Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Huku kilindi na handeni wakivuna tu wanauza gunia elf30 mpaka 25 unaweza pata alafu baada ya hapo ndoa zinakua nyingi watu wanaongeza wake tu.
.
Saiv wachaga wanauza unga kg1 1500 wanawauzia wakulima
Wewe ukila mshahara wako wote in just 2 days Kuna mtu huwa anakuuliza? Hebu ucheni mambo ya kidwanzi aiseeee..
 
Acheni wakulima wauze mazao yao kwa bei nzuri nyieee... Kama hamna pesa ya kununua mchele kwa 2800 si ule ugali wa muhogo au uchemshe viazi vitamu?
Ikoko la mti gani hili? Kuna wengine kupata hata buku ya kula kwa siku ni mtihani hivyo ukiwa nacho wewe usidhani jamii nzima inafanana
 
Msimu unaofuata utalimaje bila kuuza uliyonayo Sasa?
Inaonekana hii field huelewi kabisa aisee... Mahindi tunaweka stoo na kuyauza kulingana na mahitaji ya kurudi nyumbani. Pale tunaposafisha stoo ujue unakaribia kuvuna na kuingiza mzigo mpya. Na kwa staili ya haya matozo yalivyochachamaa tutakuwa tunauza kwa awamu awamu (awamu ya kuandaa shamba na kupanda, awamu ya palizi & mbolea na mwisho awamu ya kujiandaa kuvuna)
 
Hii nchi ya ajabu sana yaani hatuna strategic kwamba mikoa kadhaa inalisha taifa na mikoa kadhaa uza nje .
 
Ikoko la mti gani hili? Kuna wengine kupata hata buku ya kula kwa siku ni mtihani hivyo ukiwa nacho wewe usidhani jamii nzima inafanana
Hivi ni jamii ipi duniani ambayo iko sawa kiuchumi? Huyu unayesema anakosa hata buku sababu kubwa ni pamoja na kuuza vigunia vyake 5 alivyo vuna kwa bei chee... Imagine kuna mwaka bei ya mahindi gunia moja ilikuwa elfu 20, sasa hiyo mkulima masikini assume kapata hata gunia 10 tuu halafu auze apate 200,000 na anayo familia na watoto wanasoma kweli atatoboa mpaka avune tena msimu mwingine mkuu?! Je vipi kama hizo hizo gunia 10 akauza kwa 120,000 na kupata 1,200,000??
 
Juha ni familia yako inayolima Ugali ili itajirike!
Kama msimu huu nimepata mahindi gunia za kutosha na bei niliyouza ni 120,000 ni bora niendelee kuwa JUHA PRO MAX kwa sababu nimepata fedha za kujikimu, fedha za kurudi shamba msimu ujao na pia ugali wa kula mwaka mzima na familia yangu ninao. Pia ukipigika nina uwezo wa kukupa ugali gunia moja na mchele Supa gunia moja, for free mkuu...
 
Kama msimu huu nimepata mahindi gunia za kutosha na bei niliyouza ni 120,000 ni bora niendelee kuwa JUHA PRO MAX kwa sababu nimepata fedha za kujikimu, fedha za kurudi shamba msimu ujao na pia ugali wa kula mwaka mzima na familia yangu ninao. Pia ukipigika nina uwezo wa kukupa ugali gunia moja na mchele Supa gunia moja, for free mkuu...
Hahaha.!
 
Wewe una matatizo ya akili, wapi nimesema wafanyabiashara wanastahiki kupataa hasara?

Nilichikueleza ni kuwa hakuna mkulima anayeweza kupeleka mahindi yake Kenya. Mkulima anauza bei ya soko ilivyo kwa muda husika, atayenunua Kama atayaacha hapa au atapeleka Kenya hiyo ni juu yake
Kumbe wewe ni taahira, nimeshakueleza hoja ya msingi, hao unaowaita wafanyabiashara hawastahili kupata hasara, milango ifunguliwe wauze kwenye masoko mazuri wanyoona yanawafaa, suala la usalama wa chakula ni la NFRA, ni kwanini wao wasingenujua hayo mahindi wakati yanapatikana? Milango ifunguliwe , hakuna anaestahili kupata hasara, hoja ndio hiyo.
 
Ikoko la mti gani hili? Kuna wengine kupata hata buku ya kula kwa siku ni mtihani hivyo ukiwa nacho wewe usidhani jamii nzima inafanana
  • Je unajua gharama za kulima mshindi kwa msimu uliopita zilikuwaje?
  • Vijana wanazururisha fuz.i huko mijini, wamekimbia kjj wanasubiri wavuja jasho wachache wakomae na kilimo hasara cha mahindi, huku wakisubiria huruma ya wafanya politics baada ya mavuno.
  • Kama unaona kilimo kinalipa, acha kuchuuza 'made in China' huko mjini, rudi kalime.
 
