FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Hao Waislam wewe hawana ujinga huo.Bado Dipi Weldi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Waislam wewe hawana ujinga huo.Bado Dipi Weldi
DP World na mgodi wapi na wapi?Hata DP world Ina sifa hizo hizo ndio maana tunakataa.
Huwezi kuamka tu usingizini ubadilishe miakataba ya watu waliokwisha wekeza, lazima ufate makubaliano ya uwekezaji ya Kimataifa.Unasema wazungu walivyo wahuni, huku unashangilia mikataba ambayo Kuna kila dalili ya uhuni. Hiyo ni kuikosea hata nafsi yako
Ebu ielezee.Kuna kitu wanakiita standard
Ubovu wa mikataba kwa mtazamo wa nani,huyu?:Lakini kiini cha yote ni kuingia mikataba mibovu.
Kuhusu ubovu wa mikataba.DP World na mgodi wapi na wapi?
Vilaza ni wananchi, hawa jamaa wanasuka dili zao serikali inashindwa kesi
Hakuna mkataba wowote ulioingiwa na DP World, ndiyo ipo jikoni imefunikiwa bado ipakuliwe tu.Kuhusu ubovu wa mikataba.
Kilaza kweliAyo ni maneno ya mfuasi wa jiwe unatupia rawama wengne wakat makosa kafanya jiwe na maamuzi yake ya hovyo kuzani Tanzania ni kisiwa
Eti ukae na mkataba maisha yote kisa kuogopa ukiuvunja kuna kesi na hutashinda si afadhali uvunje tu ukawa ña deni ukalipa kisha ukawa huru.Kwa akili za namna hii ya kuogopa kuvunja mkataba, ukikutana na mkataba mbovu utakuwa mtumwa wa mkataba maisha yako yote
Kama kuandamana tuandamane kwa ajili ya viongozi wetu si mabeberu kweli tutaonekana majuha .Kuandamana dhidi ya “mabeberu” ni ujuha uliopitiliza. Tatizo letu ni serikali tunayoiendekeza inayoongozwa na watu wenye jeuri mbaya sana.
Kama ni maandamano basi yalenge kuwaondoa madarakani hao viongozi muflis, la sivyo heri tubaki na ujinga wetu!
Mawakili wafanye nini tulishavurunda kuwapoka leseni wazunguUna uhakika mawakili wetu walikua upande wetu?
Tumia akiliAcha kutetea ujinga
Hapana sheria ilibadilishwa ghafla bila kuzingatia mikataba iliyopoLakini kiini cha yote ni kuingia mikataba mibovu.