We hujui gesi ya tz inapata heshina kwa wawekezaji kwa sababu ya magaidi wa msumbiji jikumbushe kuhusu opportunity tuliyo pata kwa bomba la mafuta la Uganda kupitia tz badala ya kenya kufuatia ugaidi wa wasomali nchini kwenu,Hizi hadithi za sijui mlipigana mara mliikomboa Afrika kwa ulimwengu wa leo ni makelele yasiyokua na tija.
Hao magaidi wamekata vichwa vya raia wenu leo hii mnasema waitwe kikao cha kuwabembeleza.
Ina maana JWTZ wamebaki jeshi la maonyesho siku za sherehe tu, wale hupasua matofali.
Mabeberu wanaoiba gesi msumbiji wanataka kututumia tupiganie gesi inayo wanufaisha wao!!!!Hii title ina maana tanzania imewaingiza baridi SADC kwa kukataa kupeleka TPDF Cabo Delgado! Safi sana sisi tulifunza majeshi ya nchi nyingi za SADC kuanzia Mozambique, Angola, Zimbwabwe, Namibia na South Arica! Saahii ni zamu yao kujilinda wakati TPDF inajielekeza kwenye kulinda mipaka yake!
We kweli kichaa magaidi wateka meli wameogopa baada ya mara kadhaa kuzamia mitego ya meli za kijeshi na meli za kawaida zenye vikosi vya ulinziJe, unafahamu idadi ya meli zilizokuwa zinatekwa na ma-Al'Shabaab kwa mwezi?
Na watalii waliokuwa wakitekwa na kukimbilia Somalia, kisha kuitisha ransom ya mamilioni. Hi iliathiri pakubwa sekta ya utalii. Sasa hivi je, unawasikia?
Ndio, kuna changamoto wanajeshi wetu kuuawa, lakini in hatua kubwa tumepiga.
Jamaa si umekakaririshwa jamani[emoji1787][emoji1787]
Kenya katika convoy ya jeshi unaweza kutana na wakikuyu wachache sna kati ya wajeda 100
Jeshi letu halipelekwi kisiasa, alafu wajaluo sio wengi jeshini..km hujui jaribu kuuliza mzee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji529][emoji529]=[emoji205][emoji205]
Aki wewe hapana njuaga sababu ni ngani[emoji23][emoji23][emoji117]jaruo ndiyo zinatangulizwa mstari wa mbele na waislamu wailiopo kwa kdf wakati kikuyu wako back wanajipiga self za kupost Instagram, ndiyo maana kambi ya jeshi la kdf iliyovamiwa kule Somalia waliokuwa wamelala usingizi walikuwa ni kikuyu kdf asilimia 90% ya kdf walio kufa ni kikuyu ila kwa mstari wa mbele wakikuyu uwezi waona labda awekapewa adhabu ya kijeshi
Jeshi letu halipelekwi kisiasa, alafu wajaluo sio wengi jeshini..km hujui jaribu kuuliza mzee
Mamaee!!uliza uambiwe jomba[emoji1787][emoji1787]ujuaji unazidi kukufanya uonekane tahira, uliza uambiwe acha kuona haya banaWawe wengi jeshini kwani kuna hela huko.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huko utawakuta kuanzia ngazi za ukaptaini.
