Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Mmiliki wa katarama ni nani??
Sasa kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo tayari kulikuwa kumeanzishwa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA katika kila mkoa. WATANZANIA wengi walinufaika wao binafsi.

WANASIASA wengi waliokuwepo kipindi kile, walishuhudia mambo mengi sana kama AZIMIO LA ZANZIBARI [1993], KUNDI LA G55 [1992] na kuanzia miaka ya mwishoni mwa themanini [1980's] kuelekea tisini [1990's] liliibuka KUNDI LA BOYZ II MEN.

KUNDI LA BOYZ II MEN lilikuwa linajumuisha WANASIASA kama wakina WHITEY HAIR [the late] pamoja na KHALFAN.

385d23573bf88d75cbbddee2cefd1186.png

Lakini wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walijikita katika kutafuta hela kupitia VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] na SIASA ZA TANZANIA waliwaachia wale UCHIFU WA BUSIA.

Wale wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walitafuta FEDHA kwa udi na uvumba kutokana na UKWASI waliokuwa nao wale UCHIFU WA BUSIA na walikuwa wakitoka kazini walikuwa wanapenda kuangalia MAPAMBANO YA LENNOX LEWIS, kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU].


LENNOX LEWIS ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na ni miongoni mwa WATANZANIA ambao wazazi wao walihamia nchini MAREKANI kwa kupitia kwa UCHIFU WA BUSIA.

b3eaf0c1af0e9ced3f139e11804b4a0f.png

Hawa wakina LENNOX LEWIS ndiyo wamiliki halali wa LEWIS BAR inayopatikana pale SHINYANGA MJINI na kile kitendo kiliwafanya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kutafuta FEDHA kwa nguvu na walifanikiwa.

Yaani kile kitendo cha WIZI WA MALI YA UMMA walihalalisha na kusema kuwa walikuwa WANAHAMISHA MALI YA UMMA KWA MATUMIZI YAO BINAFSI na walifanikiwa kwa kiasi kikubwa.

5dcfa6c35118ca97e819cbff334f7277.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kulikuwa tayari kuna wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa wanamiliki UKWASI WA BILIONI NANE! Wengine walikuwa wanamiliki UKWASI WA BILIONI TANO! Wengine walikuwa wanamiliki UKWASI WA BILIONI TATU! Wengine walikuwa na UKWASI WA BILIONI MOJA! Wengine walikuwa na MILIONI MIA SABA! Wengine walikuwa na MILIONI MIA MBILI..

Pia inasemekana wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] na hata KAGERA [KCU] waliachwa kwa makusudi bila ya kuchukuliwa hatua zozote, pamoja na KUIBA MALI ZA UMMA kwa kiasi kikubwa na hatua kali ziliwaangukia KUNDI LA BOYZ II MEN.

8444f4960d3f8c069aa8f2f1bedb5b31.png

Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU], TABORA [WETCU] pamoja na KAGERA [KCU] walijijenga na wanaendelea kujijenga KIUCHUMI kwa kufuata nyayo za UCHIFU WA BUSIA. Lakini mwaka 1995, ndiyo ulikuwa mwisho wa KUNDI LA BOYZ II MEN.
 
Sasa kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo tayari kulikuwa kumeanzishwa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA katika kila mkoa. WATANZANIA wengi walinufaika wao binafsi.

WANASIASA wengi waliokuwepo kipindi kile, walishuhudia mambo mengi sana kama AZIMIO LA ZANZIBARI [1993], KUNDI LA G55 [1992] na kuanzia miaka ya mwishoni mwa themanini [1980's] kuelekea tisini [1990's] liliibuka KUNDI LA BOYZ II MEN.

KUNDI LA BOYZ II MEN lilikuwa linajumuisha WANASIASA kama wakina WHITEY HAIR [the late] pamoja na KHALFAN.

Lakini wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA walijikita katika kutafuta hela kupitia VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] na SIASA ZA TANZANIA waliwaachia wale UCHIFU WA BUSIA.

Wale wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walitafuta FEDHA kwa udi na uvumba kutokana na UKWASI waliokuwa nao wale UCHIFU WA BUSIA na walikuwa wakitoka kazini walikuwa wanapenda kuangalia MAPAMBANO YA LENNOX LEWIS, kwa wale waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU].


LENNOX LEWIS ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na ni miongoni mwa WATANZANIA ambao wazazi wao walihamia nchini MAREKANI kwa kupitia kwa UCHIFU WA BUSIA.

