Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Mapori???? 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ndiyo 🙏🏾! Haya MATAIFA MAKUBWA huwa wanafanya tafiti na kuna tafiti iliyofanyika pale RWANDA kwenye SEKTA YA MICHEZO YA MPIRA WA MIGUU kabla hata ya MAUAJI YA KIMBARI [1994].
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
Hiyo tafiti ilikuwa inaeleza matukio yaliyokuwa yamezoeleka kwa WANYARWANDA - ilikuwa ukiwachanganya WATUSI na WAHUTU [WAKONGOMANI] kwenye timu moja ya mpira wa miguu, timu inakuwa haifanyi vizuri.

Hata pasi walikuwa hawapasiani! Kwa sababu MHUTU [WAKONGOMANI] alikuwa hawezi kumpa pasi MTUSI, hata kama wanacheza timu moja. Hali kadhalika, MTUSI alikuwa hawezi kumpa pasi MHUTU [WAKONGOMANI], hata kama wanacheza timu moja.

Kwahiyo ili timu ya mpira wa miguu ifanye vizuri, ilikuwa inawalazimu wapange kikosi chenye wachezaji WAHUTU [WAKONGOMANI] pekee yao au WATUSI pekee yao, ndiyo timu inafanya vizuri na inapata matokeo.
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
Unajua ukiwa pale KIGALI, RWANDA kuna sehemu moja inaitwa REMERA. REMERA ni sehemu moja nzuri ambayo ina OFISI ZA KIDIPLOMASIA kama ilivyo POSTA kwa upande wa DAR ES SALAAM, TANZANIA.

Pale REMERA kuna kituo cha POLISI ambacho kinaitwa METROPOLITAN POLICE, hiki kituo kina taarifa nyingi zilizopita na zinazohusu RWANDA, ikiwemo tafiti mbalimbali.

24c0744b2bbb3f3e1c3aa9cd036469ad.png

Kuna tafiti nyingi zilizofanywa miaka iliyopita na zinapatikana hadi leo, ila sema kuna tafiti nyingine walizibatilisha kutokana na SERIKALI iliyopo madarakani.

Kuna tafiti iliyofanyika pale RWANDA inayohusu SEKTA YA MICHEZO YA MPIRA WA MIGUU, ndiyo tafiti bora ambayo hata mtu binafsi anaweza kufanya akiwa na idadi sawa ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wakiwemo WAHUTU, WATUSI, WATWA pamoja na WAKONGOMANI.

d50faf5d236ece47beaf3113660eeabc.png

Ilifikia hatua, ili timu ya mpira wa miguu ifanye vizuri, inabidi upange kikosi cha WAHUTU [WAKONGOMANI] pekee yao na WATUSI pekee yao na ikitokea umewachanganya, basi timu haitafanya vizuri kwa sababu huwa hawapeani pasi wakiwa uwanjani.

MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU ndiyo unachukuliwa kama mfano halisi kwenye masuala ya UTAWALA NA MENEJIMENTI.

Sasa ile hali iliyokuwa ikitokea kipindi cha miaka ya nyuma katika MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO kwenye MCHEZO WA MPIRA WA MIGUU ndiyo MAISHA HALISI ya wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

d7e185a4fcbe05e585af2e3c84a36f3f.png

Kwahiyo iliwalazimu kuhama MATAIFA yao ya asili na kuweza kuchangamana pamoja na kuzaliana na WATU WA MATAIFA mengine, ili kuondoa au kupunguza ile dhana ya ubaguzi na hii tafiti inaendelea kufanyika kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, kwa sababu kuna idadi kubwa ya WAHAMIAJI waliofanikiwa kuhamia TANZANIA wakitoka katika yale MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO.
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
Ngoja nikupe kitu kingine! Unajua kuna tukio fulani lilifanyika kipindi tunasoma "O-LEVEL" - ilikuwa tunajiandaa kufanya BIOLOGY PRACTICAL kwenye mtihani wa kumaliza kidato cha nne [2007].