Mamaee!!uliza uambiwe jomba[emoji1787][emoji1787]ujuaji unazidi kukufanya uonekane tahira, uliza uambiwe acha kuona haya bana
Mzee baba Renamo hawapigani vita hivi vya jimboni Cabo Delgado bali ni wapuuzi fulani wanaoitwa majina tofautitofauti Mara Alshabab mara Islamic state ni vurugu vurugu tu. Renamo walishaelewana na Frelimo na wapiganaji wao wanaingizwa kwenye majeshi ya nchi hiyo na wao wanataka waende wakawasaidie jeshi la serikali kuwafurumusha waasi hao waliopo Cabo Delgado. Kuna baadhi yao wamegoma kwenda serikalini na kuendelea kubaki na silaha kutisha na kuua pindi wajisikiapo wanaongozwa na ngoma ngumu Mariano Nhongo ambao wanaamini wanasiasa wamezingua na kumsaliti Dhlakama ambaye yeye na baadhi yao wanamkubali sana. Hawa Renamo wapo na wanashambulia kwenye majimbo ya kati (Manica na Sofala)Naamini TPDF wamejifunza kitu kwa KDF ya kenya ambayo iliona utamu kuchukua pesa ya wazungu na vifaa kwenda somalia kupambana na magaidi lakini miaka yote hawana mafanikio, na ingekua wale magaidi wa msumbiji ni wavamizi wa nje hapo kwenda kuwafurusha ilikua sawa kama TPDF ilivowafurusha M23, lakini majority wale ni wamsumbiji wenyewe na wanamadai yao kikubwa wafanye mazungumzo pande mbili wakubaliane maana hao wanaitwa waasi lakini ni LENAMO na wafuasi wa Marehemu DLakhama.
Unataka Tz waingie kichwa kichwa.....SADC walishauri mataifa yote yatoe msaada wa wanajeshi ili litumwe jeshi la pamoja kuwadhibiti wale maana hali imekua tete na wanazidi kuvimba, sasa ukizingatia Tanzania ndio mojawapo wa mataifa ambayo yameathirika moja kwa moja maana hao jamaa hupata ujasiri wa kungia Tanzania na kuchinja wanavijiji, inashangaza kwanini iwe ya kwanza kupata mhaho.
tengua kauli ww hao vbaka hawaingii Tanzania siku hixi.SADC walishauri mataifa yote yatoe msaada wa wanajeshi ili litumwe jeshi la pamoja kuwadhibiti wale maana hali imekua tete na wanazidi kuvimba, sasa ukizingatia Tanzania ndio mojawapo wa mataifa ambayo yameathirika moja kwa moja maana hao jamaa hupata ujasiri wa kungia Tanzania na kuchinja wanavijiji, inashangaza kwanini iwe ya kwanza kupata mhaho.
Siasa za Middle East huziwezi zitakutoa damu.ISIS ni pro USA militias ambao walipandikizwa kumuondoa Assad ndio maana mpk sasa wapo japo Iran inasaidia kuwaondoa pale Syria.Hata Alqaeda na ISIS bado wako, ilhali hamwafiki hao wazungu hata robo, licha ya kushindwa kuwatokomeza. Nani alikwambia ugaidi unaisha leo? , upo na utakuwepo. Vijego wanazaliwa kila kukicha! 🤣 🤣 🤣
Unajua maana ya kutikiswa?Hehehe!! Juzi kati Dar yote mumetikswa na gaidi mmoja halafu hauoni aibu ya kuja kujisifu humu.....
Unajua maana ya kutikiswa?
Kesha unajua hali waliyozoeshwa WaTz na askari wake?
Tulizoea amani hakuna aliyetegemea kama tukio km lile litatokea.
Vivyo hivyo Kibiti lakini uhalifu kibiti ukazimwa na hawajarudi tena.
Vivyo hivyo Kigoma mpakani na Burundi kulikua na uvamizi wa silaha na ubakaji JW wakazima hao wajinga hawajarudi tena.
Inashtukizwa China au Russia sembuse Tz!
Hata Mtwara unasikia wale wavaa ndala wakisumbua tena raia?
Huwez kuwasikia,we tuchokoze ila tukikuingia tunakupa kipigo takatifu.
una matatizo ya akili ww siyo bure.Hehehe! Unazidi kutia aibu kwa misifa ya kijinga, huyo gaidi mmoja alidhihirisha mlivyo legelege na ambavyo hamjajiandaa kwenye mapambano ya kisasa, mtu mmoja amesimama katikati ya barabara mumeshndwa kumla shaba, mnapiga marisasi saa nzima....kila nikitazama hiyo video naona huruma sana.
una matatizo ya akili ww siyo bure.
Nchi naona ht tabu kukinzana na ww km hukuelewa nilichozungumza wacha nikuache.
Ila mwenye akili timam kaelewa.