Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
kuhusu US atakujibu balozi wa US.Ile dawa walioipata watalaamu wa US nayo ilifanyiwa utafiti na WHO kabla ya kutumika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuhusu US atakujibu balozi wa US.Ile dawa walioipata watalaamu wa US nayo ilifanyiwa utafiti na WHO kabla ya kutumika?
Mkuu hawa viongozi wetu wameshachanganyikiwa kitambo sanaJana Prof Kabuni alisema kuwa dawa iliyotetwa kutoka Madagascar itafanyiwa utafiti kwanza kabla ya kutumika.
Swali 1: Mbona yeye Prof Kabudi anaonekana akipiga glass ya dawa hiyo, je ameshaifanyia utafiti?
Swali 2: Kwanini serikali itume ndege kuchukua dawa ambayo bado haijafanyiwa utafiti?
View attachment 1444553
Kunywa ndiyo utafiti wenyewe.🤣 🤣 🤣 sasa mbona yeye mwenyewe ameinywa kabla ya huo utafiti??
Sasa mbona yeye alikunywa kabla ya huo utafiti?
HahahahahahahBaada ya kunywa chupa nzima ya dawa, tumbo likaanza kuuma ndio maana anasisitiza utafiti
WHO ni shirika la ujasusi la madawa la wazungu. That is not a conspiracy theory. It is a fact.soma WHO ni nini na majukumu yake ni yapi.
Majibu ya utafiti yalishatoka? Hapa si anakunywa dozi au? View attachment 1444535
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo uache kushabikia sasa vitu usivyovifahamu...WHO hawajapitisha dawa hata moja ila kuna nchi zishaanza kutumia dawa zao kukabiliana na huu ugonjwa.kuhusu US atakujibu balozi wa US.
huu ugoro kadanganyane na mabeki tatu hapo kitaani.WHO ni shirika la ujasusi la madawa la wazungu. That is not a conspiracy theory. It is a fact.
Endeleeni kuwasubiri hao WHO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Kabudi alipataje uprofesa ?Jana Prof Kabuni alisema kuwa dawa iliyotetwa kutoka Madagascar itafanyiwa utafiti kwanza kabla ya kutumika.
Swali 1: Mbona yeye Prof Kabudi anaonekana akipiga glass ya dawa hiyo, je ameshaifanyia utafiti?
Swali 2: Kwanini serikali itume ndege kuchukua dawa ambayo bado haijafanyiwa utafiti?
View attachment 1444553
Mtatetea hadi vinyesi safari hiiKamzuie wewe basi mnapenda kuzusha na kila jambo liwe baya inawasaidia nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpumbavu zaidi ni yule anae hukumu bila kusikiliza waziri kasemaje kuhusu kunywa janaTUNA WASOMI WAPUMBAVU SANA.KUNA PICHA ZIMESAMBAA ANAKUNYWA HIYO DAWA KABLA YA UTAFITI AFU LEO ANAKUJA NA HAYA.
Yeye anasema alikuwa akifundisha jalalani ndio baadaye akapata uprofesa huko huko.Hivi Kabudi alipataje uprofesa ?