Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Tanzania ya sasa ni ile aliyoona Oscar Kambona, Mwalimu Nyerere alikosea sana

Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Hizi picha zipo tu! Nyingine zinapatikana katika kurasa za INSTAGRAM na kuna kurasa rasmi kabisa za kuwapata wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

FB_IMG_1730719593587.jpg

MKOA WA SHINYANGA upo juu sana! Hata huyu LAURYN HILL ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1730719325855.jpg

Huyu LAURYN HILL alizaa na mtoto wa BOB MARLEY na kufanikiwa kupata mtoto wa kike anayeitwa SELAH MARLEY. SELAH MARLEY ni mjukuu wa BOB MARLEY.

FB_IMG_1730957396855.jpg

Ijapokuwa kuna stori nyingine zinasema kuwa ni mtoto wa NAS, lakini hatufanyii kazi uzushi.

FB_IMG_1731175472660.jpg

LAURYN HILL ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na anafanya vizuri sana kwa upande wa TASNIA YA MUZIKI.


Yaani MKOA WA SHINYANGA una IDADI KUBWA YA DIASPORA kutokana na WASIMAMIZI WA SERIKALI kupatikana katika WILAYA YA KISHAPU.

FB_IMG_1730719568119.jpg

Hata huyu FAITH EVANS ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA, yaani wenyeji wengi wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walihamia MAREKANI.



Subiri 2030's wataanza kurudi TANZANIA, kwa sababu hawawezi kuendelea kuishi kama "OUTSIDERS" kwa kipindi kirefu, ilhali na wao wana kwao.

Kwahiyo OSCAR KAMBONA alikuwa sahihi! Wale waliokuwa KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa sahihi pia. HAYATI MWALIMU alikosea sana.

Lakini HAYATI MWALIMU watamlaumu bure, kwa sababu na yeye alikuwa kwenye harakati za kujijenga KIUCHUMI na KISIASA.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikuwa bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikuwa akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno".

Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asingeendelea kuwa mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".

Mwalimu alikuwa mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine, chochote kile ambacho kilikuwa hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikuwa "viable".

Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwa sababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikuwa "kila kitu".

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliyekua sahihi lakini hawakumskiliza.

Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikuwa "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021, TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu Mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii

Natamani Watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 tujue habari za huyu shujaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawasawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huohuo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini. Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani", 1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga. Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU(Mwasisi wa TANU). OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka: "Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani, 1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

View attachment 1983785
Wazanzibari wengi wanamchukia Nyerere kwa sababu ya Muungano na Sababu ya Azimio la Arusha.
Zanzibar kwa hulka yao wana ujamaa katika misingi ya kiislam. Wachache wanamiliki mali zote na kutoa zake kwa ajili ya maskini ili wapate mitaji wa ainuke . Huu ni mfumo unaofanana na ubepari lakini una ubinadamu tofauti Ubeperi na ushetani na unyama wa nchi za magharibi ambao unatajirika shida za kuwatengenezea wengine mpaka vifo. Huo ndio ubepari unaofanyika Tanganyika kwa sasa . Ndio maana mfumo wa Kibepari wa magharibi kwa nchi zenye rasilimali nyingi unagauka kusa laana kama ilivyo Kongo na nchi nyingi sana duniani.

Bila shaka Mwalimu Saisa za Mwalimu zilipingwa sana na Mataifa makuba ya magharibi ambayo yanainyona sana Afrika na kuacha vita na vifo vingi bila huruma.

Mwalimu ndiye Nabii wa kweli wa Tanganyika na sio hao mashetani na mawakala wa mashoga na wasagaji ndio wanaomtukana Baba wa Taifa .

Enzi za Mwalimu watanzania waliishi maisha yenye furaha sana. Hata Michezo kama mpira,mbio za ziara, Bondia, maigizo , ngoma za asili ,miziki na bendi live ,ngonjera ,michezo mashuleni n.k vyote vilifanyika kwa raha na amani na upendo mkubwa sana. Ujamaa wa mwalimu ukichukua na watu waovu walipoenda nchi isamabaratike ili wagawane rasilimali za umma .

Lazima tujiulize ni kwa nini Mabepari wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha mifumo yao duniani . Nini hasa kipo nyuma ya hao Mabepari .? Je, ni kweli kuwa wazungu waliovamia nchi zetu na kuiba kila kitu wana upendo wa kutaka tunufaike na mifumo ya ubepari?
Kama ubapari ni mzuri kwa nini wanatumia pesa nyingi na hata kuwaua wale wanaopinga mifumo yao?

Labda tuulizane ,je,ni nchi gani ya Afrika yenye Rasilimali nyingi kama Tanzania iko salama kwa mfumo wa Kibepari?

Karume alijenga mfumo unaofanana sana na ukomunist kwa kutoa huduma zote bure mpaka nyumba za kusihi na kuwalipa wazee pesa za kujikimu.
Wazungu walimchukia Karume na kuon kuwa Znzibar ni tishio kwenye ukanda wa la afrika Mashariki.
 
Wazanzibari wengi wanamchukia Nyerere kwa sababu ya Muungano na Sababu ya Azimio la Arusha.
Zanzibar kwa hulka yao wana ujamaa katika misingi ya kiislam. Wachache wanamiliki mali zote na kutoa zake kwa ajili ya maskini ili wapate mitaji wa ainuke . Huu ni mfumo unaofanana na ubepari lakini una ubinadamu tofauti Ubeperi na ushetani na unyama wa nchi za magharibi ambao unatajirika shida za kuwatengenezea wengine mpaka vifo. Huo ndio ubepari unaofanyika Tanganyika kwa sasa . Ndio maana mfumo wa Kibepari wa magharibi kwa nchi zenye rasilimali nyingi unagauka kusa laana kama ilivyo Kongo na nchi nyingi sana duniani.

Bila shaka Mwalimu Saisa za Mwalimu zilipingwa sana na Mataifa makuba ya magharibi ambayo yanainyona sana Afrika na kuacha vita na vifo vingi bila huruma.

Mwalimu ndiye Nabii wa kweli wa Tanganyika na sio hao mashetani na mawakala wa mashoga na wasagaji ndio wanaomtukana Baba wa Taifa .

Enzi za Mwalimu watanzania waliishi maisha yenye furaha sana. Hata Michezo kama mpira,mbio za ziara, Bondia, maigizo , ngoma za asili ,miziki na bendi live ,ngonjera ,michezo mashuleni n.k vyote vilifanyika kwa raha na amani na upendo mkubwa sana. Ujamaa wa mwalimu ukichukua na watu waovu walipoenda nchi isamabaratike ili wagawane rasilimali za umma .

Lazima tujiulize ni kwa nini Mabepari wanatumia nguvu kubwa sana kulazimisha mifumo yao duniani . Nini hasa kipo nyuma ya hao Mabepari .? Je, ni kweli kuwa wazungu waliovamia nchi zetu na kuiba kila kitu wana upendo wa kutaka tunufaike na mifumo ya ubepari?
Kama ubapari ni mzuri kwa nini wanatumia pesa nyingi na hata kuwaua wale wanaopinga mifumo yao?

Labda tuulizane ,je,ni nchi gani ya Afrika yenye Rasilimali nyingi kama Tanzania iko salama kwa mfumo wa Kibepari?

Karume alijenga mfumo unaofanana sana na ukomunist kwa kutoa huduma zote bure mpaka nyumba za kusihi na kuwalipa wazee pesa za kujikimu.
Wazungu walimchukia Karume na kuon kuwa Znzibar ni tishio kwenye ukanda wa la afrika Mashariki.
HAYATI MWALIMU hausiki na chochote! Sema kampuni inapopitia changamoto, wakulaumiwa huwa ni MENEJA. Lakini huwa kuna MKURUNGENZI pamoja na WAMILIKI HALALI wa kampuni.

TANZANIA ipo kama kampuni. Kuna MENEJA ambaye ndiye RAIS! Kuna MKURUNGENZI ambaye ndiye UCHIFU WA BUSIA na WAMILIKI HALALI ambao ndiyo UINGEREZA wenyewe.

WATANZANIA hawakupigania UHURU, hata machungu ya kupigania UHURU bado hatuyafahamu.

RWANDA ipo hivyo hivyo! Kwani WATUSI ndiyo waliokuwa RPA? WATUSI ndiyo waliokuwa RPF?

Wewe 1000 digits unaweza kumlaumu PK kwa yale yaliyotokea na yanayoendelea kutokea nchini RWANDA?

Absolutely not! That guy, even his family doesn't exist in reality. Kinachofanyika ni PROPAGANDA tu..😁

834989fd16607ab1fc3d5c61a5db5cd3.png

Ndiyo maana sasa hivi kuna kila haja ya kila MTANZANIA kupitia kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, maana huko utakutana na vitu ambavyo havipo SHULENI.

