Samahani sikuweka link, anyway hii hapa http://sikika.or.tz/wp-content/uploads/2013/11/Practice-Status-of-Medical-Graduates-FINAL.pdfEbu tusaidie hilo chapisho la sikika ulipoona Tz wana 2250 Drs tu (2012). Na hizo takwimu za Kenya, Uganda na Rwanda ni za sikika pia ? Batch ya interns ikimaliza Oct tutakuwa na zaidi ya 2000 Dr mtaani kabla ya kuajiriwa, kusema Tz nzima kuna 2250 Drs wakati Oct tu mtaani kutakuwa na Drs almost 2000 inaonyesha utata wa takwimu zenu na hoja tosha ya kukufanya usitumie hiyo takwimu vingenevyo uwe na nia ovu.
Hili chapisho la 2013 ndo bado unaliongelea leo?Samahani sikuweka link, anyway hii hapa http://sikika.or.tz/wp-content/uploads/2013/11/Practice-Status-of-Medical-Graduates-FINAL.pdf
Ndg yangu kuongeza ufanisi si kutoza watu au bima au kujenga mortuaryHayo mambo yote unayosema hayawezekana kama kipato ni kidogo. Namna pekee ya kuongeza ufanisi kwenye afya ni kuongeza gharama za matibabu au kila mwananchi atafute bima ya afya.
Watu wanapata wanachostahili, hawataki kulipa kodi wala kuchangia huduma za afya kwa kiwango kinachotakiwa.
Afya kuwa kipaumbele haimaanishi kuwa mapato yote ya serikali ndio yatumike kwenye afya.
Hehehe Wanyuturu nawavulia kofia, raha sana. Vipi unapafahamu Singidani, au unafahamu namfua.
Mboyane!!!
Ndg yangu kuongeza ufanisi si kutoza watu au bima au kujenga mortuary
Kuongeza ufanisi katika sekta ya afya ni kupunguza mzigo 'burden' kwa serikali
Sekta ya afya haiingizi na haitaweza kuingiza mapato kama bandari, elewa hilo
Sekta ya afya ni ya kutoa huduma. Hata hivyo, ina mchango mkubwa katika mapato
1. Ukidhibiti maradhi kama communicable diseases unapunguza gharama za uendeshaji wa hospitali na hapo umepunguza mzigo wa serikali na kuelekeza resource kwingine
2. Ukipunguza maradhi, unaongeza productivity kwa wananchi
Kuna njia mbili au tatu, kwanza, prevention, na pili curative.
Yote mawili yanategemea utaalam wa afya ambao ni madaktari na wengine.
Utashangaa nikikuambia kuwa gharama zinazotokana na matibabu ya communicable diseases ni kubwa sana na kimahesabu ukidhibiti hayo, unaweza kununua Dreamliner zako kila mwezi.
Elewa 'qualitative and quantitative analysis' ya healthcare huwezi kui scale na dreamliner, never! Huwezi kupata matokeo ya healthcare kirahisi kama dreamliner kwasababu ni kitu complicated na pengine ndio maana unadhani ni suala la kujenga mortuary nyingi za kuhifadhi maiti na kununua bima!
JokaKuu
ndiyo maana nimkuambia kuna kitu huelewi na huonekani kama unataka kujifunza.Kama kote umefia huko inabidi tungufunge ' speed governor'.
Majukumu ya kujikinga na magonjwa ni ya watu wenyewe. Kama unavyotaka afya iwe kipaumbele kwa serikali, pia iwe kipaumbele kwa wananchi.
Shirika la ndege lenye nguvu litaleta mapato ambayo yatasaidia hata kwenye afya. Ni utoto kutumia mapato yetu yote kwenye mambo ambayo hayazalishi kwa namna yoyote.
Bora umemaliza mjadala, kinachofuata subiri Mbowe akwambie ufanye nini halafu urudi tena.ndiyo maana nimkuambia kuna kitu huelewi na huonekani kama unataka kujifunza.
Healthcare popote duniani si suala la mwananchi, linafika kwa mwananchi kama hatua ya mwisho. Jiulize kwanini tuna TFDA, Mkemia Mkuu, Bohari ya Madawa, Hospitali za rufaa, vyuo vya afya n.k.
