Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Tanzania yasitisha vibali vya usafirishaji wa mahindi nje ya nchi

Wewe ndiye unazungumza mambo usiyoelewa. Vitu ulivyokaririshwa na wanasiasa. Fahamu lengo kuu la serikali kupiga marufuku uuzaji wa mazao ya chakula nje. Lengo si kuzuia wewe usife njaa, lengo ni ili serikali yenyewe isianguke. Moja ya mambo yanayoingiza watu barabarani ni bei ya chakula kuwa juu kwa watu wa mijini. So serikali zinazuia kupanda kwa kufunga mipaka na kuhakikisha bei ya nafaka ipo chini. Hili limefanyika tokea enzi za Waroma

Hili linamuumiza nani? Mkulima anayelima. Matokeo yake anashindwa kulima. Matajiri wanaacha kulima. Benki zinaacha kopesha wakulima na njaa inatokea, tena kubwa. Na hili si nadharia. China walikuwa na sera kama hizi zetu. Matokeo yake ni njaa iliyoua mamilioni. Mwisho wake wakaja na mpango. Mkulima anaiuzia serikali sehemu fulani ya mazao yake. Labda 10% yanayobaki yote anauza anakotaka na kwa bei anayotaka. Matokeo yake uzalishaji ukakua kwa mara kadhaa zaidi, leo China njaa ni historia.

Huo utaratibu mnaotaka ufanyike unaleta njaa badala ya kuzuia.
Umenikumbusha yaan. China wana coops nzuri sana mpaka za maziwa. Kimsingi isiangalie wacheche watakaonunua unga bei juu. Maisha ya mkulima wa chini yajaliwe kwa kumuwezesha kupata competitive price popote pale
 
Mimi niliandika hadi humu JF watu wakashupaza shingo, magufuli hakua mjinga kua ana calculate na kufunga mipaka maana usalama wa kwanza wa nchi ni chakula na ukumbuke serikali zetu tia maji tia maji uwezo wa kuimport vyakula hawana wamekalia maneno na hifadhi ya chakula hawanunui ya kutosha
Tushawazoea na huyo magufuli wenu, kila kitu "magufuli magufuli, utadhani yeye ndio muanzilishi wa hili taifa
 
Upuuzi mtupu. Mimi nimeplan kuuza yangu niliyolima ifikapo december na january na nitauza popote ninapotaka. Hakuna aliyenisaidia kulima.
Ni jambo la kustaajabu sana.

Sasa mkulima wa mahindi kama wewe una mahindi yako na unategemea kuyauza upate pesa umepewa muongozo gani ili ufanikishe biashara yako ?

Kama serikali imezuia uuzaji wa mahindi nje.
Je itanunua mahindi ya wakulima wanayotaka kuyauza ?

Kwahiyo mahindi ya wakulima yaozee ghalani kwao?
Au wanataka yagawiwe bure kwa wenye njaa ?

Kama serikali inazuia kuuzwa mahindi nje basi itoe muongozo kwa wakulima na wafanya biashara wa ndani ili biashara iendelee.

Hili zao la mahindi lina ukakasi mwingi sina.
Kwa wakulima wa kibiashara.
 
Wewe ni mjinga kabisa. Tumelima kwa gharama zetu halafu kwenye kuuza mnatuletea upumbavu.
Yaan huyo anaongea ushuzi. Anajua hata kulima huyu mtu. Anajua taabu ya kulima huyu. Mkulima ana majanga makubwa yanayogawanyika seem tatu. Haki ya hewa, uzalishaji na masoko. Apo kwenye masoko kuna changamoto sana kuliko seem ingine yaan. Asa wewe jipendekeze kama unajua hata tope la mbuga likoje
 
Ndiyo maana nafaka zilipanda bei May-July. Ila kwa sasa bei inaanza kushuka.

Suluhisho kwa TANZANIA ni kuzalisha mahindi ya kutosha, Serikali iboreshe skimu za umwagiliaji na upatikanaji wa zana za Kilimo, mbolea na dawa.

Hapa Serikali inawadidimiza wakulima, Kila mwaka wanalima kwa hasara, ni lini watapata faida? Muda kama huu ndiyo neema kwa mkulima!
Point kubwa ni hii. Nchi ina neema ya rutuba na wachapakazi.
Hoja ni kuongeza uzalishaji na sio kuzuia biashara.
Kilimo ndio uti wa mgongo wa nchi na yakitengenezwa mazingira mazuri ya hii biashara nchi itaingiza pesa nyingi na kuacha namna zinazo wakera wananchi.
 
Nchi ilifunguliwa na sasa mnaifunga tena?🤣🤣🤣
 
Nimpe pongezi ndugu mkulima mmoja aliyejenga nyumba na godown la kisasa kwa kuuzia wakenya mahindi kwa bei nzuri, hongera, ulitembea na fursa.