7c41fe038b7541ca4ac25913f87eb1c0.png

WAINGEREZA huwa wanasema ~ "When you go to SCHOOL, you will be EDUCATED and when you go to MILITARY, you will be MATURED. So SCHOOL and MILITARY are parallel to each other, meaning that having the same distance continuously between them".
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Kipindi kile cha miaka ya nyuma kidogo, ukiwa TANZANIA kwa upande wa VYUO VIKUU kuliibuka ule msemo unaosema ~ "Go Home or Go Big" ikiwa na maana ya "Nenda Nyumbani au Nenda Jeshi".


Sasa sikiliza ubeti wa pili wa hiyo NYIMBO, wale WASIMAMIZI WA SERIKALI ndiyo wahusika wa huo ubeti wa pili.

FB_IMG_1730798398541.jpg

Lakini walifanikiwa kubeba watu wao! Hawa wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

740a82c4ce6eac728d043f01a51297d1.png

Ile kasi ya kuwahamisha wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ilipungua baada ya UCHAGUZI MKUU WA 1995 kutokana na KUNDI LA G55 kuwa na madai ya msingi.

728e4195d3c8792c4bfbe10d8903e711.png

Lakini wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA, hasa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa wamepiga hatua kubwa sana.

c091942fedcf02088bac183fbfb5b75a.png

Kwahiyo haya mambo hauwezi kuyafahamu ukiwa uraiani hadi uende kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, kwa sababu hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA huwa ni WATU WAKIMYA yaani "SILENT MAJORITY" na hauwezi kuwasikia wakijitapa.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
"Go Home or Go Big" ikiwa na maana ya "Nenda Nyumbani au Nenda Jeshi".

c6c16c6343d526656acb4d56210ac1a8.png

Unapozungumzia DIASPORA kwa upande wa TANZANIA, unazungumzia wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

FB_IMG_1730955905589.jpg


Hadi JA RULE ni wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU! Ukiwa katika MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ~ DIASPORA wengi wanatoka katika WILAYA YA KISHAPU ikifuatia na WILAYA YA BARIADI.

FB_IMG_1730957507500.jpg

Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ndiyo waliofanikiwa katika TASNIA YA MUZIKI NA SANAA nchini MAREKANI.

FB_IMG_1730957044381.jpg

Hadi MISS ELLIOT ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.

FB_IMG_1730957023721.jpg

Yaani asilimia themanini [80%] ya wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walihamia nje ya nchi na asilimia ishirini [20%] waliobaki TANZANIA walisambaa sehemu mbalimbali za nchi.

FB_IMG_1730957470257.jpg

KISHAPU! KISHAPU! Wale waliokuwa KUNDI LA G55 na KUNDI BOYZ II MEN walikuwa sahihi na madai yao yalikuwa ya msingi sana.

FB_IMG_1730957091764.jpg

Hadi DR DREE! MARRY J BRIDGE! Na METHOD MAN wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1730957106064.jpg

Hawa wote waliofanikiwa kupata mafanikio wakiwa nje ya nchi, wanajijenga kuwa ROYAL FAMILY.

FB_IMG_1730955752646.jpg

2030's wataanza kurudi TANZANIA! Hii imepangwa kabisa na kuna baadhi ya plani za mji zimeshaanza kuwekwa sawa kwa upande wa SHINYANGA MJINI na WILAYA ZA JIRANI.

FB_IMG_1730955783370.jpg

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA G55 na baadae waliongezeka WABUNGE 10 wakawa KUNDI LA G65 walikuwa sahihi na ule ulikuwa unakwenda kuwa UPINZANI WA KWELI ukiongozwa na KUNDI LA BOYZ II MEN.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
"Go Home or Go Big" ikiwa na maana ya "Nenda Nyumbani au Nenda Jeshi".

a8ee0afebe33d12d256cd052a0cce86c.png

Hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA wamesambaa sana katika MATAIFA YA ULAYA pamoja na AMERIKA.

FB_IMG_1730956853113.jpg

Hawa ni WASANII WA MAREKANI, ambao ni JADAKISS na NAS! Wote ni WATANZANIA ambao ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

FB_IMG_1730956995981.jpg

Wengine ni kama LIL KIM ambaye kipindi fulani alitamba kwa kibao cha LIGHTERS UP.

FB_IMG_1730956571428.jpg

Wengine ni kama KENDRICK LAMAR, ambao kwa kipindi fulani walitamba katika TASNIA YA HIP HOP nchi MAREKANI.

FB_IMG_1730955655462.jpg

Wengine ni kama TREY SONGS ambao kipindi fulani na wao pia walitamba katika TASNIA YA MUZIKI nchini MAREKANI.


TREY SONGS pamoja na wazazi wake ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1733584045847.jpg

Wapo WATANZANIA wengine wengi ambao kwa namna moja ama nyingine walichangia na wanatambulika katika TASNIA YA MUZIKI nchini MAREKANI.

FB_IMG_1730956062410.jpg

METHOD MAN ametokea sehemu nyingi, inaonekana ni mtu wa watu! Kwenye picha ya pamoja yupo na DAVE CHAPPELLE, CHUCK D, GRANDMASTER CAZ na FLAVOR FLAV ~ wote ni wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA. MKOA WA SHINYANGA upo juu sana..

FB_IMG_1730955815393.jpg

Sasa hivi ukiwa pale HOSPITALI YA GOVERNMENT kuna ukarabati unaendelea na anayefanya huo ukarabati yupo MAREKANI na alizaliwa hapo, ni mtu maarufu sana! Yaani SUPASTAA.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
FB_IMG_1730957303094.jpg

PUFF DADDY ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


Wamiliki halali wa KUNDI LA BAD BOYS ENTERTAINMENT ni UCHIFU WA BUSIA kutoka WILAYA YA KISHAPU.

4d9e52aa189d90deda0234bb1cf2c003.png

Yaani wale UCHIFU WA BUSIA ndiyo wamiliki halali wa FILAMU zote zinazoandaliwa na KUNDI LA BAD BOYS ENTERTAINMENT.

d3f278fb7543ff323f3901d7ca152d91.png

Wahusika wote wa KUNDI LA BAD BOYS ENTERTAINMENT ni WATANZANIA, kasoro wale watu wenye asili ya weupe.

56ba8406aeb6b844d270a53c7d428be5.png

KUNDI LA BAD BOYS ENTERTAINMENT wote ni wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
IMG-20241111-WA0001(1).jpg

Hawa KUNDI LA DRU HILL ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


Hilo la KUNDI LA DRU HILL ndiyo lililotoa msanii maarufu anayeitwa SISQO! Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU wapo juu sana na ndiyo waliokuwa wanufaika wakubwa wa NAFASI ZA KIDIPLOMASIA, halafu wanafuatia wale wengine ambao ni wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

3bfef5f08d640a2c6e5002c78d47dc30.png

Pia kuna KUNDI LA OUTKAST ambalo linafanya vizuri nchini MAREKANI.

8b721d501dc55ea08e37f0d145d55736.png

Hawa KUNDI LA OUTKAST ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na wanaishi nchini MAREKANI.


Hili KUNDI LA OUTKAST linajumuisha WASANII kama wakina ANTWAN PATTON maarufu kama "BIG BOI" na ANDRÉ BENJAMIN maarufu kama "ANDRÉ 3000". Hawa wote ni wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU.

55ec1cbde1f264e0752216517d08bcec.png

Pia VYONNE CHAKACHAKA ni MTANZANIA, tena yupo kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA.



VYONNE CHAKACHAKA ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA ambaye alihamia AFRIKA YA KUSINI kwa njia ya KIDIPLOMASIA, ni DIASPORA kutoka SHINYANGA MJINI.

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA G55 na KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa na madai ya msingi, na kuna sababu moja kubwa ya wale waliokuwa WANASIASA wakina WHITEY HAIR na KHALFANI kujiita KUNDI LA BOYZ II MEN.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
"Go Home or Go Big" ikiwa na maana ya "Nenda Nyumbani au Nenda Jeshi".

FB_IMG_1731236439335.jpg

Hadi hawa KUNDI LA SWV ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na wanafanya vizuri sana katika MUZIKI WA R&B na SOUL. Wanaishi MAREKANI.


Pia kuna KUNDI LA TLC ambalo linajumuisha wasanii wa jinsia ya kike ambao ni TIONNE "T-BOZ" WATKINS, LISA "LEFT EYE" LOPES na CRYSTAL JONES.

FB_IMG_1731236612421.jpg

Hawa KUNDI LA TLC ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na wanafanya vizuri sana katika MUZIKI WA POP na R&B.

FB_IMG_1734074366177.jpg

Hawa KUNDI LA TLC wanaishi MAREKANI.


Pia kuna KUNDI LA MIS TEEQ ambalo linajumuisha wasanii wa jinsia ya kike ambao ni SABRINA WASHINGTON, ALESHA DIXON, SU - ELISE NASH na ZENA MCNALLY.

