Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Oyaa alafu unazingu sanaa, meek mill na cardi. B. Ni MTZ????
347fc108b68c99755190a54cd8ff17da.png

Ndio! CARD B ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


Ile KISHAPU yote walihama na kusambaa sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi, hadi kule maeneo ya vijiji jirani vya NYASAMBA. Kote walihama..

ca403fad15f1a8a629848b47b806b78d.png

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU, ndiyo wanufaika wa kwanza wa MGODI WA ALMASI WA MWADUI na wamefanikiwa kutoa MARAIS WAWILI katika MATAIFA YA KONGO na SUDANI YA KUSINI.

_20240910_151340.JPG

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ni hatari sana na WAKOLONI WA KIINGEREZA iliwatengeneza kuwa MAFIA tangu kipindi cha UKOLONI na mtuhumiwa wa mauaji ya SHEIKH kule ZANZIBARI alikuwa ni mtuhumiwa ambaye ni mwenyeji wa asili ya KISHAPU.
 
Oyaa alafu unazingu sanaa, meek mill na cardi. B. Ni MTZ????
Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walianza kuingia MAREKANI na MATAIFA mengine ya ULAYA tangu miaka ya sabini [1970's].

meekmillnews_20240910_120429_0.jpg

Huyu MEEK MILL ni POLISI kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na huwa anakuja mara nyingi nchini TANZANIA kwa masuala yake binafsi.


Pia wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo wamiliki halali wa ATLANTIC RECORDS na ndiyo wamiliki halali MUSIC LABEL inayoitwa DREAM CHASERS [DC].

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo wanaandaa MRADI WA FILAMU itakayoitwa SECRET SOCIETY.

meekmillnews_20240911_164648_0.jpg

Hii FILAMU YA SECRET SOCIETY yaani JAMII YA SIRI itakuwa inagusia wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA waliohama na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi na kufanikiwa kubadilisha majina na kuakisi tamaduni za jamii mbalimbali.
 
Hata KENDRICK LAMAR ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

IMG_20240912_162243.jpg
Oyaa alafu unazingu sanaa, meek mill na cardi. B. Ni MTZ????
IMG_20240912_162236.jpg

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walianza siasa tangu siku nyingi, kipindi ambacho bado TANGANYIKA ilikuwa ni KOLONI LA UINGEREZA.


Wamefanikiwa kupiga hatua tangu miaka ya zamani na walianza kuingia UGHAIBUNI hata kabla ya wengine.
 
Oyaa alafu unazingu sanaa, meek mill na cardi. B. Ni MTZ????
Unajua kipindi cha miaka ya nyuma WILAYA YA KISHAPU ilikuwa na idadi kubwa ya watu kuliko wilaya zote zilizokuwa zinapatikana katika MKOA WA SHINYANGA.

IMG_20240913_152812.jpg

WILAYA YA KISHAPU ilikuwa na idadi kubwa ya watu ikifuatia na WILAYA YA BARIADI na wenyeji wengi wa asili wa WILAYA YA KISHAPU waliyahama makazi yao ya asili.

IMG_20240913_152329.jpg

Hata huyu LUCAS RADEBE ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

IMG_20240913_152435.jpg

Kipindi chake, kuna WATANZANIA wengi waliong'ara katika tasnia ya mpira wa miguu wakiwa wanawakilisha MATAIFA mbalimbali ikiwemo timu ya TAIFA YA KAMERUNI, kama MARK VIVIAN FOE [the late]..

IMG_20240913_152613.jpg

Sasa hivi idadi imepungua kwa upande wa WILAYA YA KISHAPU ya kuwa na idadi kubwa ya wanamichezo wanaowakilisha MATAIFA mbalimbali ya KIAFRIKA, lakini idadi hiyo imekuwa ikiongezeka kwa upande wa MATAIFA YA ULAYA pamoja na AMERIKA.

IMG_20240910_121838.jpg

Kuna wachezampira kama RAFAEL LEAO ambao wanacheza mpira kwenye timu ya TAIFA YA URENO.

