Tanzania yajiondoa kwenye Mkakati wa Uwazi, Ushiriki na Uwajibikaji(OGP)

Bado tunapariwa kwanza. Tunatayarishiwa kikaango
 
Tupo katika "One man show" hamuoni tenda na mkandarasi anatoa yeye,na alipa yeye
 
Yawezekana hiyo hop ilikuwa inahatarisha usalama wa nchi. kwa vyovyote kutakuwa na sababu ya msingi kuwajua hivyo kama Tetesi hizi ni za kweli.
 
Kudhibiti Maandamano

Si umeona Leo Tundu Lissu na Hellen Kijo kisimba wameandamana wakiwa wameshika Mabango ndani ya Fence ya LHRC ingekuwa zamani ingekuwa Vurugu Mji Mzima

Maandamano yalianzia ndani ya Fence na yakaishia ndani ya Fence hiyo hiyo
haha hatari mnoo
 
Kuna wakati nikisoma coment za wadau hasa wale wanao support vitu ambavyo kwa akili ya kawaida unaona kabisa hapa serikali inakosea. Huwa nawaonaga hawana akili nahisi kwenye ubongo kumejaa hewa tu.
 
Tujiondoe na kwenye hii ya mikataba ili tuwabane hawa ACACIA
 
Maswali ya usaili jana TRA yamenilazimisha nisome huu uzi. Vinginevyo ningeupita hivi niende zangu MMU.
 
It was a just matter of time only! serikali haiwezi kufanya haya yanayoendelea na bado ukabaki kwenye mikataba na itifaki za kimataifa, utakuwa uzuzu na unafiki wa kiwango cha uzamivu!
 
Porojo tu,mbona kulikuwa hakuna uwazi wa mikataba hata wabunge hawajui undani hadi baadhi ya mawaziri hawajui.
Uwazi kwao ilikuwa one sided like a panga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…