FB_IMG_1731250351498.jpg

Hawa KUNDI LA MIS TEEQ ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA BARIADI na wanafanya vizuri sana katika MUZIKI WA R&B, HIP HOP na GEREJI. Wanaishi UINGEREZA.


Hawa KUNDI LA MIS TEEQ baada ya wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA BARIADI kupata FEDHA kutoka katika CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA MKOA WA SHINYANGA [SHIRECU], waliamua kurudi kwao na kuwa pamoja na kupunguza mahusiano na wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU.

FB_IMG_1731946224833.jpg

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA G55 na baadae waliongezeka WABUNGE 10 na kuwa KUNDI LA G65 pamoja na KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa sahihi na moja ya madai yao ya msingi ilikuwa ni DIASPORA, kwamba nafasi za KIDIPLOMASIA zilikuwa zinatolewa kwa upendeleo.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Hao UCHIFU WA BUSIA walikuwa na UCHUMI MKUBWA kuliko UCHIFU WA KIAMBU, unaopatikana nchini KENYA.

Ile nafasi waliyokuwa nayo UCHIFU WA BUSIA kwa upande wa TANZANIA walitakiwa kupewa UCHIFU WA MSOVERO [CHIFU MANGUNGO] tangu kipindi TANGANYIKA inapata UHURU wake kutoka kwa UINGEREZA.

Kwa bahati mbaya, CHIFU MANGUNGO alikuwa hana ELIMU, lakini alikuwa na nguvu ya kiushawishi kwa upande wa TANGANYIKA.

Kipindi TANGANYIKA inapata UHURU kutoka kwa UINGEREZA, yule UCHIFU WA BUSIA alikuwa na watoto kumi na moja [11] na baada ya kufanya makubaliano na kuanza kutumika na UINGEREZA.

IMG_20240808_204715.jpg

UCHIFU WA BUSIA alifanikiwa kusambaza watoto wake wote, wale kumi na moja [11] katika sehemu mbalimbali za TANGANYIKA kwa kubadilisha majina, dini na makabila kwa msaada wa UINGEREZA.

samia_suluhu_hassan_20240920_155938_2.jpg

Wale watoto kumi na moja [11], ndiyo waliokuja kuwa familia kumi na moja [11] ambazo zitaongoza CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na tayari wameshaanza kwa awamu ya sita.

samia_suluhu_hassan_20240920_155913_3.jpg

Kwahiyo HAYATI OSCAR KAMBONA alikuwa sahihi na HAYATI MWALIMU alikosea sana! Pia KUNDI LA G55 na baadae KUNDI LA G65 walikuwa sahihi! Hata KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa sahihi, sema ndiyo hivyo NGOMA YA WATOTO HAIKESHI..😁
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Hao UCHIFU WA BUSIA walikuwa na UCHUMI MKUBWA na CHIFU wao hadi anafariki [1997's] alikuwa na watoto wengine wengi, zaidi ya watoto ishirini [20].


Hiyo ndiyo SIASA YA UINGEREZA! Wao huwa wanaamini katika IDADI YA WATU, hivyo huwa wanahamasisha watu wao kuzaliana zaidi kupitia MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA.

IMG-20241115-WA0005.jpg

UINGEREZA imefanikiwa kutawala MATAIFA mengi ikiwemo MATAIFA YA ULAYA, AMERIKA, AFRIKA, AUSTRALIA na ASIA ikiwemo IRANI yenyewe.

Sasa wale UCHIFU WA BUSIA walivyoingia makubaliano na kuanza kutumika na UINGEREZA, walihamasishwa kuzaliana na kusambaa sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi.

IMG-20241114-WA0001.jpg

Ule UCHIFU WA BUSIA wapo wengi na wanazaliana sana! Hata SPIKA WA BUNGE ni kizazi cha UCHIFU WA BUSIA.

IMG-20241114-WA0002.jpg

Huyu pia ana nafasi ya kuwa MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na RAIS WA SABA WA TANZANIA.

IMG-20241114-WA0003.jpg

Huyu pia ni miongoni mwa familia kumi na moja [11] ambazo zitaongoza CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], kwa sababu wao ndiyo wasimamizi na wadhamini wakuu wa CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM].

29708d944aa17c8604a8cd6fe5e55e03.png

Kwahiyo OSCAR KAMBONA alikuwa sahihi na HAYATI MWALIMU alikosea sana, kushuhudia haya mambo yakipangwa na kupangika bila ya kuchukua hatua zozote.

5d611e6c31ec6e1d2f581705f2a47656.png

WATANZANIA waliofuata baada ya hayo mambo walikuwa ni wale KUNDI LA BOYZ II MEN na waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

88b29bffe79bc2271333a802de7fdeed.png

Wale KUNDI LA BOYZ II MEN na waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliambiwa ukweli ~ kwamba hawawezi kutoboa, kwa sababu UCHIFU WA BUSIA umejengwa na unaendelea kujengwa na UINGEREZA. Hivyo wanatakiwa kutafuta namna nyingine ya kuweza kuwa kama wao.

088c0fe3f702f5a9ba832283bfb76fed.png

KUNDI LA BOYZ II MEN na waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] ndiyo wakaelekea UJERUMANI! Walishauriwa kuwa na mafungamano na TAIFA LA UJERUMANI, kwa sababu TANGANYIKA ilishawahi kuwa KOLONI LA KIJERUMANI kabla ya UINGEREZA. Hivyo WAJERUMANI wanaifahamu vizuri TANZANIA.

84c3d3841405b0477700f036a46c4eb4.png

Kipindi hicho cha miaka ya tisini [1990's] ndiyo ukawa mwanzo wa KUNDI LA BOYZ II MEN na waliokuwa WAFANYAKAZI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] kuwatumia WAJERUMANI katika kufanya BIASHARA, UCHUMI na SIASA ZA TANZANIA.
 
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu wengine ambao bila wao mwalimu "asingetoboa" na pengine tusingemjua kabisa mwalimu Nyerere, au story yake ingekua "short lived". Mmoja wa hao watu ni OSCAR KAMBONA.

Nimezaliwa hapa Tanzania miaka ya 90 mpaka nimekua mtu mzima kila kitu ni Nyerere tu. Kambona nilimsikia baadae sana baada ya kusikia kisa cha huyu mtu nikawa interested sana kufuatilia stories zake.

kwa mujibu wa maandiko Kambona alikuwa bega kwa bega na mwalimu ktk kudai uhuru yaani ilikuwa akitoka mwalimu anaefuata ni Kambona lakini huwezi sikia hichi kitu kinasemwa waziwazi na pengine bila mawazo na support ya Kambona mwalimu "angefeli vibaya mno".

Kambona ndio mtu aliezima mapinduzi yalioilenga serikali ya Nyerere kutoka kwa askari waliotaka kuasi, yaani kwa ufupi ni kwamba Nyerere asingeendelea kuwa mtawala wa nchi hii kama sio Kambona.

Kambona aliona mbali kuliko mwalimu Tanzania ya sasa ndio aliyoiona Kambona lakini mwalimu alipinga, Kambona aliona ubepari ndio utafanya kazi lakini mwalimu aliona ujamaa ndio unafaa, mwalimu "failed miserably" akatupeleka chaka mpaka leo we still pay for his "grave mistake".

Mwalimu alikuwa mbishi na aliamini kwamba yeye ndio ana maono bora kuliko wengine, chochote kile ambacho kilikuwa hakiendani na sera zake alikipinga hata kama kilikuwa "viable".

Fikiria mtu mmoja tu kaenda Urusi akafurahishwa na mfumo wa ujamaa akaja kuufanyia "experiment" hapa nchini na ukafeli kwa sababu alikataa kusikiliza maoni ya watu wengine, kwa wakati huo mwalimu ndio alikuwa "kila kitu".

Kambona akatofautiana na mwalimu , yeye alitaka ubepari mwalimu alitaka ujamaa. Kutokana na ushawishi mwalimu alishinda japo Kambona ndie aliyekua sahihi lakini hawakumskiliza.

Baadae mwalimu alijua amekosea akaturudisha kwenye Ubepari na bado akaonekana ni "hero" . Kitu ambacho Oscar alikiona miaka kadhaa kabla wakati huo mwalimu alikuwa "blind" almost everyone was blind except the very few including Kambona.

Haya leo 2021, TZ hii ya leo ndio Kambona aliyoiona na tumechelewa sana, kwa mtazamo wangu bado tupo nyuma kwa miaka 15 kutokana na sera mbovu Mwalimu nyerere.