Hawa wakina LENNOX LEWIS ndiyo wamiliki halali wa LEWIS BAR inayopatikana pale SHINYANGA MJINI na kile kitendo kiliwafanya wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kutafuta FEDHA kwa nguvu na walifanikiwa.

Yaani kile kitendo cha WIZI WA MALI YA UMMA walihalalisha na kusema kuwa walikuwa WANAHAMISHA MALI YA UMMA KWA MATUMIZI YAO BINAFSI na walifanikiwa kwa kiasi kikubwa.

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kulikuwa tayari kuna wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa wanamiliki UKWASI WA BILIONI NANE! Wengine walikuwa wanamiliki UKWASI WA BILIONI TANO! Wengine walikuwa wanamiliki UKWASI WA BILIONI TATU! Wengine walikuwa na UKWASI WA BILIONI MOJA! Wengine walikuwa na MILIONI MIA SABA! Wengine walikuwa na MILIONI MIA MBILI..

Pia inasemekana wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] na hata KAGERA [KCU] waliachwa kwa makusudi bila ya kuchukuliwa hatua zozote, pamoja na KUIBA MALI ZA UMMA kwa kiasi kikubwa na hatua kali ziliwaangukia KUNDI LA BOYZ II MEN.


Kwahiyo wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU], TABORA [WETCU] pamoja na KAGERA [KCU] walijijenga na wanaendelea kujijenga KIUCHUMI kwa kufuata nyayo za UCHIFU WA BUSIA. Lakini mwaka 1995, ndiyo ulikuwa mwisho wa KUNDI LA BOYZ II
 
Boys II men na g55 ni kina nani?? na nini lilikuwa lengo lao??
BOYZ II MEN walikuwa ni kundi la vijana walioaminiwa kuwa ni WANASIASA wazuri ambao wangeliweza kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

KUNDI LA G55 ni kundi la WABUNGE 55 ambao walitishia kukihama CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], 1992 ~ ikiwa na madai ya MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI pamoja na ZANZIBARI KUJIUNGA NA JUMUIYA YA KIISLAMU [OIC].

Haya madai mawili yalikuwa ni madai mepesi sana, kiasi ambacho kinasemwa kuchangia WABUNGE 55 WA CHAMA TAWALA kukitaka kukihama CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Bali kulikuwa kuna madai mengine ambayo hayakuweza kuanikwa kwenye VYOMBO VYA HABARI kwa wakati huo, kama MTANZANIA kumiliki CHUO KIKUU CHA GEORGETOWN kinachopatikana nchini MAREKANI.

161560293617489324016885bd794928.png

Pia ulikuwa ni wakati ambao WATANZANIA wengi wakiongozwa na WANASIASA walifahamu fika kuwa CHUO KIKUU CHA MLIMANI kiliuzwa baada ya kushindwa kujiendesha chenyewe na aliyenunua alikuwa ni yule yule aliyehusishwa kununua CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kipindi cha miaka ya themanini [1980's] kuelekea tisini [1990's].

c360a6f8ed8662fdee53fbe8c1d7875e.png

Yaani mmiliki halali wa CHUO KIKUU CHA GEORGETOWN kinachopatikana nchini MAREKANI, ndiyo aliaminika alinunua CHUO KIKUU CHA MLIMANI na kuingia makubaliano ya kuendesha [MOU] na SERIKALI.

WATANZANIA wengi wa kipindi kile waliamini kuwa hata nchi yao ingeliuzwa, kama ilivyofanyika kwa CHUO KIKUU CHA MLIMANI ambacho kilikuwa ni tegemeo kwa kipindi kile.

IMG_20241004_104501.jpg

Halafu pia, kwa kipindi kile cha miaka tisini [1990's] ambapo WATANZANIA wengi walikuwa katika HALI DUNI YA KIUCHUMI! Kuna MTANZANIA aliyekuwa anafanya kazi katika CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] alikuwa anamiliki kampuni ya usafirishaji ya abiria iliyokuwa inaitwa RAYAN iliyokuwa ikipatikana NAIROBI, nchini KENYA na kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo kwa njia ya anga inayoitwa RYAN AIR inayopatikana nchini MAREKANI.

IMG_20241004_104624.jpg

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA G55 walikuwa na madai ya msingi, lakini malengo yao yalififia kuelekea miaka ya 1994's - 1995's baada ya KUNDI LA BOYZ II MEN kufikia tamati.
 
BOYZ II MEN walikuwa ni kundi la vijana walioaminiwa kuwa ni WANASIASA wazuri ambao wangeliweza kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

KUNDI LA G55 ni kundi la WABUNGE 55 ambao walitishia kukihama CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], 1992 ~ ikiwa na madai ya MUUNGANO WA TANGANYIKA NA ZANZIBARI pamoja na ZANZIBARI KUJIUNGA NA JUMUIYA YA KIISLAMU [OIC].

