Charles Mandela
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 2,752
- 2,282
passioner255 jaribu kuangalia mfano mwingine, lakini hii haijawekwa wazi kwa sababu binafsi, ni kuhusu WEB BROWSER YA MOZILLA.passioner255 kwa upande wa AFRIKA kuna MATAIFA na JAMII ambazo tayari zilishaamua kuwa na DESTINATION yaani UTAMBULISHO wao.
Kwa mfano, TAIFA LA NAMIBIA liliamua kuwa na BIA yao wenyewe inayoitwa WINDHOEK.
Hii WINDHOEK ni DESTINATION au UTAMBULISHO kwa TAIFA LA NAMIBIA na wanafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI.
Mfano mwingine, angalia TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa GOR MAHIA FC ya KENYA.
Hawa ni MABINGWA WA KIHISTORIA WA SOKA nchini KENYA na hii TIMU inatumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa JAMII YA WALUO.
Mfano mwingine tena, lakini hii haijawekwa wazi kwa sababu binafsi, ni kuhusu WEB BROWSER YA OPERA.
Hii kampuni ya OPERA inapatikana jijini OLSO nchini NORWAY, lakini wamiliki halali wanapatikana AFRIKA katika TAIFA LA KENYA. Hii kampuni inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.
Mfano mwingine tena, ni KAMPUNI YA TECNO. Hii kampuni inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI na inapatikana nchini CHINA. Lakini wamiliki halali wa kampuni ya TECNO wanapatikana AFRIKA katika TAIFA LA NAIJERIA.
Hii kampuni ya TECNO inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.
Kwahiyo HALI HALISI ndio ipo hivyo, JAMII nyingine bado zinafanya SIRI kuhusu VITU NA MAMBO wanayoyafanya na hata kumiliki lakini JAMII nyingine wameweka wazi baadhi ya VITU NA MAMBO wanayoyafanya na hata kumiliki na wanatumia kama DESTINATION au UTAMBULISHO wao.
Hii kampuni ya MOZILLA ndio kampuni mama ya FIREFOX na ilianzishwa kwenye miaka ya 2005's baada ya kuanzishwa kwa kampuni ya OPERA kwenye miaka ya 1995's.
Hii kampuni pia inaweza kutumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO, lakini wamiliki halali bado hawajaamua kufanya hivyo kutokana na sababu ambazo hawajaziweka wazi.
Kama ilivyo kwa TIMU YA MPIRA WA MIGUU ya GOR MAHIA FC inavyotumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa JAMII YA WALUO, ndivyo ilivyo kwa TIMU YA MPIRA WA MIGUU ya SIMBA SC inavyotumika kama DESTINATION au UTAMBULISHO kwa WENYEJI WA ASILI WA MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA yaani MWASHITA [ WASUKUMA].
Vile vile bado kuna mkanganyiko wa kutumia DESTINATION au UTAMBULISHO kati ya SIMBA SC na YANGA SC kwa sababu TIMU zote zinafanya vizuri kwenye michuano ya kitaifa na kimataifa.