Wote ni marehemu wapumzike kwa amani lakini, mwisho wa siku Oscar Kambona ndio AMESHINDA!!!!! Kwangu mimi shujaa wa kweli nchi hii ni OSCAR KAMBONA na sio mwalimu! Na ndio mtu muhimu sana sawa na mwalimu lakini ndio aliesahaulikia kuliko wote nchi hii

Natamani Watanzania wengi tuliozaliwa miaka ya 90 tujue habari za huyu shujaa ambaye ni co-founder wa hii nchi kwangu mimi alichangia 50% ktk kutengeneza taifa hili sawasawa na mwalimu, yaani ni kama vile "stive wozniak na stive jobs", steve jobs alitumia akili za stive wozniak na credit akajiapa yeye mwenyewe

Aliyeweka Nyerere day kama public holiday alitumia vigezo gani ilihali si kweli kwamba Nyerere ndie mtu pekee aliepigania uhuru wa nchi hii

Ukiniambia nichague kati ya Nyerere na Kambona itakua ni Kambona always

UPDATE:
Watu wengi kwenye comments wanasema kwamba ujamaa ulituleta karibu, lakini ujamaa huohuo ndio uliotuletea umaskini, kwa hiyo logic yake ni kwamba mwalimu alichagua umaskini na umoja dhidi ya maendeleo ambayo hatuna uhakika kama yangetugawa, lakini kabla ya yote Kambona alimshauri kwamba kabla ya ku adopt ujamaa tuufanyie kwanza majaribio , tutengeneze vijiji vichache ambavyo vitaishi kijamaa ili tuone hii system itafanya kazi lakini mwalimu alikataa akaiingiza moja kwa moja bila kujua risks zake ni nini kitu ambacho kambona alishakiona


"Oscar Kambona was one of the best presidents Tanzania never had"
refence:

====

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!!

Christopher Makwaia

WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.10.jpeg

1. Usuli
Jioni ya Ijumaa ya tarehe 13.8.1925, huku mvua kubwà na radi kali zikirindima kijijini Kwambe, wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma, alizaliwa mtoto wa kiume akiwa buheri wa afya. Wazazi wa mtoto huyo, Rev. DAVID KAMBONA na Bi. MARIAM KAMBONA, wakampa mtoto huyo jina la OSCAR SATHIEL DAVID KAMBONA. Mvua na radi hiyo, kwa mujibu wa mila za kijijini hapo, "nyumbi hii, bombi hii", ilikuwa ni baraka na ishara kuwa mtoto huyo atakujakuwa wa kipekee.

2. Elimu Chini ya Mwembe
KAMBONA, tofauti na watoto wengine, hakusomea shuleni elimu ya awali bali alifundishwa na wazazi wake pamoja na mjomba wake ambao wote walikuwa walimu. Mafunzo hayo ya awali yalikuwa yakifanyika chini ya mwembe huku chai na mihogo vikiwa pembeni.

3. Elimu ya "Middle School"
Baadae KAMBONA alipelekwa shule ya Kati ya Mt. Barnabas, Liuli. Akiwa shuleni hapo, KAMBONA alikuwa kipanga na "aliwatimulia vumbi" wanafunzi wote kwa miaka yote alipokuwa shuleni hapo.

4. Alliance Sec. School
KAMBONA alifaulu vizuri mitihani yake na akachaguliwa kujiunga na "Alliance Sec. School", Idodomia ambayo baadae ikajaitwa Mazengo Sec. School. Almanusra KAMBONA asiendelee na masomo kwani baba yake hakuwa na uwezo wa kulipa £ 30 kwa mwaka. Uwezo wa KAMBONA "kutema yai" ndio uliomponya kwani alifanikiwa kumshawishi Askofu kumlipia ada hiyo baada ya kusali Sala ya Baba Yetu kwa Kiingereza!.

5. Tabora Boyz Sec. School
KAMBONA alisoma shule hii pamoja na J. Lusinde, E. Mzena, B. Ngwilulupi, A. Nsekela, A. Nyirenda na K. Chiume. Ni akiwa shuleni hapo ndipo kwa mara ya kwanza, KAMBONA alionana na NYERERE aliyekuwa akifundisha St. Marys, Tabora.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25281%2529.jpeg

6. Ualimu Alliance Sec. School
Baadae, KAMBONA alienda kufundisha shule hii na akakutana na J. Lusinde na K. Chiume na baadae akawa "Schoolmaster".

7. KAMBONA akutana na NYERERE tena
KAMBONA alikutana na NYERERE kwa mara ya 2 kwenye Mkutano wa taifa wa waalimu mwaka 1954.

8. KAMBONA Ajiunga TANU
Mwaka 1955, KAMBONA alijiunga na TANU iliyozaliwa tarehe 7.7.1954 na akaonesha bidii kubwa huku akifanya kazi kwa kujitolea kwani TANU haikuwa na fedha. Bidii yake ilipelekea kuwa Katibu Mkuu wa TANU.

9. KAMBONA Awaingiza TANU Watanganyika 100,000
KAMBONA alitembea nchi nzima kwa miezi 6 akionana na Machifu na wanavijiji na kufanikiwa kuingiza wanachama 10,000. Baadae akiendelea na harakati hizo na baada ya miezi 12 akawa ameingiza wanachama 100,000. Viongozi wenzake wa TANU walimpongeza sana kwani TANU ikawa inaenea kwa kasi sana.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.11%25282%2529.jpeg

10. KAMBONA Afungua Akaunti ya Kwanza ya TANU
KAMBONA alikuwa na mawazo ya kimaendeleo kwani kutokana na michango ya wanachama aliweza kufungua akaunti ya kwanza ya TANU. Kwa hakika, hili lilikuwa ni jambo la kihistoria.

11. KAMBONA afuma "Governor's Scholarship" kusomea Sheria, UK
Mwaka 1957, KAMBONA alipata fursa ya kwenda UK kusomea LLB kwa miaka 3 na hivyo akaenda huko.

12. KAMBONA Awa Mtangazaji wa 1 wa Kiswahili BBC 1957
Tarehe 27.6.1957, KAMBONA aliweka historia kwa kutangaza Kiswahili BBC kwa mara ya 1 akisema-: "Hapa ni London, kwa mara ya kwanza BBC inawaletea habari kwa Kiswahili wananchi wa Afrika Mashariki. Asalaam Aleikhum".

13. KAMBONA awa Mwenyekiti wa TANU London
Kutokana na talanta yake kubwa ya uongozi, KAMBONA alichaguliwa kuwa Kiongozi wa wanafunzi chuoni na Mwenyekiti wa Tawi la TANU, London.

14. KAMBONA na NYERERE Washeachumba Chuoni London
Kati ya tarehe 26.6.1959 na 7.8.1959, NYERERE alikwenda UK kwa matayarisho ya uhuru wa Tanganyika na akalala chumba kimoja na KAMBONA ambaye walikuwa "wameshibana" sana. Katika "Press Conference" ya 1991 KAMBONA alisema- "TANU haikuwa na hela hivyo ili kubana matumizi, nikakaa na NYERERE room yangu chuoni na hii ilisaidia tuwe na muda mwingi wa majadiliano".

15. KAMBONA Amuoa MISS Tanganyika
Tarehe 19.11.1960, KAMBONA alimuoa Miss Tanganyika mrembo, Bi. FLORA MORIYO toka Kilimanjaro. Harusi hiyo ya kukata na shoka ilifanyika St. Paul Cathedral, London na kuhudhuriwa na wageni waalikwa 400. NYERERE alikuwa ndiye msimamizi aliyemsindikiza Bi. FLORA altareni. Ilikuwa ni harusi ya kwanza ya watu weusi kanisani hapo na ilitoka kwenye magazeti mbalimbali ya Ulaya.
WhatsApp%2BImage%2B2019-01-27%2Bat%2B19.28.12.jpeg

16. KAMBONA Arejea Bongo
KAMBONA alirejea Bongo kuendelea na harakati za uhuru akihudumu kama Waziri wa Elimu na Katibu Mkuu wa TANU.

17. KAMBONA Awa Waziri wa 1 wa Mambo ya Nje
Katika Baraza la kwanza la Mawaziri la Tanganyika, KAMBONA aliteuliwa kuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ulinzi.

18. KAMBONA Kipenzi cha 2 cha Wananchi baada ya NYERERE
KAMBONA alipendwa sana nchini kwani alikuwa msomi, mwanasiasa hodari, mtanashati na vijana wengi walimuiga staili yake ya nywele "KAMBONA Style". Kwa hakika, KAMBONA alipendwa sana.

19. KAMBONA- Kiongozi PEKEE Aliyewakabili Waasi, 1964
Usiku wa tarehe 19.1.1964, askari wa kambi ya Colito(Lugalo) waliasi wakidai marupurupu na nafasi za juu za vyeo kwa Waafrika. Rais NYERERE na Mh. RASHID MFAUME KAWAWA walitoroshwa na mlinzi wao, PETER BWIMBWO usiku wa manani hadi Kigamboni na kufichwa kwenye nyumbaya Mzee KIZWEZWE.

