Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tuwekee chakula cha ubongo hapa
Ngoja nikupe kitu kingine ambacho huwa ni nadra sana kusikia mbele za watu - pale UINGEREZA huwa kuna CHUO CHA KIJESHI ambacho huwa kinafundisha masuala ya UONGOZI, ULINZI na USALAMA.

df2a768a7a82bd9db3c8bad6748b3e15.png

Hiki CHUO kinaitwa ROYAL MILITARY ACADEMY SANDHURST na kifupi chake huwa ni RMA. RMA ni CHUO bora sana katika masuala ya INTELIJENSIA, ULINZI na USALAMA.

64fcdcb8550170abbd14323b04a35bd0.png

Pia hiki kifupisho cha neno RMA huwa kinatumika na timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA UHISPANIA, inayoitwa REAL MADRID [RMA].

f049e3996f81cafd978047e189d2f964.png

Yaani ubora wa CHUO CHA ROYAL MILITARY ACADEMY SANDHURST [RMA] huwa unafananishwa na ubora walionao timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA UHISPANIA inayoitwa REAL MADRID.

d4fb7ba0c6ed77b44a4b079b3d53bad1.png

Hii timu ya REAL MADRID ni MABINGWA mara kumi na tano [15] wa MICHUANO YA KLABU BINGWA BARANI ULAYA [UEFA CHAMPIONS LEAGUE].

Sasa kuna kitu cha kushangaza katika vifupisho vya majina ya hii timu ya mpira wa miguu ya REAL MADRID.

4c7ff4a679a55f9c0696c47b7d0ee597.png

Kifupisho cha kwanza cha jina la REAL MADRID huwa ni RMA na ukiwa katika viunga vya JIJI LA MADRID pale UHISPANIA, huwa wanaita MARCA [inatamkwa MASA]. Yaani kama ilivyo kwa upande wa timu ya mpira wa miguu inayoitwa BARCELONA kuwa na kifupisho cha jina la BARCA [inatamkwa BASA], basi na REAL MADRID huwa na kifupisho cha jina la MARCA [inatamkwa MASA].

3b27cd37414f3a943aa7f99ded115e51.png

Pia hili jina la MARCA [MASA] lilianza kutumika tangu KARNE YA KUMI NA SABA [17] na CHUO CHA ROYAL MILITARY ACADEMY SANDHURST [RMA] kwa upande wa watoto wa kike waliokuwa wanazaliwa na ASKARI waliopata mafunzo katika CHUO CHA ROYAL MILITARY ACADEMY SANDHURST [RMA].

b2570e58feaaabd12e2544f8e0503341.png

Baadae, hilo jina la MARCA [MASA] au MARTHA lilienea ulimwenguni kote na kuendelea kutumika kama sehemu ya utambulisho wa INTELIJENSIA KWA JINSIA YA KIKE waliokuwa wanawakilisha TAIFA LA UINGEREZA.

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, ukiwa katika MAJESHI YA ULINZI na USALAMA - ukikutana na mwanamke anaitwa MARCA au MASA au MARTHA, ujue huyo anawakilisha TAIFA LA UINGEREZA.

fe71d6dd6002f1a66fa4e91eebcd2ebd.png

Kwahiyo, hiki CHUO CHA ROYAL MILITARY ACADEMY SANDHURST [RMA] kimefanikiwa kuwa msaada mkubwa kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA tangu kipindi cha kupata UHURU [1961] na hata baada ya MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI [1964].
 
Mkuu Charles Mandela ila maana kwa upande wa Tz hayo majina ya MASA wanaeoda kubadilishwa huko jeshin na kupewa hili jina au
Haya MAJINA YA MASA au MARCA au MARTHA yalianza kuenea kipindi cha UKOLONI na ulikuwa ni wakati wa MISIONARI.

756dbd670d9843ff0cb159c97e8507c8.png

Kwa upande wa TANGANYIKA na ZANZIBARI, haya majina ya MASA au MARCA au MARTHA yalianza kuenea kipindi cha UKOLONI na ulikuwa ni wakati wa MISIONARI WA UINGEREZA.

62c52e33f22835720d41ac5f3df7c1a2.png

Kwa upande wa TANGANYIKA, hasa NYANDA ZA JUU KASKAZINI kulipatikana majina ya MANKA na BANKA.

b551380c70bf0f14a5e4ba49c62c49aa.png

MANKA na BANKA ni majina ambayo yalipatikana baada ya kutohoa majina ya MASA au MARCA au MARTHA kutoka kwa UINGEREZA.

