Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Sawa nasubiri. Pia naomba source ya taarifa zako.
Sasa jaribu kuangalia hii PICHA ya KAMPUNI YA USAFIRISHAJI YA ABIRIA inayoitwa ABC UPPER CLASS.

IMG_20221206_091050.jpg

Hii KAMPUNI YA ABC UPPER CLASS inataka kufanana kabisa na KAMPUNI YA ALLY'S STAR kwa namna ya UMILIKI wake na hata JINA LA KAMPUNI.

Hili JINA LA ABC wengi huwa wanajiuliza maana yake huwa ni nini? Au WAMILIKI walifikiri nini hadi wakaamua kuita KAMPUNI YA USAFIRISHAJI YA ABIRIA kuwa ni ABC?

Kwahiyo WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRISHAJI huwa wanafahamu ASILI au CHIMBUKO LA JINA ambalo watalitumia kwenye VYOMBO VYA USAFIRISHAJI WA ABIRIA NA MIZIGO.

Hii KAMPUNI YA ABC inafanana na KAMPUNI YA ALLY'S STAR kwa kila kitu, kwani hii KAMPUNI YA ABC UPPER CLASS ni KAMPUNI ambayo ilianzishwa na FAIDA iliyopatikana kutoka KAMPUNI YA MAWASILIANO YA TIGO TANZANIA.

IMG_20221207_173059.jpg

Kwahiyo KAMPUNI MAMA ya ABC UPPER CLASS ni TIGO TANZANIA na KAMPUNI TANZU ya TIGO TANZANIA ni KAMPUNI YA MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LIMITED ambayo inatengeneza MAFUTA YA KUPIKIA YA KORIE.

IMG_20221207_173407~2.jpg

Kwahiyo hizi KAMPUNI TATU [3] za MURZAH WILLMAR EAST AFRICA LIMITED, TIGO TANZANIA na ABC UPPER CLASS zote zina mahusiano ya moja kwa moja.

Hii bado haitoshi, kwa sababu bado inakuwa haijaleta MAANA au ASILI YA JINA LA ABC. Hali hii ilishatokea kwa WAMILIKI WA KAMPUNI YA USAFIRISHAJI WA ABIRIA YA SUPER NAJIMNISA.

Hili JINA LA SUPER NAJIMNISA lilileta sintofahamu kubwa sana kwa miaka ya nyuma, wengine walikuwa wanamaanisha ni "MAJINI YA MUSA" lakini MAANA HALISI itabaki kwa WAMILIKI. WAMILIKI HALALI WA KAMPUNI YA SUPER NAJIMNISA ndio wanafahamu ASILI ya JINA LA KAMPUNI yao.

Kwahiyo MAANA HALISI ya JINA LA KAMPUNI YA ABC linatokana na kufanikiwa kwa wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kununua na kumiliki KITUO CHA TELEVISHENI NA RADIO kinachoitwa ABC kwa ASILIMIA MIA MOJA [100%].



Hiki KITUO CHA TELEVISHENI NA RADIO kinachoitwa ABC walifanikiwa kukinunua na kumiliki kuanzia mwaka 2007 kupitia KAMPUNI YA CUMULUS MEDIA.

Hao ndio walioitwa MAJINA YA KEJELI kuwa ni WASHOSHA NG'OMBE yaani WATU WASHAMBA WASHAMBA, lakini leo kupitia KAMPUNI YA CUMULUS MEDIA CORPORATION wanamiliki KITUO CHA RADIO NA TELEVISHENI kinachoitwa ABC NEWS kinachopatikana nchini MAREKANI.

images.jpeg

Sasa jaribu kupitia GOOGLE GADGETS na kuangalia taarifa za KAMPUNI YA ABC NEWS - utakachokutana nacho huko, kitabaki kuwa ni SIRI yako 🙏🏿
 
KUMBE HII KAULI ALIKUWA ANAIPENDA SANA,"KUNA WANASIASA WANA TABIA ZA KIMALAYA MALAYA"



Umenikumbusha kipindi hii NYIMBO inatoka kuna WADAU walikuwa wanauza BARAFU pale maeneo ya UPANGA.

Leo wanatembelea LANDCRUISER V8 na kupata VYEO kidogo wanaanza kuwadharau waliowatangulia.

Jamani wenzenu sasa hivi wanatizama kipindi cha GOOD MORNING AMERICA [GMA] kinachorushwa hewani na KITUO CHA TELEVISHENI CHA ABC ambacho wanamiliki wao.. 📺



Kwahiyo sasa hivi kumiliki LAS VEGAS CASINO - UPANGA au RIVERSIDE HOTEL - UBUNGO is not an issue. The big issue is doing a massive investment on FIRST WORLD COUNTRIES like US and DEUTSCHLAND..😎😎
 
We jamaa hizi taarifa huwa unapata wapi? Kwamba wakikuyu kutoka Kenya ndio wamiliki wa Yahoo! really?

Katika zama hizi za Information age unakuja na stori za kuunga unga wakati ukweli upo kwenye biographies, encyclopedia, n.k

Tangia nianze kusoma mada zako sijawahi kuelewa unachoandika.
Kwahiyo wewe ulifikiri ni WALUO pekee yao ndio wapo vizuri kwenye mambo ya INFORMATION TECHNOLOGY? Hata WAKIKUYU wapo vizuri sana, sema na wao huwa wanatabia ambayo wanataka kufanana na MWASHITA yaani ile TABIA YA UKIMYA. Lakini wapo vizuri sana.

Jaribu kuingia kwenye SOCIAL MEDIA YA WALUO inayoitwa Join the Luos Community Discord Server!. Hii ni SOCIAL MEDIA ambayo kwa asilimia kubwa WALUO huwa wanatumia kujadili mambo yao na huwa wapo vizuri sana.

Sasa hawa walijitambua tangu siku nyingi na walipambana na UDHALIMU WA SERIKALI YA KENYA tangu miaka ya sitini [1960's] na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa, kilichobaki ni KUSHIKA DOLA YA KENYA.



Na wamejitahidi kuwekeza katika kila SEKTA, ndani na nje ya TAIFA LA KENYA. Kwahiyo wapo vizuri sana na ni jamii ambayo ilitoa RAIS WA AROBAINI NA NNE [44] WA MAREKANI.



Kwahiyo WALUO WA AFRIKA YA MASHARIKI ukichukua TANZANIA pamoja na UGANDA wapo vizuri, sema WALUO kutoka KENYA wapo vizuri zaidi yaani THEY ARE TOO AMBITIOUS.

IMG_20221209_135945.jpg

Kwahiyo ukiachana na MOZILLA [FIREFOX], OPERA na YAHOO bado kuna MITANDAO YA KIJAMII mingine ambayo inamilikiwa na WATU kutoka NCHI ZA AFRIKA YA MASHARIKI.

Hata MTANDAO WA BADOO wamiliki halali wanatoka katika NCHI ZA AFRIKA YA MASHARIKI lakini "INVENTOR" ndio MRUSI. Hali hii huwa inafanyika mara nyingi sana kwa MATAIFA YA ULAYA, AMERIKA na ASIA.

Kwa MATAIFA YA ULAYA, AMERIKA na ASIA huwa kuna BUSINESS IDEAS nyingi sana, wao huwa wanaita ni BUSINESS STARTUPS. Kule kuna WATU wana IDEAS za kufanya MAMBO MAKUBWA lakini CHANZO CHA PESA huwa inakuwa ni ngumu kupata kutokana na MIFUMO YA FEDHA kuwa dhabiti.

Kwahiyo PESA za kukamilisha PRIVATE BUSINESS STARTUPS kwa MATAIFA YA ULAYA, AMERIKA na ASIA huwa zinatoka AFRIKA na ndio maana sasa hivi unakuta WAAFRIKA wanamiliki MIRADI mbalimbali kwa upande wa MATAIFA YA ULAYA, AMERIKA pamoja na ASIA.

