Tanzania yanunua "ITX Bullet Trains" kutoka Korea Kusini

Kwaiyo tukubaliane kuwa tutatumia masaa mawili na dakika kufika morogoro kwa ITX...🤣🤣🤣
 
Hajitambui huyu Yani ununue kitu cha gharama halafu huna matumizi nacho Kwasababu tu eti unaweza kupunguza speed ukatumia kweli jamaa kichaa
Kaiyo mmenunua ITX yenye maximum speed ya 160km/hr...??🤣🤣🤣....Hongera ziwafikie Jamuhuri ya Kenya
 
Narudia kusema hiyo ni design ya Average speed...February sio mbali...
 
New "gauge-changing bogies" innovation; a train that can operation on different width of a raitrack i.e. all types of gauge widths!


MY TAKE
For Godsake Mchina anataka kumuibia Mkenya tena, sasa ile mitungi ya chang'aa itakuwaje? Ni mwendo wa system design conversion au new locomotives!
 
Hivi unaelewa maana ya neno "average"...??
Hakuna average speed kwenye masuala ya transport. Kuna kitu kinaitwa maximum speed pekee.
Unapotengeneza reli una set maximum speed na siyo average speed.


Average speed ni calculation na siyo reality.

Kwa mfano average ya 600 na 10 ni 305 which is not realistic in real life.
 
Kwaiyo tukubaliane serikali inadanganya inapodai tutatumia lisaa na dakika kufika Morogoro.....Maximum speed ya locomotive za Kenya ni 200 km/hr...Sisi kwa nini isiwe zaidi..?? Tusubili February sio mbali
 
Kwaiyo tukubaliane serikali inadanganya inapodai tutatumia lisaa na dakika kufika Morogoro.....Maximum speed ya locomotive za Kenya ni 200 km/hr...Sisi kwa nini isiwe zaidi..?? Tusubili February sio mbali
Dar - morogoro 187 km
Hata 120km/h bado itakuwa saa na nusu.
 
Dar - morogoro 187 km
Hata 120km/h bado itakuwa saa na nusu.
Usiwe mjinga...Nani kakwambia train inakimbia muda wote 160 km/hr?? Kwenye kona inapunguza speed hadi 80km/hr... Ndo maana nikakueleza swala la average speed...Na hapo bado kwenye vituo itapo simama... Mnaongea tu bila research
🤣🤣🤣👇👇👇

Different trains accquire different average speed. Speed highly depends upon quality of tracks and safety managements.
Speed of trains are-
  1. Passenger trains with average speed of 35km/hr and maximum permissible speed of 100km/hr
  2. Express trains with average speed of 60km/hr and maximum permissible speed of 110km/hr
  3. Super fast express trains with avg speed of 75km/hr and maximum permissible speed of 130 km/hr
  4. Premium super fast express trains with avg speed of 90km/hr and maximum permissible speed of 140 km/hr
  5. Semi high speed trains with avg speed of 110- 160 km/hr and maximum permissible speed of 200 km/hr
  6. High speed trains with avg speed of 250 km/hr and maximum permissible speed of 320 km/hr
  7. Normal bullet trains with avg speed of 300 km/hr and maximum permissible speed of 400 km/hr
  8. Super fast bullet trains with avg speed of 400 km/hr and maximum permissible speed of 520 km/hr
  9. Maglev trains with avg speed of 420–505 km/hr and maximum permissible speed of 610 km/hr.
  10. Trains under hyperloop technology with avg speed of 540–590km/hr and maximum permissible speed of 705 km/hr
  11. Goods train with avg speed of 25–30km/hr with maximum permissible speed of 90km/hr
 
Kwaiyo tukubaliane serikali inadanganya inapodai tutatumia lisaa na dakika kufika Morogoro.....Maximum speed ya locomotive za Kenya ni 200 km/hr...Sisi kwa nini isiwe zaidi..?? Tusubili February sio mbali
mulisa una matatizo gani kichwani mwako?, train za Kenya haziwezi kukimbia zaidi ya 120km/hr, kutokana na reli yao hairuhusu huo mwendo hata kama Train zao zina uwezo wa kukimbia 200km/hr.

Dar - Moro ni kilometa 210. Kwa kasi ya Train zetu ya 160km/hr, itachukua lisaa limoja na nusu, wapi serikali ilidanganya?

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Usiwe mjinga...Nani kakwambia train inakimbia muda wote 160 km/hr?? Kwenye kona inapunguza speed hadi 80km/hr... Ndo maana nikakueleza swala la average speed...Na hapo bado kwenye vituo itapo simama...
Hata iweje kupunguza na kusimama katika vituo, vyote hivyo vilifanyiwa hesabu na kuonekana itatumia saa moja na nusu hadi Moro na masaa matatu hadi Dodoma, kumbuka Dodoma ni Kilometer 450 tu, wakati 160 x 3 =480.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Usiwe mjinga...Nani kakwambia train inakimbia muda wote 160 km/hr?? Kwenye kona inapunguza speed hadi 80km/hr... Ndo maana nikakueleza swala la average speed...Na hapo bado kwenye vituo itapo simama...

Wewe Ni chizi..Huwezi niaminisha huo ujinga....Mimi sio mjinga Kama wewe...Nasoma kuelewa ili nijiongeze...Nimewambia mnionyeshe ITX yenye 8Cars hadi muda huu hamjanionyesha..
 
Anadai Mbarawa alisema! [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Kwahiyo kauli ya Mbarawa haibadiliki?, Mbarawa aliondoka Wizarani hata tender ya kununua hizo trains haijatangazwa, angesema kwamba Kamwele ndio amesema japo ingekua na nguvu kidogo.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Wewe uliambiwa ni cars ngapi...?? Mwenzako anasema ni 6 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Iwe 6 au 8 halina maana kwangu, kwasababu hiyo ni kitu kinachoweza kubadilishwa wakati wowote, sio kitu cha kukishikilia, inategemeana na ushauri wa mtengenezaji.

Mimi ninachokumbuka ni hizo idadi za train, Kamwelwe alisema zinaweza kuwa 6, lakini hata hiyo idadi pia inaeeza kubadilika, ninakushangaa kushikilia jamba ambalo sio kitu muhimu kama hizo kauli za mawaziri ambazo zinaweza kubadilika wakati wowote

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…