Sasa tulipokuwa tunafanya MAANDALIZI ya kufanya BIOLOGY PRACTICAL, mwalimu wa somo aliwaita wanafunzi wawili ambao walikuwa ni wakike na wakiume. Yule mwalimu alikuwa ni jinsia ya kike.

Hao wanafunzi wawili aliwaita na akawapatia SOLUTIONS zote ambazo tutazifanya kwenye BIOLOGY PRACTICAL.

DARASA zima walishangaa! Halafu, siku moja kabla ya kufanya BIOLOGY PRACTICAL kuna mwalimu wa kiume [alikuwa msela sana] na yeye akavujisha SOLUTIONS kwa wanafunzi wote.

Sasa DARASA zima tuliingia kwenye MTIHANI tukiwa na SOLUTIONS za BIOLOGY PRACTICAL na wote tulifanya vizuri sana.

IMG-20230616-WA0001.jpg

Hilo DARASA ndiyo lililotoa MWANAFUNZI BORA KITAIFA [TO] kwa mwaka 2007. Lakini lile tukio alilolifanya yule mwalimu wa somo la BIOLOGY ni tukio ambalo DARASA zima hawatalisahau.. 😁

Baadae, baada ya kufahamu MIFUMO YA KISERIKALI ndiyo tukajua kuwa yule mwalimu wa somo la BIOLOGY pamoja na wale wanafunzi wawili [wakike na wakiume] aliowapatia SOLUTIONS za BIOLOGY PRACTICAL wote walikuwa WAKONGOMANI.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndivyo walivyo na hawatakuja kubadilika.
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
Ukiwa pale METROPOLITAN POLICE, REMERA nchini RWANDA kuna tafiti na taarifa nyingi zilizofanyika miaka iliyopita kuhusu TAIFA LA RWANDA na MATAIFA mengine jirani ya BURUNDI na KONGO.

IMG_20240719_201355.jpg

Kuna taarifa moja inayomuhusu WILLIAM [BILL] CLINTON na wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

Mambo mengine unaweza usiamini na ikabaki kama PROPAGANDA, hadi pale utakapopata nafasi ya kusikiliza pande zote mbili.

IMG_20240719_201411.jpg

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wana mambo mengi ambayo yanawahusu, lakini kikubwa - wengi kati yao walihamia TANZANIA.
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] tangu walipohamia TANZANIA walikuwa na wanaendelea kujijenga katika MISINGI YA KUTOA RUSHWA.

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wamefanikiwa kujijenga KIELIMU, KIUCHUMI na KISIASA kwa kutoa RUSHWA.

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo TANZANIA ilianza rasmi kuwa SOBER HOUSE, ndiyo kipindi ambacho ELIMU YA TANZANIA ilianza kuporomoka.

Hata hizi SHULE ZA VIPAJI MAALUM ndiyo ilikuwa mwanzo wa kuporomoka kutokana na kuchukua wanafunzi wasio na vigezo, na kipindi hicho ndiyo kilikuwa mwanzo wa kutoa RUSHWA.

MFUMO WA KUMILIKI VITU kupitia majina ya WATU ambao hawahusiki, ndiyo ulikuwa mwanzo. Hawa WATU ni "VERY PROFESSIONAL" na ndiyo ilikuwa mwanzo wa WATANZANIA wengine kuweza kujifunza namna ya kumiliki vitu kwa kutumia majina ya watu wengine.

Hii mbinu ya kumiliki vitu kupitia majina ya watu wengine ni mfumo haramu, ambao malengo yake sio mazuri 👏🏽

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] hadi leo, hii mbinu inaendelea kutumika ya kutumia majina ya watu ambao hawahusiki katika namna ya kumiliki vitu au amana mbalimbali!

Mara nyingi huwa wanatumia majina ya watu waliokuwa wanafanya vizuri DARASANI na kwenye MITIHANI YA KITAIFA!

Wale waliokuwa viongozi wa wanafunzi katika ngazi ya msingi na sekondari, kama vile VIRANJA!

IMG_20240721_212048.jpg

Wale waliokuwa viongozi wa serikali za wanafunzi kwa upande wa VYUO VIKUU, kama vile RAIS, MAKAMU WA RAIS, WAZIRI MKUU, WAZIRI, NAIBU WAZIRI, SPIKA WA BUNGE na NAIBU SPIKA WA BUNGE.