Sasa wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA ndio wanafuata nyayo za WALUO na MWASHITA ni JAMII ambayo inakuja kwa kasi sana kwenye upande wa uwekezaji katika kila sekta.
 
We jamaa hizi taarifa huwa unapata wapi? Kwamba wakikuyu kutoka Kenya ndio wamiliki wa Yahoo! really?

Katika zama hizi za Information age unakuja na stori za kuunga unga wakati ukweli upo kwenye biographies, encyclopedia, n.k

Tangia nianze kusoma mada zako sijawahi kuelewa unachoandika.

IMG_20221210_175306_2.jpg

Kipindi wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wanamiliki KIWANDA CHA CONVERSE [ALL STAR], kuna MWANASIASA alikuwa anafundisha SHULE YA SEKONDARI YA SENGEREMA [SESESCO].

Lakini leo hutanae tena! Na wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] bado wapo na wanaendelea na BIASHARA zao kama kawaida.

Kipindi HAYATI MWALIMU yupo hai, wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio walijifanya kuwa wameshika AHADI ZA MWANATANU.

123e8885d808484cad9efb983ab5f6e6~2.jpg

Kumbe ile ilikuwa ni DANGANYA TOTO, yaani walifunika KOMBE ili mwanaharamu apite na akapita kweli!! Sasa hivi wale WATU wanamiliki UTITIRI WA MAKAMPUNI na wanalipa kodi kihalali.

IMG_20221211_013423.jpg

Hii BLUE COAST ni KAMPUNI MWENZA ya CONVOY HAULAGE ya NYAMHONGOLO, MWANZA. Ndio hao hao wakina ALLY'S STAR ya SHINYANGA na MODERN COAST ya MOMBASA nchini KENYA.

IMG_20221211_013302.jpg

Hao ndio wale walioitwa MAJINA YA KEJELI kuwa ni WASHOSHA NG'OMBE yaani WATU WASHAMBA WASHAMBA, lakini leo ndio wanaomiliki KAMPUNI nyingi za usafirishaji wa ABIRIA pamoja na MIZIGO.

IMG_20221211_013334.jpg

Wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa ni WATU WASOMI na walikuwa na EXPOSURE YA MAISHA.

Hali hiyo ni tofauti kabisa kwa upande wa OSCAR SALATHIEL KAMBONA pamoja na ADAM SAPI MKWAWA - kwani hali sio hali, sababu MAMBO bado hayajaisha na WAKALI WA HIZO KAZI wanasema ile KALENGA itakuja kuwa kama MAGOFU YA BAGAMOYO.
 
We jamaa hizi taarifa huwa unapata wapi? Kwamba wakikuyu kutoka Kenya ndio wamiliki wa Yahoo! really?

Katika zama hizi za Information age unakuja na stori za kuunga unga wakati ukweli upo kwenye biographies, encyclopedia, n.k

Tangia nianze kusoma mada zako sijawahi kuelewa unachoandika.



Cheki mechi iliyopita ambapo CHICAGO BULLS walipoteza! Hii ni timu ya mpira wa kikapu ambayo inashiriki LIGI KUU YA MPIRA WA KIKAPU nchini MAREKANI ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Kwahiyo, wale waliokuwa WASHOSHA NG'OMBE yaani WATU WASHAMBA WASHAMBA wapo mbali sana KIUCHUMI na hata kile kizazi cha kina OSCAR SALATHIEL KAMBONA pamoja na ADAM SAPI MKWAWA, bado wana nafasi ya kujijenga KIUCHUMI na kuachana kabisa na SIASA ZA CHAMA TAWALA.
 
Jaribu kupitia huu uzi wa Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana na unatakiwa kuwa na UVUMILIVU WA KISIASA kama walivyo FAMILIA YA HAYATI KARUME, yaani mnapaswa kuiga SIASA ZA ZANZIBARI kwa upande wa CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM.

Kwa sababu, UMAFIA huwa upo katika kila SERIKALI na WATU WA ZANZIBARI walishuhudia na kuona mambo mengi sana yakifanyika chini ya UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM.

WAZANZIBARI kwa umoja wao, waliamua kutumia CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM ili kukwea MNAZI, yaani wanakitumia CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM kujijenga KIUCHUMI na KISIASA - ilhali fikra, mioyo na nafsi zao hazipo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI-CCM.

Na wamefanikiwa pakubwa sana katika kujijenga KIUCHUMI, ngoja nikipata muda nitakuonesha moja ya kampuni za WAZANZIBARI zinazofanya vizuri ughaibuni kwenye uzi wa Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana. WAZANZIBARI ndio jamii mojawapo inayounda JAMII YA WATU WA PWANI na JAMII YA WATU WA PWANI ni JAMII ambayo imejijenga KIUCHUMI, ukiachana na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI pamoja na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA.

Kwahiyo, muda na nyakati ndio utaamua hatima ya SIASA ZA ZANZIBARI.
Doctor G ngoja nikuoneshe SIASA YA WAZANZIBARI. Baada ya kumaliza kipindi chake cha URAIS - Ndugu ALI HASSAN MWINYI alifanikiwa kuirudisha FAMILIA YA HAYATI KARUME kwenye SIASA ZA ZANZIBARI kwa kumpigia chapuo MTOTO WA HAYATI KARUME, Ndugu AMANI ABEID KARUME kuwa RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI kwa mwaka 2000 - 2010.

5d135490686e7c7dfeb2becbd4ed52ad.png


Na Ndugu ALI HASSAN MWINYI alifanikiwa sana kuirudisha ZANZIBARI katika ile hali ya utulivu na kujikita zaidi katika kujijenga KIUCHUMI na kuachana kabisa na SIASA ZA VISASI.

Baada ya hapo, VIONGOZI WA KISIASA kwa upande wa ZANZIBARI walianza kujijenga KIUCHUMI kwa kasi kubwa na kusahau yale yote yaliyopita ikiwa kuwahimiza WAZANZIBARI kufanya kama vile walivyofanya wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Kwa upande wa ZANZIBARI - VIONGOZI wote waliopatikana baada ya UCHAGUZI MKUU WA 2000 na kuendelea, wapo vizuri KIUCHUMI na wamejitahidi sana kuwekeza ndani na nje ya VISIWA VYA ZANZIBARI.

194d246022d8acee4cc2a08c2b3dfecc.png

Hata baada ya UCHAGUZI MKUU WA 2010, ile dhana ya kujijenga KIUCHUMI kwa VIONGOZI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI ilikuwa ipo pale pale na walifanikiwa pakubwa sana.

8dace40e64ac968747d6181ed0324625(1).png


Na hata baada ya kumaliza kipindi chake cha UONGOZI kwa aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI - Dakta ALI MOHAMMED SHEIN alifanikiwa kukabidhi MADARAKA kwa amani isiyokuwa na chembe ya dosari kwa Dakta HUSSEIN ALI MWINYI ambaye ndiye mtoto wa Ndugu ALI HASSAN MWINYI.

1d99699f6b386d149485f0920f1e33a3.png


Sasa basi, SIASA YA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI imeegemea zaidi katika SIASA ZA URITHI na wamefanikiwa pakubwa sana katika kujijenga KIUCHUMI na kuwa miongoni mwa "ELITE FAMILIES" ambazo zinapatikana TANZANIA VISIWANI na TANZANIA kwa ujumla wake.

acdfb93d1967b286691d806e65529acf.png


Kwahiyo VIONGOZI wengi wa ZANZIBARI wamejitahidi sana kusimama na wananchi wao katika SUALA LA UCHUMI na wanafanya vilevile kama walivyokuwa wanafanya wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

d808beed969bb433d23f5e2d774aca44.png


Katika jitihada za kujikwamua KIUCHUMI - mmoja wa VIONGOZI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI amefanikiwa kufungua KIWANDA kikubwa kinachotengeneza NGUO, MIKOBA YA KIKE na VITU mbalimbali ambacho kinapatikana katika moja ya MATAIFA YA ULAYA.

