Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Ukiishi jalalani unakula kila aina ya taka,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaHawa wanatupa tabu sana sis wasifiaji. Manake kama hapo tunaweza kusifia bila kuonekana wehu ???
Sent using Jamii Forums mobile app
Unatafitije wakati hata vipimo vyako huviamini? Wataalamu huwaamini😀😀 unamwamini jonpimbi pekee!!Ya US nayo ilifanyiwa utafiti na WHO?
Lini tuliwatilia TFDA shakaUnatafitije wakati hata vipimo vyako huviamini? Wataalamu huwaamini😀😀 unamwamini jonpimbi pekee!!
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.
Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania ikiwasili nchini Madagascar Katika Uwanja wa Kimataifa wa Ivato kupata mimea ya Covid Organics, mchango kutoka Jamhuri ya Madagascar. Ujumbe huo ulipokelewa na Mkuu wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.
Huyu Prof ni walewale wafugaji wa chattle ni watu hatari sana na wamejaa kwelikweli serikalini na ndio shida tuliyonayo baada ya corona.Kabudi Kabudi mtu wetu
Kwani bado wapo hawa?Lini tuliwatilia TFDA shaka
Unaambiwa ni "SHEHENA".Kwa boksi 13?
UMEKUNYWA CHAI LAKINI?!Mpumbavu zaidi ni yule anae hukumu bila kusikiliza waziri kasemaje kuhusu kunywa jana
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Rais Magufuli kwa kuwajali Watanzania
Wewe ukiumwa corona utakufa kama nguruwe. Hizo dawa hata lumumva hazitafika. Kama huelewi haya.