MANKA ni jina ambalo linatumika kwa upande wa JINSIA YA KIKE na BANKA ni jina ambalo linatumika kwa upande wa JINSIA YA KIUME. Shughuli hiyo ilifanyika na WAFARANSA kwa upande wa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliofanikiwa kuhamia TANGANYIKA.

e0fe5aa78ba05cb4e4ded85e05c48ecb.png

Haya majina ya MANKA na BANKA kwa mara ya kwanza yalianza kutumika na wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliofanikiwa kuhamia TANGANYIKA kwa upande wa NYANDA ZA JUU KASKAZINI [UCHAGANI], hasa MIKOA YA KILIMANJARO na ARUSHA.

Ukiwa kule NYANDA ZA JUU KASKAZINI [UCHAGANI] kuna baadhi ya majina ambayo yalianzishwa na WAFARANSA kwa kuwapatia wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliofanikiwa kuhamia TANGANYIKA na kufanikiwa kuwa MAJINA YA KOO kabisa. Mfano mzuri ni MACHA na MWACHA kwa upande wa UCHAGANI, MLACHA na MBWAMBO kwa upande wa MILIMA YA UPARENI na AME kwa upande wa TANZANIA VISIWANI [UNGUJA na PEMBA].

0cf00d3a869635562876b6178d1fbb46.png

Huu uhasama wa MATAIFA YA UINGEREZA na UFARANSA, haupo tu kwenye TASNIA YA SOKA bali hata kwenye maisha ya kawaida hali huwa ipo hivyo.

Kwa mfano halisi, mwanzoni mwa karne ya KUMI NA SABA [17], WAINGEREZA walikuwa wanawabagua WAFARANSA kwa kuwaita "COCKROACHES" ikiwa na maana ya MENDE kwa LUGHA YA KISWAHILI FASAHA.

ce872a4089fefc3cb59ef9f2e87ede78.png

Kwahiyo kila alipopita MUINGEREZA na MFARANSA alikuwa nyuma yake. Ule uhasama wa MATAIFA YA UINGEREZA na UFARANSA, ndiyo uliopelekea TAIFA LA KONGO kukosa amani hadi leo.
 
Mkuu Charles Mandela ila maana kwa upande wa Tz hayo majina ya MASA wanaeoda kubadilishwa huko jeshin na kupewa hili jina au
Hata ukiwa kule katika MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI, hasa MIKOA YA IRINGA na MBEYA kuna KOO ambazo zilianzishwa na wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kwa msaada wa WAFARANSA.


Huyu ni MSANII kutoka katika TAIFA LA KONGO na anaitwa MAV CACHAREL [huwa linatamkwa [...]]. Sasa hivi hili jina linapatikana katika MKOA WA IRINGA [UHEHENI] na ni JINA LA KOO kabisa.

04e11c97626df4a84b5f51ebf83b653e.png

Yaani malengo ya UFARANSA ilikuwa ni kufanya TAIFA LA KONGO kuwa DOLA KUU AFRIKA [SUPER POWER] na walianza kufanikiwa kwa kushikilia MATAIFA YA RWANDA na BURUNDI.

13ec327477ed028cd94c183edf5525cc.png

Baadae walienea hadi MATAIFA YA AFRIKA YA MAGHARIBI na kufanya MAPINDUZI YA KIJESHI. Lakini ugumu ulikuwa unapatikana katika MATAIFA ambayo yalikuwa ni chini ya UTAWALA WA KIINGEREZA, yaani COMMONWEALTH COUNTRIES.

864b420543707803923b8918609eafd6.png

Hasa TANGANYIKA, baadae ilikuja kuwa TANZANIA! Kuna taarifa za ndani ambazo zinaonesha kuwa HAYATI MWALIMU alinusurika kupinduliwa mara sita [mara ya kwanza ilikuwa ni UASI WA JESHI LA TANGANYIKA RIFLES na mara tano zote zilizobaki ilikuwa inahusika UFARANSA kupitia kwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliofanikiwa kuhamia TANZANIA].

ecdc4648814514a5672bb61b72f74c16(1).png

Pasingelikuwepo na msaada wa kutoka katika TAIFA LA UINGEREZA, hasa CHUO CHA KIJESHI cha ROYAL MILITARY ACADEMY SANDHURST [RMA], MAPINDUZI YA KIJESHI yangelikuwa yameshafanyika kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

6497be6de02daf3e7336e0dbe121f34e.png

HAYATI MWALIMU alipitia misukosuko mingi, ndani ya SERIKALI YA TANZANIA na CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]. Wale wote wakina [...]! Wakina HAYATI [...]! Wakina HAYATI [...]! Walikuwa tayari kufanya UASI kwa msaada wa KONGO ambao ungepelekea MAPINDUZI YA KIJESHI kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

b664db95a2b92ee21061ac20ade0b7d2.png

Baada ya hapo, TAIFA LA UINGEREZA kupitia CHUO CHA KIJESHI cha ROYAL MILITARY ACADEMY SANDHURST [RMA] ndiyo waliobatilisha ule mpango wa TAIFA LA UFARANSA wa kutaka kufanya KONGO kuwa DOLA KUU AFRIKA [SUPERPOWER] hadi kuwa GHUBA LA TAKA [SHITHOLE COUNTRY].