Haya madai mawili yalikuwa ni madai mepesi sana, kiasi ambacho kinasemwa kuchangia WABUNGE 55 WA CHAMA TAWALA kukitaka kukihama CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Bali kulikuwa kuna madai mengine ambayo hayakuweza kuanikwa kwenye VYOMBO VYA HABARI kwa wakati huo, kama MTANZANIA kumiliki CHUO KIKUU CHA GEORGETOWN kinachopatikana nchini MAREKANI.

Pia ulikuwa ni wakati ambao WATANZANIA wengi wakiongozwa na WANASIASA walifahamu fika kuwa CHUO KIKUU CHA MLIMANI kiliuzwa baada ya kushindwa kujiendesha chenyewe na aliyenunua alikuwa ni yule yule aliyehusishwa kununua CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] kipindi cha miaka ya themanini [1980's] kuelekea tisini [1990's].

Yaani mmiliki halali wa CHUO KIKUU CHA GEORGETOWN kinachopatikana nchini MAREKANI, ndiyo aliaminika alinunua CHUO KIKUU CHA MLIMANI na kuingia makubaliano ya kuendesha [MOU] na SERIKALI.

WATANZANIA wengi wa kipindi kile waliamini kuwa hata nchi yao ingeliuzwa, kama ilivyofanyika kwa CHUO KIKUU CHA MLIMANI ambacho kilikuwa ni tegemeo kwa kipindi kile.

Halafu pia, kwa kipindi kile cha miaka tisini [1990's] ambapo WATANZANIA wengi walikuwa katika HALI DUNI YA KIUCHUMI! Kuna MTANZANIA aliyekuwa anafanya kazi katika CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] kumiliki kampuni ya usafirishaji ya abiria iliyokuwa inaitwa RIYAN iliyokuwa ikipatikana NAIROBI, nchini KENYA na kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo kwa njia ya anga inayoitwa RYAN AIR inayopatikana nchini MAREKANI.

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA G55 walikuwa na madai ya msingi, lakini malengo yao yalififia kuelekea miaka ya 1994's - 1995's baada ya KUNDI LA BOYZ II MEN kufikia tamati.
Nani huyo alinunua??
 
Nani huyo alinunua??
Ni UCHIFU WA BUSIA! Lakini hakuna ukweli wowote, kwa sababu inaweza kuwa ni PROPAGANDA kama ilivyotumika kwa upande wa kuuza na kununua CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

Yaani kipindi ambacho lilipatikana wazo la kujenga CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM], ni kipindi ambacho CHUO KIKUU CHA MLIMANI kiliuzwa..😂

CHUO KIKUU CHA MLIMANI kilikuwa kinajumuisha CHUO CHA MAJI, ARDHI na MHUMBILI.

Kwahiyo CHUO KIKUU CHA MLIMANI kilivyouzwa, ndiyo lilipatikana wazo la kujenga CHUO CHA TAIFA [Hili jina la CHUO CHA KATA huwa ni kinyume chake]. CHUO CHA TAIFA [CHUO CHA KATA] ndiyo CHUO KIKUU CHA DODOMA [UDOM] na HOSPITALI YA TAIFA ni [...].
 
Nani huyo alinunua??
Wale KUNDI LA G55 na BOYZ II MEN walikuwa sahihi na hata baada ya kuvurugika kabla ya UCHAGUZI MKUU WA 1995, aliyekuja baadae alikuwa ni MREMA [the late] na yeye alikuwa sahihi kabisa.

4639a7663bdfb84bbd078ce4a3a4c475.png

Yule aliyekuwa MKURUNGENZI WA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa QUALITY GROUP na MANJI [the late] alikuwa ni mfanyakazi katika cheo cha UKURUNGENZI UTENDAJI wa kampuni.

Kwahiyo, WAHINDI wengi walikuwa wanakwenda kwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU], TABORA [WETCU] na KAGERA [KCU] kwenda kuchukua MITAJI YA KIBIASHARA na kufanya biashara kwa niaba yao.
 
Nani huyo alinunua??
Wale waliokuwa KUNDI LA G55 walikuwa sahihi! KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa sahihi! MREMA [the late] alikuwa sahihi! Lakini MTIKILA [the late] hakuwa sahihi kabisa, kutokana na ile sera yake ya UCHUMI MKUBWA WA TANZANIA kuwa umeshikiliwa na KABACHORI..

