Tanzania yakopa Benki ya Dunia tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya Elimu, Barabara na Mawasiliano!

Tanzania yakopa Benki ya Dunia tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya Elimu, Barabara na Mawasiliano!

tukianza kulalamika kuhusu misururu ya tozo... utaskia"ni kwamanufaa ya watanzania"
 
DSM tu kuna barabara kubwa tu hata moramu hazina yaani ni za VUMBI tu...

Kodi za magari ,pikipiki,bajaji soon zitarudi.
 
[emoji1787][emoji1787] Duuh!

"Msiponiletea huyu, sileti maendeleo!!"

Ilisikika sauti ya mtu huyo huyo ikinena hayo pia, ili tufikishwe huku tulikofika!
Halafu kodi tunalipa wote! Serikali ya kijinga sana hii!
 
Back
Top Bottom