Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu sisi tunaoishi huku Mwakaleli, hizi trains zitatusaidiaje?, bora angetupa zile 50M kila kijiji kama alivyoahidi.Kwahiyo ilo li ITAX Bullet Train wewe halikustui kwamba Magufuli anachapa kazi kweli kweli .
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Siwezi shangaa kama ni hivyo, hasa ukikumbuka walivyozuia ndege zetu kule Canada.Nasikia ziko bandarini tiyari,kweli si kweli?
Mkuu sisi tunaoishi huku Mwakaleli, hizi trains zitatusaidiaje?, bora angetupa zile 50M kila kijiji kama alivyoahidi.
Acha dharau,wewe ni mkenya nini?Muda ni mwalimu.
Wakenya mnaumia sana jinsi TZ tunavyopiga hatua kimaendeleo.Nyie mtakuwa na miundombinu nzuri hapo Dar na sisi tutabaki kuwa na uchumi mkubwa. Kwa hivyo hakuna shida.
hao tutabeba ... no mercy 😀 😀Karibuni sana, ila hamruhusiwi kuchukua dada zetu
Wakina tomaso mkae pale[emoji117] msubiri[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Weka ushahidi kua tumenunua!!
Uchumi upi wa paper[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nyie mtakuwa na miundombinu nzuri hapo Dar na sisi tutabaki kuwa na uchumi mkubwa. Kwa hivyo hakuna shida.
MY TAKE: Hizi bullets trains zinakidhi mahitaji ya Tanzania kwasababu gharama zake ni wastani na zinaweza kusimama vituo vingi tofauti na KTX ambazo zinakimbia 350km/hr, hivyo kushindwa kusimama vituo vingi.
Hongera Tanzania. Hongera East Africa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kumbe unatambua tunapiga MAENDELEO chini ya Hodari Magufuli.Wakenya mnaumia sana jinsi TZ tunavyopiga hatua kimaendeleo.
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app
Kwangu Lissu ndio hajani shawishi. Huwezi wadanganya watu kama watoto, yaani unachukua mfano wa interchange unapeleka kuwauliza wanakijiji? sasa na ww unatak niambia lisu ndio anaweza Kufanya zaidi ya yaliofanyika?Mkuu sisi tunaoishi huku Mwakaleli, hizi trains zitatusaidiaje?, bora angetupa zile 50M kila kijiji kama alivyoahidi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwangu Lissu ndio hajani shawishi. Huwezi wadanganya watu kama watoto, yaani unachukua mfano wa interchange unapeleka kuwauliza wanakijiji? sasa na ww unatak niambia lisu ndio anaweza Kufanya zaidi ya yaliofanyika?
Hivi zile used DMU toka spain kila unit moja imewagharimu $ ngapi?, kwasababu inaonekana hata hizi jamaa amezipata kwa bei nzuri sanaKabisaa....
Yaani wametoa bei ya mpya kununua rejects! Ni scandal nyingine! Zingekuwa mpya nisingetia neno!Hivi zile used DMU toka spain kila unit moja imewagharimu $ ngapi?, kwasababu inaonekana hata hizi jamaa amezipata kwa bei nzuri sana
MY TAKE: Hizi bullets trains zinakidhi mahitaji ya Tanzania kwasababu gharama zake ni wastani na zinaweza kusimama vituo vingi tofauti na KTX ambazo zinakimbia 350km/hr, hivyo kushindwa kusimama vituo vingi.
Hongera Tanzania. Hongera East Africa.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app