Eeh! Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's], WAHINDI walikuwa wanaitwa KABACHORI au PONJORO au KANJIBAI na walikuwa wanatumika kufanya biashara za WATANZANIA HALISI.

21d2d910-f1af-40af-893a-1e6ef0001fc9.jpg

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] kwenye vile VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa wanatumia MALORI YA LEYLAND na TOYOTA LANDCRUISER kwa matumizi ya ofisini.

TOYOTA LANDCRUISER walikuwa wanaziita LANDCRUISER MKONGA! Zilikuwa ni LANDCRUISER ZA GIA NNE na walikuwa wananunua moja kwa moja kutoka JAPANI, achana na hizi LANDCRUISER ZA GIA SITA kutoka AFRIKA YA KUSINI.

119cfb98458932528048fc27584677eb.png

Zile LANDCRUISER ZA GIA NNE zilikuwa imara sana na ilikuwa ikifika siku ya IJUMAA jioni baada ya muda wa kazi kuisha zilikuwa zinatumika kuhamisha watu na kuwapeleka BODA YA KENYA kwa kupitia SIRARI au NAMANGA, halafu JUMAPILI jioni zinarudi kupaki pale SHIRECU.

images (3).jpeg

Yule aliyekuwa MKURUNGENZI WA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa KENAFRIC GROUP OF COMPANIES inayopatikana nchini KENYA.

f81c33505bec50a852ca28a8d212f3d4.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's], ile kampuni ya KENAFRIC GROUP OF COMPANIES ilikuwa ni kampuni kubwa kwa upande wa AFRIKA YA MASHARIKI na walikuwa wanatengeneza bidhaa maarufu za PIPI KIFUA. Hawa ndiyo wamiliki halali wa PIPI KIFUA..

36ef1aac25646c83c33b885316c42bdc.png

Hii kampuni ya KENAFRIC GROUP OF COMPANIES imeajiri WATANZANIA kutoka MKOA WA SHINYANGA waliohamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's]. Yaani ni watu wa kutoka BARIADI kuanzia ngazi ya chini kabisa hadi ngazi ya juu ya menejimenti.

bc662060d167ac7266e0a2020177bba4.png

BARIADI yote ilihamia KENYA na waliobaki katika WILAYA YA BARIADI, wengi walikuwa ni wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC].

879c2b48f0e86373794a8d6f8cae511c.png

Hao ndiyo wamiliki halali wa RYAN AIR na wenyeji wengi wa kutoka WILAYA YA BARIADI walihamia nchini KENYA, miongoni mwao ni msanii OTILE BROWN.


Hawa wenyeji wa asili WILAYA YA BARIADI na wao walijitahidi kuwa kama walivyo wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU na wamefanikiwa kupiga hatua kubwa za kimaendeleo kutokana kumiliki UCHUMI MKUBWA.
 
Nani huyo alinunua??
Wale wamiliki halali wa kampuni ya KENAFRIC GROUP OF COMPANIES ndiyo wamiliki halali wa kampuni inayoitwa KENAFRIC TOURS inayopatikana nchini KENYA.

ee410661ee6193ea84ff19422010e5e1.png

Hizo kampuni zao zote wameshikilia wao wenyewe na wanafanya vizuri katika sekta binafsi.


Miongoni mwao ni MSANII aliyekuwa anaitwa CZARS. CZARS ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA BARIADI ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini KENYA kipindi cha miaka ya tisini [1990's].

IMG_20241004_104810.jpg

Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA BARIADI wanafanya vizuri, lakini hauwezi kuwalinganisha na wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU.

c4e07f3040c3027e8cf52d6e6eed3d54.png

WILAYA YA KISHAPU ndiyo wana MSANII ayeitwa LIL BOOSIE ambaye ni MMAREKANI MWEUSI, mwenye asili ya TANZANIA ambapo wazazi wake walipata fursa ya kuhamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya themanini [1980's].


Kwahiyo hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA, lakini wametofautiana katika MATABAKA na wote wanafanya vizuri katika tasnia mbalimbali.
 
Nani huyo alinunua??
Waliofanikiwa kuifahamu vizuri SIASA YA TANZANIA tangu ujana wao walikuwa ni KUNDI LA BOYZ II MEN.

KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa ni vijana ambao walifanikiwa kufahamu SIASA YA TANZANIA angali wapo JESHINI na wote walifanikiwa kupata WAKE zao kutoka katika MKOA WA SHINYANGA.

