Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

Tanzania yashindwa kwenye kesi, yaamuriwa kulipa fidia ya zaidi ya Tsh. Bilioni 260

Mikataba ya kijinga kama huu wa DP WORLD ndiyo baadae inatuleta kesi kama hizi.

Ndio maana tunasema shida sio magufuli ni hawa wajinga wanaoingia mikataba mibovu ambayo haina maslahi kwa nchi kwa mfano magufuli baada ya kugundua hizo ni dili za watu alitunga sheria ya ulinzi wa rasilimali, ambapo kesi zinazohusu rasilimali za tanzania zitaamuliwa kwenye mahakama zetu, washenzi leo hii hiyo sheria wameenda kuifuta kabisa na hawaitaki wakati walipitisha wao hatari sana
 
Unatetea nini mjinga wewe? mkataba ulisainiwa kwenye utawala upi? udini unakutesa sn

Mikataba yote mibovu aliyofuta magufuli kulinda rasilimali za nchi, alisaini Jakaya kikwete na baada ya magufuli kuona ni mikataba ya kipumbavu akarisk bora hasara kuliko kuuza rasilimali kizembe, ndio maana unaona hao DP world wanabebwa kijinga sababu ni ule ule ujinga wa mikataba ya kijinga
 
Mikataba yote mibovu aliyofuta magufuli kulinda rasilimali za nchi, alisaini Jakaya kikwete na baada ya magufuli kuona ni mikataba ya kipumbavu akarisk bora hasara kuliko kuuza rasilimali kizembe, ndio maana unaona hao DP world wanabebwa kijinga sababu ni ule ule ujinga wa mikataba ya kijinga
Kwenye hizi dili Rostam na JK huwakosi
 
Afadhali tudaiwe na dunia nzima kuliko kugeuzana watumwa ndani ya nchi yetu, hii mikataba kuna walafi wanaoingia bila kutazama maslahi ya taifa, wanajitazama wao na 10% tu, dawa ni kuivunja tu.

Hata hii DPW nayo itakuja vunjwa tu, wacha tudaiwe, Samia akalale mpaka kaburini na laana.
 
wawekezaji wanao kuja kuwekeza katika Nchi zetu za Kiafrika wote ni wezi na matapeli tu tena wanashirikiana na Marais waliopo madarakani.Ndio maana uwekezaji wowote kwa Nchi za kiafrika ni laana na hauna manufaa yoyote kwa Umma.
Ndiyo maana wanajiwekea kinga wasishitakiwe wapige pesa za umma kwa mikataba ya kijinga kama hii
 
Ndio maana tunasema shida sio magufuli ni hawa wajinga wanaoingia mikataba mibovu ambayo haina maslahi kwa nchi kwa mfano magufuli baada ya kugundua hizo ni dili za watu alitunga sheria ya ulinzi wa rasilimali, ambapo kesi zinazohusu rasilimali za tanzania zitaamuliwa kwenye mahakama zetu, washenzi leo hii hiyo sheria wameenda kuifuta kabisa na hawaitaki wakati walipitisha wao hatari sana
Aliyevunja ndio amekosea.Angetizama kwanza kuvunja kuna maslahi au hakuna.Mkataba wowote hata wa kupangisha frem ya biashara,anayevunja mkataba ndio inakula kwake.Tumia akili.
 
wawekezaji wanao kuja kuwekeza katika Nchi zetu za Kiafrika wote ni wezi na matapeli tu tena wanashirikiana na Marais waliopo madarakani.Ndio maana uwekezaji wowote kwa Nchi za kiafrika ni laana na hauna manufaa yoyote kwa Umma.

Kila mwekezaji analenga kupata faida sasa hawa wanaojifanya kucheka na wawekezaji ati ni wajomba zao acha waaibike mchana kweupe
 
Back
Top Bottom