Tanzania ya viwanda inaendelezwa. Magari mia moja yaundwa Tanzania

Tanzania ya viwanda inaendelezwa. Magari mia moja yaundwa Tanzania

Kwa hili jibu la kipumbavu kwa swali ambalo ni la msingi, nimekupuuza.

Jibu la ajira zilizopatikana kwa uwepo wa hicho kiwanda lingesaidia kuwaonyesha wale wanaobeza, kutambua umuhimu wa hicho kiwanda na jinsi WATZ wananufaika na ajira za kudumu na za muda.

Cha kushangaza umeonyesha upumbavu, na majibu yale yale ya kishabiki. Mpumbavu.
Huyo hajawahi kuwa na akili
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Naona mnatukanana tu bila hata hoja ya kunufaisha wasomamaji. Kuna mtu kauliza bei ya hizo gari hakuna hata mtu mmoja aliyekuja na jibu!! Tuambieni hizo gari hata kama wanaunganisha tu hapo Kibaha bei yake ni shillingi ngapi?
 
Back
Top Bottom