eliakeem
JF-Expert Member
- May 29, 2009
- 17,214
- 15,853
Siku utatoka kijiweni na kuacha kutegemea hadithi za hapo ndio utakua, lakini kwa sasa sina jinsi ya kukusadia. Waache vijana wajasiri waliosoma zaidi yako na wenye uwezo wa kufikiri zaidi yako wavuke mpaka na kupata riziki yao.
Hii mijadala haihitaji hasira. Eleza hoja na unieleweshe kwa hoja.
Tufanye kama vijana wa kileo wanavyosema ...wacha maneno weka mantiki au UKWELI.