640d871de2075d7e10f4a38d7cb6f9dc.png


Sasa hivi, bidhaa zinazojulikana kwa JINA LA SHEIN ni bidhaa ambazo zimepata soko sana kwa MABARA YA ASIA, ULAYA, AMERIKA na AMERIKA YA KUSINI.

e99d526d42c6526dd08bf580db40dc36.png


SHEIN ni kampuni ambayo inafanya vizuri sana kwenye soko la ushindani kwa MATAIFA YA ULAYA, AMERIKA, AMERIKA YA KUSINI, ASIA na hata AUSTRALIA zimeshafika katika JIJI LA MELBOURNE.

eb473b1669462f397bcbfbd56e31791b.png


Hii kampuni imefanikiwa pakubwa sana katika kujitanua kibiashara kama ilivyo kwa kampuni nyingine ambazo zinahusika na NGUO pamoja na MIKOBA YA KIKE.

4e7b36a0c1d6cfa3e057bf6865fcee0a.png


Vile vile VIONGOZI WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI wamefanikiwa kuiga namna ambavyo wale waliokuwa wafanyakazi vya VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wakifanya kwa kupeleka WATU wao kwenda kufanya kazi UGHAIBUNI kwenye kampuni ambazo wanazimiliki wao wenyewe.

84585a758460eb4099021bcef9262071(1).png


Huyo BINTI WA KIKE MWEUSI ni MZANZIBARI wa kuzaliwa na kukulia, lakini ni mmoja wa wafanyakazi yaani TEAM MEMBER wa kampuni ya SHEIN katika moja ya MALL inayopatikana MELBOURNE nchini AUSTRALIA.

0dc1f05f57f3560bd74834ef0edc4064.png


Na ukiachana na zile jamii mbili za SERENGETI yaani CHUI pamoja na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA - JAMII YA WATU WA PWANI ndio jamii ambayo ipo vizuri KIUCHUMI.

98253207843d0608b1fa3415f794a114.png


Vile vile tofauti na KIWANDA CHA KUTENGENEZA NGUO, hii kampuni ya SHEIN ndio wenye HATI MILIKI YA SERIES inayoitwa GAME OF THRONES.

13ba86207ef99d9eb3ef46aef264eb67.png


Hii SERIES YA GAME OF THRONES ni SERIES ambayo inamilikiwa na kampuni ya SHEIN.

a1e8387a821ebf0bdf7b8de84f5915d7.png


Na ukiachana na JAMII YA SERENGETI yaani CHUI pamoja na JAMII YA MWASHITA yaani SIMBA, hii JAMII YA WATU WA PWANI tayari na wao wameshaingia katika tasnia ya UTENGENEZAJI WA FILAMU nchini MAREKANI, yaani HOLLYWOOD.

38792dc124cbe4ca2981c4c986222398.png


Kwahiyo, haya ndio baadhi ya MATUNDA yaliyopatikana kutokana na kuwa na SIASA ZA UVUMILIVU kwa upande wa TANZANIA VISIWANI yaani ZANZIBARI na nyinyi kuweni kama WANASIASA wa TANZANIA VISIWANI. Ukipata fursa, tumia vizuri ili kujijenga KIUCHUMI.

Hayo mambo mengine yatajipa mbele ya safari na nikipata wasaa mzuri kwa siku nyingine nitakuonesha baadhi ya mambo ambayo yanafanyika UGHAIBUNI na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VYA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.
 
Doctor G soma posti namba 1266, huku ukitizama kwa makini hizo picha. Huo mfumo ndio mataifa yaliyoendelea huwa yanatumia kuwasilisha UJUMBE kwa kutumia LUGHA YA PICHA.

2a02de72ce96fc428d81e93f51f81b6a.png

Na jana timu ya MANCHESTER CITY ambayo inaongozwa na kocha mkuu - PEP GUARDIOLA ilishindwa kufanya vizuri UGENINI, ikiwa inacheza dhidi ya timu ya MANCHESTER UNITED.

a1fee35867c210cc83ca4e66236dd5d2.png

Hata hivyo, timu ya MANCHESTER CITY imeendelea kushika nafasi ya PILI baada ya kupoteza mchezo wao wa jana. ["Hivi ndio mataifa yaliyoendelea huwa yanatumia kuwasilisha UJUMBE kwa kutumia LUGHA YA PICHA" ].

Sasa basi, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ndio waliotangulia kuingia na kuwekeza UINGEREZA hata kabla ya JAMII YA WATU WA PWANI yaani WAZANZIBARI.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio wamiliki halali wa klabu ya mpira wa miguu inayoitwa FULHAM FOOTBALL CLUB [FFC].

2650801a8d11a58f57514c6d988920ea.png

Hii klabu ya mpira wa miguu inapatikana mitaa ya CRAVEN COLTAGE katika jiji la LONDON na ni klabu ambayo inashiriki LIGI KUU YA UINGEREZA na wenyeji huwa wanaita ni LONDON'S ORIGINAL FOOTBALL CLUB, yaani ni timu ambayo inacheza mpira wa asili wa UINGEREZA.

4606e013e842a150d481945719cedcbe.png

Hii klabu ya FULHAM, ndio mwenza wa klabu za CHARLTON ATHLETIC pamoja na BLACKBURN ROVERS zote za UINGEREZA.

IMG_-weisco.jpg


Vile vile, hizo timu za mpira wa MIGUU kwa upande wa UINGEREZA ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ni timu ambazo kuna kampuni za kibiashara ambazo ndio zinasimamia uendeshaji wa timu.

Kwa mfano, kampuni ya VENKY inasimama na timu ya BLACKBURN ROVERS na timu mbili zilizobaki zinasimamiwa na kampuni za PASHLEY CYCLES pamoja na AVON COSMETICS.

Hii kampuni ya PASHLEY CYCLES ni kampuni ambayo inapatikana STRATFORD na kipindi cha miaka ya nyuma ilikuwa inatengeneza baiskeli aina ya AVON.

IMG_20230115_211539.jpg

Hizi baiskeli za AVON, kipindi cha miaka ya tisini [1990's] wale watoto wa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] na hasa mtoto wa MISTER ABILITY, yaani MANING NICE alikuwa anamiliki baiskeli ndogo aina ya AVON yenye rangi nyekundu.

Hiyo kampuni ya AVON ni yao na wanaendelea kumiliki hiyo kampuni kwa asilimia mia moja [100] mpaka hivi leo, sema baiskeli za AVON zimeonekana kuadimika na hili JINA LA AVON limehamia kwenye VIPODOZI.

IMG_20230115_212005.jpg

Hii kampuni ya AVON COSMETICS ni kampuni ambayo inafanya vizuri sana kwa upande wa VIPODOZI na bidhaa zake zimeenea ULIMWENGU mzima.

Kwahiyo, sasa hivi WATU WA PWANI yaani WAZANZIBARI wanaonekana kujitahidi sana kuwekeza UGHAIBUNI kuliko wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA, lakini bado hawajaweza kufua DAFU kwa uwekezaji uliokwisha fanywa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] pamoja na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA 🦁.
 
Doctor G angalia hicho kiatu! Hicho ni kiatu ambacho kimetengenezwa na kampuni ya camel active | Schuhe für Herren I Jetzt entdecken na ni kampuni ambayo ipo chini ya kampuni ya AMSONS YA TANZANIA na hiyo kampuni inapatikana nchini UJERUMANI na inamilikiwa kwa 100% na wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].
DSC_0001.JPG

Na sasa hivi MANING NICE anatumia muda mwingi kuvaa viatu ambavyo vimetengenezwa na VIWANDA ambavyo wanamiliki wao wenyewe ikiwemo CONVERSE [ALL STAR] kutoka MAREKANI pamoja na LIBERTY kutoka INDIA.

Hii kampuni ya kutengeneza viatu vya LIBERTY na yenyewe ina historia yake kwa hapa TANZANIA, yaani kama ilivyo kwa CONVERSE [ALL STAR]. Baadae nikipata muda nitakuonesha jinsi hii kampuni ya LIBERTY inavyofanya kazi kwa upande wa hapa TANZANIA.