Mawaziri wote walibanisha makwao baada ya kupigiwa simu na Mh. J. LUSINDE, Waziri wa Mambo ya Ndani, kuhofia usalama wao. KAMBONA ndiye pekee aliyeingia "fronti" kwani si tu raia waliokuwa wakimpenda bali pia askari. Waasi walionekana kutulia baada ya mambo yao kuwekwa sawa lakini baada ya Rais NYERERE kuibukia Ikulu toka mafichoni baada ya siku 3, waasi "wakalianzisha" tena hivyo ikabidi maasi hayo yalizimwe kwa msaada wa Waingereza na baadae Wanaijeria.

20. KAMBONA Ashuhudia mchakato wa Muungano 1964
KAMBONA alikuwa ni mmoja wa mawaziri wachache sana waliokuwa wakijua mchakato wote wa muungano kwa undani na pia alishuhudia utiaji saini hati za muungano huko Zenji, tarehe 22.4.1964 kati ya Rais NYERERE na Rais wa Zanzibar, Mh. ABEID AMAN KARUME.

21. KAMBONA Atofautiana na NYERERE Mfumo wa Chama Kimoja
Baada ya ziara ya China 1965, NYERERE alivutiwa na "alikuwaameoza" kwa siasa za China na mfumo wao wa siasa hivyo akaunda Tume tarehe 28.1.1964 ili ipendekeze mfumo gani unaifaa nchi yetu. Tume hiyo ilikuwa chini ya Mh. KAWAWA ikapendekeza mfumo wa chama kimoja. KAMBONA, ambaye daima alikuwa hapepesi macho wala hayumbishwi, aliweka kunji na kutosaini ripoti hiyo na badala yake akatayarisha ripoti yake ya kutaka mfumo wa vyama vingi na NYERERE akahuzunishwa sana na msimamo huo wa KAMBONA.

Kipindi hiki NYERERE aliishamuondoa KAMBONA kwenye wizara zile nyeti.

22. NYERERE "Amchana" kiaina KAMBONA 77 ya 1966
Tarehe 7.7.1966, NYERERE, akihutubia Taifa katika sherehe za 77, NYERERE alitumia mafumbo "kumpa za uso" KAMBONA ambapo alisema viongozi wanaonekana kujipatia mali nyingi kiajabu hawafai hata kidogo.

23. KAMBONA Ajiuzulu u-Waziri na U-Katibu Mkuu TANU 1967
Tarehe 9.6.1967, KAMBONA alibwaga manyanga kwa kujiuzulu U-Katibu Mkuu wa TANU na Uwaziri wa Serikali za Mitaa na Maendeleo Vijijini ambapo alitaja sababu za kiafya kuwa ndizo zilipelekea achukue uamuzi huo.

24. KAMBONA Atorokea Kenya, 1967 ki-James Bond
Kwakuwa KAMBONA alikuwa ni mtoto wa mjini, alitonywa kwamba kuna mpango wa kumkamata na kumsweka kizuizini. Hivyo, usiku wa kuamkia tarehe 26.7.1967, KAMBONA, mkewe, watoto wake 2 na msaidizi wa kazi walifunga virago na ku-drive hadi Kenya kwa staili ya "James Bond"! Watu wengi walipigwa butwaa ni kwq vipi aliweza kutoroka bila kubambwa!.

Usiku wa siku hiyo jijini Nairobi, KAMBONA na familia yake walikwea "pipa" East African Airways Flight 720 kwenda "Kwa Mama, huku, huku nyuma ikadaiwa alitoroka na mamilioni ya fedha!.

25. NYERERE Aelezea "Kusepa" kwa KAMBONA
Siku chache baada ya KAMBONA "kula kona", NYERERE, akiongea na viongozi wa TANU Morogoro, alisema : "Itachukua muda mrefu kufahamu sababu za Bw. KAMBONA kujiuzulu, lakini jambo moja ni dhahiri; KAMBONA amenidanganya mimi, TANU, TZ na Afrika".

26. KAMBONA Ajitetea UK
Baada ya kusikia vijineno kwamba amesepa na mamilioni, tarehe 6.9.1967, KAMBONA alikanusha vikali na kuitaka serikali ya Tanzania iwasiliane na ya Kenya kupata uthibitisho kitu ambacho serikali ya TZ hakikufanyika.

27. OTTIN na MATTIYA KAMBONA "Wasukumiziwa Ndani", 1967
Hawa wadogo zake KAMBONA walionja "joto ya jiwe" kwani walinyakwa usiku tarehe 30.12.1967 na kuwekwa kizuizini, Ukonga. Familia zao zikasambaratika vibaya sana kufuatia kukamatwa kwao. OTTIN alikuwa ni "Journalist" na MATTIYA alikuwa mfanyakazi Wizara ya Kilimo. OTTIN alikuwa amemuoa raia wa Martinique na walikuwa na watoto 2 wadogo na MATTIYA alikuwa amemuoa Mgambia wakiwa na mtoto wa miezi 3 tu. Wanawake hao walifukuziliwa mbali na kurudishwa makwao pamoja na watoto wao!.

28. KAWAWA "Amchana" KAMBONA Bungeni, 1968
Jumanne ya tarehe 23.1.1968, KAWAWA, 2nd VP, alilitaarifu Bunge:
"Wote mnajua kwamba Bw. KAMBONA aliikimbia nchi mwaka jana, 1967. Kabla hajaondoka, tarehe 6.12.1966, TZS 500.000/= ziliingizwa kwenye akaunti yake toka benki moja ya Uingereza. Uchunguzi wa BOT toka KAMBONA atoroke umeonesha kuwa tangu Juni 1965 na Desemba 1966, KAMBONA aliingiza katika akaunti yake jijini Dsm TZS 896,800/=. Kambona pia alikuwa anamiliki majumba mengi (Nyumba Magomeni-Plot No. 21,39 31), (Kunduchi bichi-Plot No.28), (Msasani bichi -Plot No. 92), (Morogoro-Plot No. 89) ns (Songea-Plot No.21)".

29. KAMBONA Amchana NYERERE nchini Nigeria, 1968
Baada ya TZ kuitambua Biafra, serikali ya Rais YAKUB GOWON ilikasirishwa sana hivyo ilimwalika KAMBONA aichafue TZ . Kwahakika, "jipu likawa limepata mkunaji" Hivyo, KAMBONA akaenda na kutoa muadhara Lagos tarehe 14.6.1968 ambapo "alimchana" vilivyo Rais NYERERE na kumwita dikteta. KAMBONA akaonesha kukosa uzalendo kwa taifa lake pale alipozomoka, bila ushahidi, kwamba TZ imepeleka vifaa vya kijeshi Biafra badala ya Zimbabwe!.

30. TANU "Yamfyekelea mbali" KAMBONA
NEC ya TANU iliyokuwa ikiketi Tanga, tarehe 19.10.1968, ilimvua uanachama KAMBONA pamoja na wabunge wengine 8 "Vichwa-maji" waliohoji uhalali wa TANU kuwa juu ya Bunge. Wabunge hao ni W. Mwakitwange, M. Choga, S. Kibuga, J. Bakampenja, E. Anangisye, G. Kaneno na Dr. F. Masha.

31. NYERERE "Amchana" tena KAMBONA, 1969
Tarehe 12.1.1969 kwenye sherehe za Mapinduzi Znz, NYERERE "alimuwakia" KAMBONA na kusema- "KAMBONA ni mwizi na mhuni kisiasa.

32. KAMBONA Akejeliwa Mashuleni na Majeshini
Nyimbo nyingi za kumkejeli KAMBONA zilitungwa majeshini na mashuleni lakini zilizokuwa maarufu ni hizi 2:
1. KAOMBONA Kaolewa wapi....? Kwa Wazungu...Kisa nini?...Tamaa ya Mali!

2. Alimselema ...alija, akija KAMBONA chinja... chinjilia mbali..!

33. KAMBONA Adaiwa ni _"Mastermind"_wa Uhaini, 1969
Mwaka 1969, KAMBONA alidaiwa kuwa "Mastermind" wa uhaini. Mashitaka yalikuwa kwamba washtakiwa 7 wakishirikiana na KAMBONA kati ya Machi 1968 na Octoba 1969, walitaka kumuua Rais NYERERE na kuipindua serikali. Washtakiwa hao 7 ni (Bibi Titi Mohamed , Michael Kamaliza, Gray Mattaka, John na Eliya Chipaka, Capt A. Milinga na W. Chacha).

Kesi ilianza kurindima Jumatatu tarehe 6.6.1970 na ilisikilizwa na Jaji Mkuu Georges na iliendeshwa na AG Mark Bomani. Wanafunzi wa Sekondari Tambaza(F.V Arts akiwepo Othman Chande, Jaji Mkuu wa 7) walikuwa wakijongo vipindi kwenda kortin kushuhudia kesi hii iliyokuwa na mvuto wa aina yake.

Washtakiwa wote walitiwa hatiani kasoro A. Milinga na KAMBONA ambaye hakuwepo. M. Kamaliza na mwenzake walipigwa "mvua" 10 na wengine walifungwa maisha na Bibi Titi akapata msamaha 1972.

