..aliyekuwa Waziri wa Sheria Prof.Kabudi, na Mwanasheria Mkuu Prof.Kilangi, ndio walioshauri mkataba uvunjwe, hivyo wanawajibika moja kwa moja na matokeo ya kesi hii.
DP world kikiumana huko mbele ya safari, watakamata ndege hazitatosha kulipa...unaweza ukazuka msako wa kukamata DIASPORA wakatumikishwe kazi uarabuni hadi deni liishe...