IMG_20240721_212054.jpg

Wakati mwingine unaweza kukuta jina la mtu aliyelala umauti linatumika katika kumiliki vitu, ilhali muhusika alikwisha fariki tangu muda mrefu uliopita.

Kwahiyo changamoto kubwa ipo kwa upande wa SERIKALI YA TANZANIA, hasa MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA [Mamlaka ya Mapato Tanzania - Maskani]
kwa kuruhusu haya mambo kutokea na kuendelea kufanyika.

IMG_20240721_212152.jpg

Pia kwa upande mwingine nitakuonesha namna ambavyo SERIKALI YA TANZANIA walivyojaribu kukabiliana na hili janga kwa upande wa SEKTA YA ELIMU. Ijapokuwa sio wanafunzi wote waliofanikiwa na wanaondelea kupewa kipaumbele na SERIKALI YA TANZANIA.
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
Ukiwa pale METROPOLITAN POLICE, REMERA nchini RWANDA kuna tafiti na taarifa nyingi zilizofanyika miaka iliyopita kuhusu TAIFA LA RWANDA na MATAIFA mengine kama BURUNDI na KONGO.

1f46030d9c56baf4a32c5c313709de0a.png

Kwa upande wa TAIFA LA BURUNDI, kuna tafiti na taarifa inayosema tangu BURUNDI imepata UHURU wake kutoka kwa UBELIGIJI [1, JULAI 1962] haijawahi kutulia hadi mwaka 2005, ambapo CHAMA CHA KISIASA CHA CNDD-FDD kilipochukua madaraka ya nchi.

a793d6b60e857ff086542902b0821fd3.png

Yaani kwa LUGHA NYEPESI, tunaweza kusema kuna tafiti na taarifa zinazoonesha ORODHA NA IDADI YA MAJARIBIO YA MAPINDUZI [UASI] tangu 1962 hadi 2004 kwa upande wa TAIFA LA BURUNDI.

Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wameshuhudia VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE yaani CIVIL WAR kwa kipindi kirefu sana, kiasi ambacho imewaathiri kiakili na kisaikolojia [MENTAL HEALTH] hadi leo.

Sasa kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo TANZANIA iliamua rasmi kuwa SOBER HOUSE kwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] - MKOA WA KIGOMA ulifanyika kuwa LANGO LA TANZANIA.

Baada ya kufunguliwa kwa BODA YA TANZANIA NA BURUNDI - kwa TAIFA LA BURUNDI pekee yake [1994], kupitia BANDARI YA UJIJI ilifanikiwa kupokea WARUNDI wanaokadiliwa kuwa 125,000 ndani ya masaa sabini na mbili [72] na 25,000 kati yao walikuwa na MAKOSA YA JINAI [CRIMINAL RECORDS] kwa upande wa TAIFA LA BURUNDI.

935483bd94a80a0709e804edce942810.png

Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wana hela na kilichowashinda ni kuishi yale maisha ya kuvumiliana, ndiyo ikawa chanzo cha VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani CIVIL WAR.

Hata watoto waliozaliwa baada ya miaka ya elfu mbili [2000's] bado wanakuwa na GUBU au wengine wanaita VISIRANI. GUBU au KISIRANI ni ile hali ya kuanzisha visa ambayo inapelekea kuwa na mafarakano na watu wengine.


Hali hii huwa wanayo hata kwenye MAHUSIANO YA KIMAPENZI - wanakuwa ni watu wa kuanzisha visa kila kukicha. Sasa watu wa aina hii ambao ni waathirika wa VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani CIVIL WAR hawawezi kufanya vizuri darasani hususani kwenye SEKTA YA ELIMU.

Kwahiyo kama TANZANIA ilikubali kuwa SOBER HOUSE kwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], inabidi WATANZANIA wakubali kuishi na waathirika wa VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE yaani CIVIL WAR, ikiwa ni pamoja na kuyakubali madhaifu yao.
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
Kuna kipindi [1990's] pale TANGA MJINI, maeneo ya RASKAZONE kwa BIBI HINDU alikuja binti [alikuwa amemaliza kidato cha nne [1996]] kutibiwa matatizo ya kiafya.

