Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Tanzania yapokea Msaada wa Dawa ya kufubaza COVID-19 kutoka Madagascar

Inaonekana dawa inafanya kazi kwa ufanisi wa asilimia kadhaa na hii imekuwa proved baada ya case za wagonjwa kupungua Madagascar


Je huu mmea hau-exist Tz ili tuanze kufanya production kwaajili ya ujenzi wa taifa??

Sent using Jamii Forums mobile app
Case zinaongezeka ila vifo ndio hamna kwa mjibu, wakati wanatangaza dawa walikuwa na wagonjwa 35 sasa hivi wanakaribia 140.
 
Hata kwa babu Ambilikile walikunywa lkn hadi leo hawajapona
Sasa wanakunywa kabisa inamaana wanakorona au....

Au itabidi kila mtu anywe maana hatujui nani mgonjwa nani mzima maana vipimo vyenyewe vinatiliwa mashaka.

Hata sijaelewa.

In God we Trust
 
Hiyo ndege itatua moja kwa moja Chattle. Isije kutua Dar ikabeba kirusi.

Na hiyo kinywaji meko hatamruhusu mtu mwingine atumie ni yeye na familia yake tu. Labda na familia ya Bashite.
 
View attachment 1443824

Uzuri wa dawa za kiasili hakuna haja ya kutumia wakati unaumwa tu, wakati wowote zinarekebisha mambo kama huko barabara. safi sana. Hili itawaudhi sana wale wenzetu kule Uaya na Marekani.
 
Case zinaongezeka ila vifo ndio hamna kwa mjibu, wakati wanatangaza dawa walikuwa na wagonjwa 35 sasa hivi wanakaribia 140.
Na nchi imewekwa lockdown vilevile.
 
Hizo dawa bado hazijathibitishwa kua kweli zinapona......idadi ya waliopona Madagascar ni ndogo sana. Idadi ya maambukizi Madagascar imeongezeka sana mpaka kupelekea rais kuongeza lockdown kwa wiki mbili zaidi......
Mjinga aliyesema kwa kupima Sampuli za mbuzi na mapapai anaweza kufanya conclusion kua Mashine ni feki ndo wapumbavu wanaendelea kumwamini badala ya kuandamana ili aondoke madarakani haraka sn
 
Back
Top Bottom