Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Kwenu Kenya yapo haya?Hayo ni magari au ni virukuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwenu Kenya yapo haya?Hayo ni magari au ni virukuu?
Hapana kwetu somalia ndio yapoKwenu Kenya yapo haya?
Picha zaidi mkuu tafadhali,ndani na nje ya magari.Kazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.
View attachment 1752977
Chako kiko wapi.Achana na hiyo mikokoteni, tulishakuwa na kingine cha Scania, magari ya ukweli!
Hongera kwa manager wa kiwanda. Ila Mimi Nina neon moja jaribuni kuongeza production rate. Magari 100 kwa miezi Minne hiyo rate ni ndogo. Jaribuni kutafuta factors zinazopelekea production rate kuwa ndogo kisha zitatueni.Kazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.
View attachment 1752977
Ok sisHapana kwetu somalia ndio yapo
Kazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.
View attachment 1752977
Achana na hiyo mikokoteni, tulishakuwa na kingine cha Scania, magari ya ukweli!
Nasubiri cha Matrekta, pindi kikipatikana nitahamia Mkuranga nikalime matikiti maji katika large scale.Kujenga kingine bila kuondoa sababu zilizofanya kile cha kwanza kufa ni ujinga.
Bei gani yanauzwa
Pasi za Phillips na mafeni ya National tairi za General tyre viwanda vilikuwa Arusha.Bila kusahau Radio na Betri za National
140 kwendelea KM 0Naona mnatukanana tu bila hata hoja ya kunufaisha wasomamaji. Kuna mtu kauliza bei ya hizo gari hakuna hata mtu mmoja aliyekuja na jibu!! Tuambieni hizo gari hata kama wanaunganisha tu hapo Kibaha bei yake ni shillingi ngapi?
Ngoja nitafute moja litanifaa kwa ajili ya kubebea mazao mikoani kuniletea ghalani hapa town ofisi zao ziko sehemu ipi!!?Mkuu, FAW ni moja ya magari the best, bara bara zetu zenye mashudu na tope faw inapenya vizuri sana, bei yake ni milioni 140 kwendelea.
Ni magari ya kochona au ya Kijapan? Hivi tunaenda mbele au tunarudi nyuma?
Tulikuwa na kiwanda cha kuunganisha malorry aina ya scania, matrekta aina Valmet, leo tunajivunia kuunganisha vigari vimekaa kama mikokoteni!!
Ngoja nitafute moja litanifaa kwa ajili ya kubebea mazao mikoani kuniletea ghalani hapa town ofisi zao ziko sehemu ipi!!?
Dar wana ofisi?
Kimetengeneza? aukuunganisha magari? acheni ujinga, mnafanya assemblying sio kutengeneza magari.Wewe ni mbumbumbu.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mbona cabin n FAW kabsa ivi tz kuna hata supercomputer kwel
Nimemjibu huyo ''chawa wa mwendazake'' anayedhani ni mara ya kwanza Tanzania kuwa na kiwanda kama hicho. Kama kawaida amekuja mbio mbio kutaka kuonyesha ''miujiza'' ya maendeleo iliyofanywa na awamu ya tano. Nimemuonyesha kuwa tulishawahi kuunganisha magari yenye viwango zaidi na hakukuwa na ''chawa'' wa kupiga kelele kama sasa.Chako kiko wapi.
Sisi tunaitafuta hiyo mikokoteni tunaambiwa yote imeshanunuliwa. Tuweke order delivery mwakani. Ina soko kubwa sana hiyo usemayo "mikokokteni."