c396f447b94a1251663f2db090a970c2.png

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wataendelea hivyo hivyo, kuishi kwa kutanga - tanga katika MATAIFA mengine. Hadi pale watakapopata ufahamu wa kurudi kwao na kuanza kujenga upya MATAIFA yao ya asili.
 
hivi yle mzee wa ice cream ni pesa yakeee au nyuma kuna wabongo wameweka mkwanja

Sent using Jamii Forums mobile app
Nenda SHINYANGA MJINI uzunguke zunguke kwenye viunga vya mji. Utafanikiwa kuona kuwa ICE CREAM inamilikiwa na wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kwa asilimia mia moja [100%].
 
Ujamaa ulitufelisha sana, ila sasa rushwa na Chama lenye idea za stone age la CCM ndio yanaendelea kutufelisha zaidi, dawa ni kuiondoa CCM na kuja na katiba mpya itakayohakikisha haki ya kweli na security ya kila mtu
 
Nenda SHINYANGA MJINI uzunguke zunguke kwenye viunga vya mji. Utafanikiwa kuona kuwa ICE CREAM inamilikiwa na wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kwa asilimia mia moja [100%].
Huu utajiri wa ice cream siyo wa familia ya Zanzibar one tena?
 
Huu utajiri wa ice cream siyo wa familia ya Zanzibar one tena?
Hamna kabisa! Hata mimi kwa mara ya kwanza nilikuwa nafahamu hivyo, lakini hali ni tofauti. Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wamejitahidi kuwekeza TANZANIA.
 
Hamna kabisa! Hata mimi kwa mara ya kwanza nilikuwa nafahamu hivyo, lakini hali ni tofauti. Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wamejitahidi kuwekeza TANZANIA.
Wamiliki wapo hai kweli duh! ni mtu mmoja aliye weka hela au ni kundi la watu?
 
Wamiliki wapo hai kweli duh! ni mtu mmoja aliye weka hela au ni kundi la watu?
Sijui! Ngoja kesho nikipata muda nitakuonesha kitu fulani ambacho kilikuwa kinafanyika tangu kipindi cha HAYATI MWALIMU.

Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walifanikiwa kupata ELIMU YA DARASANI kabla ya MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI na wanaifahamu SIASA vizuri sana.
 
Wamiliki wapo hai kweli duh! ni mtu mmoja aliye weka hela au ni kundi la watu?
Unajua kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] - hali ya kisiasa ilikuwa imechafuka sana.

b84b7df9a76bc699927f537b799c3dcf.png

Ilifikia hatua wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikataliwa kuingia katika MATAIFA YA SKANDINAVIA [STRICTLY PROHIBITED] ambayo ni SWEDEN, NORWAY pamoja DENMARK kutokana na athari walizozipata katika VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani CIVIL WAR.

5e6ebb2159f83983a609d249232e30b2.png

Iliwalazimu kupitia MATAIFA YA AFRIKA mengine ambayo walifanikiwa kubadilisha MAJINA pamoja na MAKABILA, ili kuweza kuvuka na kwenda ng'ambo.

Moja ya MATAIFA ambayo wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliyatumia ilikuwa ni TANZANIA.

Pamoja na kwamba wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa tayari wamekwisha ingia TANZANIA, hata kabla ya kupatikana kwa MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI - kuna idadi kubwa ya WAHAMIAJI walihamia nchini TANZANIA baada ya machafuko ya kisiasa kwa upande wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

d5fc7ff121b7ef90fa03cd83908acfa8.png

Na walifanikiwa kuhamia TANZANIA na MITAJI yao ya kibiashara. Lakini katika kufanya BIASHARA YA UWEKEZAJI walikuwa hawatumii majina yao.

Hiki kipindi ndiyo ilikuwa mwanzo wa kuanza kutumia majina ya watu wengine katika taarifa za kampuni za kibiashara na walifanikiwa kuwekeza sana.

Kwahiyo makosa yalikuwepo na yanaendelea kuwepo kwa upande wa SERIKALI YA TANZANIA - kwa kuruhusu majina ya watu wengine kutumika katika NAKALA ZA KAMPUNI BINAFSI.

Achilia mbali kwenye umiliki wa KAMPUNI BINAFSI, sasa hivi hata ukienda TANESCO au IDARA YA MAJI, utakuta kuna baadhi ya majina ya watu yanatumika katika kulipa BILI, ilhali hata wao wenyewe hawafahamu.
 