Healthcare kama ungefuatilia ni tatizo kubwa sana US kwasasa.
UK kupitia NHS wanahangaika kama mataifa mengine.
Wewe unafikiri dreamliner tu, my foot. Kwakweli siwezi kuendelea mjadala na wewe
Kiwango chako cha dreamliner ni cha hali ya juu sana, sijafikia huko
Ahsante sana
Hahahaha story ya marafiki hiyo! Na walio comment ni watu wako! Hapo sasa!Duh hapana, mbaki naye huyo huko huko kwenu. Nimeona sakata la Makonda kuvamia kituo cha habari akiwa na mapolisi halafu Magu akamkingia kifua, mambo kama hayo yabaki huko.
Duh hapana, mbaki naye huyo huko huko kwenu. Nimeona sakata la Makonda kuvamia kituo cha habari akiwa na mapolisi halafu Magu akamkingia kifua, mambo kama hayo yabaki huko.
Kwani brother hujaisikia report ya CAG kuhusu allocation ya pesa katika sekta tofauti......kila mahali waTz wanalalamika kukosa huduma nzuri za afya.
..wakati huohuo kuna mamia ya madaktari wako mitaani na serikali haiwaajiri.
..halafu Raisi na Waziri wa Afya wanatangaza kutoa " msaada" wa madaktari kwenda Kenya.
..zingatia kwamba ratio ya daktari kwa mgonjwa huku Tanzania ni ndogo kuliko Kenya. Kwa maana kwamba daktari wa Tz anahudumia wagonjwa wengi kuliko daktari wa Kenya.
..Je, waTz hatuhitaji huduma za madaktari hao waliosomeshwa kwa kodi zetu?
Cc MK254
Nilidhani kenya ndiyo itakayokuwa inaongoza, sijawahi fikiri kenya inaweza kuwa second kwenye kitu chochote hapa EA.mgomo uliisha kitaaaaaaaambo ,ata wakenya wengi wamesha-sahau
heri mungewaajiri nyumbani you need them ,tanzania has the lowest ratio of doctors to civilians in all of east africa ,
hata rwanda na uganda wamewashinda
Rwanda -1 doctor to 16,000 patients
Kenya -1 doctor per 17,000 patients
Uganda -1 doctor per 24,000 patients
Tanzania -1 doctor per 25,000 patients
Tanzania: Govt Trains More Doctors Than It Can Employ - Study
Kiukweli umeuliza maswali ya msingi lakini watu watajitia upofu kwa kuwa ni jukwaa la kenya lakini ni hekima kulichambua hili suala kwa mapana.......mimi sikujua kama nchi hii ni ya ajabu kiasi hiki.
..nilijua sekta yetu ya afya ina matatizo.
..Lakini taarifa kwamba tuna
madaktari wapo kijiweni zimenishtua na kunitia hasira.
..hivi nyinyi wenzetu mnapata faida gani wananchi wanyonge wakikosa huduma za afya huku madaktari wakiwa wako vijiweni?
..we need to put our acts together.
..Kupanga ni kuchagua. Katika muktadha huo, we need to stop all WASTEFUL SPENDING kama kuhamia Dodoma, kujenga International Airport Chato, etc etc.
..kuhusu shirika la ndege, mimi si-support lifufuliwe sasa hivi kutokana na ukweli kwamba biashara ya mashirika ya ndege hailipi vizuri. Mengi yanakuwa subsidized na serikali zao.
..mwisho, sina nia ya kuwakatisha tamaa madaktari wetu ambao wametelekezwa vijiweni kutokana na uzembe na ubadhirifu wa serikali yao.
Hutaki wewe wenzako wanataka.Jana nimesikia Uhuru akitetea swala la Kenya kupata madaktari kutoka Tanzania!!
Ila wabongo mjue hatutafuti daktari wale, hujidai wanatibu Mapenzi, sijui kupata mme au Kazi, Maana hata sahi ndio hayo mabangio yamezidi kuanzia namanga hadi kitengela, eti Daktari Kutoka Tanzania... na tibu, Mapenzi ........ hatutaki hao
[emoji81] [emoji81] [emoji81] [emoji81] inashindwa kwa vitu vingi tu mbona.Nilidhani kenya ndiyo itakayokuwa inaongoza, sijawahi fikiri kenya inaweza kuwa second kwenye kitu chochote hapa EA.