IMG_20240910_121822.jpg

Huyu RAFAEL LEAO anacheza katika TAIFA LA URENO na pia ni mcheza mpira wa kulipwa katika KLABU YA AC MILAN inayoshiriki LIGI KUU YA ITALIA.

drippyballers__20240910_121606_0.jpg

Idadi kubwa ya wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU waliyahama makazi yao ya asili na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi na hali hii ilichagizwa na WAKOLONI WA KIINGEREZA kwa kuwatumia kama sehemu ya UTAWALA WA KIKOLONI [INDIRECTLY RULE] kwa upande wa TAIFA LA TANGANYIKA.

drippyballers__20240910_121606_7.jpg

UINGEREZA ilikuwa inawatumia wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU katika kuitawala TANGANYIKA [INDIRECTLY RULE] na walifanikiwa adhma yao, baada ya kufanikiwa kuutumia UCHIFU WA BUSIA na kuenea sehemu zote za USUKUMANI.

drippyballers__20240910_121606_2.jpg

Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU ndiyo walikuwa wanasimama badala ya UINGEREZA katika kipindi cha UKOLONI WA KIINGEREZA na CHIFU WA BUSIA alifanikiwa kuwa na UKWASI MKUBWA baada ya kuwa karibu na TAIFA LA UINGEREZA, yaani alikuwa kama msimamizi wa SERIKALI YA KIKOLONI.

drippyballers__20240910_121606_6.jpg

Hata baada ya TANGANYIKA kupata UHURU kutoka kwa UINGEREZA, wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU waliendelea kufanya kazi katika IKULU YA TANGANYIKA hata baada ya MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI.
 
Oyaa alafu unazingu sanaa, meek mill na cardi. B. Ni MTZ????
images.jpeg

Hata huyu KOCHA PATRICK PHIRI ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU na alifanikiwa kuhamia nchini ZAMBIA akiwa ni kijana mwenye umri mdogo.



Haya mambo na masuala yanayohusu TANZANIA yanapatikana kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, huko kuna kila kitu.
 
Oyaa alafu unazingu sanaa, meek mill na cardi. B. Ni MTZ????
Mwingine ni SULTAN MAKENGA ambaye alishawahi kuwa kiongozi wa kikundi cha WAASI WA M23.

duniakongomedia_20240911_103838_0.jpg

Huyu SULTAN MAKENGA ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU na hawa ndiyo waliofanyika kuwa WANYARWANDA baada ya mwaka 1994.


Hawa wakina SULTAN MAKENGA, wapo pamoja na wakina BOSCO NTAGANDA. Wote ni WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

IMG_20240827_150309.jpg

Hata RAIS WA SUDANI YA KUSINI, SALVA KIIR ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU.

queenelizabeth_20240915_095936_0.jpg

Yaani tangu kipindi cha UKOLONI WA KIINGEREZA, wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa wanatumika na UINGEREZA na kipindi hiki ile HIMAYA iliyokuwa inatumika miaka ya nyuma ilifanikiwa kujitanua katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA na kufanikiwa kutengeneza JAMII YA MWASHITA, lakini chimbuko ilikuwa ni KISHAPU.
 
Oyaa alafu unazingu sanaa, meek mill na cardi. B. Ni MTZ????
Ukiangalia ile FILAMU YA OPPENHEIMER iliyotoka mwaka 2024, kuna PART ONE na pia kuna DOCUMENTARY YA OPPENHEIMER.

DSC_0027~2.JPG

Sasa ukiwa pale katika MKOA WA SHINYANGA, kuna WILAYA inayoitwa KISHAPU na pale KISHAPU kulikuwa kuna CHIFU aliyekuwa anatawala maeneo ya BUSIA.

Ile familia ya KICHIFU YA BUSIA, ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria inayoitwa NKAMBA ambayo ilikuwepo tangu miaka ya themanini [1980's] na ipo hadi leo.

Ile familia ya KICHIFU YA BUSIA ina mahusiano mazuri na TAIFA LA UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI na inasemekana ile familia ya KICHIFU YA BUSIA ilikuwa na UKWASI MKUBWA kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI kutokana na kufanya biashara ya UCHIMBAJI WA MADINI YA ALMASI kwa upande wa mgodi wa ALMASI WA MWADUI [ndani ya MGODI WA MWADUI kulikuwa kuna PROCESSING PLANT iliyokuwa inaitwa JIG, hapo ndiyo walikuwa wanachimba na kuchenjua MADINI YA ALMASI].

