Pre GE2025 Tanzania yaongoza kwa Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya habari kwa Afrika Mashariki

Pre GE2025 Tanzania yaongoza kwa Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya habari kwa Afrika Mashariki

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tusionane wajinga kiasi hiki jamani. Hivi ile poll ya mwananchi iko wapi???!!!
 
Hivyo vigezo mbona wamesahau kigezo muhimu zaidi kinachotumika hapa. Rushwa kwa vyombo vya habari inayotolewa na serikali kwa vyombo hivyo, ili viwe chawa wake!
Vyombo vya habari visivyoona uozo ndani ya serikali na kuutolea habari kwenye vyombo hivyo.
Unaweza ukaweka ushahidi wa unachokisema? Kama huna basi hiyo itabakia ni hisia zako tu
 
Takataka

Hata kama inaongoza ni sawa na mjinga anayeongoza kwenye darasa la wajinga wenzake
 
Wananukuliwa sana. Soma Mwananchi ya leo uone habari za rushwa ya CDM kwa mujibu wa mkutano wa Lissu wa Iringa
Kati ya vyombo vyote, ukatumia mfano wa Mwananchi, ambao wamewekwa mfukoni mwa Nape na Abbas wake?
Kama wameandika itakuwa ni pembe inayoinufaisha serikali
 
Unaweza ukaweka ushahidi wa unachokisema? Kama huna basi hiyo itabakia ni hisia zako tu
Of course siwezi kuweka ushahidi kama unaoutaka wewe. Serikali inapokataa kuweka matangazo kwenye gazeti kwa vile halishabikii matakwa yake, hiyo siyo rushwa?
 
Ripoti ya Utafiti iliyotolewa na Taasisi ya Reporters Without Borders (RSF) ya Mei 3, 2024 imeonesha kuwa Tanzania imeshika nafasi ya kwanza katika Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya Habari kwa upande wa Afrika Mashariki.

Tanzania imepanda kutoka nafasi ya 143 kwa Mwaka 2023 hadi 97, Kenya inafuatia kwa kushika nafasi ya 102 kutoka 116, Somalia ndio ya mwisho Duniani ikiwa nafasi ya 141.

Baadhi ya vigezi vilivyotumika ni misingi ya Kisheria, hali ya kiuchumi, hali ya kisiasa, usalama wa Wanahabari na mtazaamo wa kijamii na kitamaduni.

Nchi 10 Bora katika ripoti hiyo ni Norway, Denmark, Sweden, Uholanzi, Finland, Estonia, Ureno, Ireland, Switzerland na Ujerumani.
TANZANIA YANGU MAMA!!! TUZIDI KUTENDA YALIYO MEMA!!!
 
Nzuri nihiyo yakwanza duniani wengine wakandamizaji. Au mnasemaje?
 
Inasaidia nini watanzania hivi vinavyoandika kwa maelekezo na kutoa habari za upande mmoja hatuna vyombo vya habari Tanzania zaidi ya mitandao binafsi na wengi wao si wanahabari wanaliokoa Sana Taifa letu
 
Kwangu kuna tv mbili, sebuleni na chumbani, mke wangu na watoto waangalie mambo yao na mimi nitazame taarifa ya habari, sitaki kunyang'anyana ripoti na mke/watoto
 
Inasaidia nini watanzania hivi vinavyoandika kwa maelekezo na kutoa habari za upande mmoja hatuna vyombo vya habari Tanzania zaidi ya mitandao binafsi na wengi wao si wanahabari wanaliokoa Sana Taifa letu
Ndiyo hivyo tena dunia imeambiwa kama nyie hamtaki hampunguzi jitu
 
View attachment 2980086

Ripoti ya Utafiti ya Taasisi ya Reporters Without Borders (RSF) iliyotolewa Mei 3, 2024 imeonesha #Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kati ya Nchi zinazolinda Uhuru wa Vyombo vya Habari upande wa Afrika Mashariki

Tanzania imepanda kutoka nafasi ya 143 kwa Mwaka 2023 hadi 97 huku #Kenya ikishika nafasi ya 102 kutoka 116 na #Somalia ikiwa nafasi ya 141

Baadhi ya vigezo vilivyotumika ni misingi ya Kisheria, hali ya kiuchumi, hali ya kisiasa, usalama wa Wanahabari

Nchi 10 Bora katika ripoti hiyo ni Norway, Denmark, Sweden, Uholanzi, Finland, Estonia, Ureno, Ireland, Switzerland na Ujerumani
Lini itakuwa ya kwanza kiuchumi?
 
Kama wenye akili wanasema Tanzania inaongoza kwa uhuru wa habari, wewe kinyesi ni nani uzuie?
Kama wewe unaamini hayo basi una shida kubwa.endelea kuwaamini hao wenye akili maana zakwako umezifungia.
 
Hivyo vigezo mbona wamesahau kigezo muhimu zaidi kinachotumika hapa. Rushwa kwa vyombo vya habari inayotolewa na serikali kwa vyombo hivyo, ili viwe chawa wake!
Vyombo vya habari visivyoona uozo ndani ya serikali na kuutolea habari kwenye vyombo hivyo.
Tumia hicho kigezo kufanya utafiti wako
 
Back
Top Bottom