Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Tuna maendeleo ya vitu na sio watu, ndo shida inapokuja hapo.Binafsi laiti km Magu,angeniruhusu nimshauri,ningemshauri kuwa ajitajidi kubalansi mambo,yaani Jitihada za miradi ziwepo lkn asiegemee sana huko wakati wananchi tunalia hali ngumu ya maisha,aachie pesa mtaani,ili Wananchi wapate pesa kiurahisi,nikimaanisha kuwa afungue milango ya kiuchumi,Kumbe unatambua tunapiga MAENDELEO chini ya Hodari Magufuli.
Haya sasa October 28th twende tukampe kura nyingi.
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Awajali Watumishi kwani kupitia kwa hao pesa inaingia kwenye mzunguko,Asiwanyanyase Wapinzani kwani kupitia hao anaweza kujitazama vizuri kuliko km akiwategemea ccm wenzake maana hao ni wazee wa kumsifia tu hata km anakosea.Ninayo mengi sana.
Sent from my TECNO WX3 using JamiiForums mobile app