Ile familia ya KICHIFU YA BUSIA ndiyo waliokuwa wanafanya "JIGGING" kwa upande wa MGODI WA ALMASI WA MWADUI tangu kipindi cha UKOLONI WA KIINGEREZA na hawa ndiyo waliokuwa kichocheo cha kusambaa kwa wenyeji wa asili wa BUSIA na KISHAPU kwa ujumla.

Pia wale wenyeji wa KISHAPU kupitia kwa CHIFU WA BUSIA waliendelea kutumika na UKOLONI WA KIINGEREZA katika harakati za kudai UHURU WA TANGANYIKA na walifanikiwa kwa kiasi kikubwa, huku yule CHIFU WA BUSIA akiendelea kujijenga KIUCHUMI kupitia mahusiano mazuri aliokuwa nayo na WAKOLONI WA KIINGEREZA.

e6d0c9390026184fc0b634bdcac47276.png

Na hata baada ya KODI YA KICHWA kuondolewa baada ya kupatikana kwa UHURU WA TANGANYIKA, KODI iliyofuata baada hapo ilikuwa ni KODI YA BAISKELI.

Yaani BAISKELI zilikuwa zinatozwa KODI [kwa taarifa zisizokuwa rasmi ~ inasemekana ilikuwa ni mapato yanayokwenda kwa msimamizi wa SERIKALI YA TANGANYIKA ambaye alikuwa ni CHIFU WA BUSIA] na walifanikiwa kukusanya KODI YA BAISKELI kwa kipindi cha muda wa miaka thelathini [30].

Kwahiyo wale wenyeji wa asili KISHAPU kupitia kwa CHIFU WA BUSIA ndiyo waliokuwa wasimamizi wa SERIKALI YA TANGANYIKA na walifanyika kuwa WAFANYAKAZI WA IKULU na HAYATI MWALIMU alikuwa ni KIONGOZI WA KISERIKALI na alifanyika kuwa BABA WA TAIFA.
 
Ukiangalia ile FILAMU YA OPPENHEIMER iliyotoka mwaka 2024, kuna PART ONE na pia kuna DOCUMENTARY YA OPPENHEIMER.

Sasa ukiwa pale katika MKOA WA SHINYANGA, kuna WILAYA inayoitwa KISHAPU na pale KISHAPU kulikuwa kuna CHIFU aliyekuwa anatawala maeneo ya BUSIA.

Ile familia ya KICHIFU YA BUSIA, ndiyo wamiliki halali wa kampuni ya usafirishaji ya abiria inayoitwa NKAMBA ambayo ilikuwepo tangu miaka ya themanini [1980's] na ipo hadi leo.

Ile familia ya KICHIFU YA BUSIA ina mahusiano mazuri na TAIFA LA UINGEREZA tangu kipindi cha UKOLONI na inasemekana ile familia ya KICHIFU YA BUSIA ilikuwa na UKWASI MKUBWA kwa upande wa MATAIFA YA AFRIKA YA MASHARIKI kutokana na kufanya biashara ya UCHIMBAJI WA MADINI YA ALMASI kwa upande wa mgodi wa ALMASI WA MWADUI [ndani ya MGODI WA MWADUI kulikuwa kuna PROCESSING PLANT iliyokuwa inaitwa JIG, hapo ndiyo walikuwa wanachimba na kuchenjua MADINI YA ALMASI].

Ile familia ya KICHIFU YA BUSIA ndiyo waliokuwa wanafanya "JIGGING" kwa upande wa MGODI WA ALMASI WA MWADUI tangu kipindi cha UKOLONI WA KIINGEREZA na hawa ndiyo waliokuwa kichocheo cha kusambaa kwa wenyeji wa asili wa BUSIA na KISHAPU kwa ujumla.

Pia wale wenyeji wa KISHAPU kupitia kwa CHIFU WA BUSIA waliendelea kutumika na UKOLONI WA KIINGEREZA katika harakati za kudai UHURU WA TANGANYIKA na walifanikiwa kwa kiasi kikubwa, huku yule CHIFU WA BUSIA akiendelea kujijenga KIUCHUMI kupitia mahusiano mazuri aliokuwa nayo na WAKOLONI WA KIINGEREZA.

Na hata baada ya KODI YA KICHWA kuondolewa baada ya kupatikana kwa UHURU WA TANGANYIKA, KODI iliyofuata baada hapo ilikuwa ni KODI YA BAISKELI.

