Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Sawaaa, mwambie alete madini hapa.
Kipindi ambacho KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa wapo katika kutaka kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ~ wenzenu wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa wakitafuta FEDHA na waliachana na SIASA ZA TANZANIA, maana kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] SIASA YA TANZANIA ilikuwa ni hatari sana.

96cbe7a67ecc48fe1748c4eff0f47206.png

Sasa hivi wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA ni MATAJIRI na wanajijenga kama walivyokuwa wanajijenga UCHIFU WA BUSIA.

UCHIFU WA BUSIA walijijenga na wanaendelea kujijenga kupitia UINGEREZA, yaani UINGEREZA ipo nyuma ya MAFANIKIO YA KISIASA NA KIMAENDELEO ya UCHIFU WA BUSIA.

Pia wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU], TABORA [WETCU] pamoja na KAGERA [KCU] walijijenga na wanaendelea kujijenga kupitia UJERUMANI, yaani UJERUMANI ipo nyuma ya MAFANIKIO YA KISIASA NA KIMAENDELEO yanayohusu wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU], TABORA [WETCU] na KAGERA [KCU].

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ~ wao UINGEREZA walikuwa wanatamba na WANASAYANSI wao kama SIR ISAAC NEWTON na jamii yoyote itakayokuwa upande wa UINGEREZA hawatoanguka.

Pia UJERUMANI walikuwa wanatamba na WANASAYANSI wao kama ALBERT EINSTEIN na jamii yoyote itakayokuwa upande wa UJERUMANI watakuwa na nguvu ya KIUCHUMI NA KISIASA kama ilivyo JAMII YA BAVARIA inayopatikana nchini UJERUMANI.

95881ea75c24ad1d509526fc25b200d6.png

Sasa wale wamiliki halali wa kampuni MERU OIL, ndiyo wamiliki halali wa CHUO KIKUU CHA MERU [MUST] kinachopatikana nchini KENYA.

25d75c960348c5a8d1345bc0d0c5b370.png

Hiki CHUO KIKUU CHA MERU [MUST] na wao waliingia makubaliano [MOU] na SERIKALI YA KENYA, kama ilivyo kwa upande wa CHUO KIKUU CHA MLIMANI kilivyoingia makubaliano [MOU] na SERIKALI.

4441fe0e2600cd49f9b0eca15b6ef5ae.png

Sasa hivi hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA BARIADI wanamiliki UCHUMI MKUBWA na wamejitahidi kusoma shule.

982ccdc1acab881793119abc4b65b4f8.png

Wao wanasema hilo jina la MERU waliamua kutumia kutoka katika JINA LA MLIMA MERU unaopatikana ARUSHA, nchini TANZANIA. Ikiwa na maana halisi ya VOLKANO HAI, yaani ACTIVE VOLCANO ambayo inaweza kulipuka muda wowote.

ef0f2e8742dd13035a21659dffbce406.png

Kwahiyo ile hali iliyokuwa ikiendelea katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA, TABORA pamoja na KAGERA na ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ilikuwa ni kichocheo kikubwa cha kundi la BOYZ II MEN kutafuta suluhisho na makubaliano ya ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na SERIKALI kwa ujumla.
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
a4992508b1001233f3fb3b6444e37586.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa ni vijana ambao walifanikiwa kufahamu SIASA YA TANZANIA vizuri.

96dd6a3f97df6121b3995dec6f1e246f.png

Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa tayari wamekwisha anza kuwa na WACHEZA MPIRA WA KULIPWA katika MATAIFA YA ULAYA.

39373165f7ed48774458bb8874827e7c.png

WACHEZA MPIRA WA KULIPWA kama DWIGHT YORKE ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU, ambaye alicheza mpira wa miguu kwa kiwango na mafanikio makubwa sana.

47ba6c7c6f8eb4bec4db3e4ed6f1d13d.png

Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] joto la kisiasa nchini TANZANIA lilikuwa limepanda sana, kiasi ambacho wengine waliona kama sio busara na sio sahihi kwa jamii moja kuwa na maendeleo zaidi ya jamii nyingine za KITANZANIA.

3fb3ea632518fc59a24fccac498706c6.png

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN pamoja na KUNDI LA G55 ambalo baadae waliongezeka WABUNGE 10 na kuwa KUNDI LA G65 walikuwa na madai ya msingi na walikuwa wanajaribu kupigania usawa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] wale waliokuwa KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN walipokuwa wanapigania usawa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], wale wengine waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa wanawatumia WAJERUMANI kuwekeza katika biashara zao.