SERIKALI IJALI WAKULIMA, KAMA MAZINGIRA HAYARUHUSU WAUZE KWA WENYE UWEZO WA KUNUNUA KWA BEI NZURI BASI SERIKALI INUNUE KWA BEI NZURI HALAFU WAO NDO WAPELEKE SOKONI KWA BEI NDOGO AU WAWAWEZESHE WAKULIMA KWA PEMBEJEO NA GHARAMA ZA SHAMBA.
 
Ni jambo la kustaajabu sana.

Sasa mkulima wa mahindi kama wewe una mahindi yako na unategemea kuyauza upate pesa umepewa muongozo gani ili ufanikishe biashara yako ?

Kama serikali imezuia uuzaji wa mahindi nje.
Je itanunua mahindi ya wakulima wanayotaka kuyauza ?

Kwahiyo mahindi ya wakulima yaozee ghalani kwao?
Au wanataka yagawiwe bure kwa wenye njaa ?

Kama serikali inazuia kuuzwa mahindi nje basi itoe muongozo kwa wakulima na wafanya biashara wa ndani ili biashara iendelee.

Hili zao la mahindi lina ukakasi mwingi sina.
Kwa wakulima wa kibiashara.
Yaani hawa jamaa wapo kwenye mamlaka lakini akili hawana. Mwaka huu mvua zilikata maeneo ya kule hanang na maeneo mengine pia. Mahindi yakakauka shambani.

Serikali haikutoa msaada wowote kwa wakulima. Nilikuwa nategemea kuvuna kwenye heka 40 angalau kuanzia magunia kumi kwa heka lakini nimevuna magunia matatu kwa heka. Gharama iliyoingia haiwezi kurudi kamwe kama sitauza kwenye soko zuri.

Halafu anakuja mpumbavu mmoja aliyeongezewa mshahara na anakula posho anasema hakuna kuuza nje. True idiots.
 
Umesahahu kuwa serikali inatoa ruzuku kwenye mbolea? Ruzuku ni sehemu ya gharama ambayo umesaidiwa na Serikali
Acha kuongea mambo usiyoyajua. Mkulima gani anapewa ruzuku? Bei za ruzuku wananunua wenye mitaji mikubwa ambao ni suppliers halafu wanawauzia wakulima kwa bei ya soko.

Mwaka huu mvua zilipokatika na mahindi kukaukia shambani serikali ilitoa ruzuku?
 
Nashauri liundwe baraza la Wakulima wa Mahindi tu.
Na wajumbe wawe wakulima wa Mahindi.

Ili kuratibu namna bora ya uzalishaji na uuzaji wa zao hilo.
Nina uhakika Mahindi ni zao lenye faida kubwa kwa mkulima na Taifa kwa jumla.
 
Tuliwaeleza muda mrefu mavuno kidogo wakabisha na mwaka huu mvua sio za kutosha
Nashangaa watu kupongeza uamuzi wa kupunguza bei ya petroli na kutaka sasa wafanyabiashara wapunguze bei ya bidhaa zao karibu zote. Hivi karibuni wafanyabiashara toka nchi jirani walifika Jijini Dodoma wakakomba maharage ya njano karibu yote katika masoko yaliyopo hapa Jijini. Awali bei ya kilo moja ilikuwa sh. 2500. Kwa sasa kilo moja ya maharage hayo imepanda hadi kufikia sh. 3500 kwa kilo moja. Amen, amen nawaambieni tusitegemee bei kushuka chini ya hapo hadi mavuno ya msimu ujao.
 
Tuu leti!
Tujiandae kwa njaa tu hamna namna.
 
Wasiwasi mpya wa upungufu wa unga wa mahindi umeibuka nchini Kenya baada ya Tanzania ambayo ni msafirishaji mkubwa wa mahindi nchini humo kufungia vibali vya kuuza nafaka hiyo nje ya mipaka yake.

Hatua hii ni katika kujilinda dhidi ya baa la njaa kwa kulinda hazina ya ndani ya akiba ya chakula kufuatia mavuno duni na ukame.

Takwimu kutoka kwa Baraza la Nafaka la Afrika Mashariki zinaonyesha uagizaji kutoka Tanzania uliongezeka karibu mara 5, mwaka 2021 na kufikia tani 469,474 kutoka tani 98,000 mwaka 2020.

.....................................

Tanzania has frozen issuance of new maize export permits in what could worsen the shortage of the product that has driven prices of flour to historic highs.

Several millers and animal feed manufacturers told Business Daily the neighbouring country stopped issuing permits last week, tightening the supply of the staple locally.

