pakaywatek
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 4,660
- 6,282
Najua wamewaambia watoe tu mkopo kwani August 20 Kuna kodi kupitia luku
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
FafanuaBenki ya Dunia imeikopesha Tanzania jumla ya tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya sekta za Elimu, Barabara Mawasiliano na uchumi jumuishi.
Source: ITV habari
Walalamishi hamkosi, serikali ikisema izisake hizo pesa mifukoni mtalia kwa matako ndio maana wanapunguza maumivu kwa mikopo .Daaah, 2.7t inaenda kuingia mtaani, mifukoni mwa kina mkwere, kurudisha zama za "...unajua mi nani....", laki si pesa. Elimu, barabara, sawa.
Zitatolewa mara moja au kwa awamu? Maana ni takribani 10% ya bajeti yote ya nchi
Ww unaweza kununua? Au unajisemesha? Unadhani mama ni mwendazake? Anakopa kilochopitishwa na SerikaliOtafikia pahala tutauza hii nchi
na kodi za nyumba kupitia umemeHongera mama, kopa mama miamala si ipo?
Ungetumia akili ungenielewa ,unaangalia karibu sana huwezi kunielewaWw unaweza kununua? Au unajisemesha? Unadhani mama ni mwendazake? Anakopa kilochopitishwa na Serikali
Msipopangiwa Waswahili nyie mtazimalizia kwenye semina, posho na ziara z kila kukicha.Hakuna kitu kina kera kukopa halafu ukapangiwa mkopo huo uutumieje! TUJITEGEMEE jamani!
Makusanyo ya kodi mbona atutangaziwi kwa mwezi jamani? Kwenye miamala nayo imekusanywa shilingi ngapi?Benki ya Dunia imeikopesha Tanzania jumla ya tsh 2.7 trilioni kwa ajili ya sekta za Elimu, Barabara Mawasiliano na uchumi jumuishi.
Source: ITV habari
Mbali wapi unapoangalia wewe kima ,Kati ya Waziri wa fedha na Makamu ambao ni wachumi na wewe mpuuzi nani anaweza aminika?Ungetumia akili ungenielewa ,unaangalia karibu sana huwezi kunielewa
Aksante kwa kukiri akili zako,nimekusamehe mkuuMbali wapi unapoangalia wewe kima ,Kati ya Waziri wa fedha na Makamu ambao ni wachumi na wewe mpuuzi nani anaweza aminika?
Utajitegemeaje wakati unadeni la watu.Hakuna kitu kina kera kukopa halafu ukapangiwa mkopo huo uutumieje! TUJITEGEMEE jamani!
Ndo manaake, na ile ya vocha inakuja.na kodi za nyumba kupitia umeme
Nifafanue nini bwashee?Fafanua
Kwani mpaka sasa mmekopa ngapi kwa kipindi gani?Walalamishi hamkosi, serikali ikisema izisake hizo pesa mifukoni mtalia kwa matako ndio maana wanapunguza maumivu kwa mikopo .
Tozo tuu mnalia Lia hivi wakiongeza je? Mchanganuo wa bajeti ya serikali huwa ina components za kukopa,makusanyo ya tra,maduhuli ya serikali nk .
😅😅😅Tunajenga kwa fedha zetu wenyewe.Ilisikika sauti ya mtu aliyetuaminisha tumeingia uchumi wa kati.
Ikapata mwingineTanzania ilipoteza Rais 17 March.