Tanzania yanunua "ITX Bullet Trains" kutoka Korea Kusini

Tanzania yanunua "ITX Bullet Trains" kutoka Korea Kusini

[emoji23][emoji23][emoji23] msijali dogo zetu, in 50 years labda mtatufikia
Naona unateseka [emoji3][emoji3][emoji3]. Wakenya mutupie kwanza 20-25 tunajambo letu. Msipokua na uvumilivu wakenya wengi ukiongozwa na wewe unaweza pata msongo wa mawazo. Ila ngoja nikujuze kitu wala usihuzunike!, Unajua bwana siku zote ukiwa unashindana pekeyako lazima use mshindi tu na utajiona bora na hakuna kama wewe ndio kilichowalemaza .sasa ukija ukipata mshindani ndio hapo mateso yanapoanza na kujiona unaonewa unashindwa kukumbuka kua ulikua unashindana peke yako.
 
Naona unateseka [emoji3][emoji3][emoji3]. Wakenya mutupie kwanza 20-25 tunajambo letu. Msipokua na uvumilivu wakenya wengi ukiongozwa na wewe unaweza pata msongo wa mawazo. Ila ngoja nikujuze kitu wala usihuzunike!, Unajua bwana siku zote ukiwa unashindana pekeyako lazima use mshindi tu na utajiona bora na hakuna kama wewe ndio kilichowalemaza .sasa ukija ukipata mshindani ndio hapo mateso yanapoanza na kujiona unaonewa unashindwa kukumbuka kua ulikua unashindana peke yako.
Leteni ushindani. Sisi hatuogopi ushindani.
 
Naona unateseka [emoji3][emoji3][emoji3]. Wakenya mutupie kwanza 20-25 tunajambo letu. Msipokua na uvumilivu wakenya wengi ukiongozwa na wewe unaweza pata msongo wa mawazo. Ila ngoja nikujuze kitu wala usihuzunike!, Unajua bwana siku zote ukiwa unashindana pekeyako lazima use mshindi tu na utajiona bora na hakuna kama wewe ndio kilichowalemaza .sasa ukija ukipata mshindani ndio hapo mateso yanapoanza na kujiona unaonewa unashindwa kukumbuka kua ulikua unashindana peke yako.
Usijali, "tulislimu" sasa twaruhusiwa kuwa na wake wanne😂

Wacha sasa tujitahidi tumpate huyu msichana mali safi anaitwa Ethiopia🔥🤫
 
Nyie mtakuwa na miundombinu nzuri hapo Dar na sisi tutabaki kuwa na uchumi mkubwa. Kwa hivyo hakuna shida.
Uchumi mkubwa upi unaozungumzia wewe mwanauchumi? Kwani uchumi mkubwa kazi yake c ndio kujenga hiyo miundo mbinu Bora na mizuri, au kazi yake nini hebu nifundishe maswala ya uchumi maana mimi c fani yangu au mindombinu mizuri haitokani na kuwa na uchumi mkumbwa?
 
Uchumi mkubwa upi unaozungumzia wewe mwanauchumi? Kwani uchumi mkubwa kazi yake c ndio kujenga hiyo miundo mbinu Bora na mizuri, au kazi yake nini hebu nifundishe maswala ya uchumi maana mimi c fani yangu au mindombinu mizuri haitokani na kuwa na uchumi mkumbwa?
Huyo anajua kila kitu, anatania tu na lengo lake ni kuchangamsha mjadala.
 
Back
Top Bottom