Yule binti alikuwa anatoka machozi pasipo hata kulia, yaani mwili wake ulikuwa unabubujikwa na machozi kila wakati.

Sasa walipofika kwa BIBI HINDU, wakaambiwa mwili wa huyo binti unapigwa sana, kiasi ambacho mwili umekufa ganzi na nafsi yake imetawaliwa na majonzi.

Baadae yule binti alipewa dawa na waliambiwa wampeleke DAR ES SALAAM akasome masuala ya NURSING au HOTEL MANAGEMENT. Yule binti alikuwa ni MKONGOMANI na BIBI HINDU baada ya kuwapatia dawa aliwaambia huyo binti ndiyo TAIFA LA KONGO na wanapaswa kumtunza.

Sasa hivi huyo binti ni NURSE na anafanya kazi katika moja ya hospitali maarufu pale DAR ES SALAAM. Alifanikiwa kuolewa na sasa hivi ana familia yake.

WAKONGOMANI wana hela sana, pengine ile JAMII YA PUISSANTS [BSC] inaweza kuwa ni jamii yenye UCHUMI MKUBWA katika huu UKANDA WA AFRIKA YA MASHARIKI NA KATI.

03ab5e2bca1ce77c3ec42b83b09f5bf5.png

Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa EMPORIO ARMANI inayopatikana MILAN, nchini ITALIA.

b06a6b170662c7b492ed0005b28c3708.png

Hii kampuni ya EMPORIO ARMANI ni kampuni kubwa na ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa RAMANI inayopatikana nchini TANZANIA.

Yaani hilo jina la kampuni ya RAMANI limetokana na kutohoa herufi za jina la kampuni ya ARMANI inayopatikana nchini ITALIA.

58fe223fc9526170406a57a295bfb16e.png

Hii kampuni ya EMPORIO ARMANI kuna kipindi ilipata tenda ya kudizaini na kuvalisha wanamichezo wa timu ya mpira wa miguu ya TAIFA YA ITALIA.

fda9f2c29aeab670aaacff6916e8b763.png

Pia hiyo kampuni ya EMPORIO ARMANI ilishawahi kupata tenda ya kudizaini na kuvalisha wanamichezo wa timu ya mpira wa kikapu ya TAIFA LA ITALIA.

42d5e239c3a3915436966f41969c2c98.png

Hiyo kampuni ya EMPORIO ARMANI ndiyo wamiliki halali wa timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA ITALIA inayoitwa ATALANTA BC. ATALANTA BC ni mabingwa wa MICHUANO YA EUROPA kwa mwaka 2023/24.

Hii kampuni ya EMPORIO ARMANI ni kubwa na ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa PARAMOUNT ambayo huwa inajishughulisha na kuandaa pamoja na kutengeneza FILAMU.

7b7e807509c5a9fe03b00aae46abac3e.png

Kwahiyo hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wanamiliki UCHUMI MKUBWA, lakini tatizo walishindwa kuishi maisha ya kuvumiliana na ndiyo sababu iliyopelekea kuwa na VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE, yaani CIVIL WAR kwa kipindi kirefu na kuna WATANZANIA walinufaika na wengine wanaendelea kunufaika na HELA ZA WAHANGA WA KIVITA hadi leo.
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
Wale viongozi wa AWAMU YA KWANZA na AWAMU YA PILI ndiyo walinufaika na FEDHA za WAHANGA WA KIVITA. Tena walikuwa wanapewa DOLA ZA KIMAREKANI, achana na hizi hela za madafu.

IMG_20240728_123037.jpg

AWAMU YA TATU ilivyoingia madarakani, walijaribu kuweka UTAIFA [NATIONALISM] mbele na kuna baadhi ya mambo walifanikiwa! Ikiwa ni kuinua UCHUMI WA NCHI pamoja na "kukibeba" CHAMA CHA WANANCHI - CUF kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI [2000-2010] kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, ijapokuwa hawakuwahi kukidhi vigezo vya kuwa CHAMA KIKUU CHA UPINZANI.

