Tanzania yakopa Benki ya Dunia tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya Elimu, Barabara na Mawasiliano!

Tanzania yakopa Benki ya Dunia tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya Elimu, Barabara na Mawasiliano!

Bimkubwa anajiweza!
Screenshot_20210816-125312_1.jpg
 
Kukopa kwa ajili ya ELIMU, tena toka kwa hawa? Mi nasema kopeni zaidi na zaidi!

Kama ipo mikopo kwa ajili ya kilimo, nasema nenda kakopi trilioni 5 ikiwezekana, mradi pesa hiyo ielekezwe kwa wakulima.

Hivi ni nani aliwahi kufilisiwa na Benki ya Dunia au IMF?

Naomba jibu kwa yeyote anayejuwa.

Nasisitiza, kakope mara kumi ya hiyo kama unaweza, lakini uhakikishe elimu yetu, kilimo chetu vinainuliwa na mikopo hiyo. Kama yupo fara anayejaribu kuharibu mafanikio ya mikopo hiyo, weka kitanzi au piga risasi.
 
Kwa aina hii ya mitaala na qualifications za waalimu sahau kuwa na elimu Bora Tanzania
Waalimu ni watu waliofeli kidato Cha nne
What are you expecting?
 
Walalamishi hamkosi, serikali ikisema izisake hizo pesa mifukoni mtalia kwa matako ndio maana wanapunguza maumivu kwa mikopo .

Tozo tuu mnalia Lia hivi wakiongeza je? Mchanganuo wa bajeti ya serikali huwa ina components za kukopa,makusanyo ya tra,maduhuli ya serikali nk .
Kinachoudhi nyinyi watu hamkosi jinsi ya kujitetea.
 
Kukopa kwa ajili ya ELIMU, tena toka kwa hawa? Mi nasema kopeni zaidi na zaidi!

Kama ipo mikopo kwa ajili ya kilimo, nasema nenda kakopi trilioni 5 ikiwezekana, mradi pesa hiyo ielekezwe kwa wakulima.

Hivi ni nani aliwahi kufilisiwa na Benki ya Dunia au IMF?

Naomba jibu kwa yeyote anayejuwa.

Nasisitiza, kakope mara kumi ya hiyo kama unaweza, lakini uhakikishe elimu yetu, kilimo chetu vinainuliwa na mikopo hiyo. Kama yupo fara anayejaribu kuharibu mafanikio ya mikopo hiyo, weka kitanzi au piga risasi.
Sio tuu elimu na miundombinu,tozo haziwezi fikisha hata robo ya kubadili mavumbi,matope,milima ,mabonde na mito kufikika..hii nchi ni kubwa Sana bila kuifungua hatubotoi.
 
Ulitakaje? Uko nje ya serikali hujui chochote zaidi ya kuwaza wizi na anasa eti ndicho serikali inafanya
Unazidi kuudhi ukitaja wizi. Marehemu aliiba zaidi ya Trillion 8. Juzi tu Maza kaingia kakuta huko BoT wamesafisha hadi kaunda tume majibu aliyopata anaona aibu kuiwwka wazi. Unaniita nawaza mwizi eti siko serikalini. Halafu mkiiba hivyo mnajiona wajanjaaa na kutuona sisi wajinga kama nyinyi.
 
Unazidi kuudhi ukitaja wizi. Marehemu aliiba zaidi ya Trillion 8. Juzi tu Maza kaingia kakuta huko BoT wamesafisha hadi kaunda tume majibu aliyopata anaona aibu kuiwwka wazi. Unaniita nawaza mwizi eti siko serikalini. Halafu mkiiba hivyo mnajiona wajanjaaa na kutuona sisi wajinga kama nyinyi.
Acha porojo mkuu T8 unaijua au unaisikia? Hiyo ni sawa na dola bil.4 ..

Yule aliyekimbia Afghanistan hajafikisha hata T 2
 
Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania jumla ya tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya sekta za Elimu, Barabara Mawasiliano na uchumi jumuishi.

Source: ITV habari

Kwa kunyimwa mkopo usio na riba wenye kuanza kurejeshwa baada ya miaka kumi kutoa nafuu kwenye janga la Corona, kama kawaida yao:

IMG_20210820_061852_470.jpg


Waliruka ruka wakikanyagana wakijishasha na wakiwabeza Kenya, Uganda, Rwanda na Burundi wakijitanabaisha kuwa tutamkumbuka huyu bwana:

IMG_20210719_051952_877.jpg


Leo nyumbu hao hao wanaruka ruka wakikanyagana wakishindana kushangilia kupatikana kwa mkopo wenye riba na masharti magumu kutoka kwa beberu yule yule.

Hili hapa lilikuwa pambio lako mleta mada la kusifu baada ya kukosa mkopo huo:

#COVID19 - BBC na Corona: Kenya tayari ina deni la $ 1.5 bilion za Marekani, Tanzania haina deni lolote hadi sasa

Ama kweli ule mkopo ulikuwa m-bichi kweri kweri ndiyo maana tulinyimwa na pongezi tukampa Jembe letu:

IMG_20210815_132454_983.jpg


Hiiiiii bagosha!
 
Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania jumla ya tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya sekta za Elimu, Barabara Mawasiliano na uchumi jumuishi.

Source: ITV habari
Elimu tulishapewa trillioni moja kabla wakati wa Magufuli...je ile haikutosha? Na ilifanya kazi gani...mbona madawati hayakutosha, madarasa bado hayatoshi? Na hizo barabara zilizoombewa pesa ni zipi? Maana tulipewa fedha za barabara na African Development bank (Afdb), zilikuwa nyingi na za kutosha tu. Je ni barabara zipi....maana pia kila mahali barabara ni shida na zipo vile vile? Mwenye kujua atupe ufafanuzi. Na huu uchumi jumuishi unafanyikaje...tunataka tujue ili tuwe sehemu ya ujumuishi huo.
 
Elimu tulishapewa trillioni moja kabla wakati wa Magufuli...je ile haikutosha? Na ilifanya kazi gani...mbona madawati hayakutosha, madarasa bado hayatoshi? Na hizo barabara zilizoombewa pesa ni zipi? Maana tulipewa fedha za barabara na African Development bank (Afdb), zilikuwa nyingi na za kutosha tu. Je ni barabara zipi....maana pia kila mahali barabara ni shida na zipo vile vile? Mwenye kujua atupe ufafanuzi. Na huu uchumi jumuishi unafanyikaje...tunataka tujue ili tuwe sehemu ya ujumuishi huo.
Jamaa ni mijizi sana hii
 
Back
Top Bottom