jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,556
- 25,342
Wafanyie utafiti kwenye miili yetu?
Labda makada kindakindaki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wafanyie utafiti kwenye miili yetu?
Tanzania imeenda kuchukua dawa US ??Ya US nayo ilifanyiwa utafiti na WHO?
Mpe za uso, kata funua.....Unato.... , m.bwa ww
Na mfalme wao ni HUHIHUHI.Utafiti? Hawa jamaa wamechemsha baada ya tamko LA WHO.
Dawa ya kufanya utafiti mnapeleka ndege kuchukua tank nzima?
Utafiti wakati Kabudi keshapiga chupa nzima?
Hii nchi ni ya WAGAGAGIGIKOKO kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasukari kidogo? Au ndio kama corolaquenMajibu ya utafiti yalishatoka? Hapa si anakunywa dozi au? View attachment 1444535
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile dawa walioipata watalaamu wa US nayo ilifanyiwa utafiti na WHO kabla ya kutumika?Tanzania imeenda kuchukua dawa US ??
Ndio shida ya kuongozwa na watu wanaosema wasiyoamini maprofesa uchwara hawa.Majibu ya utafiti yalishatoka? Hapa si anakunywa dozi au? View attachment 1444535
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio kuthibitishwa na WHO lakini dawa iwe imekithi vigezo.Dawa isipothibitishwa na WHO inakuwa sio dawa?
Kweli ukoloni umenata kwenye akili yako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unahangaika sana mzeeMpe za uso, kata funua.....
mjinga babaako aliyekutuma kuja kutukana watu
Tani zaidi ya 2 za kufanyia utafiti? Wallahi reseach ya kipekee hii.Namsikiliza hapa Waziri Kabudi anasema walifuata dawa madagascar wafanyie utafiti kwanza kabla ya matumizi.
My take;
Tanzania tumechukua majukumu ya WHO ? kwanini Madascar wasingepeleka wenyewe kwanza hiyo dawa ipitishwe na WHO.
Lakini jana Kabudi kaonekana akibugia dawa hadharani bila hata ya huo utafiti anaousema...
Si uandike tu neno lote mbona hujiamini shemela au WHO ndo alikufundisha hivyo.Unato.... , m.bwa ww
Lakini jana Kabudi kaonekana akibugia dawa hadharani bila hata ya huo utafiti anaousema...