Uganda na Rwanda wana mahindi ya kutosha kutoka Tanzania maana serikali iliwapa wafanyabiashara wao mabilioni wanunue Tanzania, watu kama akina bashe wakielezwa haya hawajui na naimani mawaziri wengi hawajui mchezo wa kagame na museveni na kenyata wao wanawapa mabilioni watu wao watafute mazao kokote kule hawa wa kwetu wao wanacheka tu
Naiwasifu sana hao jamaa, wao huwa wanaangalia mbali ,ogopa sana watu ambao hawana migodi nchini mwao ila wanamiliki utajiri wa madini ,wao wanakusanya nje na kuleta ndani
 
Hapa Tanzania [emoji1241] uzalishaji wa mazao utaongeza endapo tuu tuna soko la kutosha na bei nzuri kama sasa, mengine ni mbwembwe tuuu. Yaani mwezi uliopita nilikuwa Mpanda maeneo ya jirani na Railways station nikakuta semi kibao za wafanyabiashara kutoka Kenya [emoji1139] wananunua mahindi sh elfu 16 mpaka elfu 18 kwa debe. Hivi mtu akijua kwamba akivuna gunia 200 atapata milioni zaidi ya 25 (ndani ya kipindi cha miezi 4) nani ataacha kulima mkuu?
Ndg, kwa grounds hizi mambo ni tofauti sana.
Mkulima wa kuvuna kiasi hicho atakuwa amelima ekari ngapi? Ametumia mtaji kiasi gani kuandaa shamba, kupanda, kumwagilia/ kudhibiti ukungu au maji ya mvua, palizix2, kuvuna na kuhifadhi? Bado mitaji, zana za kilimo (tractor, plau, etc), mbolea, palizi, dawa, aina ya udongo, umwagiliaji, uwepo wa visiki ama la ni shida.
 
Ndg, kwa grounds hizi mambo ni tofauti sana.
Mkulima wa kuvuna kiasi hicho atakuwa amelima ekari ngapi? Ametumia mtaji kiasi gani kuandaa shamba, kupanda, kumwagilia/ kudhibiti ukungu au maji ya mvua, palizix2, kuvuna na kuhifadhi? Bado mitaji, zana za kilimo (tractor, plau, etc), mbolea, palizi, dawa, aina ya udongo, umwagiliaji, uwepo wa visiki ama la ni shida.
Mkuu wapo watu wanalima mahindi hadi kiasi hicho wala usishangae sana
 
Tuliwaeleza muda mrefu wakashupaza mashingo, tuliwaambia mavuno hayakua mazuri wakaleta hadithi zao
Hamuoni aibu wanaume wawatunzie mahindi kwann msijilimie. Halafu huu uzi wako ni uzushi hakuna kt km hiki
 
Ndg, kwa grounds hizi mambo ni tofauti sana.
Mkulima wa kuvuna kiasi hicho atakuwa amelima ekari ngapi? Ametumia mtaji kiasi gani kuandaa shamba, kupanda, kumwagilia/ kudhibiti ukungu au maji ya mvua, palizix2, kuvuna na kuhifadhi? Bado mitaji, zana za kilimo (tractor, plau, etc), mbolea, palizi, dawa, aina ya udongo, umwagiliaji, uwepo wa visiki ama la ni shida.
Wapumbavu wanafikiri mnufaika wa bei kubwa ya mahindi ni mkulima wa nusu hekari au hekari moja ambao ni zaidi ya 95% ya wakulima wote wa Tanzania.
Tanzania yetu hii,wakulima wengi ni wakulima wa kilimo cha kujikimu tuu,ambao hawazidishi hekari 2 katika kulima kwao.
Mkulima wa namna hiyo,kweli unategemea ataweza kutoa gunia 25 kwa kila hekari na kusubiria bei ifike 18,000 kwa debe ndio auze!!??
Huo mtaji anatoa wapi?
Mbolea.
Mbegu.
Kulima shamba.
Kupanda.
Palizi.
Kuvuna.
Kuhifadhi.
Hizo hapo juu ni process zinazohitaji hela nyingi sana ili uweze kupata tija kwenye kilimo chako.
Mkulima gani mdogo kwenye 95% ya wakulima wote nchini anaweza ku afford hivyo!!??
 
Wapumbavu wanafikiri mnufaika wa bei kubwa ya mahindi ni mkulima wa nusu hekari au hekari moja ambao ni zaidi ya 95% ya wakulima wote wa Tanzania.
Tanzania yetu hii,wakulima wengi ni wakulima wa kilimo cha kujikimu tuu,ambao hawazidishi hekari 2 katika kulima kwao.
Mkulima wa namna hiyo,kweli unategemea ataweza kutoa gunia 25 kwa kila hekari na kusubiria bei ifike 18,000 kwa debe ndio auze!!??
Huo mtaji anatoa wapi?
Mbolea.
Mbegu.
Kulima shamba.
Kupanda.
Palizi.
Kuvuna.
Kuhifadhi.
Hizo hapo juu ni process zinazohitaji hela nyingi sana ili uweze kupata tija kwenye kilimo chako.
Mkulima gani mdogo kwenye 95% ya wakulima wote nchini anaweza ku afford hivyo!!??
Tuna viongozi wanyonyaji usipime. Wao ndo wanatoa mitaji Kwa wafanyabiashara wananunua mahindi Hadi 35000 Kwa Wakulima na Sasa wanauza 85-120000.
 
Back
Top Bottom