“We have been unable to get maize from Tanzania since last week after the country stopped issuing export permits to traders with the cutting off of stocks from Tanzania expected to push up the cost of flour,” said Ken Nyaga, the chairperson of the United Grain Millers Association.

John Gathogo, publicity secretary of the Association of Kenya Feed Manufacturers, said their members are unable to get stocks from Tanzania as well following the move that has seen processors cut down on production.

Millers are issued with a one-off permit for grain export from Tanzania and they need to apply for a new one every time they intend to ship maize out of that country.

Tanzania has for the last two years become a key source market for maize to bridge deficits especially after the two countries mended their trade ties with the change of regime last year following the death of former President John Magufuli.

Data from the Eastern Africa Grain Council shows imports from Tanzania nearly grew five-fold last year to 469,474 tonnes from 98,000 tonnes in 2020. The development has left processors jostling for stocks that are available locally and a few imports coming in from Zambia. Tanzania restricts exports to protect its local stock following poor harvests.

The Kenya Bureau of Standards (Kebs) said the maize coming in through the Namanga border has significantly declined, confirming that imports into the country at that point is originating from Zambia.

“We have witnessed a significant decline in maize coming in from Tanzania; on average we are now getting 10 trucks from a high of 80 trucks previously,” a Kebs official at the Namanga border said.

The move leaves Zambia as the only key source market for the produce to bridge the local deficit as most stocks from Uganda— also a key source — is now heading to South Sudan owing to high prices in Juba.

The shortage occasioned by Tanzanian ban will push up the price of maize locally to Sh5,900 for a 90 kilogramme bag from Sh5,400, according to millers.

Source: Daily Business
Habari ya uwongo hii
 
Cycle ya kutozalisha mahindi kwa msimu iliopita ilitokana na bei mbovu za mahindi, kwa msimu uliopita , mahindi yaliwahi kuuzwa 220 kwa kilo , wamati huo mbolea ya can na urea mfuko wa kilo 50 ni shilingi laki moja , , katika hali kama hii wakulima wengi walilima kwa ajili ya chakula tu wakenya wamekuja kwa bahati bahati tu,
Kuna sehemu nilimueleza kuwa huenda hujui unachozungumza. Bei ya 2017 ilikuwa chini Sana, mbona hawakukata tamaa? 2019 bei ilikuwa kubwa sana na kwa mujibu wa maelezo yako basi waliapta faida. 2019-2020 Bei ikawa chini, 2020-2021 Bei ikawa nzuri kidogo. Hayo ndio mahindi bei huwa haipo stable kutokana na sababu nyingi. Uache uongo
 
Nimpe pongezi ndugu mkulima mmoja aliyejenga nyumba na godown la kisasa kwa kuuzia wakenya mahindi kwa bei nzuri, hongera, ulitembea na fursa.

SERIKALI IJALI WAKULIMA, KAMA MAZINGIRA HAYARUHUSU WAUZE KWA WENYE UWEZO WA KUNUNUA KWA BEI NZURI BASI SERIKALI INUNUE KWA BEI NZURI HALAFU WAO NDO WAPELEKE SOKONI KWA BEI NDOGO AU WAWAWEZESHE WAKULIMA KWA PEMBEJEO NA GHARAMA ZA SHAMBA.
Umeandika pumba, na huyo mkulima aliyejenga godown ili awauze wakenya akili Hana au umeweka chumvi.

Huwezi kuanzisha godown kwa kuwauzia wakenya ikiwa bei ya soko ipo hivyo awe mkenya aee mganda awe mtanzania wote wananunua Bei hiyo.

2019 bei ya mahindi ilikuwa nzuri sana awe mkenya mtanzania au mganda wote walinunua kwa bei hiyo iliyokuwepo sokoni, 2020 bei ikaporomoka awe mkenya, mganda au mtanzania wote walinunua kwa bei hiyo ndogo.
 
Umeandika pumba, na huyo mkulima aliyejenga godown ili awauze wakenya akili Hana au umeweka chumvi.

Huwezi kuanzisha godown kwa kuwauzia wakenya ikiwa bei ya soko ipo hivyo awe mkenya aee mganda awe mtanzania wote wananunua Bei hiyo.

2019 bei ya mahindi ilikuwa nzuri sana awe mkenya mtanzania au mganda wote walinunua kwa bei hiyo iliyokuwepo sokoni, 2020 bei ikaporomoka awe mkenya, mganda au mtanzania wote walinunua kwa bei hiyo ndogo.
We jamaa hii id yako nishaijua, huwa nasoma hoja zako mwanzo tu nacheka halafu siendelei kutaka kujua umeandika nn.....Una tatizo la kuanza na Unnecessarily harsh tones.
 
Back
Top Bottom