3fb3ea632518fc59a24fccac498706c6.png

Ilikuwa ni vigumu sana kupambana na UCHIFU WA BUSIA, kwa sababu wao walikuwa wasimamizi wa SERIKALI na CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na nyuma yao walikuwa wamesimama UINGEREZA. Ilikuwa ni vigumu sana!

UCHIFU WA BUSIA walikuwa wanajiita MANCHESTER UNITED au kwa jina lingine walikuwa wanaitwa RED DEVILS, yaani MASHETANI WEKUNDU.

e94cd483b6b5a078a74bcb827b8fe318.png

Sasa wale WATANZANIA waliofanikiwa kuwa na mahusiano mazuri na UJERUMANI ndiyo waliofanikiwa kupiga hatua kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's].

IMG_20241004_104720.jpg

WATANZANIA hao waliofanikiwa kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] walikuwa ni WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA.

4eb91bfad46d9b7c68fd0f37dd00951c.png

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walihamisha watu wao kwa kutumia rasilimali za VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA na kuwapeleka sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.



Jaribu kuangalia na kutimiza hiyo VIDEO! Pia walikuwa wanagharamia pesa za kujikimu, maladhi pamoja na kuwapatia elimu. Ndiyo wakina TI hao!

a47145d35dbbfbe3939b3c2c703f9a3f.png

TI ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya BARIADI. Wenyeji wengi wa asili wa WILAYA YA BARIADI walihama kwa asilimia kubwa na waliobaki walikuwa ni zile FAMILIA ZA KICHIFU.

FB_IMG_1726049795354.jpg

Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA BARIADI walifanikiwa kuingia na kuishi nchini MAREKANI na kuwakuta wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU wameshaloea na kuwa na majina makubwa kama wakina QUEEN LATIFAH na EVE.

47eb120a6ca2d535121b093d74214a1f.png

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa wanapigania usawa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na SERIKALI kwa ujumla, kwa kufahamu fika kuwa DIASPORA wengi kwa kipindi kile walikuwa ni WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA, TABORA pamoja na KAGERA.
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo wale KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa wakidai madai ya msingi na usawa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na SERIKALI.

Wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa wanawatumia WAJERUMANI na WAJERUMANI walikuwa wanawatumia WAHINDI katika kufanya biashara kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA na wakati huo huo kulifanyika MAPINDUZI YA KIJESHI kwa upande wa TAIFA LA BURUNDI [1993's].

6a2059b396e32d9d484d996109bc438a.png

Baada ya MAPINDUZI YA KIJESHI, HAYATI PIERRE BUYOYA alikuwa RAIS WA SERIKALI YA BURUNDI.

Pia kuna madai ya HAYATI PIERRE BUYOYA kuhusika dhidi ya MAUAJI YA RAIS WA KWANZA aliyechaguliwa kidemokrasia nchini BURUNDI ~ MELCHOIR NDADAYE.

d503a6a80755dfeca8969c2cbc127aef.png

HAYATI PIERRE BUYOYA alikuwa ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU na wakati wa mapinduzi ya SERIKALI YA BURUNDI yaliyoitumbukiza nchi hiyo katika vita vya wenyewe kwa wenyewe, kulikuwa kuna watu kama LUTENI JENERALI ADOLPHE NSHIMIRIMANA ambaye na yeye alikuwa ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

cb743672687821b3181fc6dc66859e84.png

LUTENI JENERALI ADOLPHE NSHIMIRIMANA ambaye baadae alikuja kuwa CHIEF OF NATIONAL INTELLIGENCE SERVICE [2004-2014] katika TAIFA LA BURUNDI na aliuawa AGUSTI, 2015 maeneo ya LA ROQUETTE, BUJUMBURA.

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa wanaogopeka sana kwa upande wa SIASA ZA TANZANIA na SIASA ZA MAZIWA MAKUU, kiasi ambacho wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA waliachana na SIASA na kujikita katika kufanya BIASHARA.
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Baada ya MAUAJI YA RAIS MELCHOIR NDADAYE, HAYATI MOBUTU alikuwa bado yupo madarakani na wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndiyo ikawa mwanzo wa kujihusisha na SIASA ZA TANZANIA na waliingia moja kwa moja kwa kuwaunga mkono KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN.

KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa tayari wanaandaliwa kushiriki UCHAGUZI MKUU WA 1995, huku KUNDI LA BOYZ II MEN likiwa limepangwa kutoa MGOMBEA URAIS na WAZIRI MKUU.

Kutoka katika KUNDI LA BOYZ II MEN ~ MGOMBEA URAIS alipangwa kuwa KHALFAN na NAFASI YA UWAZIRI UKUU ingeenda kwa WHITEY HAIR, kwa sababu walikuwa na uhakika wa kushinda UCHAGUZI MKUU WA 1995.

Wale wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] walikuwa wapo tayari kudhamini KUNDI LA BOYZ II MEN na tayari KHALFAN alikuwa ameshapokea kiasi cha USD 3,000,000 kama FEDHA ZA MAANDALIZI ya kushiriki UCHAGUZI MKUU WA 1995.

Hata ile HELIKOPTA aliyokuwa anatumia WHITEY HAIR, inaaminika ilikuwa ni HELIKOPTA iliyokuwa ikimilikiwa na KHALFAN na KHALFAN alipata hiyo HELIKOPTA kutoka kwa FEDHA za HAYATI MOBUTU.

Kipindi kile KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa wana FEDHA sana, kiasi ambacho hata MAMLAKA ZA KISERIKALI na CHAMA TAWALA walishituka.



Basi, ilibidi hatua zichukuliwe ili kuwadhibiti wale KUNDI LA G55 kwa kuwaweka kizuizini na kila MBUNGE alirudi kwako alipozaliwa na kuishi maisha ya kuripoti kwa AFISA MTENDAJI WA KIJIJI/MTAA. Yaani ilikuwa ni kama KIFUNGO CHA NJE, ili kunusuru CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

WHITEY HAIR alivyohojiwa akasema kila kitu kuhusu SWAHIBA wake na FEDHA walipozitoa na kweli walikuwa ni MATAJIRI, ghafla kuelekea UCHAGUZI MKUU WA 1995.

f5cb5be606cec1b648862a60c57decd8.png

Pia walifanikiwa kununua na kumiliki KIWANDA CHA NESTLÉ NIDO kwa asilimia mia moja! Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's], ile KAMPUNI YA NIDO ndiyo ilikuwa imeshikilia soko la BIDHAA YA MAZIWA YA UNGA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.

Lakini makosa waliyoyafanya KUNDI LA BOYZ II MEN ilikuwa ni kuoa wake zao wote kutoka katika MKOA WA SHINYANGA na MKOA WA SHINYANGA ndiyo ulikuwa MKOA ambao wale WASIMAMIZI WA SERIKALI NA CHAMA TAWALA wanatoka na kila kitu walichokuwa wanakifanya kilikuwa kinawafikia wale WASIMAMIZI WA SERIKALI NA CHAMA TAWALA kupitia wake zao.

c4f154987e5d7d60955310179380871d.png

Kwahiyo kile kipindi cha miaka ya tisini [1990's] ndiyo ukaibuka ule msemo maarufu wa lugha ya kiswahili uliokuwa ukisema ~ "KIKULACHO, KIPO NGUONI MWAKO..". Yaani wale wake wa KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa wana ripoti kila kitu na SAGA ikahamia kwa nani mmiliki halali wa KAMPUNI YA NIDO.
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Wale KUNDI LA BOYZ II MEN walipambana sana, baada ya kuoa wake zao kutoka katika MKOA WA SHINYANGA waliambiwa wazae na moja ya FAMILIA ZA WAJUMBE WA UCHIFU WA BUSIA, ili iwe kama sehemu ya mapatano ya kisiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

KUNDI LA BOYZ II MEN walifanya hivyo! WHITEY HAIR alifanikiwa kupata mtoto wa nje ya ndoa, pale SHINYANGA na baadae alihamisha ile familia ya yule mtoto wa nje na kuipeleka ARUSHA.

KHALFANI alifanikiwa kupata mtoto wa nje ya ndoa, pale SHINYANGA MJINI na baadae ile familia ya yule mtoto wa nje ikabaki pale pale SHINYANGA.

f99c66052ea6837766fb0ee84cc50951.png

Sasa baada ya SAGA LA NIDO, ilibainika ile KAMPUNI YA NIDO imeandikwa jina la mtoto wa nje ya ndoa ambaye alibaki pale SHINYANGA MJINI.