34. OTTIN MATTIYA Waachiwa 1978
Tarehe 5.2.1978, katika kusheherekea mwaka 1 wa kuzaliwa CCM, NYERERE, akitumia ibaracya 45 ya Katiba, aliwaachia huru OTTIN na MATTIYA pamoja na JOSEPH KASELABANTU(Mwasisi wa TANU). OTTIN na MATTIYA, baada ya kugundua familia zao hazipo, wakaona Bongo hamna ishu nao wakaamua pia kusepa. Walivuka mpaka wa TZ na Kenya usiku Kininja kwani mpaka huo ulikuwa umefungwa kutokana na uhasama bainavya TZ na Kenya na wakaelekea UK.

35. NYERERE NA KAMBONA walikuwa majirani Msasani
Baada ya KAMBONA kuondoka nchini 1967, nyumba yake ikawa inakaliwa na Rais MILTON OBOTE kwa takribani miaka 10 baada ya kupinduliwa na Nduli IDD AMIN, 1971.

36. Vyama Vingi vyaanzishwa Bongo, KAMBONA ataka kurejea
Baada ya mfumo wa vyama vingi kuanzishwa mwaka 1992, KAMBONA akiwa London alisema, ije mvua, lije jua, anarejea kwenye Taifa lake. Serikali ikamuonya kuwa asithubutu na akijifanya fyatu au kichwa-maji akatia pua yake tu Bongo, "hakuna rangi ataacha kuiona".

37. KAMBONA Aitunishia msuli serikali, Atinga Bongo
KAMBONA aliamua kuwa kama "Mbwai, mbwai tu" hivyo akaonesha "Shoo za kibabe" na kurejea nchini akisafiria nyaraka za Umoja wa Mataifa zilizotolewa na serikali ya UK. Aliporejea hakukamatwa na badala yake, tarehe 4.9.1992, serikali ilimpa miezi 3 aweke sawa uraia wake kwakuwa ni Mmalawi! Miezi hiyo iliisha tarehe 4.12.1992 na serikali "ikaufyata" kwani haikumfanya kitu chochote!.

38. KAMBONA aeleza sababu za kutoroka, 1967
Baada ya kurejea nchini, KAMBONA alikata kiu ya wote waliotaka kujua kilichopelekea asepe "Kwa Mama" ni nini ambapo alitiririka: "Mimi na NYERERE tumetoka mbali. Sisi ndio tuliokuwa Viongozi wakuu wa TANU; Yeye Mwenyekiti, mimi Katibu Mkuu. NYERERE aliporudi toka China 1965 alitaka kuleta sera za China na mfumo wa chama kimoja. Nikapingana nae.."

39. KAMBONA Aeleza alichokuwa akifanya UK
Wiki 2 baada ya kurejea nchini, KAMBONA alitiririka kitu alichokuwa akifanya nchini Uingereza kwa miaka 25 aliyoishi huko ambapo alisema- "I did business. I used to go to the Arab countries but this did not last. I then depended on income support from Britain. Every Tuesday You take your book to the Post office...

40. KAMBONA atishia "Kumwaga ugali na mboga" kuhusu NYERERE
Badala ya kushugulikia uraia, KAMBONA akaendeleza bifu lake na NYERERE ambapo alisema anataka kufanya mkutano mkubwa viwanja vya Jangwani ili aeleze ufisadi wa NYERERE. Mapadri na masheikh walimsihi sana lakini akashikilia msimamo wake.

41. KAMBONA Ambwelambwela Jangwani, 1992
Tarehe 21.11.1992, viwanja vya Jangwani viliweka rekodi kutokana na umati mkubwa wa "wapenda ubuyu" uliojitokeza toka mida ya mchana kulisikia Jabali hilo litaeleza nini kuhusu Baba wa Taifa, Mwalimu NYERERERE.

KAMBONA aliwaboa sana 90% ya waliohudhuria kwani alidai, bila ushahidi, kuwa NYERERE, AMIR JAMAL na KAWAWA wameficha mamilioni ya fedha mabenki ya Ulaya. KAMBONA akaenda mbali na kudai NYERERE ni Mtutsi, KAWAWA na MKAPA ni watu wa Msumbiji na MALECELA ni Mcongoman!. Ikaonekana ni hekaya za Abunuwasi na hadithi za Esopo tu!

42. NYERERE Amjibu KAMBONA
NYERERE, siku chache baadaye akiwa Msasani, aling'aka- "Mimi ni lofa. I dont have a single penny abroad, I can assure you. Kama RASHID na AMIR hawawekwi kundi la watu waaminifu duniani, labda neno uaminifu ni neno tu, halina maana. Hawa ni waaminifu sana. Pia, mimi sipendi kuhusishwa na mambo ya kijingajinga. Ni makosa kushindana na kundi la wapumbavu. Kambona alete ushahidi maana "any blessed fool could stand up there" na kusema chochote".

43. MAWAKILI wamchimba Mkwara-Mbuzi KAMBONA
Baada ya KAMBONA kutoa kashfa dhidi ya viongozi hao mashuhuri nchini, mawakili wa Viongozi hao walimpa siku 14 toka tarehe 8.12.1992 kuomba radhi au kutoa ushahidi.

KAMBONA aliwajibu kuwa _"Mtu mzima hatishiwi nyau"_na akachekesha watu pale alipodai _"Nondo" zake kuhusu "bank accounts" za viongozi hao amezisahau UK!.

44. KAMBONA Aunda TADEA
KAMBONA aliunda chama cha TADEA ambacho hakikuleta upinzani wowote wa maana.

45. KAMBONA afariki London, 1997
KAMBONA alifariki jijini London mwaka 1997 na mwili wake kuletwa nchini na kupokelewa na ndugu zake na kiongozi wa serikali, Mh. J.M. KIKWETE, Waziri wa Mambo ya Nje. Rafiki yake NYERERE hawakuwahi kuonana toka atoroke mwaka 1967 na wala hakwenda kwenye mazishi yake.

46. RAIS KIKWETE Akutana na Mke wa KAMBONA, 2007
Tarehe 28.6.2007 katika hotel ya Kilimanjaro Kempisk, Rais wa awamu ya nne, Mh. JK alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za miaka 50 ya BBC KISWAHILI. Mh. JK, akiwa na mcheshi na mwenye bashasha kama kawaida yake, alikutana na kusalimiana na Bi. FLORA KAMBONA ambaye alikuwa mgeni mahsusi kwani mmewe, KAMBONA ndiye aliyekuwa Mtangazaji wa 1 wa BBC Kiswahili, 1957.

46. MWISHO:
Huyu ndiye OSCAR SATIEL DAVID KAMBONA aliyekuwa chanda na pete na Mwalimu NYERERE lakini mwisho wakawa maadui wasio na mfanowe!.

Tafakuri Tunduizi:
ATIKALI HII YA KUKATA NA SHOKA ina Tafakuri Tunduizi 100!!!

OSCAR KAMBONA: KIONGOZI MAHIRI, MTANASHATI NA RAFIKI KIPENZI WA MWALIMU NYERERE ALIYEISHIA KUWA ADUI YAKE MKUBWA!!! - MICHUZI BLOG (issamichuzi.blogspot.com)

Oscar Kambona - Wikipedia

View attachment 1983785
Wacha kumpamba Kambona ambaye alishindwa kumaliza shule na kupata degree pale UK!
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ~ ulikuwa ukiangalia UCHUMI waliokuwa wakimiliki wale KUNDI LA BOYZ II MEN pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa bado hawafiki kwa UCHIFU WA BUSIA.

030e943d0877e6f518a48eb7b5c2f270.png

Kwa sababu kipindi VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA vinaanza kwa upande wa TANZANIA, ilikuwa ni miaka ya themanini na nne [1984's] na aliyekuwa MWENYEKITI WA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA TANZANIA kwa wakati huo, alikuwa UCHIFU WA BUSIA. Hivyo ule wizi na ubadilifu uliokuwa ukifanyika kwenye VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA hawezi kukosekana.

FB_IMG_1731445710589.jpg

Sema madhaifu huwezi kuona, sababu UCHIFU WA BUSIA ulikuwa umeegemea sana katika kuwasaidia wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA. Hata DMX [the late] alikuwa ni MSANII WA HIP HOP kutoka MAREKANI mwenye asili ya TANZANIA kutoka katika MKOA WA SHINYANGA, WILAYA YA KISHAPU.

FB_IMG_1731170227729.jpg

Kulikuwa kuna MSANII WA HIP HOP kutoka MAREKANI kama XZIBIT ambaye pia ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

FB_IMG_1731250400935.jpg

Hata hawa wakina WARREN G na DR DREE ambao ni mtu na kaka yake, wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

Kwahiyo wale UCHIFU WA BUSIA walikuwa tayari wamekwisha piga hatua kubwa ya KIUCHUMI, KISIASA na KIMAENDELEO na walijitahidi kuwekeza kupitia kwa watu wao. Hivyo ilikuwa ni ngumu kuvunja ile "PHYSICAL BOND" waliokwisha ijenga.

