eddy25r
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 902
- 785
Iam saying those 500 doctors wont come cos kenyan doctors already got back to work ..strike ended last weekHilo muulize UhuRuto, all we care ni tumepunguza tegemezi mtaani cha muhimu usalama wao tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Iam saying those 500 doctors wont come cos kenyan doctors already got back to work ..strike ended last weekHilo muulize UhuRuto, all we care ni tumepunguza tegemezi mtaani cha muhimu usalama wao tu.
Vp kuhusu swala la usalama wa watz hao madaktar pind watakapokuwa kule? Mana itakuwa ni kam wameenda kukaba rzki ya wale walogoma.... Serikal ya tz haijaona kam hao madr wanaowapeleka wataenda kuzua varangat lingine la aina yke?Leo tarehe 18/03/2017 Tanzania imekubali rasmi ombi la kuipatia Kenya madaktari 500 ambao watasaidia kupunguza tatizo la madaktari linaloikabiri nchi hiyo!
Zaidi soma hapa.View attachment 482774View attachment 482775
Well, hilo watauliza waoVp kuhusu swala la usalama wa watz hao madaktar pind watakapokuwa kule? Mana itakuwa ni kam wameenda kukaba rzki ya wale walogoma.... Serikal ya tz haijaona kam hao madr wanaowapeleka wataenda kuzua varangat lingine la aina yke?
50,000,000/25,000 = 2000 Drsmgomo uliisha kitaaaaaaaambo ,ata wakenya wengi wamesha-sahau
heri mungewaajiri nyumbani you need them ,tanzania has the lowest ratio of doctors to civilians in all of east africa ,
hata rwanda na uganda wamewashinda
Rwanda -1 doctor to 16,000 patients
Kenya -1 doctor per 17,000 patients
Uganda -1 doctor per 24,000 patients
Tanzania -1 doctor per 25,000 patients
Tanzania: Govt Trains More Doctors Than It Can Employ - Study
Kwa sababu kwa sasa hatujawaajiri, ngoja wakatumike huko kwenu kwanza then watarudimgomo uliisha kitaaaaaaaambo ,ata wakenya wengi wamesha-sahau
heri mungewaajiri nyumbani you need them ,tanzania has the lowest ratio of doctors to civilians in all of east africa ,
hata rwanda na uganda wamewashinda
Rwanda -1 doctor to 16,000 patients
Kenya -1 doctor per 17,000 patients
Uganda -1 doctor per 24,000 patients
Tanzania -1 doctor per 25,000 patients
Tanzania: Govt Trains More Doctors Than It Can Employ - Study
Yet your health CS ameomba kukutana Magu leo, yeye ndio anajua anachokitaka, yeye pia anajua mgomo umeisha na amesisitiza demand mojawapo ya mgomo ilikuwa ni uchache wa madaktari, sasa wameamua wawaongezee hao.Iam saying those 500 doctors wont come cos kenyan doctors already got back to work ..strike ended last week
Hasira zipi wakati madaktari wetu tayari wameongezewa hela nyingi sana.
Hao wanaokuja watalipwa hela ambazo zitawazidi hata walioajiriwa awali Bongo.
tezi dume[emoji13]Tatizo la hizo hela kwa maisha ya huko Kenya hazina thamani,wanaweza kuishia kula tu,maana ukienda sokoni vitu vinauzwa ghali karibia mara mbili ya bongo.
Uzuri wa hii move ni kwamba baada ya mkataba kuisha watakuja nyumbani wakiwa na uzoefu wa kutosha na serikali haitawarudisha mitaani.na kwa upande wa Kenya mshukuru mmpata madaktari wenye uwezo wa kuongea kiswahili na kiingereza,maana wataweza kufanya kazi katika kila County hadi vijijini bila tatizo lolote kwa wazeee lakini muonyeshe ushirikiano wakati tunawapima tezi dume.
Iam saying those 500 doctors wont come cos kenyan doctors already got back to work ..strike ended last week
Tatizo la hizo hela kwa maisha ya huko Kenya hazina thamani,wanaweza kuishia kula tu,maana ukienda sokoni vitu vinauzwa ghali karibia mara mbili ya bongo.
Uzuri wa hii move ni kwamba baada ya mkataba kuisha watakuja nyumbani wakiwa na uzoefu wa kutosha na serikali haitawarudisha mitaani.na kwa upande wa Kenya mshukuru mmpata madaktari wenye uwezo wa kuongea kiswahili na kiingereza,maana wataweza kufanya kazi katika kila County hadi vijijini bila tatizo lolote kwa wazeee lakini muonyeshe ushirikiano wakati tunawapima tezi dume.
Tatizo la hizo hela kwa maisha ya huko Kenya hazina thamani,wanaweza kuishia kula tu,maana ukienda sokoni vitu vinauzwa ghali karibia mara mbili ya bongo.
Uzuri wa hii move ni kwamba baada ya mkataba kuisha watakuja nyumbani wakiwa na uzoefu wa kutosha na serikali haitawarudisha mitaani.na kwa upande wa Kenya mshukuru mmpata madaktari wenye uwezo wa kuongea kiswahili na kiingereza,maana wataweza kufanya kazi katika kila County hadi vijijini bila tatizo lolote kwa wazeee lakini muonyeshe ushirikiano wakati tunawapima tezi dume.
Hasira zipi wakati madaktari wetu tayari wameongezewa hela nyingi sana.
Hao wanaokuja watalipwa hela ambazo zitawazidi hata walioajiriwa awali Bongo.
Hapa umesema kaka ni jambo njema sana kwa manufaa ya hawa madktari, kwa sasa nchi inazalisha madktari wengi sana kuliko mahitaji yetu kwa sasa, ingekua bora zaidi serikali ifanye bidii kuwatafutia nchi zingine zenye mahitaji ya madktari.Nimefarijika sana kuona hili, at least itapunguza ukali wa tatizo la ajira kwa madaktari, GoT nayo ijipange for long term solution ya ajira, vinginevyo after two years tena tutakuwa na madaktari wengi sana mtaani.
Tunahofia hilo kwa sababu ya utamaduni wenu wa kubaguana. Kama Mkikuyu anaweza kumbagua Mjaluo atashindwa kweli kumbagua mTanzania??
Tafadhali muwatendee wema tu hao. Ni vijana wadogo sana wengi wao hata hawajapindukia miaka 27.
Umejibu vyemaSiku utatoka kijiweni na kuacha kutegemea hadithi za hapo ndio utakua, lakini kwa sasa sina jinsi ya kukusadia. Waache vijana wajasiri waliosoma zaidi yako na wenye uwezo wa kufikiri zaidi yako wavuke mpaka na kupata riziki yao.