Tanzania yajiunga na coalition of willing(COW) London 2016

Tanzania yajiunga na coalition of willing(COW) London 2016

waltham

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2014
Posts
2,522
Reaction score
1,045
Hawa ndugu zetu wa kusini TZ ni vigumu kuwaelewa...mara hatupo.. am thinking about it....halafu chini ya maji wanachipukia london wamejiunga na kenya na wanaeast africa wenzake kiuza EA tourim pamoja...!!!!!! ni kama kisichana kichanga kimapenzi...nataka...sitaki...mara anataka hakijielewi!!!

 
Unataka kuongelea nini hapo. Maana ninawaona wakenya tu hapo wakijipa promo. Tanzania imeweka wazi kabisa.

Sisi hatutaki unafiki. Ndio maana sasa tumeanza kufufua shirika la ndege.

Nyie endeleeni kujichetua tu. TZ is a stable Nation.

Halafu ikumbukwe Tanzania is both a country and Nation.

But Kenya is only a country.
 
Unataka kuongelea nini hapo. Maana ninawaona wakenya tu hapo wakijipa promo. Tanzania imeweka wazi kabisa.

Sisi hatutaki unafiki. Ndio maana sasa tumeanza kufufua shirika la ndege.

Nyie endeleeni kujichetua tu. TZ is a stable Nation.

Halafu ikumbukwe Tanzania is both a country and Nation.

But Kenya is only a country.
MKUU samahani kidogo nataka nikutoe nnje ya mada,kuna utofauti gani kati ya country na nation maana mie najua ni jina moja tu linamaana ya nchi,yani ni sababu zipi hasa zinatofautisha majina hayo,nitashukuru ukinijibu
 
Huwa hakuna taifa la kenya kuna nchi ya kenya tu.
Lakini kuna taifa la tanzania vilevile nchi ya tanzania.

Bal bla bla!.......ZANZIBAR IPO KWENYE MCHAKATO WA KUJITOA!...Hamna kitu kama NCHI WALA TAIFA LA TANZANIA,
Labda ulimaanisha Nchi/Taifa la TANGA-NYIKA!
 
Hawa ndio zao, inabidi kuishi nao jinsi walivyo. Huwa wanabishia kila kitu kwa kiburi halafu bila aibu wanakifuata baadaye. Angalia historia yao, yaani hamna kitu kibaya kama maskini mwenye kiburi.

Wachukulie kama jinsi uwe na kaka mkubwa wako kijijini, hajabahatika kutoka ili aone mataa ya mjini, siku zote yupo huko huko halafu umemshinda kielimu na kiuchumi, sasa unakuta anabishia kila pendekezo lako bila hata kulitafakari, kusudi aonekane mbabe.
Inabidi kwendana naye japo kwa kutumia akili nyingi, unamletea pendekezo kiujanja janja ukitegemea lazima atalipiga chini, lakini unaiweka kwa jinsi yenye hatimaye atafuata.
Wapo slow sana kwenye kuelewa chochote, inachukua nguvu nyingi sana kuwaelimisha kwa kila pendekezo. Lakini kwa vile ni ndugu na majirani, tumeunganishwa kwenye kiuno, hamna jinsi ila kuishi nao hivyo.
 
Bal bla bla!.......ZANZIBAR IPO KWENYE MCHAKATO WA KUJITOA!...Hamna kitu kama NCHI WALA TAIFA LA TANZANIA,
Labda ulimaanisha Nchi/Taifa la TANGA-NYIKA!
Hapo ni mawazo yako. Nchi yetu inaitwa United Republic of Tanzania.
Unatakiwa ujue hilo. Longolongo peleka nyeri.
 
World Travel Market London 2016, Kenya matapeli sana wanaonesha ''Magical Kenya'' East Africa. One Destination, One Visa. Mabanda ya maonyesho ya Ethiopia na Tanzania pia yapo chini ya ''East Africa. One Destination, One Visa!

Uzuri watalii kabla ya kufanya booking wanapitia taarifa zote sahihi kuhusu viza, ila natumaini serikali ya Tanzania imeona ''utapeli'' huo na kuendelea kuweka taarifa sahihi juu ya '' East Africa. One Destination,One visa'' kuwa Tanzania haimo katika mpango huo.
 
Umesahau Pwani ya Kenya wanataka kujitenga na bara?????
Hawa ndio zao, inabidi kuishi nao jinsi walivyo. Huwa wanabishia kila kitu kwa kiburi halafu bila aibu wanakifuata baadaye. Angalia historia yao, yaani hamna kitu kibaya kama maskini mwenye kiburi.

Wachukulie kama jinsi uwe na kaka mkubwa wako kijijini, hajabahatika kutoka ili aone mataa ya mjini, siku zote yupo huko huko halafu umemshinda kielimu na kiuchumi, sasa unakuta anabishia kila pendekezo lako bila hata kulitafakari, kusudi aonekane mbabe.
Inabidi kwendana naye japo kwa kutumia akili nyingi, unamletea pendekezo kiujanja janja ukitegemea lazima atalipiga chini, lakini unaiweka kwa jinsi yenye hatimaye atafuata.
Wapo slow sana kwenye kuelewa chochote, inachukua nguvu nyingi sana kuwaelimisha kwa kila pendekezo. Lakini kwa vile ni ndugu na majirani, tumeunganishwa kwenye kiuno, hamna jinsi ila kuishi nao hivyo.
Tumeshang'atwa na nyoka lazima tustuke. Rudi nyuma yaliyojitokeza mwaka 1977 (Former EAC) kwa sasa tuko macho, nyie tangulieni, lakini mjue mkataba wa EPA umekula kwenue hususan ndugu zangu wa KIBERA
 
Tanzania is our Nation. Shughurikeni na issue zenu.

Naona mnaweweseka sana. Huu umoja wetu unawaumiza sana.
HAPA UPO KWENYE SEHEMU /JUKWAA LA KENYA......ungekuwa wa kujishughulisha na za kwako hungelikuwepo hapa!
kalb wahed!
 
Back
Top Bottom