Yaani BAISKELI zilikuwa zinatozwa KODI [kwa taarifa zisizokuwa rasmi ~ inasemekana ilikuwa ni mapato yanayokwenda kwa msimamizi wa SERIKALI YA TANGANYIKA ambaye alikuwa ni CHIFU WA BUSIA].

Kwahiyo wale wenyeji wa asili KISHAPU kupitia kwa CHIFU WA BUSIA ndiyo waliokuwa wasimamizi wa SERIKALI YA TANGANYIKA na walifanyika kuwa WAFANYAKAZI WA IKULU na HAYATI MWALIMU alikuwa ni KIONGOZI WA KISERIKALI na alifanyika kuwa BABA WA TAIFA.
Fiction..
 
Fiction..
DSC_0027~2.JPG

Kuna tofauti kubwa baina ya maneno ya "TRICKY", "FICTION" pamoja na "MAGIC". Yale yaliyokuwa yanafanyika kipindi cha miaka ya nyuma yalikuwa siyo "FICTION" wala "TRICKY" bali yalikuwa ni "MAGIC".. 😂

924cd302da38de4d296a2b2971bb9f8d.png

Ndiyo hao wakina NKAMBA'S na wamefanikiwa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo pamoja na kisiasa.

Pia JOSEPH KABILA ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU.
 
Kuna tofauti kubwa baina ya maneno ya "TRICKY", "FICTION" pamoja na "MAGIC". Yale yaliyokuwa yanafanyika kipindi cha miaka ya nyuma yalikuwa siyo "FICTION" wala "TRICKY" bali yalikuwa ni "MAGIC".. 😂


Ndiyo hao wakina NKAMBA'S na wamefanikiwa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo pamoja na kisiasa.

Pia JOSEPH KABILA ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU.
Oyaa wasukuma ni wengi sanaaaaa.
Kuhusu jamaa wa Bukinafso, sio mkongoman yule???
 
Oyaa wasukuma ni wengi sanaaaaa.
Kuhusu jamaa wa Bukinafso, sio mkongoman yule???
Kusema ukweli sina taarifa ya uhakika na kile kinachoendelea katika MATAIFA YA AFRIKA YA MAGHARIBI.

69ce361d26a5e1cdad38a89fbd35b1c8.png

Pia huko katika MATAIFA YA AFRIKA YA MAGHARIBI, inasemekana wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndiyo walipohamia kwa uwingi.

Lakini huku TANZANIA, ile KODI YA BAISKELI ilikuwepo na ilikuja kuondolewa au kufikia tamati kipindi cha UTAWALA WA AWAMU YA TATU.

IMG_20240919_081508.jpg

Yaani MISTER CLEAN alifanya mapinduzi makubwa sana ya kiuchumi na hali ile, WANAUCHUMI wengi waliita ni MKAPA EFFECT.

IMG_20240919_081410.png

Yaani alijaribu na alifanikiwa kutengeneza vyanzo vingine vya mapato na kuachana na kodi za kiimla, kodi ambazo kwa kiasi fulani zilikuwa ni mzigo kwa MWANANCHI WA KAWAIDA.

Lakini haikubadilisha ile hali ya wale WATANZANIA waliokuwa tayari wamekwisha jijenga kiuchumi.

6df68046e7ac6a811ad398b3553f1bf0.png

Nakumbuka mwaka 1997, mwaka mmoja baada ya kufariki kwa TUPAC SHAKUR [the late] - MJI WA SHINYANGA ulifurika WAHAMIAJI ambao ni WAMAREKANI WEUSI.


Hali ile hadi leo ipo hivyo hivyo na kuna WATANZANIA wengine walianza na wanaendelea kujijenga KIUCHUMI na KISIASA hadi leo.
 
Oyaa wasukuma ni wengi sanaaaaa.
Kuhusu jamaa wa Bukinafso, sio mkongoman yule???
Nenda pale SHINYANGA MJINI! Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kuelekea elfu mbili [2000's] kulikuwa kuna Masela wengi walikuwa wanacheza kikapu 🏀 pale maeneo ya RISASI.

777cda721936edf11da191ec6f505e0f.png

Kulikuwa kuna wakina 2Fax [alikuwa anarapu kama 2Pac]! Kulikuwa kuna wakina Athuman aka BIGGIE [alikuwa anamuonekano kama Notorious BIG]! Hawa wote walikuwa ni WAMERAKANI WEUSI na sasa hivi sijui wapo wapi..


