Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HapanaHuoni?
Yani wale wamerudi karne tatu nyuma....Bora hata hao kuliko wale wabunifu wa ndege kwa kutumia mabati ya mageti
Sitaki kuona kabisa magari yanayotengenezwa Tanzania maana yatanipa mashaka sanaNunua kurunzi
Hiki siyo kiwanda mkuu,,,hili jengo lipo kibaha pwani,,,lina assembly magari,,,vipuri vyote vinatoka uchina,vinakuja na kontena vinaunganishwa pale,,,hakuna mtaalam alieko pale anaejua walau kuunda engine ya hilo fawKazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.View attachment 1752977
Set the record straight nigga.So what?
Kwa hiyo assembly factory unaipuuza?Hiki siyo kiwanda mkuu,,,hili jengo lipo kibaha pwani,,,lina assembly magari,,,vipuri vyote vinatoka uchina,vinakuja na kontena vinaunganishwa pale,,,hakuna mtaalam alieko pale anaejua walau kuunda engine ya hilo faw
100 hivi.Kimeajiri watanzania wangapi hicho kiwanda?
Akili ile ile iliyoleta tatizo kamwe haiwezi kuliondoa/kulimaliza/kulitatua tatizo hilo.Kwa hiyo? Tuache kujenga vingine?
😜😜😜Hayo ni magari au ni virukuu?
Eti tunajenga wakati 70% ya vipuri vimetengenezwa na ....MABEBERU.....Kwa hiyo? Tuache kujenga vingine?
Kama umejuwa wewe mkimbizi iweje kosa kwa mzawa kujua?Unataka ujue ili iweje?
SahihiKiwanda au Karakana ya Kuunganisha vifaa vya magari kutoka Ng'ambo...