Kwahiyo wale waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wanamiliki viwanda vya kutengeneza viatu kwa MATAIFA YA ULAYA, AMERIKA pamoja na ASIA.
 
Doctor G hiyo kampuni inayotengeneza viatu vya LIBERTY ni kampuni ambayo inakuja kwa kasi sana kwenye SOKO LA USHINDANI.

_20230205_203111.JPG

LIBERTY SHOES ni kampuni ambayo inapatikana INDIA na inamilikiwa kwa 100% na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

_20230205_203041.JPG

Hii kampuni ya VIATU VYA LIBERTY ni kampuni ambayo inafanana na CONVERSE [ALL STAR] kwa umiliki na mambo mengine yanayofanyika TANZANIA.

_20221230_130544.JPG

Pia kuna mashati, suruali, suti pamoja na nguo za kike ambazo zimetengenezwa na kampuni ya LIBERTY CLOTHES ambayo inapatikana nchini MAREKANI.

IMG-20230205-WA0003.jpg


MANING NICE muda mwingi anatumia kuvaa MASHATI ambayo yanakuwa yametengenezwa kutoka MAREKANI, katika KIWANDA ambacho wanamiliki wao wenyewe.

IMG-20230205-WA0004.jpg


Hawa wakina MANING NICE ndio vijana wanaotegemewa kuboresha na kuendeleza misingi iliyoanzishwa na watangulizi wao kutokana na kuwa na tabia ya kupenda kutumia vitu vyao tu.

Vile vile, kwa upande wa TANZANIA kuna kampuni ambayo inaitwa LIBERTY TRANS CARGO COMPANY LIMITED ambayo inapatikana barabara ya NYERERE ROAD, KIPAWA katika jiji la DAR ES SALAAM, nchini TANZANIA.

f43c109ab00f633512f519715e0ec14e.png

Hii kampuni ya LIBERTY TRANS CARGO COMPANY LIMITED ni kampuni ambayo inamiliki kampuni ya USAFIRISHAJI WA ABIRIA inayokwenda kwa jina la NEW FORCE [GOLDEN DEER].

IMG-20230205-WA0000.jpg

Kampuni ya NEW FORCE [GOLDEN DEER] ni miongoni mwa kampuni za USAFIRISHAJI WA ABIRIA ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

IMG_20230206_002241.jpg

Pia, kampuni ya LIBERTY ni kampuni ambayo mwanzo wake ulianzia kwenye UFUAJI WA CHUMA katika TAIFA LA UINGEREZA na ilimilikiwa tangu mwanzoni mwa miaka ya tisini [1990's] na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

749fd1544c4ccc9dad23c667ba7a6334.png

Hii kampuni ya UFUAJI WA CHUMA inaitwa LIBERTY STEEL GROUP na ni kampuni ya tatu [3] kwa uzalishaji wa CHUMA kwa upande wa TAIFA LA UINGEREZA.

470c69c77fa749ddd12f4be1183d7065.png

Kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP inafanya vizuri sana kwenye SOKO LA USHINDANI na ni kampuni mwenza wa kampuni za KIOO INDUSTRY pamoja na MMI STEEL, ambazo zote zinapatikana TANZANIA.

a4681b7438ad44253588aedbd7d804c7.png

Kampuni ya MMI STEEL na yenyewe ni kubwa kwa kiasi chake, kwa sababu imeenea kwa MATAIFA YA TANZANIA, UGANDA, MSUMBIJI na ZAMBIA. Haya yote ni matawi ya LIBERTY STEEL GROUP.

45fdf6507f612f8d84bb2704c43bc237.png

Kwa upande wa UINGEREZA, hii kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP ni kampuni ambayo inamiliki TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa ASTON VILLA ambayo inashiriki LIGI KUU NCHINI UINGEREZA.

IMG_20230205_211944.jpg

Kwahiyo ukiachana na TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa FULHAM FC, pia wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wanamiliki KLABU YA ASTON VILLA kupitia kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP.

IMG-20230125-WA0034.jpg

Kwahiyo KLABU ZA MPIRA WA MIGUU ZA ASTON VILLA pamoja na FULHAM FC zote zinamilikiwa na mtu mmoja kupitia kampuni tofauti tofauti.

a010b78b145e1d7930c8058b241d0483.png


Na miaka ya hivi karibuni, hii kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP ilifanikiwa kuanzisha na kufungua KIWANDA kingine katika TAIFA LA ROMANIA.

69a7d59d98db45643add9f8aaedc8967.png

Kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP imeenea hadi katika TAIFA LA MAREKANI pamoja na AUSTRALIA.

9871408dae2c09396ebda475d0c016f0.png

Kwa upande wa MAREKANI, hii kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP ni kampuni ambayo inamiliki TIMU YA MPIRA WA KIKAPU YA WANAWAKE inayoitwa NEW YORK LIBERTY ambayo inashiriki LIGI KUU YA WANAWAKE YA NBA.

IMG_20230205_205009.jpg

LIBERTY STEEL GROUP ni kampuni kubwa ambayo inafanya vizuri kwa MATAIFA YA MAREKANI, AUSTRALIA pamoja na BARA LA ULAYA na hivi karibuni hii kampuni imefanikiwa kuwa miongoni mwa kampuni ambazo zimeshinda ZABUNI ya kutengeneza CHUMA pamoja na NONDO katika UJENZI WA RELI YA KISASA itakayounganisha MATAIFA YA BARA LA ULAYA.

IMG_20230205_162555.jpg

Hii kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP ni kampuni kubwa na ni kampuni ambayo iliwafanya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kutambulika kama ni ELITES kutoka TANZANIA.

IMG_20230205_231224.jpg

Hii kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP ni kampuni ambayo inadhamini KLABU YA MPIRA WA MIGUU YA TOWNSHIP ROLLERS inayoshiriki LIGI KUU nchini BOTSWANA.

TOWNSHIP ROLLERS FC ni timu ambayo inapatikana KUSINI MWA AFRIKA na inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Vile vile, kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP inamiliki HOTELI pamoja na vitu vingine ukiachilia mbali VIWANDA VYA KUCHAKATA CHUMA.

IMG_20230205_205251.jpg

Kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP kwa upande wa MAREKANI ndio wamiliki wa HOTELI ya LIBERTY HOTEL ambayo inapatikana BEACON HILL, BOSTON, MASSACHUSETTS! HOTELI ya LIBERTY HOTEL ambayo inapatikana CLEBURNE, TEXAS! HOTELI ya RODEWAY INN ambayo inapatikana KANSAS CITY pamoja na LIBERTY INN HOTEL inayopatikana OREGON, nchini MAREKANI.

IMG_20230206_000219.jpg

HOTELI nyingine ni LIBERTY HOTELS LYKIA pamoja na LIBERTY FOOTBALL ACADEMY ambazo zote zinapatikana FETHIYE, ÖLÜDENIZ - MUGLA katika TAIFA LA UTURUKI.

31f8b750f3d38729753c057922c06c16.png

LIBERTY HOTELS OLUDENIZ na LIBERTY HOTELS LARA, HOTELI zote hizi zinapatikana katika TAIFA LA UTURUKI.

b60b4af91bb643dfaec006de9ef6f66a.png

HOTELI nyingine ni LIBERTY HOTEL THAMRIN ambayo inapatikana JAKARTA, INDONESIA! AQUA LIBERTY HOTEL ambayo inapatikana GEORGIA! HOTEL LIBERTY ambayo inapatikana POKHARA, DAMSIDE - NEPALI pamoja na HOTEL LIBERTY inayopatikana FIRENZE, ITALIA.

_20230123_161259.JPG


HOTELI nyingine ni LIBERTY LODGE ambayo inapatikana TANZANIA katika MKOA WA MBEYA, maeneo ya ITENDE mkabala kabisa na JKT ITENDE kwenye barabara kuu ya MBEYA - TUNDUMA. Sasa hivi LIBERTY LODGE imechakaa na kwa siku za usoni itatakiwa kujengwa upya.