IMG_20240728_123231.jpg

AWAMU YA NNE ilivyoingia madarakani, ilirudi na kuwa kama AWAMU YA KWANZA na AWAMU YA PILI - watu walichukua FEDHA za WAHANGA WA KIVITA.

IMG_20240728_123130.jpg

Kuna watu wanamiliki HELIKOPTA binafsi, kama ikitokea hali ya hewa imechafuka basi wao wanaruka nje ya nchi! Hizo FEDHA zote zilipatikana kutoka kwa wale WAHANGA WA KIVITA ambao ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

IMG_20240728_131449.jpg

Mambo ni mengi yaliyofanyika kwa NGUVU YA FEDHA katika UTAWALA WA AWAMU YA NNE na jambo kubwa ilikuwa ni kukiweka CHAMA KIKUU CHA UPINZANI cha sasa hivi katika nafasi yake. Kila kitu kilibadilika na kuwa SOKO HURIA, yaani MODERNISED MARKET.

IMG_20240723_135201.jpg

AWAMU YA TANO ilikuwa imezidi! Tena walikosea pakubwa sana, kwa sababu AWAMU ZA KIUTAWALA zilizopita zilikuwa zinachukua FEDHA ZA WAHANGA WA KIVITA pasipo kukaa nao karibu. Lakini AWAMU YA TANO ilivyoingia madarakani ilikuwa karibu na WAHANGA WA KIVITA kwa kuwapa vyeo ndani ya CHAMA TAWALA na SERIKALINI.


Hata yule SAMIKE ni JAMII YA PUISSANTS [BSC]. Jaribu kufikiria, RAIS WA NCHI anakuwa na MSAIDIZI BINAFSI [PERSONAL ASSISTANT] ambaye ni MHANGA WA KIVITA [https://www.theafricareport.com/296...-tribalism-with-ouster-of-magufuli-loyalists/]. Ndiyo maana wale wanaofahamu haya mambo, walisema RAIS WA AWAMU YA TANO hawezi kumaliza miaka kumi [10], kutokana na watu waliokuwa wamemzunguka.

07a8685e406f2ae5c595f854e4b91207.png

Sasa hivi kama umeona wamemuacha huyu MAMA afanye kazi kwa UTASHI WA KISIASA! Ila na yeye akikosea kuchagua watu wa kufanya nae kazi, itakula kwake kama ilivyokuwa kipindi cha UTAWALA WA AWAMU YA TANO.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] tangu walipohamia TANZANIA walikuwa na wanaendelea kujijenga kwa MISINGI YA KUTOA RUSHWA.
 
Soma vyema historia, achana na yawazungu bro.
0094f9823bd4fb18125d244d229c3d53.png

Hata kifo cha yule MSANII WA FILAMU ni matokeo ya SOBER HOUSE. Yule MSANII WA FILAMU alikuwa amezungukwa na JAMII YA PUISSANTS [BSC] katika shughuli zake za kila siku na hata maisha yake kwa ujumla.

Yaani wale WASANII wengine ambao alikuwa anafanya nao kazi, wengi walikuwa ni JAMII YA PUISSANTS [BSC].

Ilifikia hatua WASANII wengine walikuwa wanamlipa THE GREAT, ili wanafanye kazi za kuigiza FILAMU na kuonekana kwenye LUNINGA.

4c869746937c29053b837cd41b7ce7a5.png

Hata siku ya mwisho kabla ya umauti kumkuta, THE GREAT alikuwa na JAMII YA PUISSANTS [BSC]. JAMII YA PUISSANTS [BSC] imekuwa ikihusika na matukio mbalimbali, iwe ni kwa kukusudia au kwa kutokukusidia.

Tangu TANZANIA ilivyoamua rasmi kuwa SOBER HOUSE kwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] - HASARA imekuwa ni kubwa kuliko FAIDA.

Kwahiyo madhara yaliyotokana na makosa yaliyofanywa kipindi cha AWAMU YA KWANZA na AWAMU YA PILI ni makubwa na yataendelea kuligharimu TAIFA LA TANZANIA hata kwa miaka mingine mingi ijayo.
 
