Tanzania ya viwanda inaendelezwa. Magari mia moja yaundwa Tanzania

Huyo hajawahi kuwa na akili
 
Reactions: PNC
Naona mnatukanana tu bila hata hoja ya kunufaisha wasomamaji. Kuna mtu kauliza bei ya hizo gari hakuna hata mtu mmoja aliyekuja na jibu!! Tuambieni hizo gari hata kama wanaunganisha tu hapo Kibaha bei yake ni shillingi ngapi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…