Sasa baada ya kuingia kwa WAJERUMANI katika SIASA ZA TANZANIA ~ wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifundishwa na kuelekezwa mambo mengi sana yanayohusu SIASA ZA TANZANIA.

0a48ca1d009fdd02b17c1111df7cc067.png

Jambo la msingi walielezwa kuwa hawawezi kutoboa katika SIASA ZA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM], kwa sababu UCHIFU WA BUSIA walijengwa na wanaendelea kujengwa na UINGEREZA. Hivyo wanatakiwa kutafuta namna nyingine ya kuweza kujinasua.

bc23edde04a71c537bfad9779e2660de.png

Namna ya kuweza kujinasua ni kuwekeza kupitia watu wao katika SEKTA YA ELIMU YA MSINGI NA SEKONDARI ~ kwani mwanafunzi aliyefanikiwa kuongoza [mara tatu] kitaifa kuanzia DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE na KIDATO CHA SITA anakuwa na sifa ya kuwa MWENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] bila ya pingamizi lolote. Aina hii ya SIASA inapatikana UINGEREZA katika kupata wajumbe au wawakilishi wa HOUSE OF LORDS.

7b166dc1ee03b2c1db0f6b2ce7fca97b.png

Yaani kwa lugha nyepesi ~ BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA [Pages | NECTA] linatambulika rasmi katika mchakato wa kupata wa VIONGOZI WA TUME YA MAADILI YA TAIFA [MAADILI | JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA - Mwanzo] pamoja na nafasi ya UENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] katika NGAZI YA TAIFA.

e8e60ddca5bc0a86f521efabeb93839b.png

Sasa wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walivunjika moyo! Lakini waliambiwa ukweli na kujikita katika kujijenga KIUCHUMI na kuwekeza katika ELIMU kupitia watu wao.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Hiki kipindi ambacho wale KUNDI LA BOYZ II MEN pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] wanahangaika kutafuta suluhisho na mapatano ya KISIASA ~ wale UCHIFU WA BUSIA walikuwa wamewekeza hadi JAMAIKA.

47bd31c1b06750f162c88175ce4632e3.png

Ukiwa pale JAMAIKA, kulikuwa na MSANII WA DANCEHALL aliyekuwa akiitwa SHABBA RANKS.

2f6b6904bdd56362890be5580f0290ba.png

SHABBA RANKS ni MTANZANIA mwenye uraia wa JAMAIKA na ni mwenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA kutoka katika WILAYA YA KISHAPU.


Hawa wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa wamepiga hatua kubwa ya KISIASA na KIUCHUMI.

09887d69904091014cda8d09bbecfb57.png

Kipindi fulani cha miaka ya elfu mbili na kumi [2010's], kwa upande wa TANZANIA ~ SHABBA RANKS alikuwa anamiliki kampuni ya usafirishaji ya abiria iliyokuwa inaitwa PRINCESS [...] na ilikuwa inafanya safari zake za MWANZA na DAR ES SALAAM.

7086973aedff47db39df127a47cb1f6e.png

Ile kampuni ya usafirishaji ya abiria ya PRINCESS [...] ilifanya kazi kwa kipindi cha muda wa miaka fulani, baadae ikawa imesitisha kutoa huduma za usafirishaji.

4a17d259a284eb9edd316267b3a81db6.png

Hawa wakina RAJANI ndiyo marafiki wa SHABBA RANKS [Hii picha ilipigwa mwaka 1991] wakiwa JAMAIKA.

2fe523a0b2a352f5d758d52e46a80e6d.png

Kuna MSANII mwingine aliyekuwa anaitwa BOUNTY KILLER na yeye ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA. Hawa wote wanaitwa ni DANCEHALL GOATS kwa upande wa TAIFA LA JAMAIKA.

5909c8bd42a1dd782dd9df86dce61d9d.png

Pia kuna MSANII mwingine anaitwa TAURUS RILEY, ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA.

8f62cc970ef8a18f9e4b95bab0e2176b.png

Yaani hawa wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walikuwa wanatumia nafasi za KIDIPLOMASIA ZA TANZANIA kusambaa katika MATAIFA mbalimbali.

625c1356a84ff9c9640336b8263b93de.png

Hata huyu YOLANDA WHITAKER, maarufu kama YOYO FEARLESS ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA anayefanya vizuri katika TASNIA YA MUZIKI WA DANCEHALL, nchini JAMAIKA.

f9d10473f70c572424444c52aec0f9b6.png

Kwahiyo HAYATI MWALIMU alikuwa hana cha kufanya, zaidi ya kuendelea kujijenga KISIASA! Wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN walielezwa ukweli, ijapokuwa WHITEY HAIR hakutaka kukata tamaa mapema hadi sanduku la kura litakapoamua adhma yake ya kushinda KITI CHA URAIS na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliendelea kujijenga KIUCHUMI na kuwekeza ELIMU katika watu wao kwa nia ya kupata WANAFUNZI BORA.
 
Kipindi sintofahamu inaendelea TANZANIA, wale KUNDI LA BOYZ II MEN pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] waliendelea kujijenga KIUCHUMI na kuwekeza ELIMU katika watu wao kwa nia ya kupata WANAFUNZI BORA.

FB_IMG_1731920761037.jpg

Wale wenyeji wa asili wa WILAYA YA KISHAPU walikuwa mbali sana na ndiyo wamiliki halali wa KUNDI LA DESTINY'S CHILD.


Wale KUNDI LA DESTINY'S CHILD wote ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na walikuwa wanadhaminiwa na UCHIFU WA BUSIA.

FB_IMG_1731946084072.jpg

Yaani ilikuwa ni simanzi kwa WANASIASA wa kipindi kile, kipindi ambacho ukizungumzia DIASPORA ilikuwa unazungumzia wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

FB_IMG_1731250013123.jpg

Ilifikia hatua wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA walifananishwa na WAHUTU, kwa namna walivyokuwa wanatumia fursa za serikali.

FB_IMG_1731921178464.jpg

Hadi NELLY pamoja na mama yake ni WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

FB_IMG_1731247687610.jpg

GRAIG COOK ambaye ni baba mzazi wa ALICIA KEYS ni MTANZANIA mwenye asili ya MKOA WA SHINYANGA na ana uraia wa MAREKANI.

FB_IMG_1731920741027.jpg

ALICIA KEYS ni CHOTARA na hana uzito wa kurudi TANZANIA kama DIASPORA wengine. Lakini ana jina lingine la KITANZANIA lenye asili ya KISUKUMA.



Kwahiyo moja ya kichocheo kikubwa cha mabadaliko ya KISIASA na shauku ya kumiliki UCHUMI MKUBWA, ilikuwa ni kuwaona WATANZANIA wengine katika MATAIFA mbalimbali wakionesha vipaji vyao na kuishi maisha mazuri.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Sasa kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] ambapo wale KUNDI LA BOYZ II MEN walikuwa tayari wamekwisha fanya mapatano ya kisiasa ~ WHITEY HAIR aliondoa mtoto wake pamoja na ile familia ya yule mtoto pale SHINYANGA MJINI na KHALFANI alimuacha mtoto wake pale SHINYANGA MJINI.

FB_IMG_1732568102529.jpg

Baada ya hapo waliambiwa nafasi watakazoishia ndani ya CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na SERIKALI ni NAFASI YA UWAZIRI UKUU.

Hivyo ile nafasi ya UWAZIRI UKUU alifanikiwa kupewa WHITEY HAIR [2005 - 2008] na KHALFANI nafasi yake ya UWAZIRI UKUU walifanya kumtunzia mwanae ambaye alikuwepo SHINYANGA MJINI. Kwani KHALFANI iliishia nafasi ya UWAZIRI WA MAMBO YA NJE.

Lakini walipewa angalizo, kwamba kizazi chao watapewa nafasi ya UENYEKITI WA CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] endapo watafanya vizuri katika MITIHANI YA KITAIFA ya DARASA LA SABA, KIDATO CHA NNE na KIDATO CHA SITA.

Yaani waliambiwa wapitie BARAZA LA MITIHANI TANZANIA [NECTA], kwa sababu MTANZANIA yoyote atakayeongoza kitaifa mara tatu [3] atakuwa na fursa ya kuongoza CHAMA CHA MAPINDUZI [CCM] na kufanya mambo mengine ndani ya SERIKALI YA TANZANIA. Hiyo ni SIASA YA UINGEREZA katika kupata wajumbe wa HOUSE OF LORDS.

Sasa kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's], shule za msingi na sekondari zilikuwa chache kwa upande wa nchi nzima. Pale SHINYANGA MJINI kulikuwa hakuna SHULE YA SEKONDARI YA SERIKALI hata moja. Ndiyo pendekezo likaja la kufanya SHULE YA UHURU iwe SHULE YA SEKONDARI YA SERIKALI.

