Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Sasa mbona yeye alikunywa kabla ya huo utafiti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha,mkuu Hapo hanywi,hiyo Ni symbolically tuMajibu ya utafiti yalishatoka? Hapa si anakula dozi au? View attachment 1444535
Sent using Jamii Forums mobile app
Unato**** , m.bwa wwWalishakuposa hao WHO
hizi sio enzi kuishi kama tupo mwituni.Dawa isipothibitishwa na WHO inakuwa sio dawa?
Kweli ukoloni umenata kwenye akili yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
PatheticWaziri wa Mambo ya Nje anaelezea dawa,ilhali Waziri wa Afya yupo
Dawa isipothibitishwa na WHO inakuwa sio dawa?
Kweli ukoloni umenata kwenye akili yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Pumbavu WHO ni baba zako ifike hatua mjitambue na kujitegemea
Walishakuposa hao WHO
Tutaifanyia utafiti kwanza kabla ya kuibugia!Kumbe pinga pinga huwa mnaangalia channel ya TBC
Labda ndiyo utafiti wenyewe.Namsikiliza hapa Waziri Kabudi anasema walifuata dawa madagascar wafanyie utafiti kwanza kabla ya matumizi.
My take;
Tanzania tumechukua majukumu ya WHO ? kwanini Madascar wasingepeleka wenyewe kwanza hiyo dawa ipitishwe na WHO.
Lakini jana Kabudi kaonekana akibugia dawa hadharani bila hata ya huo utafiti anaousema...
Wamechoma mafuta ya ndege kipumbavu!Namsikiliza hapa Waziri Kabudi anasema walifuata dawa madagascar wafanyie utafiti kwanza kabla ya matumizi.
My take;
Tanzania tumechukua majukumu ya WHO ? kwanini Madascar wasingepeleka wenyewe kwanza hiyo dawa ipitishwe na WHO.
Lakini jana Kabudi kaonekana akibugia dawa hadharani bila hata ya huo utafiti anaousema...
😂 😂 😂 😂Baada ya kunywa chupa nzima ya dawa, tumbo likaanza kuuma ndio maana anasisitiza utafiti
Ya US nayo ilifanyiwa utafiti na WHO?hizi sio enzi kuishi kama tupo mwituni.
soma WHO ni nini na majukumu yake ni yapi.
Mjinga kabisa ww.....endelea kuwasubiri hao whoNamsikiliza hapa Waziri Kabudi anasema walifuata dawa madagascar wafanyie utafiti kwanza kabla ya matumizi.
My take;
Tanzania tumechukua majukumu ya WHO ? kwanini Madascar wasingepeleka wenyewe kwanza hiyo dawa ipitishwe na WHO.
Lakini jana Kabudi kaonekana akibugia dawa hadharani bila hata ya huo utafiti anaousema...