HOTELI nyingine ni LIBERTY HOTEL ambayo inapatikana DUBAI. Hii HOTELI imekuwa "UNDISCLOSED" kutokana na UNYETI wake, lakini muda ukifika kila kitu kitakuwa hadharani.

Sasa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] pamoja na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wapo mbali sana KIUCHUMI na pamoja na kumiliki kampuni ya mawasiliano ya TIGO kwa upande wa TANZANIA.

IMG_20230205_231247.jpg

Wale wakina MANING NICE waliamua kusoma SHAHADA YA METALLURGY AND MINERAL PROCESSING ENGINEERING na kuachana kabisa na TELECOMMUNICATIONS ENGINEERING kwa sababu ya umiliki wa kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP.

uhuru.jpg

MANING NICE ndio wamiliki halali wa kampuni za LIBERTY STEEL GROUP, MMI STEEL, AFRICAN EXPLOSIVES AND CHEMICALS LIMITED, PLATINUM HOLDINGS LIMITED, EL HILAL DIAMONDS LIMITED, AMSONS pamoja na KIOO INDUSTRY kwa asilimia mia moja [100%].

Kwahiyo, pamoja na kuitwa majina ya KEJELI kama WASHOSHA NG'OMBE au WATU WASHAMBA SHAMBA - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walikuwa ni WAVUMILIVU na sasa hivi wapo mbali sana KIUCHUMI.
 
Doctor G hiyo kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP ni kampuni ambayo inamiliki CHUO KIKUU CHA LIBERTY kinachopatikana nchini MAREKANI.

008426d3110df3b73452d239532011f1.png

CHUO KIKUU CHA LIBERTY yaani LIBERTY UNIVERSITY [LU] ni CHUO KIKUU ambacho kinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kupitia kampuni ya LIBERTY STEEL GROUP.

5850ffe5308761f3e7fa08da05554bc0.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wamejitahidi sana kuwekeza katika kila SEKTA na SEKTA YA ELIMU ndio kipaumbele chao.

df2f550ea5ce78af1f947ee6f0433a0c.png

CHUO KIKUU CHA LIBERTY [LU] ni CHUO KIKUU ambacho kinatumia RANGI NYEKUNDU kama RANGI RASMI inayotambulisha CHUO yaani COLLEGE COLOR na RANGI NYEKUNDU mara nyingi huwa inatumika kuwakilisha wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.

dfd7f9be282ac32744299619bd3c116c.png

Hata kwenye hafla ya michezo, CHUO KIKUU CHA LIBERTY [LU] huwa kinatumia SARE ZA RANGI NYEKUNDU kuwakilisha wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.

3e8335b88a8e1ccf8fe0607274831c44.png

CHUO KIKUU CHA LIBERTY [LU] ni miongoni mwa VYUO VIKUU ambavyo vinafanya vizuri nchini MAREKANI kwa upande wa TAALUMA na MICHEZO.

0c7374dee2531b6c55e7f612f4b1dcd0.png

CHUO KIKUU CHA LIBERTY [LU] ni CHUO KIKUU ambacho kinadahili WANAFUNZI kutoka MATAIFA mbalimbali na mpaka kufikia mwaka jana, CHUO KIKUU CHA LIBERTY [LU] kilifanikiwa kudahili WANAFUNZI zaidi ya ELFU ISHIRINI [20,000] kwa mwaka wa masomo 2022/23.

2992f7e75b72e589454303b9510edba4.png

Hao ndio wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA - THE ELITES WITH WESTERN VALUES, BUT NOT WESTERN LOYALTIES.

006a09a2ff3335e67036dde0082879ca.png

Kwahiyo utaona ni jinsi gani wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA walivyopiga hatua kubwa ya KIUCHUMI na KIMAENDELEO.
 
Doctor G wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ndio wamiliki halali wa CHUO CHA BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC] kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA.

6030373c0a5cc3509a8765c4606f5b36.png

Hilo jina la chuo yaani "BOMA" lilitokana na kile kijiji ambacho kinapatikana TANZANIA, katika MKOA WA KILIMANJARO, WILAYA YA HAI kinachoitwa BOMA NG'OMBE.

d785880b634b5e5c369e1772fa883b4e.png

Hicho kijiji cha BOMA NG'OMBE ni kijiji ambacho kina historia iliyosheheni matukio ya wahamiaji kutoka mikoa mitatu [3] ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA na wanafunzi wengi wa BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC] ni WATANZANIA WAHAMIAJI waliohamia KENYA kutoka mikoa mitatu [3] ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

ae221cfa10505b833c0b437dfd4e9ab8.png

Sasa malengo na madhumuni ya kuanzisha chuo cha BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC] ni kuzalisha wahitimu ambao watakuja kuwa wasimamizi wa masuala ya hoteli ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

cec2c2ccde371789c9dc78a8821db18a.png

Na wamefanikiwa kwa asilimia mia moja [100%], kwa sababu hoteli zote zinazopatikana nje ya TANZANIA ambazo zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA zina wafanyakazi ambao ni wahitimu wa BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC].

a4827abad17ef4e98a77371a07d9dc26.png

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamejitahidi kufanya biashara na kuwekeza katika kila SEKTA kwa kutumia NGUVU KAZI ya WATU wao wenyewe na hii imewasaidia sana kupambana na UDHALIMU unaofanywa na SERIKALI.
 
Leo BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC] ni chuo bora ambacho kinatambulika AFRIKA YA MASHARIKI kwa kutoa wahitimu ambao ni PROFESSIONAL CHEFS.

894918b524a378746273e112bd51ab8e.png

Wahitimu wa BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC] ndio PROFESSIONAL CHEFS wa hoteli ambazo wanamiliki wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

4429e86d340334c06fd925c1e1d131a3.png

Hiki chuo cha BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC] ni chuo ambacho kinatambulika ndani na nje ya mipaka ya AFRIKA YA MASHARIKI.

5ef090fe9f54d7446065eca2d295deee.png

Miaka ya hivi karibu, hoteli nyingi za KITALII na hoteli zenye hadhi ya NYOTA TANO zilianza kuchukua wahitimu kutoka chuo cha BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC].

f2a8f04e7834fbe37188aaff437e50b0.png

Sasa hivi BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC] wamevuka malengo - kwa sababu tofauti na wahitimu kufanya kazi katika hoteli nyingi za KITALII na hoteli zenye hadhi ya NYOTA TANO, hao wahitimu wamekuwa wakihusika kwenye makongamano ya KIMATAIFA kama PROFESSIONAL CHEFS kutoka BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC].

4a5239712d249aafaf0ce0c64195e44d.png

Hayo ndio baadhi ya mafanikio ya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA au kwa jina lingine wanaitwa SIMBA.
 
Doctor G wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndio wamiliki halali wa CHUO CHA BUSINESS AND HOTEL MANAGEMENT SCHOOL [BHMS] kinachopatikana LUCERNE, nchini USWISI.

6db1efa013709bad3a80c9b86ca0fbbc.png

Hiki chuo cha BUSINESS AND HOTEL MANAGEMENT SCHOOL [BHMS] kina mahusiano ya moja kwa moja na chuo cha BOMA INTERNATIONAL HOSPITALITY COLLEGE [BIHC] kinachopatikana NAIROBI, nchini KENYA.

2136471ae479dcdd1a9df2b3ea8d973d.png

Hao MABINTI WEUSI ni MWASHITA waliohamia KENYA, yaani wale waliokuwa wenyeji wa mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliohamia KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

Sasa hivi wanafanya kubadilisha ujuzi na chuo cha BUSINESS AND HOTEL MANAGEMENT SCHOOL [BHMS] ambacho pia kinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

da6a86e3f9f5dda27030b6e02e2ccfa2.png

Kwahiyo haya ndio MAFANIKIO na MATUNDA ya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA na kuna mambo ambayo waliyafanya hadi kufikia kupewa MAJINA YA MITAA kwa MATAIFA YA KENYA, NAIJERIA pamoja na NAMIBIA.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikuwa bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikuwa akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno".

Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asingeendelea kuwa mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".

Mwalimu alikuwa mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine, chochote kile ambacho kilikuwa hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikuwa "viable".

Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwa sababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikuwa "kila kitu".

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliyekua sahihi lakini hawakumskiliza.

Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikuwa "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021, TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu Mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii

Natamani Watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 tujue habari za huyu shujaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawasawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huohuo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond !!
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini.
Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani",1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga.
Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!!.

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU( Mwasisi wa TANU).
OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967:
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka:
"Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani,1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!.

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia
View attachment 1983785


Kosa kubwa la Kambona ni kumsikiliza Nyerere kuandaa Mavamizi ya Zanzibar. Matokeo yake wakauwa maelfu ya Wazanzibari na kuiangamiza Zanzibar na baadaye Tanganyika mpaka leo katika huu Mvamiano uliopewa jina la Muungano . Nchi haijulikani ni ya ujamaa , ubepari, Liberal , ya kidini, ya kipagani , ni kama generation iliyomwagwa ghafla kwenye sayari ikachanganyikiwa.

Sote tumekuwa lost generation under CCM ya Nyerere
 
Kosa kubwa la Kambona ni kumsikiliza Nyerere kuandaa Mavamizi ya Zanzibar. Matokeo yake wakauwa maelfu ya Wazanzibari na kuiangamiza Zanzibar na baadaye Tanganyika mpaka leo katika huu Mvamiano uliopewa jina la Muungano . Nchi haijulikani ni ya ujamaa , ubepari, Liberal , ya kidini, ya kipagani , ni kama generation iliyomwagwa ghafla kwenye sayari ikachanganyikiwa.
Jaribu kuangalia na kutizama kwa makini hii MAKALA YA VIDEO inayohusu MAISHA YA KISIASA ya OSCAR SALATHIEL KAMBONA iliyoandaliwa siku chache zilizopita.



Pamoja na kupitia misukosuko mingi, OSCAR SALATHIEL KAMBONA kipindi cha uhai wake alifanikiwa kuanzisha CHAMA CHA KISIASA kilichoitwa ADA-TADEA ambacho kipo hadi leo, sema hakina UWAKILISHI WA KISIASA kwa ngazi yoyote ile, yaani kuanzia ngazi ya shina hadi ngazi ya kitaifa.

MASWAHIBU ni mengi kwa WANASIASA na hali hiyo haijabadilika mpaka leo! Tangu enzi za TANU na ASP mpaka CCM bado hali ni ile ile na CHAMA CHA MAPINDUZI bado ni kile kile.

Kuna WANASIASA walioweza kuwa wavumilivu na wakala mema ya nchi na kuna WANASIASA wengine walishindwa kuvumilia wakakimbia nchi, akiwemo OSCAR SALATHIEL KAMBONA mwenyewe.

WANASIASA walioweza kuwa wavumilivu walipatikana ZANZIBARI na sehemu nyingine za PWANI kwa upande wa TANZANIA BARA.

IMG_20230130_213818.jpg

Kwa upande wa ZANZIBARI - SIASA ZA UVUMILIVU ziliongozwa na aliyekuwa RAIS WA KWANZA WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI, HAYATI SHEIKH ABEID AMANI KARUME aliyekuwa RAIS WA KWANZA WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI, hadi umauti unamkuta SHEIKH ABEID AMANI KARUME alifahamika kwa uvumilivu wake wa kisiasa.

_20230224_153034.JPG

Hali hiyo ilipelekea kuaminika kwa familia ya HAYATI KARUME kwenye SIASA ZA ZANZIBARI na kufanikiwa kutoa tena RAIS WA AWAMU YA SITA [6] wa SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI, NDUGU AMANI ABEID KARUME.

_20230224_165346.JPG

Hao ndio WAZANZIBARI! Wanaofahamika kutokana na kuwa na UVUMILIVU WA KISIASA ambapo jitihada na mafanikio yao ya KIUCHUMI waliyo nayo sasa hivi, yametokana na UTASHI WA KISIASA.

Hali hiyo ni sawa kabisa, tena inaweza kuwa ni zaidi kwa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kwa kuwa wavumilivu na kufanikiwa kuanzisha VYAMA VYA KISIASA pasipo kupata MASWAHIBU yoyote yale ya KISIASA.

_20230224_153111.JPG

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa pakubwa sana katika SIASA ZA MFUMO WA VYAMA VINGI.

_20230224_153058.JPG

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuanzisha VYAMA VYA KISIASA kwa njia ya UKACHERO, yaani walifanikiwa kuratibu shughuli zote za kuanzisha VYAMA VYA KISIASA pasipo wao kuonekana mstari wa mbele.

_20230224_153124.JPG

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA hawakupitia MASWAHIBU YA KISIASA, ijapokuwa walishiriki na wanashiriki SIASA ZA TANZANIA kwa kupitia MLANGO WA NYUMA.

_20230224_154222.JPG

Leo CHAMA CHA ACT - WAZALENDO ndio CHAMA CHA KISIASA ambacho kinaunda SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA kwa upande wa ZANZIBARI na malengo ni kufanikisha kuchukua DOLA YA ZANZIBARI.

_20230224_220020.JPG

Haya tunaweza kusema kuwa ni mafanikio ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF, ACT - WAZALENDO yenyewe pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.
Sote tumekuwa lost generation under CCM ya Nyerere
WATU ambao tunaweza kusema kuwa ni "LOST GENERATION" chini ya UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ni wengi, lakini miongoni mwao kuna wachache walioweza kujikwamua kutoka kwenye MAKUCHA YA CHAMA TAWALA.

Miongoni mwa wachache hao walioweza kujikwamua kutoka kwenye MAKUCHA YA CHAMA TAWALA ni WAZANZIBARI pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Nasema WAZANZIBARI kwa sababu gani? Kwa sababu wao WAZANZIBARI wanakitumia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kukwea mnazi, yaani wanakitumia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kujijenga KIUCHUMI na wamefanikiwa kwa asilimia mia moja [100%].

Hali kadhalika, kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamefanikiwa pakubwa sana katika kujijenga KIUCHUMI na wanaandaa watoto wao kuja kuongoza VYAMA VYA KISIASA ambavyo waliviasisi wao wenyewe.

_20230224_154203.JPG

VYAMA VYA KISIASA ambavyo viliasisiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF, ACT - WAZALENDO pamoja na chama kingine cha kisiasa ambacho bado ni SIRI kutaja hadharani kutokana na kuwa na MIKAKATI MIZITO YA KISIASA.

Kwahiyo, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamiliki VYAMA VYA KISIASA vipatavyo vitatu [3] kwa idadi yake.

_20230224_153124.JPG

Ambapo moja ya CHAMA CHA KISIASA, jengo la ofisi ya MAKAO MAKUU YA CHAMA lina hati ya jina la aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM], KITIVO CHA SAYANSI JAMII [COHSS] kwa mwaka 2012/13.

_20230224_153152.JPG

Huyo aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM], KITIVO CHA SAYANSI JAMII [COHSS] kwa mwaka 2012/13 ni KIZAZI CHA MWASHITA.

Kwahiyo kuna WATU WACHACHE walioweza kujikwamua kutoka kuwa "LOST GENERATION" hadi kuitwa MASHUJAA WA KISIASA yaani "POLITICAL HEROES".

Hao MASHUJAA WA KISIASA yaani "POLITICAL HEROES" ni wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

_20230224_215956.JPG

MASWAHIBU ni mengi katika SIASA ZA TANZANIA. Kuna WANASIASA waliofanikiwa kuyaepuka MASWAHIBU hayo na wengine wameendelea kuwa ni WAHANGA wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] hata katika kipindi hiki cha DUNIA MAMBO LEO.

_20230224_215931.JPG

Kwahiyo MASWAHIBU YA KISIASA ni mengi sana na kuna baadhi ya WATU kwa kukosa maarifa wanaendelea kuangamia hadi leo.
 
