Huyo hajawahi kuwa na akiliKwa hili jibu la kipumbavu kwa swali ambalo ni la msingi, nimekupuuza.
Jibu la ajira zilizopatikana kwa uwepo wa hicho kiwanda lingesaidia kuwaonyesha wale wanaobeza, kutambua umuhimu wa hicho kiwanda na jinsi WATZ wananufaika na ajira za kudumu na za muda.
Cha kushangaza umeonyesha upumbavu, na majibu yale yale ya kishabiki. Mpumbavu.
Afadhali umemgundua kwa uongo wakeHao wanafanya assembly tu wala hawaundi chochote.
Umeonaeeeeeeee?Hivi hi page ya makonda bado ipo
WaunganishajiWanatengeneza au wanaunganisha vipuri ili kuwa gari.
Jiheshimu weweShame on you
Mbumbumbu ni wewe mushutiWewe ni mbumbumbu.
UmejiaibishaSo what?
UmevurugwaNunua kurunzi
Rudi kwenu rwandaKubali bidhaa za bongo.
Nakuona unavyo jiaibishaUsimueleweshe mpuuzi aliye na kichwa maji
Hao ni mafundi wasaidiziKwa hiyo assembly factory unaipuuza?
Kwanini mjinga usiwe wewe?Wengi ni wajinga,ila wanajifanya wanajua.
Walaghai tuAkili ile ile iliyoleta tatizo kamwe haiwezi kuliondoa/kulimaliza/kulitatua tatizo hilo.
Mwalimu J. Nyerere aliacha viwanda vingi sana,vikiwemo vya magari,lakini vikauzwa na kuuliwa na CCM hao hao ambao leo eti wanajaribu tena kurudisha "Tanzania ya viwanda"!.
Ni magari ya kochona au ya Kijapan? Hivi tunaenda mbele au tunarudi nyuma?Kazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.
View attachment 1752977
Mmebaki kuokoteza okoteza vimada na vistori hapo ni gereji mkuu. Hakuna kiwanda hapo.Kazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.
View attachment 1752977
Virukuu ndo nini mwanangu hebu nielimishe kidogo?Hayo ni magari au ni virukuu?
Ungekuwa hai ungejua kwamba tukiwahi kuwa na kiwanda cha kuunda Scania hapa. Lakini kwakuwa ndo umefufuka basi furahia mwanga wakati tunafanya DemagufulicationKazi inaendelea sasa ni kazi ya kuendeleza viwanda. Msiotaka maendeleo kunyweni sumu.
View attachment 1752977