IMG_20241017_164922.jpg

Wale waliokuwa viongozi wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] wa kipindi kile walishangaa sana! Lakini baadae walikuja kufahamu kuwa yule BWANA hakuwahi kuwa na mtoto hata mmoja kati ya wale watoto aliokuwa akiishi nao. Ndiyo maana ilipelekea kuandika wosia kwa mtoto wa nje pekee yake.

5e11707002d50150cd75b17dc15b6fc9.png

Kwahiyo yule mtoto wa nje ndiyo mmiliki halali wa KAMPUNI YA NIDO na kipindi wosia unaandikwa walikuwepo mashihidi wengine, kama wakina ZAKIA, STELLA, HAWA na SOPHIA. Lakini kwa KAMPUNI YA NIDO hawajawahi hata kumuona huyo mtoto na MADAI wanasema hadi akifikisha miaka 35, ndiyo atakabiziwa baadhi ya vitu vilivyopo TANZANIA.
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo kulikuwa na VUGUVUGU LA KISIASA, wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa wanayahama maeneo yao ya asili na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.

78aeeb53ecb79bbaa2682d822c7ec868.png

Kipindi hicho hii kampuni ya usafirishaji ya abiria na mizigo, MASHCOOL ilivyokuwa ikiondoka MWANZA na kuhamia nchini KENYA, iliondoka na watu wengi sana.

Watu wengine walikuwa hawana hata HATI ZA KUSAFIRIA na walikuwa wakifika BODA YA SIRARI, walikuwa wanabebwa "MKWIJI MKWIJI" au wengine walikuwa wanaita "TANGANYIKA JEKI".

Watu wengi walikuwa wanalala SERO, halafu baadae wanaachiwa na kuvuka BODA na kuingia nchini KENYA. Maisha ya zamani, ndiyo yalikuwa hayo..

Hata hii KWAYA YA KKKT KIMARA inajumuisha WAIMBA KWAYA wengi sana wa kutoka katika MKOA WA SHINYANGA.


Hii NYIMBO ilikuwa ni PAMBIO kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] na wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ndiyo waliokuwa wakiimba wakati wakiyahama maeneo yao ya asili na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi. Pia kuna baadhi familia zilizoamua kubaki katika MIKOA hiyo.
 
Nitafarijika sana kama siku moja mzee Mohamed Said ataandika makala ya kumuelezea Kambona.

amuelezee kama anavyofanya katika kuwaelezea wazee wake wa Kariakoo ambao walishiriki harakati za kisiasa kabla na baada ya uhuru.

Najua uwezo huo unao ila hajajisikia tu kufanya hivyo. Labda kwa kuwa Kambona hakuwa mwenzetu kiimani.
Itapendeza
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo kulikuwa na VUGUVUGU LA KISIASA, wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa juu sana na ndiyo sababu iliyopelekea kutaka kuwa na mabadiliko ya kisiasa.

44099433adf072902ab23ab710e5109e.png

Ndiyo hawa wakina YOUNG KIRK FROST, ambaye ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU anayeishi nchini MAREKANI.

1a6d091d3e84dd27f2f349940afdf3d7.png

Wengine walikuwa ni kama wakina DWIGHT YORKE na ANDY COLE. Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU.

35912672592f5d4e9da3eff5f37a9d2a.png

Hata ukiachana na MSANII WA KIMAREKANI, anayeitwa EVE kuna WASANII wengine kama BRANDY aliyeimba nyimbo maarufu ya "RIGHT HERE".

83a6eb62feb980083a7d5fad30341e0e.png

BRANDY ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika wilaya ya KISHAPU.


Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walijengwa na wanaendelea kujengwa na UINGEREZA. Pia walitangulia kuwa na mahusiano mazuri na TAIFA LA UINGEREZA hata kabla ya kupatikana kwa uhuru wa TANGANYIKA.

2e383b2921563a762e6f0e981adc0333.png

Sasa wale wengine ambao ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA yaani MWASHITA, mwanzoni mwa miaka ya tisini [1990's] kipindi wanasambaa na kuingia nchini KENYA walikuwa wanashindia mboga kuu ambayo ni MAHARAGE.

e78ebf3ae0aa70a75bba4692285a055c.png

MAHARAGE ilikuwa ni mboga kuu ya WASUKUMA waliohamia nchini KENYA hadi kupelekea kuitwa SUKUMA-WEEK.