Jaribu kuangalia na kutizama kwa makini hii MAKALA YA VIDEO inayohusu MAISHA YA KISIASA ya OSCAR SALATHIEL KAMBONA iliyoandaliwa siku chache zilizopita.



Pamoja na kupitia misukosuko mingi, OSCAR SALATHIEL KAMBONA kipindi cha uhai wake alifanikiwa kuanzisha CHAMA CHA KISIASA kilichoitwa ADA-TADEA ambacho kipo hadi leo, sema hakina UWAKILISHI WA KISIASA kwa ngazi yoyote ile, yaani kuanzia ngazi ya shina hadi ngazi ya kitaifa.

MASWAHIBU ni mengi kwa WANASIASA na hali hiyo haijabadilika mpaka leo! Tangu enzi za TANU na ASP mpaka CCM bado hali ni ile ile na CHAMA CHA MAPINDUZI ni kile kile.

Kuna WANASIASA walioweza kuwa wavumilivu na wakala mema ya nchi na kuna WANASIASA wengine walishindwa kuvumilia wakakimbia nchi, akiwemo OSCAR SALATHIEL KAMBONA mwenyewe.

WANASIASA walioweza kuwa wavumilivu walipatikana ZANZIBARI na sehemu nyingine za PWANI kwa upande wa TANZANIA BARA.

Kwa upande wa ZANZIBARI - SIASA ZA UVUMILIVU ziliongozwa na aliyekuwa RAIS WA KWANZA WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI, HAYATI SHEIKH ABEID AMANI KARUME aliyekuwa RAIS WA KWANZA WA SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI, hadi umauti unamkuta SHEIKH ABEID AMANI KARUME alifahamika kwa uvumilivu wake wa kisiasa.

View attachment 2528514

Hali hiyo ilipekea kuaminika kwa familia ya HAYATI KARUME kwenye SIASA ZA ZANZIBARI na kufanikiwa kutoa tena RAIS WA AWAMU YA SITA [6] wa SERIKALI YA MAPINDUZI YA ZANZIBARI, NDUGU AMANI ABEID KARUME.

Hao ndio WAZANZIBARI! Wanaofahamika kutokana na kuwa na UVUMILIVU WA KISIASA ambapo jitihada na mafanikio yao ya KIUCHUMI waliyo nayo sasa hivi, yametokana na UTASHI WA KISIASA.

Hali hiyo ni sawa kabisa, tena inaweza kuwa ni zaidi kwa waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kwa kuwa wavumilivu na kufanikiwa kuanzisha VYAMA VYA KISIASA pasipo kupata MASWAHIBU yoyote yale ya KISIASA.


Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa pakubwa sana katika SIASA ZA MFUMO WA VYAMA VINGI.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuanzisha VYAMA VYA KISIASA kwa njia ya UKACHERO, yaani walifanikiwa kuratibu shughuli zote za kuanzisha VYAMA VYA KISIASA pasipo wao kuonekana mstari wa mbele.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA hawakupitia MASWAHIBU YA KISIASA, ijapokuwa walishiriki na wanashiriki SIASA ZA TANZANIA kwa kupitia MLANGO WA NYUMA.


Leo CHAMA CHA ACT - WAZALENDO ndio CHAMA CHA KISIASA ambacho kinaunda SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA kwa upande wa ZANZIBARI na malengo ni kufanikisha kuchukua DOLA YA ZANZIBARI.


Haya tunaweza kusema kuwa ni mafanikio ya CHAMA CHA WANANCHI - CUF, ACT - WAZALENDO yenyewe pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

WATU ambao tunaweza kusema kuwa ni "LOST GENERATION" chini ya UTAWALA WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ni wengi, lakini miongoni mwao kuna wachache walioweza kujikwamua kutoka kwenye MAKUCHA YA CHAMA TAWALA.

Miongoni mwa wachache hao walioweza kujikwamua kutoka kwenye MAKUCHA YA CHAMA TAWALA ni WAZANZIBARI pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Nasema WAZANZIBARI kwa sababu gani? Kwa sababu wao WAZANZIBARI wanakitumia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kukwea mnazi, yaani wanakitumia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kujijenga KIUCHUMI na wamefanikiwa kwa asilimia mia moja [100%].

Hali kadhalika, kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamefanikiwa pakubwa sana katika kujijenga KIUCHUMI na wanaandaa watoto wao kuja kuongoza VYAMA VYA KISIASA ambavyo waliviasisi wao wenyewe.

VYAMA VYA KISIASA ambavyo viliasisiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ni CHAMA CHA WANANCHI - CUF, ACT - WAZALENDO pamoja na chama kingine cha kisiasa ambacho bado ni SIRI kutaja hadharani kutokana na kuwa na MIKAKATI YA KISIASA.

Kwahiyo, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamiliki VYAMA VYA KISIASA vipatavyo vitatu [3] kwa idadi yake.


Ambapo moja ya CHAMA CHA KISIASA, jengo la ofisi ya MAKAO MAKUU YA CHAMA lina hati ya jina la aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM], KITIVO CHA SAYANSI JAMII [COHSS] kwa mwaka 2012/13.

Huyo aliyekuwa RAIS WA SERIKALI YA WANAFUNZI WA CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM], KITIVO CHA SAYANSI JAMII [COHSS] kwa mwaka 2012/13 ni KIZAZI CHA MWASHITA.

Kwahiyo kuna WATU WACHACHE walioweza kujikwamua kutoka kuwa "LOST GENERATION" hadi kuitwa MASHUJAA yaani "POLITICAL HEROES".

Hao MASHUJAA yaani "POLITICAL HEROES" ni wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.


MASWAHIBU ni mengi katika SIASA ZA TANZANIA. Kuna WANASIASA waliofanikiwa kuyaepuka MASWAHIBU hayo na wengine wameendelea kuwa ni WAHANGA wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] hata katika kipindi hiki cha DUNIA MAMBO LEO.


Kwahiyo MASWAHIBU YA KISIASA ni mengi sana na kuna baadhi ya WATU kwa kukosa maarifa wanaendelea kuangamia hadi leo.


Msikilize huyu Mzee alikuwa mhanga wa Karume





 
Doctor G wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ndio wamiliki halali wa KIWANDA cha kutengeneza viatu cha LACOSTE kinachopatikana PARIS, nchini UFARANSA.

IMG-20230302-WA0002.jpg

Hii kampuni ya LACOSTE ni kampuni ambayo kwa kiasi kikubwa inatengeneza viatu, tisheti pamoja na mashati na wanauza bidhaa zao kupitia maduka ambayo wanayamiliki na kupitia mitandaoni ya kijamii kama https://www.lacoste.com/us/lacoste/men/shoes/.

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wapo mbali sana KIUCHUMI, kiasi ambacho wale waliokuwa watoto wa MWASHITA wakina MANING NICE wanatumia muda mwingi kuvaa na kutumia bidhaa zao.
 
Sasa Doctor G rejea posti namba 1273, katika kipindi cha UHUJUMU UCHUMI - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuvuka salama na kuwekeza ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA.

Kwa upande wa TANZANIA, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walikuwa wanaitwa "WANYAMA WATATU" na kipindi cha mwanzoni mwa miaka ya tisini [1990's] - wale waliokuwa WAZEE WA DAR ES SALAAM walikuwa wana msemo maarufu uliokuwa ukisema hivi "WANYAMA WATATU WAMEACHA MBUGA, MJI UNA KAZI!" yaani walikuwa wanamaanisha kuwa wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wameacha kuwekeza kwenye MIKOA yao na wamekuja kuwekeza katika JIJI LA DAR ES SALAAM.

381065058ec73f555c4d08e17d3c587d.png

Huo ndio ukawa mwanzo wa matumizi wa yale maneno maarufu ya "WANYAMA WATATU WAMEACHA MBUGA, MJI UNA KAZI!" na walifanikiwa kuwekeza DAR ES SALAAM kwa upande wa VIWANDA na kumiliki MAJENGO YA KIBIASHARA.

