahiyo STAHA inahitajika, sio PICHA za WAARABU-ARABU 😂😂😂
Kama utashindwa tutasemqa shutuma zako ni za uwongo.
Kwani hizi ni SHUTUMA? Mimi najaribu kukazia na kujazia nyama yale aliyoyaleta HUNIJUI SIKUJUI.
Si kwa sababu kuwa hakuwekeza kwenye timu za mpira(yawezekana ni kweli amewekeza)
MAMBO mengine ni BINAFSI na sio sahihi kujadili kila kitu kwenye MITANDAO YA KIJAMII.
lakini ukishindwa kuthibitsha madai yako basi sisi tutayaita ni ya uongo.
Mimi siwezi kuthibitisha madai, kwa sababu hapa hutupo MAHAKAMANI. Lakini unaweza kuutambua UWEZO BINAFSI WA KIUCHUMI wa HAYATI MWALIMU kwa kuangalia wale waliokuwa wanamzunguka kwa kipindi kile, lile KUNDI LA UGANDA LINE.

Wale waliokuwa KUNDI LA UGANDA LINE - biashara zao zinaendelea mpaka leo na wapo mbali sana KIUCHUMI. Kwahiyo unaweza ukaona ni kiasi gani HAYATI MWALIMU atakavyokuwa KIUCHUMI, kwa sababu HAYATI MWALIMU pamoja na MISTER ABILITY ndio walikuwa VINARA WA KUNDI LA UGANDA LINE.
 
Back
Top Bottom