fidel castro wapili
JF-Expert Member
- Mar 18, 2017
- 3,497
- 2,911
Hongera JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 msijali dogo zetu, in 50 years labda mtatufikia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uchumi wa kwenye makaratasi,[emoji23][emoji23][emoji23]Nyie mtakuwa na miundombinu nzuri hapo Dar na sisi tutabaki kuwa na uchumi mkubwa. Kwa hivyo hakuna shida.
Naona unateseka [emoji3][emoji3][emoji3]. Wakenya mutupie kwanza 20-25 tunajambo letu. Msipokua na uvumilivu wakenya wengi ukiongozwa na wewe unaweza pata msongo wa mawazo. Ila ngoja nikujuze kitu wala usihuzunike!, Unajua bwana siku zote ukiwa unashindana pekeyako lazima use mshindi tu na utajiona bora na hakuna kama wewe ndio kilichowalemaza .sasa ukija ukipata mshindani ndio hapo mateso yanapoanza na kujiona unaonewa unashindwa kukumbuka kua ulikua unashindana peke yako.[emoji23][emoji23][emoji23] msijali dogo zetu, in 50 years labda mtatufikia
Tuna uchumi karibu mara dufu yenu kwa mujibu wa World bank na IMF na UN.Uchumi wa kwenye makaratasi,[emoji23][emoji23][emoji23]
Leteni ushindani. Sisi hatuogopi ushindani.Naona unateseka [emoji3][emoji3][emoji3]. Wakenya mutupie kwanza 20-25 tunajambo letu. Msipokua na uvumilivu wakenya wengi ukiongozwa na wewe unaweza pata msongo wa mawazo. Ila ngoja nikujuze kitu wala usihuzunike!, Unajua bwana siku zote ukiwa unashindana pekeyako lazima use mshindi tu na utajiona bora na hakuna kama wewe ndio kilichowalemaza .sasa ukija ukipata mshindani ndio hapo mateso yanapoanza na kujiona unaonewa unashindwa kukumbuka kua ulikua unashindana peke yako.
Usijali, "tulislimu" sasa twaruhusiwa kuwa na wake wanne😂Naona unateseka [emoji3][emoji3][emoji3]. Wakenya mutupie kwanza 20-25 tunajambo letu. Msipokua na uvumilivu wakenya wengi ukiongozwa na wewe unaweza pata msongo wa mawazo. Ila ngoja nikujuze kitu wala usihuzunike!, Unajua bwana siku zote ukiwa unashindana pekeyako lazima use mshindi tu na utajiona bora na hakuna kama wewe ndio kilichowalemaza .sasa ukija ukipata mshindani ndio hapo mateso yanapoanza na kujiona unaonewa unashindwa kukumbuka kua ulikua unashindana peke yako.
Uchumi mkubwa upi unaozungumzia wewe mwanauchumi? Kwani uchumi mkubwa kazi yake c ndio kujenga hiyo miundo mbinu Bora na mizuri, au kazi yake nini hebu nifundishe maswala ya uchumi maana mimi c fani yangu au mindombinu mizuri haitokani na kuwa na uchumi mkumbwa?Nyie mtakuwa na miundombinu nzuri hapo Dar na sisi tutabaki kuwa na uchumi mkubwa. Kwa hivyo hakuna shida.
Naaam currency speaks😂...Uchumi wa kwenye makaratasi,[emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo anajua kila kitu, anatania tu na lengo lake ni kuchangamsha mjadala.Uchumi mkubwa upi unaozungumzia wewe mwanauchumi? Kwani uchumi mkubwa kazi yake c ndio kujenga hiyo miundo mbinu Bora na mizuri, au kazi yake nini hebu nifundishe maswala ya uchumi maana mimi c fani yangu au mindombinu mizuri haitokani na kuwa na uchumi mkumbwa?
Karibuni sana, ila hamruhusiwi kuchukua dada zetuSisi hatuna wivu hata kidogo. Nunueni tutakuwa watalii huko tuingie kwenye bullet train ya kwanza EA.
Mkuu mimi nitapia Lissu, bado Magufuli hajanishawishi vya kutosha.Akikaribia unistue Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23]
October 28th kura zote za ndio ni kwa JPM
JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
Kwahiyo ilo li ITAX Bullet Train wewe halikustui kwamba Magufuli anachapa kazi kweli kweli .Mkuu mimi nitapia Lissu, bado Magufuli hajanishawishi vya kutosha.