8be9493a7bfcb7cd34703f5986e30cc6.png

Baada ya kufanikiwa kuwekeza DAR ES SALAAM kipindi cha miaka ya tisini [1990's], wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuwekeza katika MATAIFA JIRANI ya AFRIKA YA MASHARIKI hususani kwa MATAIFA YA KENYA na UGANDA.

Kwa upande wa TAIFA LA KENYA katika kipindi cha UTAWALA WA DANIEL ARAP MOI, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuwekeza VIWANDA, MAJENGO YA KIBIASHARA pamoja na kituo maarufu cha televisheni kinachojulikana kama KTN yaani KENYA TELEVISION NETWORK kupitia kampuni ya STANDARD MEDIA.



Hiki kituo cha televisheni cha KTN kina uhusiano wa moja kwa moja na kampuni ya KTN inayomiliki KIWANDA CHA KTN kinachopatikana TEMEKE, DAR ES SALAAM nchini TANZANIA na kila walipokuwa wanafanikiwa kuwekeza, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walikuwa wanapeleka watu wao.

319ccf43a1d642bd7b8bfd8fa6951a6b.png

Kipindi hicho cha miaka ya tisini [1990's], SERIKALI YA JAMHURI YA WATU WA KENYA iliamua kuwapa heshima wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kwa kuwapa JINA LA MTAA unaojulikana kama SHINYANGA 1214 unaopatikana katika JIJI LA NAIROBI, nchini KENYA.



Hilo JINA LA MTAA wa SHINYANGA 1214 lilitokana na kumiliki MAJENGO YA GHOROFA kwa idadi yake yalikuwa ni kumi na mbili [12] na baadae kuongeza MAJENGO YA GHOROFA mawili na kufikisha idadi ya MAJENGO YA GHOROFA yapatayo kumi na nne [14] katika JIJI LA NAIROBI pekee yake.

e1e2dc9faee08f27e1f04790834f7026(2).png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kumiliki TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa KARIOBANGI SHARKS inayoshiriki LIGI KUU nchini KENYA.

Hali hiyo ilifanyika hivyo hivyo katika JIJI LA WINDHOEK, nchini NAMIBIA kwa kumiliki hisa zipatazo asilimia ishirini [20%] katika KIWANDA kinachotengeneza BIA ZA WINDHOEK.

ed8cf74cc41603cfea98b93de2119257.png

Hisa hizo ziliendelea kushuka hadi asilimia sita [6%] kwa mwaka 2021/22 kufuatia kuongekezeka kwa idadi ya wanahisa pamoja na kukua kwa mtaji wa kampuni ya WINDHOEK BEER.

Vile vile, kutokana na kumiliki hisa katika kampuni ya WINDHOEK BEER - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuanzisha kampuni ya KALAHARI GROUP OF COMPANIES ambayo wanamiliki kwa asilimia mia moja [100%].

images.jpeg

Hii kampuni ya KALAHARI GROUP OF COMPANIES inafanya vizuri sana kibiashara kwenye MATAIFA YA SOMALIA, KENYA, ZAMBIA pamoja na NAMIBIA na SERIKALI YA NAMIBIA iliamua kuwapa heshima ya JINA LA MTAA wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kwa kuwekeza nchini NAMIBIA. JINA LA MTAA huo ni SHINYANGA 1214 ambao unapatikana katika JIJI LA WINDHOEK, nchini NAMIBIA.

83217baedbf88c99839577cfd8b5b07a.png

Hali hiyo iliwafanya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA kupeleka watu wao kwenda kufanya kazi kwenye kampuni ya KALAHARI GROUP OF COMPANIES.

Hali hiyo iliendelea hivyo hivyo hadi AFRIKA YA MAGHARIBI katika TAIFA LA NAIJERIA ambapo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walifanikiwa kuwekeza VIWANDA, MAJENGO YA KIBIASHARA pamoja na kumiliki SHULE ZA TAQWA.

bfa9a834adb94fd53e58fe9f6d127439.png

Hizi SHULE ZA TAQWA zinapatikana LAGOS nchini NAIJERIA na zinafanya vizuri sana kitaaluma.

fab4d7f39c03b6e7b3d4df7caf76d84f.png

Wafanyakazi wa SHULE ZA TAQWA ni WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohamia NAIJERIA.

dc499054db02117ef442e84c34883632.png

Hizi SHULE ZA TAQWA zina mahusiano ya moja kwa moja na SHULE YA SEKONDARI YA TAQWA inayopatikana katika JIJI LA MWANZA, nchini TANZANIA.

bf4bbd0009d83397c6ee3cbb4d150a2d.png

Baadhi ya wanafunzi na walimu wa SHULE ZA TAQWA ni WATANZANIA waliohamia nchini NAIJERIA.

1318a17e8564ae494c0e8ffe8fd7ee7c(1).png

Hili jina la TAQWA ni jina ambalo kwa mara ya kwanza lilianza kutumika kwa kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa TAQWA.

98659444c80ab4252e1d741b56500729.png

Hii kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa TAQWA ni kampuni ambayo inapatikana TANZANIA na ni kampuni ambayo inamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Hii kampuni ya usafirishaji wa abiria na mizigo inayoitwa TAQWA ni kampuni mwenza wa kampuni za SPIDER pamoja na FALCON ambazo zote zinamilikiwa na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.

Kwahiyo, kwa heshima ya kuwekeza katika TAIFA LA NAIJERIA - wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA walipewa heshima ya mtaa katika JIJI LA ABUJA, nchini NAIJERIA.

Jina la mtaa huo ni SHINYANGA 1214 ambao unapatikana katika JIJI LA ABUJA, nchini NAIJERIA.

129f1d927ed790962daf2b854ba02f52.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamefanikiwa kwa kiasi chake nchini NAIJERIA, kwani wao pia ndio wamiliki halali wa MAVIN RECORDS inayoongozwa na msanii maarufu anayeitwa DON JAZZY.

36a9434ef338ff4167bc6168287b7419.png

Miaka ya hivi karibuni, MAVIN RECORDS walifanikiwa kutoa msanii maarufu sana nchini NAIJERIA anayeitwa REMA. Msanii REMA ni MWASHITA yaani SIMBA.

a40685b156ebfb22e8563f475dd1dd6f.png

REMA amekuwa maarufu sana ndani na nje ya TAIFA LA NAIJERIA kutokana na nyimbo yake inayoitwa CALM DOWN.



Hii nyimbo ndio ilimfanya REMA akatambulika zaidi nje ya mipaka ya NAIJERIA na kutwaa baadhi ya tuzo za muziki na nyimbo bora kwenye matamasha mbalimbali.

Vile vile, wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA ndio wamiliki halali wa TIMU YA MPIRA WA MIGUU inayoitwa AKWA UNITED inayoshiriki LIGI KUU nchini NAIJERIA.

bb20e2d77a28ddf38e71dc898f29026f.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamepiga hatua kubwa sana ya KIUCHUMI na mara nyingi huwa wanaitwa ni MASHUJAA WA KISIASA yaani POLITICAL HEROES.

IMG-20230205-WA0001.jpg

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA wamefanikiwa kuweka misingi imara kwa jamii zao na hata hilo jina la mtaa wa SHINYANGA 1214 ambao unapatikana NAIROBI nchini KENYA, WINDHOEK nchini NAMIBIA pamoja na ABUJA nchini NAIJERIA ni SANDUKU LA POSTA [S.L.P] la wakina MANING NICE.

uhuru.jpg

Yaani SANDUKU LA POSTA la wakina MANING NICE ni 1214, SHINYANGA ndio jina lililobeba majina ya mitaa ya SHINYANGA 1214 inayopatikana NAIROBI nchini KENYA, WINDHOEK nchini NAMIBIA pamoja na ABUJA nchini NAIJERIA.

Kwahiyo, hayo ndio MATUNDA, MAFANIKIO na SIASA ya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] yaani MWASHITA.
 
Back
Top Bottom