Hebu wataje hao?
Huyo THE GREAT ndiyo alikuwa anawabeba wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kwenye TASNIA YA FILAMU kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

29341de24bb8a62c4c64a89fef429d25.png

Baada ya kifo chake, WASANII WA FILAMU wengi wamepotea katika SOKO LA FILAMU na hata kazi zao hatuzioni tena.

Ile ilikuwa ni programu kabisa na alikuwa analipwa kwa kuwashirikisha wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kwenye kazi mbalimbali.

Unajua kipindi kile ambacho TANZANIA ilianza rasmi kuwa SOBER HOUSE [1990's] - UNICEF ilikuja na programu ya namna ya kuwa na familia bora, yaani UNICEF PARENTING [Follow the UNICEF Parenting channel on WhatsApp: UNICEF Parenting | WhatsApp-Kanal] kwa WAHANGA WA KIVITA.

UNICEF PARENTING [Follow the UNICEF Parenting channel on WhatsApp: UNICEF Parenting | WhatsApp-Kanal] ilikuwa ni programu ambayo inalenga kuwapa fursa WAHANGA WA KIVITA kushiriki katika shughuli zote za kijamii kwa kuanzia ngazi ya kifamilia na kwenye TASNIA YA FILAMU walikuwa wamempata THE GREAT.

cc288eeb1e78798c34f973215f696a78.png

Kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA, TASNIA YA FILAMU iliyumba baada ya kifo cha THE GREAT lakini wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wanaendelea kufanya vizuri katika TASNIA YA FILAMU kwa upande wa TAIFA LA NAIJERIA.

a50179c6d9e1e101ab22c08c08e12cfd.png

Ngoja kesho nitakuonesha baadhi ya FILAMU ambazo zimeandaliwa na wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] kwa upande wa TAIFA LA NAIJERIA.
 
Hebu wataje hao?
Hawa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wanajaribu kuigiza filamu nyingi kwa upande wa TAIFA LA NAIJERIA. Ngoja nitakuonesha baadhi..


Hiyo UCHENNA MBUNABO TV huwa inaonesha FILAMU za wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliohamia nchini NAIJERIA.

Hizi sura zote zinazoonekana kwenye hii FILAMU YA MY CRAZY RICH GIRLFRIEND zinapatikana katika MKOA WA SHINYANGA nchini TANZANIA.

e6893e9ca661c9e4e9409fd0f4cc0077.png

Hiyo sura ya kiume ipo maeneo ya LUBAGA, SHINYANGA MJINI na huwa inafanya mazoezi ya mpira wa miguu katika uwanja wa LUBAGA baada ya kukamilisha shughuli zake za kila siku, kama UDEREVA.

Yaani ule mradi wa UNICEF PARENTING [Follow the UNICEF Parenting channel on WhatsApp: UNICEF Parenting | WhatsApp-Kanal] ni mradi ambao unatumika kwa WAHANGA WA KIVITA ili kuwapatia fursa ya kuwa na maisha mazuri nje ya MATAIFA yao.

Mradi wa UNICEF PARENTING [Follow the UNICEF Parenting channel on WhatsApp: UNICEF Parenting | WhatsApp-Kanal] unatumika kwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] pamoja na WAARABU.
 
Hahahahaha hatar
Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC], wapo kama WAARABU.

Kwani wao pia wanamiliki UCHUMI MKUBWA, tofauti imebaki kwenye kujifunga mabomu na kujitoa muhanga.

1b0908114c60db47088771040e9059ab.png

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndiyo wamiliki halali wa timu ya mpira wa miguu inayoshiriki LIGI KUU YA JAPANI inayoitwa VISSEL KOBE inayopatikana KOBE - SHI, HYOGO nchini JAPANI.

ea0a525c0ebd21a7ec1d54aade8376d2.png

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wanajaribu kuishi maisha mazuri na kuwa na familia bora nje ya MATAIFA yao ya asili.