697fcee0ca99f0b12b30019671981bff.png

Ile hali ya KUNDI LA BOYZ II MEN kupata WAKE zao kutoka katika MKOA WA SHINYANGA ilikuwa ni mbinu ya kisiasa! Lakini bado KARATA hazikuwa nzuri kwa upande wao.

KUNDI LA BOYZ II MEN walitafuta FEDHA kwa udi na uvumba, walifanikiwa kuzipata. Lakini bado KARATA hazikuwa nzuri kwa upande wa wao.

Ile hali ya OSCAR KAMBONA na HAYATI MWALIMU, ndiyo iliyokuja kutokea kwa KUNDI LA BOYZ II MEN. "Kwani WHITE HAIR alikuwa sahihi na KHALFANI alikosea sana".
 
Waliofanikiwa kuifahamu vizuri SIASA YA TANZANIA tangu ujana wao walikuwa ni KUNDI LA BOYZ II MEN.

KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa ni vijana ambao walifanikiwa kufahamu SIASA YA TANZANIA angali wapo JESHINI na wote walifanikiwa kupata WAKE zao kutoka katika MKOA WA SHINYANGA.

Ile hali ya KUNDI LA BOYZ II MEN kupata WAKE zao kutoka katika MKOA WA SHINYANGA ilikuwa ni mbinu ya kisiasa! Lakini bado KARATA hazikuwa nzuri kwa upande wao.

KUNDI LA BOYZ II MEN walitafuta FEDHA kwa udi na uvumba, walifanikiwa kuzipata. Lakini bado KARATA hazikuwa nzuri kwa upande wa wao.

Ile hali ya OSCAR KAMBONA na HAYATI MWALIMU, ndiyo iliyokuja kutokea kwa KUNDI LA BOYZ II MEN. "Kwani WHITE HAIR alikuwa sahihi na KHALFANI alikosea sana".
Unataka kusema Mama Salma Kikwete katoka shinyanga???
 
Waliofanikiwa kuifahamu vizuri SIASA YA TANZANIA tangu ujana wao walikuwa ni KUNDI LA BOYZ II MEN.

KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa ni vijana ambao walifanikiwa kufahamu SIASA YA TANZANIA angali wapo JESHINI na wote walifanikiwa kupata WAKE zao kutoka katika MKOA WA SHINYANGA.

Ile hali ya KUNDI LA BOYZ II MEN kupata WAKE zao kutoka katika MKOA WA SHINYANGA ilikuwa ni mbinu ya kisiasa! Lakini bado KARATA hazikuwa nzuri kwa upande wao.

KUNDI LA BOYZ II MEN walitafuta FEDHA kwa udi na uvumba, walifanikiwa kuzipata. Lakini bado KARATA hazikuwa nzuri kwa upande wa wao.

Ile hali ya OSCAR KAMBONA na HAYATI MWALIMU, ndiyo iliyokuja kutokea kwa KUNDI LA BOYZ II MEN. "Kwani WHITE HAIR alikuwa sahihi na KHALFANI alikosea sana".
Khalfani alikosea nini?
 
Unataka kusema Mama Salma Kikwete katoka shinyanga???
IMG_20241010_145909.jpg

Hata huyu ni mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA, yaani WILAYA YA KISHAPU ipo juu sana na imefanikiwa kutoa VIONGOZI WA KITAIFA wengi.


Hiyo ndiyo SIASA YA TANZANIA na wale KUNDI LA BOYZ II MEN walifanikiwa kufahamu SIASA YA TANZANIA tangu siku nyingi sana, ijapokuwa malengo yao hayakuweza kutimia.

Hiyo NYIMBO YA KOMANDO HAMZA KALALA walitungiwa wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN na kufananishwa na NGOMA YA WATOTO.
 
Na kama umeamua kutoa maarifa TOA acha janja janja.
Nenda JESHINI! Halafu ukitoka huko ingia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]! Huko utakutana na mambo ambayo hujawahi hata kuyasikia. Kumbe yalikuwa yakifanyika hapa hapa TANZANIA..
 
Imetosha bhebheshi ng'wana shija

View attachment 3120393
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo kujenga KITUO CHA MAFUTA YA PETROLI NA DIZELI ilikuwa inagharimu milioni mbili [2,000,000] hadi milioni tatu [3,000,000].

Kuna WATANZANIA wengine walikuwa tayari wameshafikisha UKWASI wa zaidi ya BILIONI MOJA.

96cbe7a67ecc48fe1748c4eff0f47206.png

Kwahiyo sasa hivi, kumiliki kampuni za mafuta kama MERU ni kitu cha kawaida.
 
Back
Top Bottom