Nalendwa
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 7,467
- 13,026
Tatizo la hizo hela kwa maisha ya huko Kenya hazina thamani,wanaweza kuishia kula tu,maana ukienda sokoni vitu vinauzwa ghali karibia mara mbili ya bongo.
Uzuri wa hii move ni kwamba baada ya mkataba kuisha watakuja nyumbani wakiwa na uzoefu wa kutosha na serikali haitawarudisha mitaani.na kwa upande wa Kenya mshukuru mmpata madaktari wenye uwezo wa kuongea kiswahili na kiingereza,maana wataweza kufanya kazi katika kila County hadi vijijini bila tatizo lolote kwa wazeee lakini muonyeshe ushirikiano wakati tunawapima tezi dume.
🙂😀
Wabongo kwa uchokozi na maneno tume win, ndo maana majirani wanatuita waswahili...lol