Tanzania yanunua "ITX Bullet Trains" kutoka Korea Kusini

Tanzania yanunua "ITX Bullet Trains" kutoka Korea Kusini

Kumbe kumchagua lisu ndio kuwa vizuri, wakenya bhana
Nampongeza kw kutofuata mkumbo, anajifanyia maamuzi anavyopenda yeye..
Km jamaa alikua akinengua na miradi yote anayofanya magu hapa jf alafu kumbe ana maamuzi ya kwake hta bila kufuata upepo..

Nimempongeza sana
 
Nampongeza kw kutofuata mkumbo, anajifanyia maamuzi anavyopenda yeye..
Km jamaa alikua akinengua na miradi yote anayofanya magu hapa jf alafu kumbe ana maamuzi ya kwake hta bila kufuata upepo..

Nimempongeza sana
Mimi sina sifa ya kupiga kura, lakini kama ningekua na sifa hizo, hata siku moja siwezi kumchagua Lissu.
 
siku hizi unabisha kiboyaboya sasa treni ya 350 km/h wakati design ya reli inaweza ku-accomodate less than 200km/h? Hivi ubishi wa akili hii umeutoa wapi? Ni kama utake kuwa na race-car Ferrari huku una barabara korongo! Acha hizo, treni ya Speed hizo unazotaka wewe huwezi kuzikimbiza kwenye reli ya design yetu, kuzinunua sasa ni matumizi ya kiwendawazimu!

Sijabisha, ila natamani speed zaidi ya 160kmph.
 
BURETI TREINI YA 160 km/hr HAHAHAHAHAHAH
Maajabu ya bureti treiniiiiiiii jahjaahhhahahhahhah🤣🤣🤣🤣🤣🤣[emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji79][emoji81][emoji81][emoji81][emoji81][emoji74][emoji74][emoji317]
 
Juzi Uhuru alipandisha Museveni garimoshi Nairobi-Mombasa akitegemea atam-convince a-change mind na kuanzisha mchakato wa SGR Naivasha-Malaba-Kampala, jamaa karudi Uganda akakaa kimyaa!





Tanzania is being termed a problem child in here (0,38 min)!
 
Back
Top Bottom