20199f02c990f6cbb4c02a7552c8f280.png

Yaani waliishi maisha ya kujinyima ili kufikia malengo na wamefanikiwa kufikia malengo, kwa sababu pesa za kujikimu kama malazi na elimu zilikuwa zinatoka kwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

bb97cb691aeef27e92ed6aaf6f1ea1bf.png

Kwahiyo wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walijengwa na wanaendelea kujengwa na UINGEREZA. Pia wale wenyeji waliobaki wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walijengwa na wanaendelea kujengwa na UJERUMANI.
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Ngoja siku ya JUMAMOSI au JUMAPILI nikipata muda nitakuonesha KURASA YA INSTAGRAM ambayo inaonesha WANAMICHEZO WA MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliohamia katika MATAIFA YA AMERIKA.
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Wenzenu wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wamesambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.

f5e11361f1fde37dd2ad576ca3028ef1.png

Huyu mwanamichezo anaitwa JULIEN ALFRED, ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na anafanya vizuri sana kwa upande wa TAIFA LA ST LUCIA 🇱🇨.

e53ffd1f2c51287d070d35d885404d0b.png

JULIEN ALFRED amewakilisha vyema TAIFA LA ST LUCIA, hadi kupelekea kupewa siku ya mapumziko kwa upande wa TAIFA LA ST LUCIA na huwa inadhimishwa kila mwaka ~ siku ya TAREHE 27, MWEZI SEPTEMBA.

3d00cff540d1d8b194f5e00dbb489a88.png

Amechukua tuzo nyingi katika michuano ya OLIMPIKI na anaendelea kufanya vizuri kimataifa.

9a9363b2020b16d839fa98c803165fbf.png

Sasa hivi hawa wanamichezo wenye asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA wana ukurasa wao wa INSTAGRAM ambao ni Login • Instagram.

3548f252b9329f23bb5529f60fb672c7.png

Huu ukurasa wa INSTAGRAM [Login • Instagram] unajumuisha wanamichezo wa asili ya mikoa ya MWANZA, SHINYANGA na TABORA wanaoshiriki michuano ya OLIMPIKI na kuwakilisha MATAIFA YA AMERIKA ikiwemo AMERIKA YA KASKAZINI pamoja na AMERIKA YA KUSINI.

489cbc5e9fd11323915768856514984e.png

Kwahiyo hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walifanikiwa kufahamu SIASA YA TANZANIA tangu siku nyingi sana na hiyo inatokana na mahusiano na TAIFA LA UJERUMANI katika kushirikiana kibiashara.
 
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
467071f76cc734a662efc0d209b37a9a.png

Hata huyu JULIEN ALFRED ni ROYAL na huwa wanasema kuanzia mwaka 2030 ~ kuna familia nyingine nyingi zitainuka na kuwa ROYAL FAMILY.

3d00cff540d1d8b194f5e00dbb489a88.png

Kwa upande wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ~ kufikia 2030's, ROYAL FAMILIES zitaongezeka kutoka kwa WANASIASA na WANAMICHEZO hasa WANAMICHEZO WA OLIMPIKI.
 
Yani ndugu zake waliuwawa huku Tz
Hii taarifa siyo ya uhakika! Lakini yeye mwenyewe pamoja na watu wa karibu waliokuwa wamemzunguka walipitia maswahibu makubwa sana.

HAYATI MWALIMU hakuwa mjinga! HAYATI MWALIMU alikuwa anafahamu ukweli fika kuhusu SIASA YA TANZANIA NA HATIMA YAKE.

HAYATI MWALIMU aliwekwa tu katika nafasi zote za kisiasa alizowahi kuzishika akiwa hai! Kwa sababu alikuwa ni msemaji mzuri sana na alifanikiwa kujijenga KIUCHUMI.

add0a0366f92781414d1e9b95fd840e1.png

Hao ndiyo wamiliki halali biashara zote zinazofanywa na huyo PONJORO au wengine wanaita KABACHORI au ukipenda jina la KANJIBAI. Haya yote majina matatu ni yao.. 😁

e15e2ffb18b18007ed1cca2c5c6bc62a.png

HAYATI MWALIMU alikuwa ni MSOMI na alivyoingia kwenye SIASA ZA TANU ni tofauti kabisa na kipindi ambacho anang'atuka. Kwani tayari na yeye alikuwa anamiliki UCHUMI MKUBWA.

