Tanzania yajiondoa kwenye Mkakati wa Uwazi, Ushiriki na Uwajibikaji(OGP)

Tanzania yajiondoa kwenye Mkakati wa Uwazi, Ushiriki na Uwajibikaji(OGP)

Kudhibiti Maandamano

Si umeona Leo Tundu Lissu na Hellen Kijo kisimba wameandamana wakiwa wameshika Mabango ndani ya Fence ya LHRC ingekuwa zamani ingekuwa Vurugu Mji Mzima

Maandamano yalianzia ndani ya Fence na yakaishia ndani ya Fence hiyo hiyo
kwa sababu ya serikali ya washamba ndio maana ni laana tupu hakuna kinachokwenda mtukufu anakula bata na kakundi kake
 
Maamuzi magumu ni haya ya kututia hasara ya 87bilioni baada ya kuvunja mkataba kinyume cha sheria?
Bora tulipe hizo sasa hivi na tuweze kupata mara 1000 ya hizo katika uhai wa taifa hili. Hata marekani waliwahi kuchukua maamuzi magumu ili kuweka misingi imara na endelevu ya kiuchumi na kiutawala.
 
Hivi kuna watu mpaka sas hivi wanamshangaa huyu jamaa na uendeshaji wake wa nchi.....mie niliacha hadi kumfwatilia kwa tumuache amalize tu mda wake aende nae kuchunga mifugo kwao ndo turudi hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulikuwa kwenye huo mpango wa uwazi watu na walikuwa wanalalamika sasa 'wamesikia' tunatoka bado wanalalamika. Mtanzania hana jema, vema balaa, jua balaa.
 
OGP ni political showcasing, hakuna kitu cha maana pale. Mipango ya namna hi hukubaliwa na Serikali za wala rushwa wasiojiamini kwa lengo la kuendelea kupata misaada ya wafadhili na wakati huo huo rushwa kuendelea unabated. Serikali haiwezi kuendelea ni mipango ya akina Rakesh Rajani. Wananchi tuiunge mkono.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu waliambiwa magu anaendesha nchi kinyume na maumbile yaani tz inalawitiwa na huyu sizonje wakabisha wanashangaa kwa kifupi dereva wetu ameamua kuendesha kwa rivasi semitrailer iliyobeba buldozzer kwa speed ya kutosha kutoka dar kwenda kigoma na ndo kwaanza tupo maili moja kibaha.
 
Nduli katika ubora wake! Na hakuna hata mmoja ndani ya Serikali mwenye uthubutu wa kumpinga huyu dikteta uchwara! Si Kabudi tuliyeambiwa ni kichwa sana wala Majaliwa.

Hawataki serikali yenye uwazi, mambo yote wanafanyia gizani na mtu akiyasema anatukanwa na kufungiliwa mashtaka.
 
Back
Top Bottom