Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Kabudi kasema yeye kainywa ili kuonyesha shukrani kwa alietoa msaada. Halafu kasema dawa iliyoletwa ni kwa ajili ya utafiti kwanza na sio kugawa kwa wananchi maana kama ingekuwa ni ya kugawa kwa wananchi takribani milioni 50 angeenda na airbus au dreamliner ili iletwe ya kutosha.
 
Mark my words ...Kuna mtu anatumbuliwa hapa,
Haiwezekani Mamlaka ya Rais ichezewe hivi...Rais alisema dawa imepatikana ,wao wanakuja na Tani ya dawa wanasema wameleta Kuifanyia utafiti 😀 😧😃😀
 
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo umepokelewa na Waziri wa Mambo ya Nje Prof Palamagamba John Aidan Mwaluko Kabudi.


Ndege maalum ya ujumbe wa Tanzania ikiwasili nchini Madagascar Katika Uwanja wa Kimataifa wa Ivato kupata mimea ya Covid Organics, mchango kutoka Jamhuri ya Madagascar. Ujumbe huo ulipokelewa na Mkuu wa diplomasia Djacoba Tehindrazanarivelo.

Screenshot_20200509-114200.png
 
Nadhani hii dawa ukinywa nusu na nusu kujifukiza itakuwa na double impact. Desperate times desperate measures.
 
Kama mtu alikunywa kikombe cha babu na bado hakupona. Hata kwenye hii hatopona.
 
Back
Top Bottom