283895bb554f55f4fe35f201aa13b3a3.png

Yaani unaweza kuwakuta wanadai DEMOKRASIA na HAKI ZA BINADAMU katika MATAIFA mengine! Lakini kwao kuna VITA VYA WENYEWE KWA WENYEWE yaani CIVIL WAR!

2e710db33bd6ecf7947b7587828e4695.png

Hii SURA ipo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na ilishawahi kuwa na NAFASI YA UBUNGE kutoka MKOA WA MBEYA! Yaani unaweza kuwakuta wanajitahidi sana kuwekeza katika MATAIFA mengine, lakini kwao kuna hali mbaya ya KIUCHUMI! Hao ndiyo WAKONGOMANI..

4729450a63ab05be218f468bf2c856a2.png

Hii SURA pia ipo ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na ilishawahi kushika nafasi ya UKUU WA MKOA WA SHINYANGA.

0219d2abafe071f6cdcad0b9be8fe8d7.png

Ngoja kesho nikipata muda nitakuonesha FILAMU nyingine ambazo zimechezwa na wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wakiwa wanaishi NJE YA MATAIFA yao ya asili.
 
Hahahahaha hatar
Kuna FILAMU nyingine inayoitwa "THROUGH HIS EYES" ambayo imechezwa na wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] waliohamia nchini NAIJERIA.


Hii FILAMU, waigizaji ni walewale wa FILAMU YA "MY CRAZY RICH GIRLFRIEND" na hizo sura zote zinazoonekana kwenye hii FILAMU zinapatikana nchini TANZANIA.

images.jpeg

Kwenye hii FILAMU YA THROUGH HIS EYES, kuna mzee anaitwa MISTER KOFI ni baba wa NANA OHEMMA ambaye ni binti aliyekuwa na matatizo ya macho.

2f1fb55a672b3ea247f8996a3f284436.png

Ndiyo maana halisi ya picha inayoonekana akiwa amevaa T-SHIRT YA RANGI YA NJANO.

8789a452060e4cd2dff212e74d4eecd7.png

Kwahiyo, wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa karibu na UTAWALA WA AWAMU YA TANO hadi uliopelekea kuwa na mafungamano ya ndoa baina ya watoto wao.
 
Hahahahaha hatar
Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] wamejitahidi kuigiza FILAMU nyingi, lakini kuna FILAMU zinazohusu TANZANIA.


Hii FILAMU inaitwa A TROUBLED HEART. Pia kuna FILAMU kama ANONYMOUS VALENTINE, LOVE IN CHAOS, PURE HEART na WHEN ANGLES MEET CLINTON JOSHUA.

FILAMU zote hizi, sura za wahusika zinapatikana katika TAIFA LA TANZANIA - kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.
 
Hahahahaha hatar
Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndiyo wamiliki halali wa kituo cha televisheni cha CBS kinachopatikana NEW YORK, nchini MAREKANI.

IMG_20240806_195548.jpg

Hiki kituo cha televisheni cha CBS kinachopatikana nchini MAREKANI kina mahusiano ya moja kwa moja na kampuni ya PARAMOUNT.

IMG_20240806_195726.jpg

Huyu mtangazaji wa kipindi cha CBS MORNINGS ni MMAREKANI mwenye asili ya KONGO na anaitwa GAYLE KING.

72e980ca591b106fc968c523876b580c.png

Sasa, yale mambo yaliyokuwa na yanayoendelea kufanyika nchini TANZANIA dhidi ya JAMII YA PUISSANTS [BSC] - yanaendelea kufanyika hata kwa MATAIFA mengine hasa MAREKANI.

Kwa mfano, ukijaribu kuangalia matamasha yote ya muimbaji maarufu kutoka KANADA anayeitwa CELINE DION - wale watu weusi wote wanaonekana BACK STAGE ni JAMII YA PUISSANTS [BSC], hususani WAKONGOMANI na ukijaribu kuangalia DOCUMENTARY inayoitwa "I AM CELINE DION 2024" alitamka mwenyewe.


Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ambao ni WAHANGA WA KIVITA bado wanaendelea na matibabu ya AFYA YA AKILI yaani MENTAL HEALTH REHABILITATION kwa kujitoa katika kufanya shughuli mbalimbali zinazohusu JAMII na kuna watu walinufaika na wanaendelea kunufaika na HELA ZA WAHANGA WA KIVITA.
 