Pendekezo la kufanya SHULE YA UHURU iwe ni SHULE YA SEKONDARI inayomilikiwa na SERIKALI lilitoka kwa HAYATI RASHID MFAUME KAWAWA. Basi wanafunzi wakaanza kusoma pale, mwanzoni mwa miaka ya tisini [1990's].

FB_IMG_1732011152768.jpg

Kipindi hicho walikuwa wanasikia tu ~ wakina NGOLO wamekuja kusalimia kwa BIBI yao pale MEATU na watakaa wiki mbili..😁

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN walipeleka watoto wao katika SHULE ZA SERIKALI, hata waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walifanya hivyo hivyo na WATANZANIA wengi macho yao walielekeza kwenye MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA.

FB_IMG_1732010975852.jpg

Huku MIKOA mingine wakijikita katika kutafuta nafasi za kujiunga na MAJESHI YA ULINZI na USALAMA, halafu ndiyo wanapata fursa ya kuingia kwenye SEKTA nyingine za KISERIKALI.
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Sasa baadae, wale KUNDI LA BOYZ II MEN katika harakati za kuwa UCHUMI walijikuta wameangukia kwa WAKONGO.

WAKONGOMANI waliwapatia pesa wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN na walikuwa wana hela sana.

Hata wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walikuwa wana hela sana. Walifanya kuhamisha MALI ZA VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA kwa matumizi binafsi.

FB_IMG_1732034410632.jpg

Pale MAREKANI, kulikuwa kuna WATANZANIA kama wakina CAPONE na NORIEGA.

FB_IMG_1733465795514.jpg

Hawa ndiyo walikuwa MASELA WA KITANZANIA waliowapokea WANYAMWEZI pale MAREKANI.


Huyo NORIEGA ndiye aliyetajwa kwenye shairi la kwanza la nyimbo ya RICK ROSS inayoitwa HUSTLING.

FB_IMG_1731920951181.jpg

Pia kulikuwa kuna WATANZANIA wengine kama wakina CAM'RON, DAMON STOUDAMINE, ERICK SERMON, KEVIN GARNETT, METHOD MAN na REDMAN ambao walikuwa tayari wanaishi MAREKANI tangu kitambo sana. Hawa ndiyo walikuwa ALWATANI kwa WATANZANIA walioanza kuingia MAREKANI mwanzoni mwa miaka ya tisini [1990's].

FB_IMG_1732027393338.jpg

Pia kulikuwa kuna wakina TYRESE ambao kipindi kile cha miaka ya tisini [1990's] walikuwa bado vijana wadogo, lakini walikuwa wanafuatilia kila kitu kinachojiri nyumbani, TANZANIA.

FB_IMG_1731249096481.jpg

Pia kulikuwa kuna WATANZANIA kama wakina SPIKE LEE, DENZEL WASHINGTON, WESLEY SNIPES, GIANCARLO ESPOSITO, BILL NUNN na JEFF "TAIN" WATTS wakiwa kwenye picha ya pamoja iliyopigwa 1990 katika tamasha la MO'S BETTER BLUES. Hawa wote walikuwa wanafuatilia kinachojiri TANZANIA kwa nyakati hizo.

FB_IMG_1731250060503.jpg

Pia kulikuwa kuna WATANZANIA wenye asili ya MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA NA TABORA ambao walikuwa wanaunda KUNDI LA MUZIKI WA R&B NA FUNK waliokuwa wanaitwa MIDNIGHT STAR. Hawa wote walikuwa wanafuatilia kinachojiri TANZANIA.



Lakini kwa bahati mbaya au nzuri kwa upande mwingine, lile VUGUVUGU LA KISIASA lilizimwa na KUNDI LA G55 lilisambaratika kabla ya UCHAGUZI MKUU [1995] na KUNDI LA BOYZ II MEN likawa halipo tena, baada ya kubaki MWANASIASA mmoja kuelekea UCHAGUZI MKUU [1995].
 
Hizi picha unazitoa wapi mkuu?
Baada ya UCHAGUZI MKUU WA 1995, MISTER CLEAN alikuwa RAIS WA SERIKALI YA TANZANIA na vitu ambavyo alifanikiwa ni kuondoa KODI YA BAISKELI pamoja na kuwa na SERA YA UKWELI NA UWAZI.

IMG_20241017_164845.jpg

Ile SERA YA UKWELI NA UWAZI iliambatana na KUBALANSI SEKTA ZOTE ZA AJIRA na mambo yote yaliyokuwa yanahusu SERIKALI YA TANZANIA.

Kipindi cha AWAMU YA TATU ndiyo kilikuwa kipindi ambacho ajira kwa upande wa TAIFA LA TANZANIA zilianza kutolewa kwa KUBALANSI na kuangalia AGE [UMRI], GENDER [JINSIA], ABILITY [UWEZO WA KIUTENDAJI], DISABILITIES [WALEMAVU pia wana nafasi zao kwenye SEKTA YA AJIRA], RACES [MATABAKA YA RANGI], RELIGION [DINI] na TRIBES [MAKABILA]. Pia hata FOREIGNERS [RAIA WENYE ASILI YA KIGENI] wana nafasi zao kwenye SEKTA YA AJIRA ~ hasa ukiwa kwenye MAJESHI YA ULINZI na USALAMA.

Huwa hakuna kigezo cha UFAULU katika sekta zote za ajira! Ukiwa na ALAMA ZA D MBILI kwenye CHETI unakuwa tayari umeshaingia kwenye MFUMO WA AJIRA.

IMG-20241120-WA0007.jpg

Hawa ni WATANZANIA wenye asili ya MKOA WA TABORA waliohamia nchini MAREKANI kipindi cha miaka ya tisini [1990's]. ANITA na wanae mapacha, hawa ndiyo WANYAMWEZI.. 😁

Yaani wale wenyeji wa asili wa MIKOA YA MWANZA, SHINYANGA na TABORA ~ ule MFUMO WA KUBALANSI AJIRA ulikuwa hauwahusu sana, ukizingatia wao walikuwa wanayahama maeneo yao ya asili na kuhamia sehemu mbalimbali za nchi na hata nje ya nchi, kutokana na kuwa na UKWASI uliotakana na VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU].

Ile ilikuwa ni SIASA YA UJERUMANI, kukabiliana na mabadiliko ya kisiasa na tabia za nchi.. 🇩🇪

IMG-20241120-WA0004.jpg

Pia kulikuwa kuna WATANZANIA kama wakina RICKEY SMILEY na familia yake ambao walikuwa wanafuatilia kwa ukaribu yale yaliyokuwa yakijiri TANZANIA. Hawa ni WAMAREKANI wenyeji wa asili wa MKOA WA SHINYANGA.

IMG-20241120-WA0005.jpg

Pia kulikuwa kuna WATANZANIA kama wakina CIARA ambao walikuwa wanafuatilia kwa ukaribu ile SHULE YA SEKONDARI YA UHURU waliyopewa, waone kama adhma yao itatimia ya kuwa na WANAFUNZI BORA.

IMG-20241120-WA0006.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina BERNIE MAC na familia yake ~ hawa wote ni WAMAREKANI wenye asili ya TANZANIA kutoka katika MKOA WA SHINYANGA na kwenye miaka ya tisini [1990's] ile SHULE YA SEKONDARI YA UHURU ilianza kutoa WANAFUNZI BORA katika ile ORODHA YA KUMI BORA.

FB_IMG_1732011037490.jpg

Pia kulikuwa kuna watu kama wakina RASHEEDA JONES na dada yake KIDADA JONES ambao wote ni WAMAREKANI wenye asili ya TANZANIA kutoka katika MKOA WA SHINYANGA.



Hiyo picha wakina RASHEEDA na KIDADA walipiga mwaka 1997 wakiwa na AALIYAH na GWEN STEFANI. RASHEEDA JONES ndiyo aliyeimba ile nyimbo ya BUBBLEGUM.

Kwahiyo wale waliokuwa KUNDI LA BOYZ II MEN pamoja na wale waliokuwa wafanyakazi wa VYAMA VIKUU VYA USHIRIKA VYA MWANZA [NCU], SHINYANGA [SHIRECU] na TABORA [WETCU] walianza kusomesha watoto wao katika shule za serikali kwa nia ya kupata WANAFUNZI BORA.

WATANZANIA wengi waliona ni kitu ambacho hakiwezekani na ilikuwa ni kama kupoteza muda, maana MFUMO WA ELIMU YA TANZANIA unachukua miaka mingi kuanza SHULE YA MSINGI hadi umalize! KIDATO CHA NNE na hatimaye umalize na ujiunge na KIDATO CHA SITA na hatimaye umalize! Ilikuwa ni kama NDOTO, lakini ndiyo SIASA hiyo!.
 
Back
Top Bottom