Ule mji, wenyeji wengi wa asili walihama na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi, hasa MAREKANI.

1428597765db9ab333df34e004b3c413.png

Hata huyu ADELEKE ni MNAIJERIA mwenye asili ya TANZANIA kutoka katika MKOA WA SHINYANGA, ambaye wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini NAIJERIA kipindi cha miaka ya themanini [1980's].

028fb463004aeec5ba2541d4f3cc942b.png

Wale waliokuwa wasimamizi wa SERIKALI YA TANGANYIKA na ZANZIBARI, ndiyo waliofanikiwa kujijenga KIUCHUMI na KISIASA kuliko hata VIONGOZI WAASISI WA TANGANYIKA na ZANZIBARI.

46f2f1906662d89415b855e3dc16ee30.png

HAYATI MWALIMU pamoja na HAYATI KARUME wote walikuwa ni VIONGOZI WAASISI WA KISERIKALI, lakini WASIMAMIZI WA SERIKALI walikuwa ni UCHIFU WA BUSIA kutoka KISHAPU na walifanikiwa kuwaweka pamoja wenyeji wote wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

samia_suluhu_hassan_20240920_155913_0.jpg


Yule CHIFU WA BUSIA alikuwa amewaacha mbali sana [HAYATI MWALIMU pamoja na HAYATI KARUME] katika masuala ya KIUCHUMI, KIELIMU na hata mahusiano ya KIDIPLOMASIA.

samia_suluhu_hassan_20240920_155913_1.jpg

Sasa hivi, wale JAMII YA MWASHITA ndiyo wamefanikiwa kujijenga KISIASA pamoja na KIUCHUMI kupitia kwa UCHIFU WA BUSIA ambao ndiyo waliokuwa WASIMAMIZI WA SERIKALI YA TANZANIA tangu MUUNGANO WA TANGANYIKA na ZANZIBARI [1964].
 
Kipindi kile pale RISASI ~ wale wakina 2Fax pamoja na Athuman BIG, kulikuwa kukitokea SHEREHE kwenye UKUMBI WA LIONS CLUB walikuwa wanaenda kutumbuiza nyimbo za HIP HOP.

f3737d0fe94876ca33da34c837cd99ec.png

MASELA wengi waliokuwa wanapiga kikapu 🏀 pale maeneo ya RISASI waliondoka na sasa hivi amebaki mmoja, KISINJA.

Sasa kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] alikuwa anakuja jamaa mmoja kutoka MAREKANI, alikuwa anaitwa RAJANI na alibeba MASELA wengi sana kwenda kuishi na kufanya kazi nchini MAREKANI.



RAJANI alikuwa ni mmoja wa mashahidi waliokuwepo kwenye tukio la kupigwa risasi kwa TUPAC SHAKUR [Septemba 4, 1996] katika UKUMBI WA BRYANT PARK, NEW YORK nchini MAREKANI.

2b50a771917733452fc918f05bb01b2f.png

Huyo ndiyo RAJANI na walijenga SHULE YA SEKONDARI YA RAJANI na kuikabidhi SERIKALI YA TANZANIA, mwaka 2003.
 
Oyaa wasukuma ni wengi sanaaaaa.
Kuhusu jamaa wa Bukinafso, sio mkongoman yule???
Kipindi cha miaka ya sabini [1970's] kuelekea themanini [1980's], wale wakina RAJANI walifanikiwa kuondoka TANZANIA na kuhamia nchini MAREKANI wakiwa na UKWASI wa kiasi kinachokadiliwa kuwa ni Tsh. 400,000,000.

03c668f7fdab9f0444fb65a1c14b5e6f.png

Walikuwa ni familia ya KICHIFU, maeneo ya UZOGOLE na walikuwa wanafanya biashara ya kuuza HAZINA NA MAMBO YA KALE YA WAKOLONI WA KIJERUMANI.

5539ec75ee5f6f62f93cca36e82d2a57.png

Na ndio wamiliki halali wa biashara na kampuni zote zinazomilikiwa na wakina RAKESH RAJANI, ikiwemo biashara ya usafirishaji ya mizigo.