Kuna matumizi mabovu ni ukweli haswaa yanayoendelea chato kwa kuwa hayana faida kwa taifa lakini kuna mengineyo kama kuhamia dodoma kwangu ninaiona ni movement nzuri ili kuondoa centralization ya kiuchumi na kiserikali na pia kuiendeleza central corridor ya nchi
Kuhusu madaktari kutokuajirika ni upuuzi mkubwa na ni aibu kwa nchi yetu kutoweza kuajiri watu wa sekta muhimu kwa taifa letu....
Kinachohitajika
Pesa ya kutosha ielekezwe katika sekta ya afya
Hutaki wewe wenzako wanataka.
joka kuu na nguruvi sielewi kwa kweli kwa nini mnapinga kufufuliwa kwa ATCL, kama kungekuwa na mbadala wake ningejaribu kuelewa ila kutoa lugha tu nyepesi eti kufufuliwa kwa ATCL ni kukosa vipaumbele inaonyesha una msukumo wa kisiasa...asante kwa mchango wako mzuri.
..nakubaliana na wewe kwamba serikali yetu kushindwa kuajiri madaktari ni uzembe.
..natofautiana na wewe kuhusu suala la kuhamia Dodoma.
..kama tunataka Central corridor na Dodoma ziendelee basi tulenge kwenye sekta ya uchumi ambayo inashirikisha wananchi wengi wa maeneo hayo.
..kwa mfano, tungeweza kuwekeza ktk sekta ya zabibu na uzalishaji wa wine/mvinyo. Au, tungeweza kuwekeza ktk sekta ya mifugo kwa kuanzisha viwanda vya ngozi na kusindika nyama. Nakumbuka zamani kulikuwa na nyama toka Kongwa Dodoma, ukienda bucha unanunua kongwa steak.
..kwa hiyo maoni yangu, kuongeza thamani ya mazao yanayozalishwa Dodoma na Central corridor ni njia bora zaidi ya kujenga uchumi wa eneo hilo na kuinua kipato cha wananchi kuliko kujenga ikulu na kupeleka makao makuu ya wizara za serikali.
NB:
..nimeangalia miji mikuu kama Washington DC, Berlin,Ottawa, Moscow, New Delhi, yote haiko katikati ya nchi zao. Kwa hiyo dhana kwamba mji mkuu ukiwa katikati ya nchi tunapeleka serikali/huduma karibu na wananchi inawezekana haina mashiko sana.
Suala la madaktari lina kahistoria yake, ndio maana mwaka jana waliajiri baadhi kwa vituo vyote vipya vya afya kama Mlonganzila, vile vile serikali imeshasema itachukua madaktari 450 mwaka huu, ila hii haiwezi kuondoa surplus iliyopo mtaani.Kiukweli umeuliza maswali ya msingi lakini watu watajitia upofu kwa kuwa ni jukwaa la kenya lakini ni hekima kulichambua hili suala kwa mapana.....
Kuna matumizi mabovu ni ukweli haswaa yanayoendelea chato kwa kuwa hayana faida kwa taifa lakini kuna mengineyo kama kuhamia dodoma kwangu ninaiona ni movement nzuri ili kuondoa centralization ya kiuchumi na kiserikali na pia kuiendeleza central corridor ya nchi
Kuhusu madaktari kutokuajirika ni upuuzi mkubwa na ni aibu kwa nchi yetu kutoweza kuajiri watu wa sekta muhimu kwa taifa letu....
Kinachohitajika
Serikali inatakiwa kuwezesha ukuaji wa sekta binafsi katika utoaji wa huduma kwa kuvutia uwekezaji maana demand ipo kubwa lakini supply ni ndogo
Serikali inatakiwa kupunguza restrictions na mlolongo wa uanzishwaji wa vituo vidogo vya afya
Pesa ya kutosha ielekezwe katika sekta ya afya