KDF-BabaYao
JF-Expert Member
- Sep 2, 2014
- 221
- 317
Wananchi watapackiwa hapo juu, kama zile za IndiaNa ibebe double stack?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wananchi watapackiwa hapo juu, kama zile za IndiaNa ibebe double stack?
Hizi trains ni model ya 2014, hakuna used train hata moja, ndio mara ya kwanza kutumika nje ya South Korea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vituo vyetu vya train ni supuu kushinda vyenu. Vituo vyenu viko chini sana.Vituo vyao vya train Ni Kama vyetu...tu very simple..Kuna nyang'au wamejengewa monuments alaf wanajisifia
Tutabeba kwenye vichwa vyetu[emoji23][emoji23][emoji23]Na ibebe double stack?
Chizi huyo, nimemuelewa ila nimemkaushia sina mpango kumjibu, sasa train za mizigo hata zikifana na uso wa Simba kuna umuhimu gani?.Anamaanisha cargo trains zenu zitafanana vipi?
Kama ni ukweli, hongereni lakini ni vigumu kuwaamini flower boys wa CCM.Hizi trains ni model ya 2014, hakuna used train hata moja, ndio mara ya kwanza kutumika nje ya South Korea [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na vile mlikuwa mmetuingilia kuhusu cargo trains zetu.Chizi huyo, nimemuelewa ila nimemkaushia sina mpango kumjibu, sasa train za mizigo hata zikifana na uso wa Simba kuna umuhimu gani?.
Cargo trains umuhimu wake ni nguvu ya kuvuta mzigo, na kasi yake, sasa sura ina umuhimu gani?
Ni marufuku kwa mkenya kuchukua dada zetu, njoo upande bullet train, ukimaliza tutakusindikiza hadi Namanga na zawadi ya gunia mbili za mchele.Kama ni ukweli, hongereni lakini ni vigumu kuwaamini flower boys wa CCM.
Itabidii nizitumie mwenyewe nikija kula chips mayai na kusaka hao madada wa baikoko huko danganyika
Ushahidi huu hapaWeka ushahidi kua tumenunua!!
Napenda unavyofikiria wewe MtanzaniaWeka ushahidi kua tumenunua!!
Utakuta ni zile mitumba za TRC tu😂Hili likithibitika ni kweli itakuwa tiketi ya kuniamsha mapema saa 12 oktoba 28 kwenda kumpigia kura Magufuli!
Hakika ni jambo kubwa sana kwangu..ila kama itakuwa mitreni michakavu ile ya 1970's basi siamki kabisa siku hio. Ntakuwa namichana na demu wangu tu.
Mkuu jiandae kuamka mapema, hio ni ukweli 100%,. Kaa mkao wa kula nitakuletea taarifa nzuri zaidi ya hizi.Hili likithibitika ni kweli itakuwa tiketi ya kuniamsha mapema saa 12 oktoba 28 kwenda kumpigia kura Magufuli!
Hakika ni jambo kubwa sana kwangu..ila kama itakuwa mitreni michakavu ile ya 1970's basi siamki kabisa siku hio. Ntakuwa namichana na demu wangu tu.
Hivi unatuchukuliaje?Nina waswasi kama watanzania wengi watakaopanda treni hiyo kama watatumia hivyo vyoo vizuri.
Mkuu jiandae kuamka mapema, hio ni ukweli 100%, Kaa mkao wa kula nitakuletea taarifa nzuri zaidi ya hizi.Hili likithibitika ni kweli itakuwa tiketi ya kuniamsha mapema saa 12 oktoba 28 kwenda kumpigia kura Magufuli!
Hakika ni jambo kubwa sana kwangu, ila kama itakuwa mitreni michakavu ile ya 1970's basi siamki kabisa siku hio. Ntakuwa namichana na demu wangu tu.
Jambo la heri sana, hii sasa ndio Tanzania tuliokuwa tunaitakaMkuu jiandae kuamka mapema, hio ni ukweli 100%,. Kaa mkao wa kula nitakuletea taarifa nzuri zaidi ya hizi.
Ile ni garimoshi, haina hadhi hata ya kuitwa treni...Hii ITX ndio treni sasa.Utakuta ni zile mitumba za TRC tu😂
Ccm wanatafuta kura, treni ni kama ile walioizindua ya kwenda Arusha
Muda ni mwalimu.