Umeingia kwenye gusa unate
Kuanzia sasa atakukwoti mwezi na hio hio posti yako moja
d673cd8002937d4a39be8bd5392a18f3.png

Unajua WATANZANIA wengi hawafahamu nchi yao vizuri, hivyo inawapasa kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA kwa faida yao 😂

e609ee3a4053287558e2acd1eba0d33d.png

Ngoja nikipata muda kwa siku ya JUMAMOSI, nitakuonesha NYIMBO YA TAARABU aliyoimba MWANAHAWA ALLY akimtaja TRISH ADUDU [MTANZANIA], ambaye ni mtangazaji wa BBC ENGLISH kwa kipindi cha muda mrefu akiwa pale STUDIO ZA COVENTRY NA WARWICKSHIRE.
 
Umeingia kwenye gusa unate
Kuanzia sasa atakukwoti mwezi na hio hio posti yako moja

Jaribu kusikiliza na kuangalia kwa makini hii NYIMBO YA TAARABU aliyoimba MWANAHAWA ALLY akimtaja TRISH ADUDU. Huyu ndiyo miongoni mwa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA.

bd3041584e05b172d82a14c1ef0b95cd.png

Hawa ndiyo wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA na wanaifahamu SIASA YA TANZANIA tangu siku nyingi sana.

5a43bd139f0f697af6938299d306fb48.png

Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA ndiyo wapo nyuma ya TUME YA MAADILI YA OFISI YA RAIS [MAADILI | JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - Mwanzo] na huwa wana mradi ambao hauwezi kuona hadharani wa kuhakikisha kila mwaka anapatikana MWANAFUNZI BORA ambaye ni mwenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA.

3c5b194acf72c632dc31c47c5408be59.png

Wenzenu huwa wanafanya SHEREHE kila wakati ambapo huwa wanatoa MWANAFUNZI BORA na 2010's walifanya SHEREHE kubwa baada ya kupata MWANAFUNZI BORA aliyeongoza mara tatu [DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE na KIDATO CHA SITA] ambaye kwa siku za usoni atakuwa anafanya PRESIDENTIAL ENDORSEMENT na tayari alishaanza kufanya ENDORSEMENT kwa mwaka 2025.

9402aa3fe573ec39cea051a679626e8d.png

SIASA ZA TANZANIA zimeegemea kwenye TUME YA MAADILI YA OFISI YA RAIS [MAADILI | JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - Mwanzo]. Hawa TUME YA MAADILI YA OFISI YA RAIS wasipopitisha JINA LA MGOMBEA kutoka CHAMA CHA KISIASA chochote, hawezi kupita ndani ya CHAMA chake.

Kwahiyo TUME YA MAADILI YA OFISI YA RAIS [MAADILI | JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - Mwanzo] ina nguvu kubwa sana.
 
Umeingia kwenye gusa unate
Kuanzia sasa atakukwoti mwezi na hio hio posti yako moja
95efde7b476c820f1e3cd2258a1a17a5.png

TRISH ADUDU alitakiwa kurudi TANZANIA, kuja kuwa msemaji wa SERIKALI YA AWAMU YA NNE [2005-2015]. Lakini tatizo likawa ni kutokufahamu vizuri LUGHA YA KISWAHILI.


Kipindi fulani alipitia misukosuko ya ubaguzi wa rangi akiwa anaishi UINGEREZA na ile hali ilitokana na JAMII YA KIINGEREZA kumtambua kwa mara ya kwanza TRISH ADUDU kama MJAMAIKA kutokana na wazazi wake kuhamia nchini JAMAIKA wakitoka TANZANIA.

cc2b7eb32f2ae6e1d3aa2f98ddb8d795.png

Yaani alihamia nchini UINGEREZA akiwa na taarifa za nchi alipotoka, ambayo ni JAMAIKA. Lakini alikuwa ana ripoti UBALOZI WA TANZANIA uliopo UINGEREZA.
 
Back
Top Bottom