IMG_20240922_095628.jpg

Pia ndiyo wamiliki halali wa asasi ya kiraia inayohusu elimu inayoitwa HAKI YA ELIMU, pamoja na haki miliki za video zote zinazopatikana YOUTUBE.

44a46f6c6292a4f81c5e0f989ce56732.png

Pia kuna MSANII WA KIMAREKANI aliyekuwa anaitwa EAZY E [the late], ambaye alikuwa ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

937a34acba22f8ee17b33aaa1a2c3f6f.png

EAZY E [the late] alifariki mwaka 1995, akiwa ni kijana mwenye umri mdogo na alifanikiwa kuacha baadhi ya nyimbo za HIP HOP.


EAZY E [the late] ataendelea kukumbukwa katika TASNIA YA HIP HOP nchini MAREKANI kutokana na nyimbo zake.

79302821a9a23329f780d5c2d9b83b3e.png

Hawa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA walianza kusambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi kutokana na UCHIFU WA BUSIA kuwa wasimamizi wa SERIKALI YA TANGANYIKA NA ZANZIBARI tangu 1964.
 
Kipindi cha miaka ya sabini [1970's] kuelekea themanini [1980's], wale wakina RAJANI walifanikiwa kuondoka TANZANIA na kuhamia nchini MAREKANI wakiwa na UKWASI wa kiasi kinachokadiliwa kuwa ni Tsh. 400,000,000.

Walikuwa ni familia ya KICHIFU, maeneo ya UZOGOLE na walikuwa wanafanya biashara ya kuuza HAZINA NA MAMBO YA KALE YA WAKOLONI WA KIJERUMANI.

Na ndio wamiliki halali wa biashara na kampuni zote zinazomilikiwa na wakina RAKESH RAJANI, ikiwemo biashara ya usafirishaji ya mizigo.

Pia ndiyo wamiliki halali wa asasi ya kiraia inayohusu elimu inayoitwa HAKI YA ELIMU, pamoja na haki miliki za video zote zinazopatikana YOUTUBE.

Pia kuna MSANII WA KIMAREKANI aliyekuwa anaitwa EAZY E [the late], ambaye alikuwa ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

EAZY E [the late] alifariki mwaka 1995, akiwa ni kijana mwenye umri mdogo na alifanikiwa kuacha baadhi ya nyimbo za HIP HOP.


EAZY E [the late] ataendelea kukumbukwa katika TASNIA YA HIP HOP nchini MAREKANI kutokana na nyimbo zake.

Hawa wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA walianza kusambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi kutokana na UCHIFU WA BUSIA kuwa wasimamizi wa SERIKALI YA TANGANYIKA NA ZANZIBARI tangu 1964.

Mmiliki wa katarama ni nani??
 
Mmiliki wa katarama ni nani??
Sijui! Hivyo ni vidogo sana kwa hao watu! Ndiyo maana tunawaambia jiungeni na MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA, huko mtapata fursa ya kufahamu mambo mengi.

MARCOPOLO moja wanaweza kununua kwa mapato ya mwaka mmoja kupitia HATI MILIKI YA VIDEO ZA HAKI YA ELIMU zinazopatikana YOUTUBE.


Jaribu kufikiria hao UCHIFU WA UZOGOLE waliondoka TANZANIA kabla ya mwaka 1984 na kuhamia nchini MAREKANI kwa hofu, kipindi cha UHUJUMU UCHUMI.

Wale UCHIFU WA UZOGOLE walikuwa wanaishi pale UZOGOLE, sehemu ambapo palijengwa JINERI ZA SHIRECU [1984].

03c668f7fdab9f0444fb65a1c14b5e6f.png

Hawa UCHIFU WA UZOGOLE walikuwa karibu na UCHIFU WA BUSIA na walianza kufanya biashara kwa namna ya "ACCORDANCE TO BUSINESS" tangu miaka hiyo na ndiyo wamiliki halali wa biashara zinazofanywa na wakina RAKESH RAJANI.
 
Mmiliki wa katarama ni nani??
Kile kipindi cha miaka ya themanini [1980's], ndiyo ilikuwa mwanzo wa kuanzishwa kwa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA nchini TANZANIA na WATANZANIA wengi walikuwa tayari wameshaamka.

Pia kulikuwa kuna vuguvugu la MABADILIKO YA KISIASA baada ya WATANZANIA wengi kufahamu ukweli kuhusu TAIFA lao.