Tz ya Kambona ingekubalika ungekuta tunapeta kama Kenya kiuchumi.
Mwaka 2013, hapa TANZANIA kuna mtu alitia fora. Yaani wakati anatafuta AJIRA, jina lake linaonekana BANDARINI anapitisha vifaa vya kwenda kujenga KIWANDA CHA KUTENGENEZA MAJI YA KUNYWA.
 
Wamiliki wapo hai kweli duh! ni mtu mmoja aliye weka hela au ni kundi la watu?
IMG_20240613_233324.jpg

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wanaifahamu SIASA vizuri sana.

Kwa upande wa MATAIFA mengine kama KENYA 🇰🇪, wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wamejijenga kupitia SERIKALI YA KENYA kwa mtindo wa "BUILDING TRUST THROUGH GOVERNMENT". Yaani wanajenga UAMINIFU KUPITIA SERIKALI.

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA 🇹🇿, wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wamejijenga kupitia SERIKALI YA TANZANIA kwa mtindo wa "POLITICAL PATRONAGE". Yaani wanajijenga kupitia HURUMA YA KISIASA, kwamba wao ni WAHANGA WA VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE. Hivyo wanastahili na wana haki ya kushiriki shughuli za kijamii ikiwemo SIASA YA TANZANIA kama wananchi wengine.

6e673df9a83476c237b18ab619f9d033.png

Kwahiyo, kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA - wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wamefanikiwa kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kwa mtindo wa "POLITICAL PATRONAGE" na wamefanikiwa sana, kwa sababu wapo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], VYAMA VYA UPINZANI pamoja na SERIKALINI.
 
Wamiliki wapo hai kweli duh! ni mtu mmoja aliye weka hela au ni kundi la watu?
Wenzenu, wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] baada ya kufanikiwa kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, walianzisha OPERESHENI iliyokuwa inaitwa M4C.

Hii M4C haikuwa OPERESHENI YA CHAMA CHA UPINZANI tu, bali ilikuwa na maana pana zaidi ya HARAKATI ZA KISIASA.

548fff335a195c1be65f5a6286ee568f.png

Sasa pale SERIKALI YA TANZANIA [MUHIMILI WA DOLA] ndiyo ilishituka na kuanza jitihada za kuzuia, ili kuwaokoa wale WATU WA TABAKA jingine ambao na wao kwa namna moja ama nyingine walifanikiwa kuhamia TANZANIA.
 
Wenzenu, wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] baada ya kufanikiwa kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, walianzisha OPERESHENI iliyokuwa inaitwa M4C.

Hii M4C haikuwa OPERESHENI YA CHAMA CHA UPINZANI tu, bali ilikuwa na maana pana zaidi ya HARAKATI ZA KISIASA.


Sasa pale SERIKALI YA TANZANIA [MUHIMILI WA DOLA] ndiyo ilishituka na kuanza jitihada za kuzuia, ili kuwaokoa wale WATU WA TABAKA jingine ambao na wao kwa namna moja ama nyingine walifanikiwa kuhamia TANZANIA.
M4C umeelezea kijuujuu sana hapa mkuu.. M4C ilikuwa na lengo gani
 
M4C umeelezea kijuujuu sana hapa mkuu.. M4C ilikuwa na lengo gani
Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wanaifahamu SIASA vizuri sana.

714e6be168df676c37acb7804cb2580e.png

Baada ya kufanikiwa kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI kwa upande wa TANZANIA BARA - walikuja na OPERESHENI YA M4C.

72d30b4265909c8612f34ffa1630c1c6.png

OPERESHENI YA M4C ilikuwa ni zaidi ya HARAKATI ZA KISIASA! Walianza kuwapunguza [⚰️] mahasimu wao wa muda mrefu.

d93f9c1f4112c7d0608d4259c5b6d08d.png

Baadae, kuanzia miaka ya 2015's ndiyo ikaja ile hatua ya miili ya wafu kuwekwa kwenye MIFUKO YA SANDARUSI na kupigwa RISASI kwa baadhi ya WANASIASA WA VYAMA VYA UPINZANI na CHAMA TAWALA.

Yaani WANASIASA wote waliopigwa na kujeruhiwa kwa RISASI ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliohamia TANZANIA na kufanikiwa kuakisi tamaduni za wenyeji wa asili wa TANZANIA.

d0ec871f645aa03bfaacc01e1c700886.png

Hakuna MTANZANIA HALISI kutoka hapa [Haya hapa ndio makabira 125 Tz , je we uko namba ngapi hapo] aliyekutwa kwenye MIFUKO YA SANDARUSI wala kupigwa na RISASI.

Kwahiyo, hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] siyo watu wa kubeza wala kudharua! They are very DANGEROUS.
 
Back
Top Bottom