Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshiniNenda JESHINI! Halafu ukitoka huko ingia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]! Huko utakutana na mambo ambayo hujawahi hata kuyasikia. Kumbe yalikuwa yakifanyika hapa hapa TANZANIA..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshiniNenda JESHINI! Halafu ukitoka huko ingia CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM]! Huko utakutana na mambo ambayo hujawahi hata kuyasikia. Kumbe yalikuwa yakifanyika hapa hapa TANZANIA..
Kipindi ambacho KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa wapo katika kutaka kuleta mabadiliko ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] ~ wenzenu wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa wakitafuta FEDHA na waliachana na SIASA ZA TANZANIA, maana kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] SIASA YA TANZANIA ilikuwa ni hatari sana.Sawaaa, mwambie alete madini hapa.
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] wale waliokuwa KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN walipokuwa wanapigania usawa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], wale wengine waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA walikuwa wanawatumia WAJERUMANI kuwekeza katika biashara zao.Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo wale KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa wakidai madai ya msingi na usawa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na SERIKALI.Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Baada ya MAUAJI YA RAIS MELCHOIR NDADAYE, HAYATI MOBUTU alikuwa bado yupo madarakani na wale waliokuwa wenyeji wa asili wa MATAIFA YA RWANDA, BURUNDI na KONGO yaani PUISSANTS [BSC] ndiyo ikawa mwanzo wa kujihusisha na SIASA ZA TANZANIA na waliingia moja kwa moja kwa kuwaunga mkono KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN.Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Wale KUNDI LA BOYZ II MEN walipambana sana, baada ya kuoa wake zao kutoka katika MKOA WA SHINYANGA waliambiwa wazae na moja ya FAMILIA ZA WAJUMBE WA UCHIFU WA BUSIA, ili iwe kama sehemu ya mapatano ya kisiasa ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo kulikuwa na VUGUVUGU LA KISIASA, wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa wanayahama maeneo yao ya asili na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
ItapendezaNitafarijika sana kama siku moja mzee Mohamed Said ataandika makala ya kumuelezea Kambona.
amuelezee kama anavyofanya katika kuwaelezea wazee wake wa Kariakoo ambao walishiriki harakati za kisiasa kabla na baada ya uhuru.
Najua uwezo huo unao ila hajajisikia tu kufanya hivyo. Labda kwa kuwa Kambona hakuwa mwenzetu kiimani.
Mwanaye mmoja nilikuwa namuona Mtwara 2006-2008 alikuwa huko, ila sifahamu kama bado yupoKizazi chake Kipo wapi
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo kulikuwa na VUGUVUGU LA KISIASA, wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa juu sana na ndiyo sababu iliyopelekea kutaka kuwa na mabadiliko ya kisiasa.Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Ngoja siku ya JUMAMOSI au JUMAPILI nikipata muda nitakuonesha KURASA YA INSTAGRAM ambayo inaonesha WANAMICHEZO WA MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA waliohamia katika MATAIFA YA AMERIKA.Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Yani ndugu zake waliuwawa huku TzNtakitafuta na nitakisoma lakini, kwa uliachinda hapa kambona alikua anapigania maslahi yetu, na ni kwanini ndugu zake waliteswa na kuuwawa kwa kitu wasichohusika nacho?
Wenzenu wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wamesambaa na kuenea sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Umri wangu umepita wa mim kuwa jeshini
Hii taarifa siyo ya uhakika! Lakini yeye mwenyewe pamoja na watu wa karibu waliokuwa wamemzunguka walipitia maswahibu makubwa sana.Yani ndugu zake waliuwawa huku Tz
Mimi Nyerere Wala 1985 aliacha urais kukimbia aibuHii taarifa siyo ya uhakika! Lakini yeye mwenyewe pamoja na watu wa karibu waliokuwa wamemzunguka walipitia maswahibu makubwa sana.
HAYATI MWALIMU hakuwa mjinga! HAYATI MWALIMU alikuwa anafahamu ukweli fika kuhusu SIASA YA TANZANIA NA HATIMA YAKE.
HAYATI MWALIMU aliwekwa tu katika nafasi zote za kisiasa alizowahi kuzishika akiwa hai! Kwa sababu alikuwa ni msemaji mzuri sana na alifanikiwa kujijenga KIUCHUMI.
Hao ndiyo wamiliki halali biashara zote zinazofanywa na huyo PONJORO au wengine wanaita KABACHORI au ukipenda jina la KANJIBAI. Haya yote majina matatu ni yao.. 😁
HAYATI MWALIMU alikuwa ni MSOMI na alivyoingia kwenye SIASA ZA TANU ni tofauti kabisa na kipindi ambacho anang'atuka. Kwani tayari na yeye alikuwa anamiliki UCHUMI MKUBWA.
Aina hii ya SIASA inapatikana kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, huko ndiyo utapata wasaa wa kufahamu mambo mengi sana.
Muda wake ulikuwa umefikia tamati! Lakini hali yake ya KIUCHUMI ilikuwa imeboreka tofauti na kipindi ambacho alikuwa anajiunga na SIASA ZA TANU.Mimi Nyerere Wala 1985 aliacha urais kukimbia aibu
Uhongo kipindi anaondoka nchi uchumi ulikuwa unaanguka ,Muda wake ulikuwa umefikia tamati! Lakini hali yake ya KIUCHUMI ilikuwa imeboreka tofauti na kipindi ambacho alikuwa anajiunga na SIASA ZA TANU.
Kwa upande wa SIASA ZA TANZANIA, kuna mambo mengi yalipotoshwa na yanaendelea kupotoshwa kwa faida ya watu wachache.
Lakini ukweli wote utaupata kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, hata ukienda pale SHINYANGA MJINI utakuta habari tofauti kabisa kuhusu HAYATI MWALIMU.
Kwa mfano, ukiwa pale SHINYANGA MJINI - maeneo ya MWANDIGA kuna nyumba jirani ambayo ina rangi ya 🇩🇪. Wale huwa ni WAJERUMANI na wana habari nyingi kuhusu kuwekeza UJERUMANI kwa waliokuwa wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] pamoja na HAYATI MWALIMU.
Yaani kuna taarifa ambazo siyo rasmi zinazoonesha HAYATI MWALIMU alikuwa anawatumia baadhi ya wafanyakazi wa CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU] katika kuwekeza biashara, ndani na nje ya mipaka ya TANZANIA.