MABADILIKO YA KISIASA yalikuwa kama AZIMIO LA ZANZIBARI [1992] pamoja na KUNDI LA G55 [1993], lakini baadae waliambiwa WAINGEREZA walishaondoka na CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kilishauzwa na walionunua ni UCHIFU WA BUSIA.

Kitu ambacho hakikuwa na ukweli wowote, kwa sababu hakuna MTU TIMAMU atayefikia maamuzi ya kuuza CHAMA TAWALA. Ile ilikuwa ni PROPAGANDA.

Bali UCHIFU WA BUSIA walifanyika kuwa waangalizi na wasimamizi wa CHAMA TAWALA na hatimaye SERIKALI YA TANZANIA, kazi ambayo walikuwa tayari wameshaanza kufanya tangu MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI.

WANASIASA wengi wa kipindi kile - waliambiwa kuwa kama watasusia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] basi wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA wataendesha CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], kwa sababu hadi kufikia miaka ya tisini [1990's] wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walikuwa tayari wameshasambaa na kuenea nchi nzima.

fff57f19787a593e701fe480e69d2968.png

Hata MAHIGA [the late] alikuwa ni mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA na aliingia kwenye UTUMISHI WA SERIKALI na hatimaye SIASA ZA TANZANIA akitokea MKOA WA IRINGA.

IMG_20240903_165609.jpg

Ndio hawa wakina PROFESA ANNA TIBAIJUKA, ambao waliingia kwenye SIASA ZA TANZANIA kwa kupitia MKOA WA KAGERA angali wao ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA.

IMG_20240919_081625.jpg

Wengine ni wakina MISTER CLEAN [the late], ambao waliingia kwenye SIASA ZA TANZANIA kwa kupitia MKOA WA MTWARA angali wao ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA.

Kwahiyo haya mambo na masuala yanayohusu SIASA NA HATMA YA TANZANIA yalianza kufanyika kipindi cha miaka mingi iliyopita, tangu HAYATI MWALIMU akiwa madarakani. Pia wadadisi wa masuala ya kisiasa wanasema hali ile ndiyo ilikuwa ni sababu mojawapo iliyopelekea HAYATI MWALIMU kujiuzulu mwaka 1984.
 
Mmiliki wa katarama ni nani??
Kile kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ambapo WATANZANIA wengi walipata wasaa wa kufahamu TAIFA lao vizuri.

17078ae69a1fbbc45a41fd1a003b31f0.png

Wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walipoteza sana watu wao, ambao walikuwa wanaishi ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA.

f5417d406d6ff42d0726e3d7873fa868.png

Ndiyo kipindi ambacho EAZY E alifariki [1995] na alikuwa ni KING OF GANGSTA RAP na baadae kwenye miaka ya 2010's alikuja kutajwa jina lake kwenye nyimbo ya LIL WAYNE na RICK ROSS iliyokuwa inaitwa JOHN, ubeti wa tatu.


Ile ilikuwa ni INSIDE JOB! Maana WASANII WOTE WA HIP HOP waliokuwa wakiimba kwa LUGHA ZA UCHOCHEZI nchini MAREKANI, walipoteza maisha katika mazingira tatanishi.

90d2fc7c880e71fe496f951cef2f4997.png

Hata NATE DOGG na yeye alifariki katika mazingira yakutatanisha! Waliobaki walikuwa ni wakina WARREN G na LIL CEASE.

4009134184142ce31135910ae352f97d.png

WARREN G na LIL CEASE wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA, yaani SHINYANGA walihama watu wengi sana.


Baadae walikuja WASANII wengine kama LIL COOL J kwa upande wa HIP HOP na MSANII mwingine mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA alikuwa ni CASSIDY, ambaye alikaa kwenye gemu kwa kipindi cha muda mchache.


Wale UCHIFU WA BUSIA walibeba watu wao wengi sana na kuwasambaza sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.

3979d5f7d613126f0140db4ff030712d.png

Yaani hata kwa upande wa MACHIFU waliokuwepo kipindi kile, alikuwa anawasaidia wakikubali kuwa naye. Mfano mzuri ni CHIFU WA UZOGOLE na CHIFU MAJEBELE aliyekuwepo SHINYANGA MJINI.
 
