KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,187
- 17,167
Ulikurupuka kujibu, kama ulivyojibu.Sijui wewe uliyekuwa umeniuliza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikurupuka kujibu, kama ulivyojibu.Sijui wewe uliyekuwa umeniuliza
Ongezea na mpango kazi ambao hauonekani ni mpango ganiMsipopangiwa Waswahili nyie mtazimalizia kwenye semina, posho na ziara z kila kukicha.
Eti wameipereka kwenye vituo vya afya, hawa jamaa siwaaminiHapo ndipo wanachanganya mafaili haya
Tozo inakazi gani au hela inatumikaje hiyo
Tunakusanya Cash tunawapelekea kulipia ndege. Baadaye wanazirudisha kama mkopo ili kugharamia huduma za jamii...wakati huohuo tumetumia trillion 2 CASH kununua ndege toka kwa mabeberu.
..vilevile shirika la ndege limekuwa likipata HASARA kila mwaka.
Duh! Trillion kila mwezi?! Kwa mwendo huu ifikapo 2025 tutakuwa tumekopa around trillion 400!!!Hadi sasa mama kishakopa zaidi ya trillion 4
Kwa nini mama anakopeshwa kirahisi sana wakati bwana yule alifikia mpaka hatua ya kukopa m-pawa & TimizaMiradi ilikuwa imeanza kubuma kwa kukosa fedha. 🤔
Kwa wiki nne tayari tumekusanya bilioni 48.Hivi tozo tunaingiza kiasi gani kwa mwezi?
Tusomewe mapato
Daaah, 2.7t inaenda kuingia mtaani, mifukoni mwa kina mkwere, kurudisha zama za "...unajua mi nani....", laki si pesa. Elimu, barabara, sawa.
Zitatolewa mara moja au kwa awamu? Maana ni takribani 10% ya bajeti yote ya nch
kwa hiyo kwa maoni yako angishi miaka 200Tanzania ilipoteza Rais 17 March.
Dondoo sio lazima mkuu,uzuri wa tozo zinatuunganisha Watanzania bila kujali chama,dini au kipato!Wape na dondoo (minutes) za kikao tulichokubaliana!
Watawala wetu barani Afrika wamekubali kuishi kwa kupigia magoti IMF na WB.Uzezeta ambao JPM aliukataa..Hakuna kitu kina kera kukopa halafu ukapangiwa mkopo huo uutumieje! TUJITEGEMEE jamani!
Kwa wiki nne tayari tumekusanya bilioni 48.
Ukiwa mnufaika lzm uwe kipofuUjinga utakuja kuwaisha lini?
Daaah inafikirisha sana..wakati huohuo tumetumia trillion 2 CASH kununua ndege toka kwa mabeberu.
..vilevile shirika la ndege limekuwa likipata HASARA kila mwaka.
Mama anaupiga mwingi sanaHata nusu mwaka hajafikisha..... 4 trilion na TOZO juu