6deb4f6440ee199ad9048ebca1d4efad.png

Aina hii ya SIASA inapatikana kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, huko ndiyo utapata wasaa wa kufahamu mambo mengi sana.
 
6deb4f6440ee199ad9048ebca1d4efad.png

Wamiliki halali wa kampuni inayoitwa NYEHUNGE EXPRESS ndiyo wamiliki halali wa kituo cha televisheni cha CITIZEN kinachopatikana nchini KENYA.


HAYATI MWALIMU alikuwa MSOMI na wakati mwingine alikuwa anawatumia wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] katika kufanya uwekezaji wa kibiashara. Hasa kituo cha CITIZEN TELEVISION!
 
Hii taarifa siyo ya uhakika! Lakini yeye mwenyewe pamoja na watu wa karibu waliokuwa wamemzunguka walipitia maswahibu makubwa sana.

HAYATI MWALIMU hakuwa mjinga! HAYATI MWALIMU alikuwa anafahamu ukweli fika kuhusu SIASA YA TANZANIA NA HATIMA YAKE.

HAYATI MWALIMU aliwekwa tu katika nafasi zote za kisiasa alizowahi kuzishika akiwa hai! Kwa sababu alikuwa ni msemaji mzuri sana na alifanikiwa kujijenga KIUCHUMI.

Hao ndiyo wamiliki halali biashara zote zinazofanywa na huyo PONJORO au wengine wanaita KABACHORI au ukipenda jina la KANJIBAI. Haya yote majina matatu ni yao.. 😁

HAYATI MWALIMU alikuwa ni MSOMI na alivyoingia kwenye SIASA ZA TANU ni tofauti kabisa na kipindi ambacho anang'atuka. Kwani tayari na yeye alikuwa anamiliki UCHUMI MKUBWA.

Aina hii ya SIASA inapatikana kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, huko ndiyo utapata wasaa wa kufahamu mambo mengi sana.
Mimi Nyerere Wala 1985 aliacha urais kukimbia aibu
 
Mimi Nyerere Wala 1985 aliacha urais kukimbia aibu
Muda wake ulikuwa umefikia tamati! Lakini hali yake ya KIUCHUMI ilikuwa imeboreka tofauti na kipindi ambacho alikuwa anajiunga na SIASA ZA TANU.

Kwa upande wa SIASA ZA TANZANIA, kuna mambo mengi yalipotoshwa na yanaendelea kupotoshwa kwa faida ya watu wachache.

Lakini ukweli wote utaupata kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, hata ukienda pale SHINYANGA MJINI utakuta habari tofauti kabisa kuhusu HAYATI MWALIMU.

Kwa mfano, ukiwa pale SHINYANGA MJINI - maeneo ya MWANDIGA kuna nyumba jirani ambayo ina rangi ya 🇩🇪. Wale huwa ni WAJERUMANI na wana habari nyingi kuhusu kuwekeza UJERUMANI kwa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] pamoja na HAYATI MWALIMU.

Yaani kuna taarifa ambazo siyo rasmi zinazoonesha HAYATI MWALIMU alikuwa anawatumia baadhi ya wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] katika kuwekeza biashara, ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA.
 
Muda wake ulikuwa umefikia tamati! Lakini hali yake ya KIUCHUMI ilikuwa imeboreka tofauti na kipindi ambacho alikuwa anajiunga na SIASA ZA TANU.

Kwa upande wa SIASA ZA TANZANIA, kuna mambo mengi yalipotoshwa na yanaendelea kupotoshwa kwa faida ya watu wachache.

Lakini ukweli wote utaupata kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, hata ukienda pale SHINYANGA MJINI utakuta habari tofauti kabisa kuhusu HAYATI MWALIMU.

Kwa mfano, ukiwa pale SHINYANGA MJINI - maeneo ya MWANDIGA kuna nyumba jirani ambayo ina rangi ya 🇩🇪. Wale huwa ni WAJERUMANI na wana habari nyingi kuhusu kuwekeza UJERUMANI kwa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] pamoja na HAYATI MWALIMU.

Yaani kuna taarifa ambazo siyo rasmi zinazoonesha HAYATI MWALIMU alikuwa anawatumia baadhi ya wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] katika kuwekeza biashara, ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA.
Uhongo kipindi anaondoka nchi uchumi ulikuwa unaanguka ,
 
Back
Top Bottom