Mmiliki wa katarama ni nani??
Wale UCHIFU WA BUSIA walikuwa tayari wamekwisha akisi utamaduni wa KIINGEREZA tangu miaka ya sitini [1960's] na kizazi chake walifanikiwa kubadilisha MAJINA YA UKOO, DINI, MAKABILA na kuhama KISHAPU na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.

7f474b87e78aa8e5bb67144e200f8033.png

Huyu FIRST LADY ni kazazi cha UCHIFU WA BUSIA na UCHIFU WA BUSIA walifanikiwa kuwasaidia hata baadhi ya FAMILIA ZA KICHIFU nyingine zilizokubali kuwa pamoja katika harakati za kujijenga KIUCHUMI na KISIASA.

Mfano mzuri ni wale UCHIFU WA UZOGOLE ambao walifanikiwa kuwa na watoto kama RAJANI RAHDIB WASHINGTON, pia CHIFU MAJEBELE alifanikiwa kuwa na watoto kama JAMES KABAREBE.

5c9b95fd186a2e2a8597e28dcbc39e9a.png

JAMES KABAREBE aliwahi kuwa ASKARI JESHI wa MATAIFA YA TANZANIA [TPDF], UGANDA [UPDF], RWANDA [RDF] na KONGO [FARDC] na alifanikiwa kujijenga KIUCHUMI zaidi alipokuwa MKUU WA MAJESHI YA KONGO [FARDC].

72e6262017212a2e3de3c9a7c65e1805.png

Sasa hivi JAMES KABAREBE yupo RWANDA na pengine anaweza kuwa ni ASKARI BORA kuwahi kutokea kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.
 
Mmiliki wa katarama ni nani??
JAMES KABAREBE alipaswa kuwa RAIS WA SERIKALI YA KONGO, baada ya LAURENT DESIRE KABILA. Lakini namba zilikataa na mahesabu yaligoma..

407ac49b91ec847bd396cc5ddea0b677.png

Labda anaweza kuwa RAIS WA SERIKALI YA RWANDA, baada ya PAUL KAGAME. Lakini chapuo linapigwa kwa mwenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU.

f36c258dd866281dbc7da0a90eb51ae6.png

Yaani JOSEPH KABILA ana nafasi kubwa ya kuwa RAIS WA SERIKALI YA RWANDA au SERIKALI YA BURUNDI, kuliko hata JAMES KABAREBE. Hiyo ndiyo SIASA!.

Kwa mfano, ukiwa TANZANIA kuna CHAMA CHA KISIASA ambacho ni maarufu sana. CHAMA hicho huwa kinaitwa CHAMA CHA KIKANDA, ijapokuwa kimebeba nafasi ya CHAMA KIKUU CHA UPINZANI kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

Ukiwa TANZANIA, huwa wanasema CHAMA KIKUU CHA UPINZANI ni CHAMA CHA UKANDA WA KASKAZINI! Ilhali ukienda KANDA YA KASKAZINI, utaambiwa ni CHAMA CHA MKOA WA KILIMANJARO.

dd4c77c5a53615631a6fdb45fa313af6.png

Na ukienda MKOA WA KILIMANJARO, utaambiwa ni CHAMA CHA MACHAME na ukifika MACHAME ndiyo utapata wasaa wa kuwafahamu wahusika halisi kuwa ni WATU wa wapi. Hiyo ndiyo SIASA!.

Sasa, kwa upande wa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA, hali ipo hivyo hivyo! Kwani KITOVU cha JAMII YA MWASHITA ni MKOA WA SHINYANGA na CHIMBUKO la JAMII YA MWASHITA ni WILAYA YA KISHAPU.

ceb7d3fdd79577897e5d4d2a4bd4444e.png

Kwahiyo mwenyeji wa asili wa KISHAPU anapewa kipaumbele kikubwa, kuliko mwenyeji wa asili wa sehemu nyingine za MKOA WA SHINYANGA.

Hali kadhalika, mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA anapewa kipaumbele kikubwa kuliko mwenyeji wa asili wa sehemu nyingine za JAMII YA MWASHITA na kiujumla hali ya SIASA ndiyo huwa ipo hivyo.

Lakini wale wakina CHIFU MAJEBELE wamejijenga vizuri na kuna kizazi chao kingine pale SHINYANGA MJINI, ambacho kipo kwenye JESHI LA WANANCHI [JWTZ] na anatumia majina mengine.
 
Back
Top Bottom